Kila episode imebeba jumbe mkubwa sana Hongera kubwa Kwa Director Mponji haya mambo ndio tunataka sisi maua Yako 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@sfiaalanazi547914 сағат бұрын
Hongera mama mponji mawaidha yako mazuri sana
@EstherJerald-tc6ct21 сағат бұрын
Daaa Leo nimewapa like ninyi nyote Ebu na mimi naomba msininyime like popote pale uwapo Tz kenya nk
@Anitajoseph79222 сағат бұрын
Napenda sana kufuatilia series za Tanzania ila sijawahi kuona series Ina mafunzo makubwa Kila episode kama hii. Hongereni sana washiriki wote mmeua
@MariamMchomvu-q3s2 сағат бұрын
Jaman ubwabwa tunakula lini tunausubiri😂😂
@DomitilaEmily14 сағат бұрын
Dunia hadaaa walimwengu shujaa, mama shadya umekipata ulichokitafta
@ashamwanganzi640018 сағат бұрын
Daaaah ila mponji pongez kwa mafundisho yenu jmn mola awabariki san kiukwel❤❤❤😂😂😂😂baraka na kimaro mbn mwaleta vurugu jmn B4 ndoa etii😂😂😂😂😂😂
@susanmuhwanawerunga14 сағат бұрын
Ni mm Dena kutoka Kenya muko safi sana
@LLl-p4r3l12 сағат бұрын
Hongera mama mponji kwa mafundisho mazuri 🎉🎉🎉🎉🎉
@shakilasharifa914 сағат бұрын
Ubwabwa Baraka 😂😂😂
@aminahhuawei113322 сағат бұрын
Nimewahii leyoo afadhali wa 83 daa pole sana Hajra mwayaa hule msemo mwanamke mpumbavu huvunja ndoa yake kwa kikono yake ndiyo hii sasa wanawake wezangu tujifunzeni hapa🎉🎉🎉❤❤❤
@RoseJohnDaffi-hs6cp23 сағат бұрын
Mimi nakuja kula ubwabwa kwenye harusi hyoooo pambeeee❤
@AgnessDama18 сағат бұрын
Ila mponji anafundishw uku akijilia maandaz😂❤❤❤, pole kw mage kavu 😂😂😂 nikutegesha skio to, wapi like za mamake na mponji pls
@aminandurya15 сағат бұрын
Nimechelewa ila nimefka 🎉🎉🎉 kwa directer mponji nawapenda buree ❤❤❤
@SadaDjuma-e9b23 сағат бұрын
Amani ya Mungu iwe juu yetu sisi ote tunaofuatiliya hii movies ❤❤❤
@VeronicaRugoyi21 сағат бұрын
Ameen nakwako pia
@UlenjeNyamvula18 сағат бұрын
Amen 🙏
@MargaretMtende17 сағат бұрын
Amin🙏
@MujunguMtoto17 сағат бұрын
Ameen kubwa 🙏
@zinbushaabani18 сағат бұрын
Ila baraka ni mmbea jamn😮😮😅🎉
@AminaYazidu13 сағат бұрын
Ubwabwaaa is typing 😂😂😂😂😂
@MaimunaNangabo19 сағат бұрын
😂😂😂ila kimaro na baraka punguzeni umbeya jamani aiii 🥺🥺
@Nihenya13 сағат бұрын
Waabie 😂😂😂😂
@GodilahArohzyne-yv1evКүн бұрын
Leo kwanza kutoka 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 wakenya wenzangu tujuane kwa like❤❤❤
@FlorenceWanjira-ct4lw22 сағат бұрын
Ruto anasemaje tena 😅😅😅
@MunaMwakuzimu-k8z21 сағат бұрын
Pamoja wakenya oyee
@UlenjeNyamvula18 сағат бұрын
Wakenya oyeeee
@metrinenamalwa73615 сағат бұрын
Hi
@MwanatumuOmar-y7r5 сағат бұрын
Tupo dear ❤❤
@mbikamtanganaki23 сағат бұрын
Jamani ebu Leo naombin like hata kumi t fans wenu
@veronicaonchuru14 сағат бұрын
Kimaro na baraka wasikule 😂😂😂
@MunaAlbalushi-pt7jeКүн бұрын
Hongera mama kwa mafundisho mema kwa mponji
@CarolineImbwaga16 сағат бұрын
Wow 🎉🎉🎉
@HanifaMohammed-n4rКүн бұрын
Ama kweli hii movie nimeipenda Sana tangu episode ya 1 mpaka sasa nimejifunza pakubwa Sana ,,, nawaombea mzidi kutuelimisha siku zote ❤❤❤❤❤ nawapenda Sana ❤❤❤
@AmenaMm-r5t23 сағат бұрын
Umeonaee yan na mm ndo iv iv na kuhusu mafunzo ya bibi harus 😂😂😂😂😂😂
Leo mim wa 8 naombeni like zangu nikanunulie mboga😂😂😂
@dhahabudeche92621 сағат бұрын
😂😂😂😂❤
@Justinaombay22 сағат бұрын
Na mm leo naombeni like
@asyakhamis32723 сағат бұрын
Hahahahah kimaro unaomba Nini 😂😂😂😂😂😂😂kwa mama shadya
@BoraHamisi-zl6xy17 сағат бұрын
Nimelia pale anapoongea point nzuri na kukiri kuwa alikosea anajuta na kuomba msamaha ama kweli majuto ni mjukuuu
@Nailaty56422 сағат бұрын
Bwana harusi tunaomba uvae style ya Oman utapendeza Sana 🌹
@HoHo-l1r22 сағат бұрын
Asante naona mama shadya fimbo imeanza kukutandika vema 😂😂😂
@AminaKavuo-gj3oc23 сағат бұрын
Wew mponji bado hunamupenda huo mwanamuke,,, kwanini husifuge mulango na kufuli
@Clamvevotz202421 сағат бұрын
Ahsante sana mama Mponji mm kama mwanaume nimejifunza sana jinsi ya kuishi na mke wangu
@ShamimShamy18 сағат бұрын
Hajira Kwan wew ulienda Kwa mponji Ni kuomba pesa tu hakuna kingine unakumbuka Shika kumekucha, mponji nikutakie Haris njema mm nimenunua kijora 🥰🥰🥰🥰
@BilhaCharles23 сағат бұрын
❤❤❤nampenda mama shadya
@Nailaty56423 сағат бұрын
Mama shadiya million tatu mpaka elfu 5😂😂😂😂😂😂😂
@dautonmdodwe570022 сағат бұрын
😂
@Jamesmwakisambwe-z3x14 сағат бұрын
😂😂😂
@winniemwaka320222 сағат бұрын
Kimaro mrudie😅😅mungu kweli
@SyombuaMuvengei22 сағат бұрын
😂😂😂 mama shadyaa utaunza matunda na pesa hipi na vile we ni kapuku tokea 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 wakenya wenzangu na wengineo nipeni like zenu 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@dhahabudeche92621 сағат бұрын
Eti hawezi kudanga na alikua anatoka inje ya ndoa yake 😂😂😂😂 asitudanganye hapa saai ndio chance nzuri yakutembea kibwenye chake😂😂
@SyombuaMuvengei21 сағат бұрын
@@dhahabudeche926 😅😅😅😅
@Hawa-ky6vb23 сағат бұрын
Nimejitaid kuwai leo
@Annemumbe-r2z22 сағат бұрын
Hayo mawaidha kotekote kwa kwel nimeyapenda
@mbikamtanganaki23 сағат бұрын
Mama kama mama hakuna kama mama mponji ongera Kwa mafundisho Yako mwenyez .ungu aendelee kukuza kipaji chako ongera odo wa mage Kwa mafundisho Kwa Binti yetu magie
@EstherMasha-dk9xp22 сағат бұрын
Ya Leo kali jamani Baraka n kimaro wanabishana juu ya ubwabwa😂😂😂😂😂 anyway movie imebamba sana🔥🔥🔥🔥🔥
@VeronicaRugoyi21 сағат бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂Matenga mawili yamekutana getini kwa mponji mama shadya na kimaro😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤
@LeticiaCalderon-nr6hh20 сағат бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂 nakwambia
@catherinematabula418422 сағат бұрын
Hongereni mnajitaiti kuwahi
@Fibi-og9ce16 сағат бұрын
😂😂😂😂 baraka na kimaro...mwaletana juu kisa ubwabwa
@FlorenceWanjira-ct4lw22 сағат бұрын
😅😅😅😅😅😅😅 ila Baraka ww eti huli ubwabwa
@jazirajazira8116Күн бұрын
Assalam alykum warahmatullah wabarakah alhamdulillah allah atujalie afya njema na wagonjwa Allah twakuomba uwape shifaa na walio tangulia mbele ya haki allah awasamehe mazambi yao napia atujaalie mwisho mwema
Walyk salam warahmTy aallah wabarakaty amin yaraby kwa sote
@DivineIngabire-lj3sr18 сағат бұрын
Baraka wew😂😂😂😂eti naenda kusemaaa😂😂😂
@نيجي-ن1د22 сағат бұрын
Ety Kimaro amrudie Mungu hiyo niuongo acha tu wagombanie ubwabwa na Baraka ila kimaro kurud kwa Mungu mmmmmh 😂😂😂
@AgathaJulius-r4h19 сағат бұрын
Jaman baraka na kimalo. Wamenifurahixha mpa nimepona
@KSA-hu5he22 сағат бұрын
Haya naombeni huo u bwa bwa maana nasikia ni jumamosi❤❤❤
@LeticiaCalderon-nr6hh20 сағат бұрын
Hongereni movie nzuri sana imeenda kimpangilio kabla ya ndoa mafunzo kwanza kwa pande zote mbili mke na mume.Tumejifunza mambo ya msingi sana
@FaithObash21 сағат бұрын
Yaani tangu episode 1 aty sasa 42 cjai pata likes ATA 20
@FaithObash20 сағат бұрын
Tamu lakini arudi jameeni haraka
@ArafaBasher-i5h17 сағат бұрын
Baraka na kimaro😂😂😂
@Haji-yr9dbСағат бұрын
Dah kakaangu mponji hii kazi uliofanya kwa hii muvi tumejifunza vingi mno mno asante kwa kwa kutufunza
@darzone102040 минут бұрын
Nashukuru sana kwa kunisupport. M/Mungu awafanyie wepesi kwenye kazi zenu.
@VeronikaEmanuel-yq3ss23 сағат бұрын
Hahahaha 🤣🤣🤣🤣 eti nisaidie baba shadia Toka zako uko saiv ndo kashajua umuhimu wa mponji
@CarolyneMalala-o6x23 сағат бұрын
Mama Shadya sikudanganyi wewe ni kama uko na dudu kwa kichwa😂😂😂😂😂😂😂
@NadiaRamadhan-q1mКүн бұрын
Leo wakwanz jamani 🎉🎉 nipeni like
@hotlinechebet605123 сағат бұрын
Hapo hapo kwa simu dio mambo nashikaaaa😅😅😅😅
@imanissa553113 сағат бұрын
Kila kipande kina mafunzo hogereni sana kwani hii ndoa haifiki jamen mponji tunangonja 43
@narutonaruto4303Күн бұрын
Mashadia. Sasa kinakulamb kitu kuna kazi njo tufanye 😅😅😅😅 utanishukuru badae
@FlorenceLangi-o8m21 сағат бұрын
😂😂😂 jembe, chombo, kifaaa yaan sifa za mage izoo♥️
@DansonMwayele16 сағат бұрын
Yani kila episode inafunza tu. Ila baraka na kimaro mumetisha. Ati ubwabwa ni wababako 😂😂😂😂😂😂😂😂
@fellst415917 сағат бұрын
Barka nakimaro kam watoto vile😂😂😂nawapend bure
@kimarodarzonetv17 сағат бұрын
Tunakupenda zaid
@AvelineMkama23 сағат бұрын
Kweli mbonji Mungu kukupa kipaji
@darzone10203 сағат бұрын
Ahsante sana my dear 😘
@YusrahJumaAbeid-hh2ud18 сағат бұрын
Unwaubwa umezua balaa🤣🤣🤣🤣
@AsRtsanura-yu3fr23 сағат бұрын
mm naenjoy haya mafunzo 👌
@NadiaRamadhan-q1mКүн бұрын
Mama shadia BDO haujasema nabdo mpka useme
@Najmahnyangasi23 сағат бұрын
Kazi nzuri sana nawapenda bure mungu awalinde na ndoa yenu mage na mponji niko hapa kutarajia ndoa yenu nifurai harusi tunayo na tunatamba nayo humu 2 😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ niko na bakuli langu natarajia ubwabwa 😂😂😂
Mungu ni kwema sana haya ni mambo yapo kwenye jamiii za watu
@ClariceMatulanga22 сағат бұрын
Mm ndio wa mwisho uku simjui kama mwaniona 😂😂😂😂😂
@VeronicaRugoyi21 сағат бұрын
Wa mwisho kutoka wapi😂😂😂😂😂😂😂
@fatimaumazi16618 сағат бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂muna kosania ubwabwa nmecheka kishenzii
@JenifaRopez23 сағат бұрын
Waooo ongela muponji
@REHEMAYUSUPHU-ds1uf12 сағат бұрын
Ila kimaro ni mzuri Sana nampenda ❤❤❤❤❤
@LLl-p4r3l12 сағат бұрын
Jamani daaa hii Kali mwapigana kisa ubwabwa 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@KuvunaGonda23 сағат бұрын
Maashady nakupenda sana lkn polee😂
@luckymilani8927Күн бұрын
Another Day wakwanza from Zanzibar 😅❤❤❤❤❤
@mbikamtanganaki23 сағат бұрын
Hajra ni pungasese 😂😂😂😂😂😂
@VeronicaRugoyi21 сағат бұрын
😂😂😂😂😂😂
@SyamaaKyalo21 сағат бұрын
Mama si mbaya ni akili ana marifiki ndio walimpoteza😂😂😂😂
@veronicamaganga2635Күн бұрын
Mage punguza kulegeza macho jaman duu
@glorymanga365023 сағат бұрын
Mpakaa inakuwa kero tenaa,mimi kiufupi mage hajui kuigiza bado sanaa
@mejubagu682520 сағат бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂 n'ngombe wa kichaa mwenye haja fungwa kamba
@salhasimba18 сағат бұрын
Kwakweli😅😅😅
@khadijab706618 сағат бұрын
Nawakirisha timu garfu kutoka Oman 🇴🇲 ♥️ ❤️, kujeni uku 😂😂😂😂
@Annemumbe-r2z22 сағат бұрын
Kimaru wewe wanipunga kwel 🤣😂😅
@mamuuthei-tx2et15 сағат бұрын
Angalieni mafunzo msinganganie like like ziwapelk wp hizo like jmn mponji hongera xn kwa hii thamthilia iko vzr maa shaa allah iko na uhalisia wa kimaysha tunayo ishii jmn
@hashilalkharusi468023 сағат бұрын
Jamani mama Shadia bora kauzesimu upate mtaji
@HalimaMlavi23 сағат бұрын
Kimaro msaidie mama shadia kwa sababu ulichangia ndoa yake kuvunjika
@Florah254-r3r22 сағат бұрын
😂😂😂😂😂😂
@نيجي-ن1د22 сағат бұрын
Mwenyewe ameishiwa atamsaidia mtu
@LusiKomba-rh1voКүн бұрын
Asantee mama mponji🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@FatumaBahatihassan23 сағат бұрын
Mama Shadia
@fatumasalim391519 сағат бұрын
Mama mponji hongera mungu akuongoze
@FatumaAli-xm8di23 сағат бұрын
Mama mponji uko Sawa kwa mawaidha yako
@AggyMaghuwa3 сағат бұрын
pongezi kwa mama mponj kuomba msamaha ni jambo la muhimu ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉