Kama unamuona clam vevo ...Ni comedian mkbwa zaid badae gonga like hapa
@mosesmwita1032 Жыл бұрын
Ya leo kali much love from Kenya🇰🇪🇰🇪😊 Naenda nyumbani kula chapati na maharage😂😂😅😅😅
@MBATINOFILMS Жыл бұрын
😛😛😛
@SabariinAbdullahi-j6r16 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂 wee
@asuhabihussein1105 Жыл бұрын
Clam unazingua mwendelezo wa penz la mzimu mbn huleti unapoteza mashabiki Alf unachelewesha Sana sahv kutoa
@mosesmwita1032 Жыл бұрын
Ukweli baana tunasubiri sana.
@mwajumsleman9070 Жыл бұрын
Yaaan tunausbria kwa hamu sna
@tuzomtuku587 Жыл бұрын
Ishaisha mbona hamfatilii nyie
@kefinifrancis4776 Жыл бұрын
Top comedian in Tanzania no 1 Clam vevo😂😂😂
@MBATINOFILMS Жыл бұрын
🦻
@kelaswafula6060 Жыл бұрын
Watching from Kenha i love it
@ashamvinea676 Жыл бұрын
Kali san kutoka kenya hapa like zikam kwa wingi
@edwinjohn6334 Жыл бұрын
Kama una ungana na mm kuwa clam pamoja na shadow ni mbwa piga like 🔥🔥
@AminaLupeja6 ай бұрын
Sio kweli mtu wangu acha wivu 🤪
@lucksonkilupa2864 Жыл бұрын
Leo nime wahi na mimi naombeni likes ata kumi bas
@allyzegele1373 Жыл бұрын
Kwaiyo hizo like zitakusaidia Nini? Hebu acheni ushamba
@samwelipaul1462 Жыл бұрын
Una zila au
@MBATINOFILMS Жыл бұрын
👍👍👍👍👊
@vaghoghontweki982711 ай бұрын
Naww ukiombwa kalio usisite kutoa mana vya bure havipo siku hizi....
@CostaKisogo6 ай бұрын
hpn
@nduwayezupacifique2090 Жыл бұрын
Clam thanks unanifunza kitu kikubwa Kbsa! Iyo ndio style ya kuimani mtuu Kama weye🤔🤔 Nashauli wenye wanatizama film iyo, ndugu zangu mutiye Imani Kwa mungu! mtu anaweza akaugua, akafa Alini Mungu hawezi!! 🇧🇮🇧🇮 from Burundi
@nzabonimanadonacien3630 Жыл бұрын
Kama imeyangaria video mara2 piga like hapa nawakubari kutoka Rwanda Kigali 🇷🇼🇷🇼🇷🇼🔥🔥
@jeandamascene3533 Жыл бұрын
Big up man
@samuelmandevu6254 Жыл бұрын
Kaka n'a kupenda sana
@RickshabyVlogs Жыл бұрын
Naomba mrembo mmoja wa rwanda
@SufosalimoMahando7 ай бұрын
Mambo
@AminaLupeja6 ай бұрын
Clam vevo ni comedian mzuri sana kama mnakubaliana na mm gonga like hapo 👍
@Lulumassawe0015 ай бұрын
Unanipa rahaa san et jmn
@aminamahya657 Жыл бұрын
Kuna sehemu clamu umekosea kdg Umeruka ukuta ukiwa huna viato ila ulipotoka uwani ukawa umevaa viato Ila hongera Sana kwa kazi❤
@chadracknshimirimana4761 Жыл бұрын
Labda shadow kamrushia kwa juu bhana 😂😂
@YusterTitus-vz1cq Жыл бұрын
Watu mnafatilai😂😂😂
@matukiotvonline6366 Жыл бұрын
Huyo jamaa anayapenda makonziii😂😂
@jacquilinenoah949 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣yani jaman hapigi ngumi ni konzi tu😂😂😂
@fellyboe8343 Жыл бұрын
Huyo dogo alienyongwa nimemkubali sana
@AgnesZubedah-zs2xd6 ай бұрын
😂😂😂umepata nguvu ya kubeba mawe😂😂
@stephenmanenomusician8263 Жыл бұрын
Mimi nawakubali Sana Steve Na Ndaro...natamani nifanye nanyi kazi ata siku moja
@teddykaneza5042 Жыл бұрын
Kubali clam upende usipende from 🇬🇭
@imanipirfa225 Жыл бұрын
Mimi apa wa kwanza clam kapigwa kama raïsi maman Samia kaondoshwa madakani😂😂😂😂😂😂😂
@Mtm_fam Жыл бұрын
Hihi kali sana kaka
@akystar5848 Жыл бұрын
Mimi do nili comment wakiwa nipeni like
@Lulumassawe0015 ай бұрын
Mm na clam 2naendaa nyumbaniii🤣🤣🤣🤗🤗🤗sem unajua nn clam mm nakukubal San jmn vp umeoa au badooo???....🤔🤔🤔
@Erickkiula Жыл бұрын
unatoa sh ngap eeee helaaa nyokooo😂😂😂😂😂😁😁😁
@veroslaa1041 Жыл бұрын
Hahahahaha aaaaaaaaaa jamani mbavu zangu
@gabrielndungu9122 Жыл бұрын
Kila siku nyie tuuu ata mimi naenda nyumbaniiiiiii kama amnipei like 👍 👌 ♥
@Best_tz Жыл бұрын
Huyu Mwamba anausirias mpaka anakera acha kwanza ncheke 🤣🤣🤣