Sijapenda kumuingixa ifenye maana anamuumiza chiiii ba bora katoa hiyo kauri chioma ana watoto laa sivyo ingekuuja zaidi
@user-lk9rh5xp4u14 күн бұрын
Ooooh
@patriciacarlo723614 күн бұрын
Baby Mama drama
@ashurajengela392613 күн бұрын
Ana wivu uyu
@user-dc2uo9bf4y13 күн бұрын
Huyo dada ni wivu skuzote alikua wapi
@lisawilliam249114 күн бұрын
Awaowe wote ma Bby mamaz wake🤣🤣🤣 problem solved
@pengefeza256313 күн бұрын
Mungu aliumba mwanaume mmoja tu na mwanamke mmoja tu zaidi ya hiyo ni kazi za shetani za kumpinga Mungu na kuanza kuingiza tamaa zake.😊
@agwalubifaridah707914 күн бұрын
Sophia or sophie move on
@hopechidera14 күн бұрын
Me nadhani ana mapenzi sana kwa Davido ndomana ku move on kunamushinda kama baby mamas wengine wa Davido...
@akimanaarlene85114 күн бұрын
@@hopechiderahuo ni mzee kwa davido ndio mana 😂😂😂
@zainabuabdul785214 күн бұрын
Davido ndo hajamove on na ukitaka kujua hilo tu Davido alimtolea vitisho tiwa savage kwa kuwa tu karibu na sophia na kisa cha Davido kustop kumuhudumia mtoto ni sophia kuwa na mahusiano na tajiri mmoja huko Nigeria ...sasa nani Haja move on hapo .....fatilieni mwanzo kwanza ndo muhukumu Davido ana makosa sana tuu
@nantaliamwema808314 күн бұрын
Ww nae nitimu Sofia fatilia vizur story Yao yamqusiano kama alimpenda nawakat Sofia alijirahisisha mwenyewe😅@@zainabuabdul7852