Huyo ndiyo maana amefungiwa kujihusisha na mambo ya simba, huwa nafikiri hajitambui kwenye football.
@ZAMZUNZAMIRU2 ай бұрын
Kweli chama mbona mchezaji wa kawaida chama chama why chama?
@user-wb9pj7do6i2 ай бұрын
Chama sio wetu tena siz tumuombee Charles na ujio wa Elie mpanzu
@kassimkingu55122 ай бұрын
Wanasimba hembu tuachane kumkumbuka chama tumsahau huyo chama
@kassimkingu55122 ай бұрын
Were vipo MO kila kitu unafananisha na chama kwa nini
@lawlencekalenga42122 ай бұрын
Ifike mahala watz tuvikubal vyakwetu hata kama havijitoshelez kwa mahitaj 100% ,,kila ck tunawasemea vizur wageni tu jaman tubadlke
@user-bt6ep3yb2h2 ай бұрын
Kama chama ni mchezaji wa kawaida ya nini mda wote kumlinganisha na wachezaji wengine? Huo ni udhaifu wa wivu kwa vile kaenda upande wa pili, muwe mnajitambua kwenye football. Mchezaji yeyote akihama timu ni bora kuachana naye kuliko kila siku mnalialia kwa nini amewaacha. Mlikuwa mnamtaka azi K mkashindwa, kwa nini msiwe mnamlinganisha na wachezaji wenu?.
@ZachariaMwita-bu7rw2 ай бұрын
Huu uchambuz ni kupotez tu muda uwezo utaonekana uwanjan
@MgeniSaid-fp3wg2 ай бұрын
Msubiri dawa iingie mwilini
@osiahlupa16052 ай бұрын
Huu sasa ni ujinga kila mchezaji anaesajiliwa simba mnasema ni zaidi ya chama. Why?
@Sanjey-vp1fm2 ай бұрын
Hata yanga walivyokuwa wakisajili kila mchezaji miaka ya nyuma walikuwa wanasema zaidi ya chama, mbona ulikaa kimya?
@AdoniasManyama2 ай бұрын
Ni bonge la mchezaj
@ZAMZUNZAMIRU2 ай бұрын
Kweli chama mbona mchezaji wa kawaida chama chama why chama?