Mkongwe wa Bongoflava Juma Nature akiifungua Shajara yake kwa Babbie Kabae
Пікірлер: 36
@superhemed75905 ай бұрын
Juma humu umeelezea vzr sn bro km ukiwa ujalewa unakuwa mtu powa sn. Acha pombe ndg yetu urudi kwny game km zaman unaua kipaji na historia yk nzuri ndg yetu tunakupenda sn. ACHA POMBE LETA MASHAIRI HALISI YA NATURE MZEE
@mhinajerome59645 ай бұрын
Nimekuelewa Sana huyu jamaa akiachatu pombe ujue anarudi kwaharaka Sana
@jilalamaligisa48543 ай бұрын
Kipindi kizuri na Juma Nature ni moja ya watu waliobeba historia ya muziki wa bongofleva, mahojiano haya yangefana sana kama mtangazaji angekuwa mkongwe pia na anayeujua, kuufuatilia na kuupenda muziki wa bongofleva tangu zamani, hakika kipindi kingeshiba sana lakini hakijapendeza kabisa kwa sababu mtangazaji hajahoji mambo yote ya msingi na kwa kina mfano TMK Wanaume Family ilianzishwa mwaka gani, ikavunjika mwaka gani na Juma Nature kuunda Wanaume Halisi, yaani miaka mtangazaji haulizi wakati kipindi hiki kinaweza kabisa kuwa rejea ya mtu fulani aliyeamua kuandika historia ya muziki wa bongofleva au ya Juma Nature. Tambua Juma Nature ni msanii mkubwa sana na mkongwe sana na anayepaswa kuheshimiwa sana katika muziki wa bongofleva hivyo unapomhoji jitahidi kuuliza maswali mengi na ya msingi kwa faida ya kizazi chake, cha sasa na vizazi vijavyo. Kifupi sijapendezwa na mtangazaji, sina chuki naye binafsi na simfahamu ila sijapendezwa na alivyofanya mahojiano kwa msanii mkubwa kama Juma Nature, hajamtendea haki.
@NgengeMkeni-uo5hq5 ай бұрын
Huyu mtangazaji hajui mziki wala hajamfuatilia Juma Nature vizuri kabla ya kufanya nae mahojiano.
@bish_daddiyao5 ай бұрын
Kibla nature❤💥kaka Saidi my tune of time😊
@pajambeshi73475 ай бұрын
Namekubali sana msani wangu bora wa muda wote
@ray45king845 ай бұрын
R.i.p BK... kiungo muhimu sana kama gundi kwenye kundi la Wanaume. Ahsante Nature kwa kumpa shavu kwenye Sitaki demu rmx, Mbichi hizi,Tatu bila,Yaliyopangwa na Mungu..kama emcee ,BK,Dollo na Bob Q wapo underrated sana..Respect
@devymwanjala11235 ай бұрын
Nakukubar sana nature kwenye sim yangu zimejaa nyimbo zako
@allykota8355Ай бұрын
Yani Juma kapona kweli uchawi upo yani Juma leo kaongea vizuri sana
@gatsonmatiko80005 ай бұрын
Safi sana musitu wa vina sanecha
@dr_deo5 ай бұрын
Juma Nature ni hazina kubwa sana...a living legend
@simonrusigwa30245 ай бұрын
Wimbo HISTORY sijaupata. Nimeutafuta sana sana. Holaaaa
@madaiincubationcenter49475 ай бұрын
Watu wanafiki sana, Juma Nature kama asingedanganywa ajitoe kwenye wanaume family Leo hii asingekua hapo alipo, halafu waliomdanganya wanayoka hii hii kitu ambayo love hii ameitea tena waje wamcheke
@user-ip4ie7pt6i5 ай бұрын
Uyu mama haku fit kabisa kumuhoji juma😅
@NgengeMkeni-uo5hq5 ай бұрын
Hajui mziki wala historia ya Nature, yaani yuko hapo kama ndugu msikilizaji tu
@alexmoses14305 ай бұрын
Napenda sana kumsikiliza nature utamani amalize kuongea
@labanimakangila-il4fw5 ай бұрын
Hatari sana msitu wa vina
@user-bd8vo9sn3i4 ай бұрын
Nkunda staa
@BarakaSety-gn3dj5 ай бұрын
Acheni hio tabia mungu ndo amewafikisha hapo mlipo... Tunaomba mtusaidie from simanjiro
@lampadshigonko30065 ай бұрын
akusaidie mungu wako.. acha kulilia watu
@user-bd8vo9sn3i4 ай бұрын
Nkunda sta
@emmanuelkitomali31435 ай бұрын
Hii interview inadeserve sehemu ya pili aisee , kuna vitu bado natamani kujua zaidi Issue ya kuondoka tmk chanzo Nini Issue ya Sinta Nadhani ingetufanya tumjue nature zaidi. Babie plz em fanya namna basi
@AMwamzola3 ай бұрын
Sister nilikua namkubal Uyo jamaa
@user-yv3jk5bl2p5 ай бұрын
Nature yn ni mtu wa wa2
@BarakaSety-gn3dj5 ай бұрын
Mbona mnakuwa tofauti natunavo wasikiliza Wana clouds
@OllerDesononline63335 ай бұрын
Hahahahahahahahah😂😂😂😂😂😂 eti kiroho sayona.
@ip_header5 ай бұрын
Quality ya camera kama miaka ya 90's, mbona mna rudi analog wakati mmeshafika Digital 😊