Mzee kaongea logic.. mwanamke mafahamiana kwenye chips ukienda nyumbani ni ugali 😀
@chidaga_tz5653 Жыл бұрын
🤣🤣🤣 sema sanya we nimbaya sanaa mwanaaa yan unatishaaa
@mudolyomanzil6502 Жыл бұрын
Bongo D's alam huu mkoa et hata mtandaoni wanaogelea sana Jux kuwa DC.
@nasra3523 Жыл бұрын
Uy Mzee kanichekesha ishimiaka mingi bro nakipenda sana kipndichako
@assab3167 Жыл бұрын
Unajua sana
@laurensialameck7608 Жыл бұрын
Me so sishangai lakini ni problem
@daudflavour320 Жыл бұрын
Duh hatar
@donald5856 Жыл бұрын
Wabongo wajuaji Sana.
@mubarakhassan2618 Жыл бұрын
Ila hawo wazeeeh wajuwaji sana ayis🤣🤣
@jacklinembeyu5001 Жыл бұрын
Sasa ajitoe wcb kivipi 😂😂😂😂🤭🤭🤭 na ni yake Gai kwa hii Dunia Kuna majabu😂😂😂
@MrNdanguza Жыл бұрын
Aisee bongo kweli bahati mbaya😂😂😂😂
@mudolyomanzil6502 Жыл бұрын
Mzee noma
@feronandsulubu6711 Жыл бұрын
So kweli 😃😃😃
@mosesjackson8260 Жыл бұрын
😂😂😂Aseee hii nnchi maisha yanatuchanganya
@enocmsafi2023 Жыл бұрын
Sawa bana
@misheckmisheck6350 Жыл бұрын
Ila mzee angefunguka mengi kuhusu ndoa,umemuacha mapema😂😂🤣
@jonasstephano7680 Жыл бұрын
Tatizo aujuw kua watu wanao ishi dar wamechanganyikiwa sana
@the.sanJaco Жыл бұрын
Nisawana Alie sema nioge maji katikati ya lami mchana
@veenpoul900 Жыл бұрын
Hahahahah duh Leo ndio nmegundua kua wabongo tunamchukia mtu kwakufuata mkumbo,,,tazama mzee hata diamond hamjui lkn anasema amejitoa WCB,,,tuwe tunafny research kwanza tusikurupukeee
@Esamali_Kenya Жыл бұрын
Ushai skia wapi mtu kajitoa kwake ... Kuweni makini sana😂😂😂
@sefuboycomedy1931 Жыл бұрын
😁😆😁😁😄😁 Nikiwa Dodoma
@macksonjuma5180 Жыл бұрын
Jamaaa anasema taarifa anayo😁😁
@dj26number2 Жыл бұрын
Wanasumbua 😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌
@oswardjames3955 Жыл бұрын
Mshamba wew unamuuliza maswali ya kichoko mzee wakati yeye anakuuliza maswali ya maana kitaifa
@ngarathecomedian5743 Жыл бұрын
Mnakutania kwenye chips akifika nyumbani ugari wanasumbuaaa haooo 😂😂😂
@mpopcornyplatnumz149 Жыл бұрын
mzee habari za mziki hazijui hajui chochote kuhusu WCB wala hajui mmiliki ni nani.Ila ndoa anaijua vizur .Sanya ungeendelea kumchimba huyo mzee ata dk5 angefunguka meng tungejifunza
@lugyplan3771 Жыл бұрын
Itakua tabia mbaya
@nyantuubilo2477 Жыл бұрын
Huyo mzee 😂😂😂
@festochakupewa1491 Жыл бұрын
Wabongo wanafiki Sana wajuaji kumbe hawajui lolote ,😂😂😂
@ibrahimaziz7158 Жыл бұрын
Mzee km uyu hafai ata kumfata kwa ushauri atakuuzia matango pori asubuhi mapema tu
@pendombise5561 Жыл бұрын
🤣🤣hatari
@afixjomo Жыл бұрын
Hatuelewi wanemsamehe mara ngapii 😂😂😂
@mdouharoon66 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣 wazee kma hawa ni wakutupa mtoni waliwe na mamba pumbavu 🤣🤣🤣