Steve Nyerere ni mchekeshaji na mwigizaji kutoka bongo movie ambapo kwa sasa amekuja na STAND UP COMEDY yake na ameifanya Dar es salaam weekend iliyopita
Пікірлер: 28
@nalimijosephtz36808 жыл бұрын
jamaa huyu ni zaidi ya trevoh Noah yan balaaaa...talented never seen b4
@hassankayla40768 жыл бұрын
Hahahahaha Steve umenichekesha sana eti TRA wote wako jera hahahaha
@isakampako10918 жыл бұрын
cdhan kama hii n comedy ... kwangu m n mtu kacmama anapiga stor
@eventelias2788 жыл бұрын
new IPP..internatianal pumba points
@zaitunisinamenye17998 жыл бұрын
iyo siyo comedie kwa kweli
@terashangwe255 Жыл бұрын
kajitahidi sana dakika 9
@mathewstanley40638 жыл бұрын
Joti na Mpoki ndio comedian lakini huyu hapana😁😁😁😁😁
@kwibemlala68647 жыл бұрын
Mathew Stanley apana naye yupo pw
@raphaeltv60518 жыл бұрын
wabongo bhanaa
@salimatuyahhaya57728 жыл бұрын
kuna Watu wana nipotezea mda lakini sio wewe bora nilale
@opiumtaavi49665 жыл бұрын
HILI LOFA LINAPOTEZA MUDA HAPA HAMNA KITU COMEDY HAPA
@stanlecioussimba54047 жыл бұрын
Daah, huyo anatoa hotuba au anachekesha, yaan hata simwelewi jamaa kajaa hisia za ngono tu mwanzo mwisho
@fadhilially26828 жыл бұрын
huyo mwambiee asubir kampen aanze kurusha vijemb baaasii ila kuchekeshaa hapana kwa kwelii anakulaa hela zaoo tu
@lailaomar26338 жыл бұрын
joti na mpoki ndy comedian ila huyu hapana
@kelvin_papaa_ya_warembo83138 жыл бұрын
milard umenipotezea mb zng,,sion comedy naona mtu anatoa hoja
@dahomafedha41458 жыл бұрын
anaitwa nani? :-)
@fredrickitala39037 жыл бұрын
Fanya linalo kuhusu huna kalama ya uigizaji ndio maana hua unapanik
@amedegabri44358 жыл бұрын
kupoteza muda pumba hakuna connection ya kitu anachoongea,, angalieni churchill show ya kenya mjifunze, acheni ubinafsi.
@yusufuhhaji67158 жыл бұрын
washazoea mchekeshaji lazima ajipake masizi,avae nguo za hovyo
@jumaramadhani58618 жыл бұрын
Huyu nae ni Comedy kweli?.......wabongo kuweni wakweli jamani,milard ayo nawe umekuwa mtu wa udaku nini
@pauljoel15628 жыл бұрын
oyoo
@hamadimsika62677 жыл бұрын
Anafanya nini hapo huyo jamaa mana ni kituko tu
@حمدالندابي-ف5ف7 жыл бұрын
milad leo umechemsha hata s muelew jk ndo comedy
@juliusuronu88128 жыл бұрын
Kajamaa kanapenda ngono balaa sasa kanafikir kila mtu kama yy anatumia jina la rais kuzungumzia upumbavu.....mara 100 mc pilipii na stor zake za ooooh my gush na prado yake kuliko huyu mwehu
@nankodyasteven28588 жыл бұрын
Julius URONU Ni kweli bro mi sioni anafanya nini hapo
@aziz13857 жыл бұрын
the only funny thing here is the guy hachekeshi
@fanicelutta94888 жыл бұрын
boring kenya the best
@salimatuyahhaya57728 жыл бұрын
kuna Watu wana nipotezea mda lakini sio wewe bora nilale