Am a christian but soon nachange dini naendelea kujifunza mengi sana kupitia mafunzo yako😢😢lazma nislim
@salimdaawah1239 ай бұрын
Inn shaa Allah karibu sana
@EuniceAngalushi9 ай бұрын
@@salimdaawah123 santii
@siadibrahim81118 ай бұрын
Kaimbu kwa dini ya haki na kweli
@hanifa91538 ай бұрын
Welcome❤❤❤
@hamzangunga15787 ай бұрын
Welcome to Islam my dear friend
@handenitakuru66969 ай бұрын
Kikweli ndani ya Nafsi yangu, nawaombea sana hawa wahadhili wetu wanao lingania dini kwa wasiokua waisilamu wanafanya kazi kubwa sana, kwasababu wanakutana na vichwa vigumu sana ambao wamelishwa matango poli na viongozi wao wa kikiristo, sasa unapokutana navichwa ambavo nivigumu mpka aje kuelewa na akawa muisilamu dah nikazi kubwa mnooo ,Allah awape Taufiq iliokua bora na muendelee na kazi ya Mwenyezi
@daru25499 ай бұрын
Sheikh leo eti umekutana na msomi😂😂😂 Nmefurahi sana umewaleta kwa njia iliyo nzuri ALLAH awaeke sheikh
@husha63729 ай бұрын
Assalamu Aleikum warahmatullahi wabarakatuhu jamaa Naona wakiristo WENGI huchanganyikiwa ku mjuwa Mungu Yesu na utatu
@salimdaawah1239 ай бұрын
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh
@rq21abdullahi969 ай бұрын
Salim na Ali . Inshallah one we will drink soup together 😂
@salimdaawah1239 ай бұрын
Inn shaa Allah
@mangeraalbert79829 ай бұрын
Inshaallah
@Zsdaughter9 ай бұрын
Send it now to them si wameweka number zao za sim. Changia na Allah atakuzidishia. Support so they use more time kwa daawah. Mana na wao wanakazi zao. So ili tuwape nguvu zaidi ya kuwa kwenye daawa lazma tutoe.
@F.j849 ай бұрын
Mimi nawaombea wakristo mungu awape fahamu na kupata njia ya hakki kw idhni yake mola mtukufu Allah
@salimdaawah1239 ай бұрын
Aamiin amiin amiin
@SalmanMughal-lq5lt2 ай бұрын
InshaAllah.AaminaYaarabi.soote
@HusseinLimbe9 ай бұрын
Mashaallah Allah atujaalie Janah sisi sote ❤
@shurlaally16869 ай бұрын
Maashallah kazi nzuri
@omarnzaro319 ай бұрын
Maa Shaa Allah mushapost wacha tutizame Inn Shaa Allah tuelimike zaidi
@salimdaawah1239 ай бұрын
Karibu sana
@sonaratz9 ай бұрын
Mimi nipo Tanzania na huwa nakufuatilia sana kwa ukaribu na huwa napenda sana mafundisho yako!
@salimdaawah1239 ай бұрын
Masha Allah karibu sana
@BakariAbeid-gp7iv9 ай бұрын
@SalumumaulidmasoudMsumi-cp6dm9 ай бұрын
Yan nafurahi kuwaona tuna wakaribisha Zanzibar muje mutembwee
@aishahazary40979 ай бұрын
Maasha Allah ..ALLAH awalipe kila jema kwa kazi nzuri mashehe wetu vipenz.
@TabuOdhiamboOmiya9 ай бұрын
Kuna wakati unaeza kosa subira pale unapo mwambia jambo na hataki kushikia ilhali kauli yako ndio sahihi
@kanchorujarsomohamed48609 ай бұрын
Masha Allah mola awajalie kila la kheri
@ngureamosdaniel39459 ай бұрын
this was very informative very impressive the moment you expose oneself to islam,one becomes i new being,daawah sahihi GOD bless you
@Noorein-ws8wk9 ай бұрын
Maa shaa Allah Sheikh Yusuf kumbe upo sambamba na mara umetuletea kitabu Allah akuhufadhini nyote na kila balaa. AMIIN
@salimiddi75839 ай бұрын
Hogera sheikh Salim somo wangu
@SalumNyanza5 ай бұрын
Maashallah Allah awalipe kila laheri
@zaidiissa37149 ай бұрын
Da nilitamani sana mda usiishe muendelee maana tayali walikua washakubali nisawa na mchezo wa mpila gol kipa ashapotea harafu umebaki na golitu harafu refa anapiga firimbi ete mpila umeisha da Sasa sijui utafungatu naje ukifunga refa ataikubali ndivyo ilivyotokea Leo washakubali lakini mdaumeisha nanikweli lazima watu wakamuombe mungu hakuna jinsi inshaAllah sikunyingine wataelewatu kama niwakuelewa maana hata umfundishe mtu miaka kumi kamaniwakuelewa ataelewa nadakikatu lakini kama sikuelewa atasubuli mpaka yesu aludi nabado hataelewa mungu awabariki sana masheikh wetu tunawapenda sana mlitupotea kidogo shidailikua Nini maana tunatamanisana kuwaona kilasiku ila tunawaombea sana mungu awajaalie afya na uzima mzidi kutufundisha Yale ambayo hatuyajui tuweze kuyajua assalamualaikum wabillah taufiq amen 🙏🙏🙏🙏🙏
@salimdaawah1239 ай бұрын
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh Allah awaongoze waione haki
@RubanzintwariJeanclaude9 ай бұрын
Asaramuaraikum shehe Mungu akujariye Kwa dawa
@salimdaawah1239 ай бұрын
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh
@ibrahimhajji62109 ай бұрын
Mzee Ali needs to be patient when Salim is handling people.
@andallaathman38569 ай бұрын
Wallah tena anaongea Sana Hadi husikii kitu nasauti yake kubwaa mashaa llah hata na mtatiza sheikh salim mara nyingi
@jamilaomari24449 ай бұрын
Hez too annoying.
@saberaziz17899 ай бұрын
Ali kuwa na subra na mwachie ustadh afanye kazi yake,wewe kazi yako ni kusoma
@Abuyusuf1348 ай бұрын
Yah ni kweli. Sheikh Ali awe anasoma tu asichangie. Cause inaleta confusion.
@Jingajinga648 ай бұрын
Assalamu Alaykum. Munajisumbua bure. Mzee Hassan hawachi, hiyo ni tabia na umri ni mkubwa. Mchukulieni kama mzee wetu aliyejitolea. Mimi nimemuelewa hivyo na nishakubali matokeo. Allah amjaalie umri twaweel.
@fatimahrashid23569 ай бұрын
🤣🤣 hustadhi Salim na hustadhi aliy Leo mume patana mwana sacolojia naona mambo ni ❤️🔥❤️🔥❤️🔥❤️🔥
@salimdaawah1239 ай бұрын
Tena sana 🤣😂😂😂
@user-rc7oi2hp8l9 ай бұрын
Walkm mslm warahmtullah wabarakatuh nshkr sheikh zetu nmpata vzr Allah amzidishie elimu n afya mzidi kuwapa daawa in Sha Allah
@salimdaawah1239 ай бұрын
Aamiin amiin amiin
@b.funditv47818 ай бұрын
Mm npo Tanzania ila nawafuatilia sana mashekhe wetu nawapenda sana tena Allah awajaalie afya njema
@salimdaawah1238 ай бұрын
Aamiin amiin amiin sote
@aliabdallah84569 ай бұрын
Tatizo la wakrsto wanadanganywa na wachungaji bila mchungaji kutoa ushaidi wa maandiko bali nimaneno wanayotoa mdomoni mwao
MashaAllah masheikh zetu mungu azidi kuwapa afya njema na maisha marefu
@sulimankarusi83459 ай бұрын
Mashallah Allah wape kila kheri
@EshaSalim-l3q9 ай бұрын
Mashallah mungu awap umri
@salimdaawah1239 ай бұрын
Aamiin amiin amiin
@jumakumala13378 ай бұрын
Allhamdhullillaih namshukuru ALLAH kwa kuwaona ndugu zangu katika Imani nilikuwa nimepotea kwa sbb ya internet lkn saii niko hewa ninawafatilia kila kona
@salimkongoi68539 ай бұрын
Asalam aleikum ...napenda sana mafunzo yenu brothers ...lakini ningependa kujua hicho kitabu ambacho sheik Hassan amekishika ni kitabu Cha Nini mkiniambia naweza tafuta nijisomee niongezee elimu yangu ....shukran sana brothers
@malikdodo51909 ай бұрын
Walaikum salaam warahmatu-llahi wabarakatuh
@ShaliphZbel-it8id9 ай бұрын
Allah,awape,afya,njema,then,mzid,kutoa,dawa,mtaan
@zuenajuma-si7wp9 ай бұрын
Mashaalh mwenyezimung awaongezee elim ili tupate kujifunza zaid
@Marim-qp8gs4 ай бұрын
Shukran sana kwa katanga a dini yetu ya kislam
@salimdaawah1234 ай бұрын
Kazi yetu nikufikisha ujumbe wa Allah
@user-nt4qc4zg7y9 ай бұрын
Mashaallah Allah wape afya njema na nguvu ya kupigania dini ya kiislam
@abdikhalifdahir32204 ай бұрын
Ma'sha Allah
@sheemaryam9 ай бұрын
Mariam alikuwa anaambudu nani wakati MUNGU alikuwa kwa tumbo yake??? kweli watu wamepotoka 😂😂
@mjaaliakhalfan90309 ай бұрын
Yesu (Masihi Issa mwana wa Maryam)si Mungu bali ni Mjumbe wa Mungu قال الله تعالى:{وإذقال الله ياعيسى ابن مريم ءأنت للناس اتخذني وأمي إلهين من دون الله قال سنحانك ما يكون لى أن أقول ما ليس لى بحق إن كنت قلته فقد علمته تعلم ما في نفسي ولا أعلم ما في نفسك إنك أنت علم الغيوب}المائدة 116 {ما قلت لهم إلا مآ أمرتني به أن اعبدوا الله ربي وربكم ..} المائدة 117 {قال الله هذا يوم ينفع الصادقين صدقهم لهم جنات تجري من تحتها الأنهار خالدين فيهآ أبدا رضي الله عنهم ورضوا عنه ذلك الفوز العظيم} سورة المائدة 119 {ورضوان من الله أكبر}
@abdikuta93336 ай бұрын
Mi ni muislamu naomba msomaji ampe.nafasi mwalimu aelemishe naye abakike kwavitabu
@SalimHumud3 ай бұрын
Somo Mungu akupe nguvu upeleke neno la Mungu
@salimdaawah1233 ай бұрын
Aamiin amiin amiin sote
@djhassim_2546 ай бұрын
watu kujieleza kwamba ni wakristo is just a slogan iliyokuja wapotosha viumbe za mwenyezi mungu. Ustadhi Salim na mwalimu Ali msichoke tafadhali. one day people will revert back from the slavary mission of christianity.
@user-qn6xf4nw7d8 ай бұрын
Tanzania unakuj lin shekhe🙏
@salimdaawah1238 ай бұрын
Inn shaa Allah tutapanga
@user-hp8dp7gf8wАй бұрын
MashaAllah ❤❤❤
@Rajkumar-gz4qr5 ай бұрын
Wakristo hufanda kitabu gani, juu hii yao sio hata bibilia
@JoyceMbise-zr2xh3 ай бұрын
Mimi ni mkristo lakini hakuna mchungaji anayewaambia watu wavae mavazi yasiyofaa
@salimdaawah1233 ай бұрын
Okey but huwa mnakatazwa
@nassorsharifu98379 ай бұрын
Imani ya utatu hakuna mkristo anaeweza kuielezea sababu ni Imani ya kubuni
@Hi_202069 ай бұрын
Asalaam mashekh wetu..mbona hamjaeka option ya ku download?
@salimdaawah1239 ай бұрын
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh iko my sister
@sulemohdi20138 ай бұрын
Wakristo wanasema Mungu ndo Yesu na Yesu ndo Mungu, eti Mungu amejifanya mtu!, na Yesu anasema hakutumwa bali kwa wana Israel, na wana sema kasulibiwa ili abebe zambi zao ila hata yeye Yesu alilalamika Mangu wangu Mungu mbona umeniacha hapo kajivuwa kuzamini watu wakati analala mika ameachwa na Mungu wake, ikiwa Mungu alikuja kwa mwili wa binaada , huo mwili hajauvuwa mpaka leo na kama hajaivuwa atakuwa dhaifu na kama kauvuwa mwili basi hakuna haja katika kipindi hichi kumuabudu Yesu wakati hayupo tena duniani vipi abudiwe wakati hakuna andika ale sema yeye Yesu Mungu na kama halipo, Yesu hana Mungu ? Ikiwa anae Mungu na saa hii hayupo duniani kwa mwili wa binaadamu vipi abudiwe Yesu ikiwa Wakristo wanasema kaja duniani akiwa amevaa mwili sasa huo mwili hajauvuwa ?
@jamilaomari24449 ай бұрын
Mwalimu ni wangi na wasomaji ni wangapi. Hii imekuwa maudhi wallahi.kuweni na maelewano baina yenu. Samahani.
@jumamnyonge21488 ай бұрын
Allah awajaliye kwa kweli manshallah
@Rajkumar-gz4qr5 ай бұрын
Uislamu dini ya ukweli, inaridhisha
@RutexNalex9 ай бұрын
Dini ya repentance and holyn ess wanafunza hayo yote but kwingine Sio rahizi nikutoa tu nakubarikiwa,good job bro mi hukufuatilia sana
@user-rc7oi2hp8l9 ай бұрын
Ak wakirsto wanashagaza Mungu ajilete mtu azaliwe n akufe azikw n afufuke is that make sense?
@NathanielNathan-m4o8 ай бұрын
It makes sense only to those people who understand
@HNs-px8mz4 ай бұрын
Pia nashagaa Muumba kila kitu afe auliwe n watu aliwaumba yeye mmmmmmm ilo haliwezekani.Mungu mwenyezi hana udhaifu ata nukta
@zakiaanwar6779 ай бұрын
MashaAllah Allah barik
@ShaliphZbel-it8id9 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤
@fardoshnassor78474 ай бұрын
💖
@Hi_202069 ай бұрын
Huyo msomi amesoma nini exactly juu sioni
@salimdaawah1239 ай бұрын
Hahaaaaaaa 😂🤣😂🤣😂🤣😂🤔🤔
@alisaleh70408 ай бұрын
Duh ikiwa mohammad mafkirio yako ni yessu bas ata yessu wako humjui huyu dada akupat kuijua vzr dini anaez akawa muislam
@abdallasuleiman87859 ай бұрын
Msomi na anasema kuna dhambi ya asili.
@user-rl4nv7ls4e8 ай бұрын
Swala la uvaaji ni mtu mwenyewe.
@salimdaawah1238 ай бұрын
Ni amri ya Mwenyezi Mungu sio mtu mwenyewe
@godwinkileo77028 ай бұрын
Mbona msikitini hamuwaambii watu kama baadhi ya majini ni waislamu na ni ndugu zenu😅
@salimdaawah1238 ай бұрын
Aya gani kwa Qur'an inasema hivyo???
@Jingajinga648 ай бұрын
Ukweli unauma dada yangu. Kula panadol tembe mbili mara tatu kwa siku itakupunguzia maumivu.😅
@HNs-px8mz4 ай бұрын
Uzushi.toa andiko majini n ndugu
@Bahati473 ай бұрын
Hiyo kwenye Quran Kila muislam anajua na tunawapenda sana hao ndugu zetu wa ki jini ❤️
@user-ij9te1ck9p3 ай бұрын
"Wamaa khalaktu l-insaa wal-jina illaa liyaabuduun". Allah anasema sikuumba majini na watu ispokuwa waniabudu mm tu. Alhadith Almuslim akhwa lmuslim laa yadhlimuhu walaa yaslibuhu". Muislam ni ndugu WA muislam asimdhulumu Wala asimsulubu ama kumtesa. Qur-an, "wamaa arsalnaa illaa rahmata lil-aalamiin" Allah anasema" na hatukukupeleka ewe Muhammad ispokuwa ukawe rehema kwa walimwengu wote. Swali 1.kwani majini ni viumbe ama si viumbe. 2.km ni viumbe nani kaviumba?. 3.wanaishi ulimwenguni ni kina nani? 4.kwann Mungu akuumbe akose kukuwekea utaratibu km baba kwenye nyumba ana uratibu wake kwa watoto jee Mungu anakosaje kukuwekea utaratibu anaoutaka yeye? Someni maandiko msisomewe maandiko.
@makalajonas9 ай бұрын
Tusome neno wakristo sivyo tutayumbishwa sana
@HNs-px8mz4 ай бұрын
Msome mmjue Muumba si mtu wala hakufa msalabani wala hana udhaifu wowote
@HNs-px8mz4 ай бұрын
Karibu ndugu katika dini y haki kunyenyekea amri za Muumba wetu