Hii movie inafunzomakali kuhusu hii dunia y sass pongezi mwenye tamthilia hii nzuri❤️❤️❤️❤️❤️👌👍👍
@merryananias8 ай бұрын
Nakukubar sana mwamba ❤❤❤❤ be gup sanaa 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@judithpendo99858 ай бұрын
Hii n reality y Dunia y sasa km. Wapenzi hii movie like apa please love from 🇰🇪🇸🇦 Riyadh 🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰
@EdwardKisota7 ай бұрын
Sijamaliza movie huyu mchungaji kazingua... Kabashee
@BenedictMmboyi-f1o4 ай бұрын
Vedeo iko safi sijaona ubaya wowote Yani watilie mkazo vivyo hivyo
@jofreymfugale47528 ай бұрын
Movie ni kali sana bonge la stori ila kdg kumekuwa na mchanganyo wa imani ukristo hauamin katika majini wazuri na uyo aliyeigiza kama mchungaji amekuwa na viashiria vichache vya uislamu sasa ilikuwa ni vyema zaid angekuwa shee
@jofreymfugale47528 ай бұрын
Stori ingeendana zaid na uhalisia kama uyo aliyeigiza mchungaji angekuwa ni shee
@KamandaJohn-qv6kd6 ай бұрын
@@jofreymfugale4752sawa
@Rely-h2i5 ай бұрын
Wow mmeupiga mwingi
@LightnessUrio-fo7mq8 ай бұрын
Yani hiii nikiboko ya zoteeeeee apa mmeupigawingi nawapenda sanaaaa❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉 ndg yenu nikiwa kenya🇰🇪🇹🇿🇹🇿
@FlaviaPhilemonPhilipo6 ай бұрын
Mungu atuepushe na majang
@AminaUjumbe4 ай бұрын
Hap umeloba Mzee Mang'anya Simba
@MwanapiliAthumani-zp1bs7 ай бұрын
Akk huyu shetani atatupoteza mungu atuepushe naye
@fablissmwanginde3 ай бұрын
aisee itafteni hii move ni kalii sanaa
@neemamsanga2538 ай бұрын
inafundisha sana,,,hasta kumtafuta Mungu Kwa bidii kipindi hiki Cha mwisho,,, Mungu awabariki sana 🙏
@marangotv77488 ай бұрын
Imeanza vizuri lakini imeisha vibaya but ongera sana nawapenda sana 🇬🇦
@dedemishi38483 ай бұрын
Kuna funzo zuri hapa
@vyukusengenelly76688 ай бұрын
Eti mkwe wa nyoko najikuta nacheka kama fala😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@MonaAlmqbali24 күн бұрын
@@vyukusengenelly7668 yan nimecheka balaa
@SitumaiKikono5 ай бұрын
Mchungaji kavaa kofia mpo series kweli bora uhuxika ungekua ustadh tu 😢
@NicelindaMwita6 ай бұрын
Mchungaji kavaa kibaragashia
@NicelindaMwita6 ай бұрын
Hadi majini wanamshauli mtu kwenda kanisani duuh
@Lael-mn4nb7 ай бұрын
Huy ni shee au shetani
@Hisia1127 күн бұрын
Mmmmh hatari sana
@yassinismail-li8zy5 ай бұрын
kwanini huyo mchugaji kapeleka bibiliya huku kavaa na kofia ?? katuchanganya kunako imani yake
@AdamSimon-d2k6 ай бұрын
Kazi nzuri but tujitahida kuendana na maisha halisia sidhani kama shee anaweza kuombea mtu au pastor akavaa barakashia
@aminaally21347 ай бұрын
huyu mchungaj ndio anaenchangnya
@habibalukinga15758 ай бұрын
Me sio mtu mzuri ndo uzuri🤣🤣
@mouh8448 ай бұрын
Ndo uzuri nikuchane😂😂😂😂
@habibalukinga15758 ай бұрын
@@mouh844 🤣🤣🤣
@LisaLihani-u6z2 күн бұрын
Mchungaji via hiyo kofia
@MwanapiliAthumani-zp1bs7 ай бұрын
Hii movie akk inafumdisha sana
@Naomi-ec1fq8 ай бұрын
Me sjamwelewa mchungaji jmn amevaaa kibalakachee au macho yang yananidanganya
@Allystudio-d6j6 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤🎉
@davidCubaka-cg3gg8 ай бұрын
Nukupendanga sana Naomi kiukweli
@Nasibu-095 ай бұрын
"Ndo Uzuri" 😂
@ShafqShafq-pq4zi8 ай бұрын
Hivi uyo shehe au mchungaji
@valinemkanamkuverammbone-ci9ou8 ай бұрын
Kazi nzuri na mafunzo mazuri
@RizikiZiki8 ай бұрын
Shetani😮😮
@Douglasmbaabu-g4c8 ай бұрын
ndio usurii
@ShijaJagady6 ай бұрын
👌👌👌👌👌👌👌👌
@saummwakumbo.49268 ай бұрын
😂😂😂😂😂mchawi
@MR_RAMSATZ8 ай бұрын
Epsode ya sita lini lakin kaka mnaachia
@ComedyPlustz8 ай бұрын
Kesho
@nicholasmuendo12648 ай бұрын
Wakwanza leo
@ArsenSilayo-r4o8 ай бұрын
Mzee Simba aliekuwa mnyama kwenye My love Leo anahubiri injili? hatareeeee
@ZulphaCollin7 ай бұрын
Mwambie atowe hiyo barakhashee
@Naomi-ec1fq8 ай бұрын
Mchungaji kavaaa kibarashee jmn
@rithainocent50578 ай бұрын
Mchunguji na barakashee
@KamandaJohn-qv6kd6 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉
@jaitheloveBFM8 ай бұрын
From 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
@MARYNAGUJustin8 ай бұрын
Move shikamooo
@IrenewillyMwenda8 ай бұрын
Bailamu 😘😘😘😘😀
@MwasitHassan-zo5pq8 ай бұрын
Fatma mwamage mmempeleka wap tumemic uwepo wake
@athumanindyema23024 ай бұрын
Sasa mait inadinda ?
@SALUSAGUDAАй бұрын
Mnataka kuniaminisha nn an kwamba Kuna majin wazuri na wabaya?, na hao majin wazuri wanatoa wap nguvu kama wako kinyume na shetan?
@ZuhuraBakari-q9w21 күн бұрын
Ndio Kuna majini wazuri ambao wanamuabudu mungu nakuna majini wabaya ambao nimashetani wanao muasi mungu kama unavoona binaadamu tu
@sabinaraphael56928 ай бұрын
Mwisho
@nininahazwezabibu25958 ай бұрын
🔥🔥
@JovithIRAKOZE8 ай бұрын
Watatu😂😂😂
@HappinessJohn-vw8hk8 ай бұрын
😂😂😂
@mrmajengotz.8 ай бұрын
💪
@sophiamwailonda8 ай бұрын
Yan hii ndo imeisha au🙄
@AbelYawa-e6u6 ай бұрын
😢😢😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@ReyKitwanga8 ай бұрын
🌷🌷
@NashazaVanessa-dc2sg8 ай бұрын
❤❤❤❤❤
@AyishaOman-cw4xs8 ай бұрын
❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
@nurukilelo8 ай бұрын
🙄🙄🙄leteni 6 sasa mwataka tuview mara kumi kumi huh