Jamani mtukutanishe na baba zetu pia,Mimi nahitaji kukutana na baba yangu,pia Mungu awabariki kwa kazi nzuri
@dicksonkilupa22586 ай бұрын
Uwatafute binafsi uwape taarifa zako na za baba yake ili wawe na pa kuanzia.
@omanoman20449 ай бұрын
Wallah wa mam mnaharibu san rangi zen had naon haya mwijaku anamuangalia duuh
@ProtasBalibabaza-ip1oy Жыл бұрын
Mnafanya vitu vikubwana sana clouds #leo tena hongereni Mwenyezi Mungu awabairiki
@aminaalabri4170 Жыл бұрын
Hongeren sana clouds mnafanya ktu cha peke tunawapenda sana
@rosemaryjoseph768 Жыл бұрын
Hongera sana Leo Tena haya mambo yapo na ustawi hawana msaada kwa wamanisha kesi nyingi nimekutana nazo
@nyassorajabu628 Жыл бұрын
Hongera ma mdogo Kwa kumpata binti yako
@justinangaiza10553 ай бұрын
Natamani sana kumjua baba yangu alipo
@AngelMbaga7 ай бұрын
Mko vizuri kwenye listening skills hongereni.
@ElizaMwambudzi-fe8dp Жыл бұрын
Hongereni kwa kazi nzuri Mungu awabariki sana
@ahlamkilema1787 Жыл бұрын
Yani hichi mnachofanya... clouds....mungu hatawalipa Yani mm Bibi yangu..watoto wake watatu..paka Leo na nimzee natamani hawajue wanawe
@foodbasiccourt2028 Жыл бұрын
Kwa hapa clouds hongereni sana
@angellambonika30027 ай бұрын
Wanaume wengi wanajua kupata starehe tuuuu lakini uchungu juu ya watoto hawana !!!! Mungu anawaona.
@RajabuFute7 ай бұрын
Hongern sana ila tunaomba kipindi cha kutafuta kina baba
@christaoman8890 Жыл бұрын
Ni furaha na huzuni pia miaka mingi bila mama ni Mungu tu
@ghhhhy18127 ай бұрын
Pole san mam
@levinalyimo62407 ай бұрын
Mwenxangu hata Mimi yamenikuta ustawi wa jamii ni balaa
@hamzafishten95607 ай бұрын
Pole sna mama
@annamwakibinga527 Жыл бұрын
Hongereni sana Clouds
@salmangwila8062 Жыл бұрын
Nyie leo tena hongeren
@lizybabymgaywa8035 Жыл бұрын
Pole sana Mama
@RachelJoseph-du5gs7 ай бұрын
Jmn Kwan huyo baba alipatwa na jini gan kha!
@jamilamwangoka1055 Жыл бұрын
Yaani mngekuwa mnatuandalia na kwenye TV nduguzangu tuwetanaangalia Yani pongezi Sana kwenu
@JanethMgoly7 ай бұрын
Clouz tv
@saumusalimuhassan2499 Жыл бұрын
Dah! Inauma sana kwakweli
@PaschalPaulMandegeshi Жыл бұрын
mnachokifanya ni jambo jema pongezi kwenu #clouds
@aishaddddhh6272 Жыл бұрын
Jmn ikifikia kipindi cha kukutanishwa watoto nawazazi wao wakiume mnistue jmn
@felisternselu6287 Жыл бұрын
Mwakani ni baba na watot
@UpendoLukas-s1u6 ай бұрын
Nami namtafuta baba yangu mnisaidie.
@happymwashimaha5134 Жыл бұрын
Hongera sana Pendo rafiki yangu. Wakati wa Mungu Ni wakati sahihi
@rehemaathhmani3578 ай бұрын
Mungu mkubwa ❤
@MwanaishaHemed-xi6rj Жыл бұрын
Mtihani Pole sana Mama dah😭😭
@leaherasto929 Жыл бұрын
Dahuu umependeza Sana
@ashuuuaisha9122 Жыл бұрын
Kuna muda mtu unatamani tu kungèkuwa na mbegu zinauzwa sehemu tununuwe ili mtoto asiwe na baba wa aina hii
@maswamills3161 Жыл бұрын
Mbona zipo? Pesa yako tu
@foodbasiccourt2028 Жыл бұрын
Mbegu zinauzwa twna unachagua mwenyewe na una uamuzi wa kuto kujua aliyetoa mbegu hela yako tu mama
@theafricaiknow6615 Жыл бұрын
Zinauzwa mbona,ni pesa yako tu
@aggreynsemwa1380 Жыл бұрын
@@theafricaiknow6615 à
@michaelthobias99677 ай бұрын
Hujasikua upande wa pili huna ruhusa ya kuhukumu Mimi naona Dunia inawatukana wababa sana inawasemea unyanyasaji ukija kufatilia kesi unakuta udangaji upuzi mwingi wa wanawake enzi za ujana wababa wanamua kubeba watt wake
@evaakyoo3009 Жыл бұрын
Wanaume mlaaniwe sana
@aishaddddhh6272 Жыл бұрын
Kaka zangu wanatamani kuonana na baba yao
@LearnwithMadamnaomi Жыл бұрын
😢huzun sana
@OnlyRuky Жыл бұрын
🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺💃Wababaaaa jmaaaaani
@FreshJuiceFoodSimpleCook7 ай бұрын
Walipewa rushwa hao washenzi wa tabia wananyima watu haki zao
@janengowi-lt9gu Жыл бұрын
Wanaume wanaume mngekuwa nyie mnasikiaga uchungu wa kuzaa sijui mngefanyaje kuhusu watoto
@JestinaEwin Жыл бұрын
Du mateso haya nahisi wanangu ndo wanayopitia
@rezegerezege691 Жыл бұрын
Pole sana Dada yangu kipenz Mungu Awalinde nakuwatunza