Рет қаралды 95
HALMASHAURI YA WILAYA YA TANGANYIKA
Wananchi Wilayani Tanganyika wameaswa kuachana na watu wanaowashawishi kufanya Siasa chafu na badala yake wametakiwa kuiunga mkono Serikali ili kwa pamoja waweze kushirikiana kuleta maendeleo ya kweli katika maeneo yao.