Mashallah najiona kama nishaingia katika nusra ya allah .dhikri ni chakula cha moyo wallah
@RAMADHANKHAMIS2 жыл бұрын
SIKIZA NA HII PIA kzbin.info/www/bejne/gpSUhIeVf9Zneq8
@furahambondo-rp6qm9 ай бұрын
Mashallah yaani nijikuta chozi ladondoka😢 I proud to be Muslim ❤
@ibrahimsalim8368 Жыл бұрын
Masha Allah namuona mjomba sheikh nuru kijongoo kutoka mtongwe Familia ya dhikri nyumbani maganyakulo kwa mwalim mbwana Allah amrehemu Sijamuona Sheikh kidzeru Love DHIKRI ❤❤❤❤❤
@MWANAMWAKAMWINYISHEE5 ай бұрын
Ntmn Niko hapo
@chechekhamisi87122 жыл бұрын
Shekh mwaranjira unauaa
@abdallahyakub5075 Жыл бұрын
Natamn sana hii.... Penda sana dhikiri ya Hamis kombo😍
@saidmwakulika99452 жыл бұрын
Maalim Jumaa mwatetema na mwamlondwa na hamis kombo na mwamadi wa matuga na swaleh nilikosa uwondo hii ngoma ni kubwa sanaa na nitataka yangu zaidi ya hii inshallah inikishuka bila kuwasaharau mahalifa watatu nawaoma Allah atupe umri nije kuwakuta nyote inshaallah
@mialihamadi5098 Жыл бұрын
Nikiwataka nawapata vp
@saidmwakulika9945 Жыл бұрын
Wako ngombeni
@rajabbugu35715 ай бұрын
mwamad chamwenye
@user-qp4yj7fd4v9 ай бұрын
Mashallah sheik Hassan mwaranjir mungu akueke jomba langu la power❤❤
@mcaattanmbarak37173 жыл бұрын
MASHALLAH nimekosa utamu ila tuko pamoja inshallah namuona Rashidi,mukhtar,na maustadh wengine wengi tuu ALLAH awajaze
@shkhmahadhihajjialqadiria75702 жыл бұрын
Shukran ahal Qadiria tupo pamoja Qadiria Mchangani Zanzibar
@suleimanngare67073 жыл бұрын
Mamuona ustadh hamisi kombo pale emayee Mombasa baha kaya
@kibafteshadau222Ай бұрын
Mzee mwaranjira MashaAllah
@sophiaangel67713 жыл бұрын
Mnanikumbusha zawiyani riadha . marshaallah
@mibsamswedi9282 ай бұрын
Mashallah Barakallah Swalawaat
@royalautoworld78432 жыл бұрын
namkumbuka babangu mzee mnyapara ALLAH amrehemu alkua akpenda snaaa
@karimamwachano8752 Жыл бұрын
Naam babu mnyapara alikua kipenzi wa dhikri mola amrehemu babu
@HadijaAbdallah-ld1xx4 ай бұрын
Nami namkumbuka mamaangu na kakaagu walekua wanapenda sana thikri Allah awarehemu
@fauziajoseph2440 Жыл бұрын
MashaAllah I love Islam
@suleimanngare67073 жыл бұрын
Masha Allah 👌moja safy sana aki
@moha_the_gamer10 ай бұрын
Nice dhikri ❤
@shabanimussa42693 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉
@karneinyusuf50112 жыл бұрын
Mashallah napenda sn
@MakuKumala-zy3bl8 ай бұрын
MashaAllah
@jahaabdullahi33563 жыл бұрын
Shukuran kwa dhikri
@hadiyamohamed5942 жыл бұрын
Dhikir? Katafute maana ya dhikir hio sio dhikir ni ujahiliya
@jumajigwa5043 жыл бұрын
Napenda
@maridadimbwanamwakulafiwa693 жыл бұрын
Mashaa Allah
@tinaramadhani-xs3vs Жыл бұрын
Mashaallah.mungu awajaze kheri
@hamadmohamed30568 ай бұрын
Kuswali hamtuka nyie na Migokaa. Huu Uzushi jiangalieni maisha mafup husije kutieni Motoni. Hajafanya Mtume (s.a.w) Wala Maswahaba. Husiposoma utajikuta unafuata mambo tuu kimbwiga.
@user-ow1sh6rw8w4 ай бұрын
mashaallah
@aimanabwedu70472 жыл бұрын
Nakumbuka memon villa
@dktabbaimran20022 жыл бұрын
Masha Allah
@mamabestie89643 жыл бұрын
MASHALLAH
@fatmasaid70932 жыл бұрын
MashaAllah 🌹😍🌹👌
@alisudiramadhan31512 жыл бұрын
Allah barik
@mwanakombopopo51173 жыл бұрын
Mash Allah napenda dhikri nitaipataje hii nitumie
@saidmwakulika9945 Жыл бұрын
Umeipata
@mwanakombopopo5117 Жыл бұрын
Bado nitumie
@ibrahimsalim8368 Жыл бұрын
@@saidmwakulika9945kama uko na video nitumie kaka please
@hassanraphaer20223 жыл бұрын
Mashaalwa xana nakumbuka mbary
@nyangeshari11843 жыл бұрын
Nzuri Sana hizo
@eshlykheriyth72012 жыл бұрын
Mashaallah
@user-kb2xk3ry2g4 ай бұрын
Dhikiri
@abdallahjamalullaily72353 жыл бұрын
Maashaallah Maashaallah
@marrypaulo90982 жыл бұрын
Mashallah
@khadijahh57653 жыл бұрын
Nyumbani kulee
@khamseysagrado75473 жыл бұрын
Ngooooma
@mohamedsheyba68162 жыл бұрын
Ngoma ya Peponi
@jumajigwa5043 жыл бұрын
Nimo
@mialihamadi5098 Жыл бұрын
Ni ng'omben ya wapi?😔
@saidmwakulika9945 Жыл бұрын
Moshini
@mialihamadi5098 Жыл бұрын
@@saidmwakulika9945 namba ya cmu plz.niko mbal ila nikijaaliw nitawatafuta
@maosthmohammad48382 жыл бұрын
Hicho kitabu chapatikana wapi na chaitwaje wanachokisoma
@mdalamgir-gu9hu Жыл бұрын
Ata zinaa ina kitabu chake ila cjui kiko wap
@mdalamgir-gu9hu Жыл бұрын
Mnankumbusha taru momen vile.moshi.mwakileli.kwa kidzeru..cku ya mazishi ya gamla...woi
@MWANAMWAKAMWINYISHEE5 ай бұрын
Mm nakunja y bbngu 😢
@hamadamabali28953 жыл бұрын
Jiangalie mnaleta uzushi katika Dini maisha mafupi jamani!
@alisudiramadhan31512 жыл бұрын
Ndio nawewe uwachane nayo yauzushi angalia yako yadunia wamaliza siku hata bila kumtaja Allah kisha wasema uzushi
@hamadamabali28952 жыл бұрын
@@alisudiramadhan3151 umejuwaje kama naweza maliza siku bila kumtaja Allah? Halaf mbona umepanik wewe ni miongoni mwao Wanao endeleza huu uzushi nini?
@babutonge14152 жыл бұрын
Kasome ilmu wewe hunà elm
@babutonge14152 жыл бұрын
Wewe ni wahabi Wala hatuna haja ya kubishañ sisi
@user-ew6lr6eh6o4 ай бұрын
acha wanaopenda ka hupendi tupishe
@hadiyamohamed5943 жыл бұрын
Hio sio sunnah ya mtumie na wala hayakuyafunza haya. Huuu ni ujahilia watu watatoka lini ?
@bibiali27132 жыл бұрын
Wewe endelea sunnah zenye unamjua na pia mtume alikua akisilimisha watu wewe ngangana na kusilimisha watu na kuswali wacha watu wazidi kutaja Allah na mtume kwa uwenzo wa uhai wao wewe baki na sunnah ya kuswali na kuhji na kubaki na dini yako Kim ya kimnya
@hadiyamohamed5942 жыл бұрын
@@bibiali2713pole limekukera ndio unaongea ushunzi pole lakini ndio ukweli
@bibiali27132 жыл бұрын
Wala hakuna ukweli wowote na pia asante KW tusi lako kama wenye kupinga wenye kumtaja Allah na mtume wake nalkn wanaruhusiwa kutukana ndio sunnah basi pia haina shda watu watakufata ww mwenye matu waa he wenye kumtaja Allah na mtume waka Pia usisahau kua hutaulizwa ulifanya dhikri au maulidi au kutukana ila Mali yako, umri na watoto wako. Wala hutaulizwa kwnn hukuwakataza wenye kumtaja Allah na mtume wake
@bibiali27132 жыл бұрын
At tena uwislamu na unataka watu wakufate na kunyamazia dini kujua ww peke ndio nn sasa
@hadiyamohamed5942 жыл бұрын
@@bibiali2713 samahani Wacha kuongea na machungu shida watu wakiambia mnakuwa wakali . Hamna mtu kakutusi illa katafute kujuwa dini zaidi . Hata mimi nilikuwa sijui lakini Alhamdullilah nimejifinza mengi . Watu wa coast tuko nyuma na dini