Donas - Kiswahili

  Рет қаралды 276,441

Aroma Of Zanzibar & Beyond

Aroma Of Zanzibar & Beyond

Күн бұрын

Пікірлер: 499
@khadijambuta4360
@khadijambuta4360 7 жыл бұрын
leo nimejarb kupika na mmi ssa nasubir muda wa adhan asante saan kwa mapish yako Allah akupe afya
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 7 жыл бұрын
Hongera, amin kwetu sote
@nawalsultan339
@nawalsultan339 7 жыл бұрын
mashallah nimejifuza vyakula vingi kupitia wewe mama shukran mola akujaloe uwe katika kiumbe utaenda peponi i read love how you cook your food
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 7 жыл бұрын
Shukran habibty , amin kwetu sote tukutane huko peponi ya rabb laalamin
@nawalsultan339
@nawalsultan339 7 жыл бұрын
Aroma of Zanzibar amin yarabi sauti yako tuu tunajua una asili ya kiarabu mashallah sio mchoyo alhamdulilah niliwahi kumuliza mtu ramadhani hii vipi unapika shurba na alikataa kuniambia ila kupitia wewe alhamdulilah tunajua vingi tusovijua Allah atakupa kwa kutuelimisha kwa mapisho😘😘😘
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 7 жыл бұрын
Shukran habibty mie najua watu wengi kama hivyo hawataki kutoa recipe sifaham kwa nini yaani si kama mashindano kila mtu anapika kwake na familia yake sioni sababu . Sasa unajua pakutafuta, inshallah zitakuja zaidi kidogo kidog
@زوينةالحارثية
@زوينةالحارثية 6 жыл бұрын
Asanta sana kwa mapishi taking ya asli. Lakani dada gungu manga heyday kutumiya kwa kula imakatazwa learn shriya ya kiislamu kwajili ikitumewa kwa winigi inalewesha. Nakushukuru kwa ktufundisha mapishi mazuri . Jazaki lahu khairan
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 6 жыл бұрын
Nafaham kuhusu kungu manga na kila mashekhe wansaema vyao na ni kweli kwa wingi inalewesha. Na ninavyofahamu mie ni nia yako muhimu, nia yangu ni kwa ladha na harufu kidogo sio kulewa na kipimo nilichoweka mimi ni kidogo sana haitomlewesha mtu , kila mtu anauwamuzi wake x shukran
@ummikassim787
@ummikassim787 5 жыл бұрын
Nashkuru sana Daa.Mungu akupe umri mrefu upte kutfunza zaidi
@mozasuleiman2753
@mozasuleiman2753 6 жыл бұрын
Alhamdulilah siku zote nikifanya donuts zanisumbuwa lakini nimejaribu kama hivi Allah amejaalia zimekuwa Allah akulipe kheri nyingi sanaaa
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 6 жыл бұрын
Shukran, Amin
@farhatmohd1017
@farhatmohd1017 3 жыл бұрын
@@aromaofzanzibar mpnz je kama hutumii mafuta unaweza kuoka ama haiwezekan😔
@luluabdulaziz8556
@luluabdulaziz8556 2 жыл бұрын
MashaAllah my love Allah akupe more mapishi mimi nakupend sana
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 2 жыл бұрын
Shukran Amin
@salhasaidsalhasaid8346
@salhasaidsalhasaid8346 3 жыл бұрын
Mashaallah nice.nauliza kungumanga inasaidia nini kwa chakula
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 3 жыл бұрын
Kwa pishi hili ni harufu na ladha
@nailamohamed206
@nailamohamed206 7 ай бұрын
Asante kipenzi kwa kutufundisha mapishi
@maryamkhatau9445
@maryamkhatau9445 4 жыл бұрын
Allah akupe maisha marefu yenye manufaa tele hakika nafaida Sana nikitatazika na Jambo nikija kwako nalikuwa nakupenda Sana kwa ajili ya Allah stay safe in shaa Allah🥰🥰🥰😘
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 4 жыл бұрын
Amin, kwetu sote dear. Thanks
@wardatiddi1977
@wardatiddi1977 7 жыл бұрын
nilikuwa sijuwi kama donas zinatiwa mayai ndio leo nimeona shukurani sana habity 🌹🌹🌹
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 7 жыл бұрын
Kuna recipe za aina nyingi inategemea
@saa9890
@saa9890 7 жыл бұрын
shukran saana just discovered aroma of Zanzibar. i love the cooking and your instructions. easy to follow. Allah bless you.
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 7 жыл бұрын
Shukran, karibu
@nuruali9608
@nuruali9608 6 жыл бұрын
Mwenyezmungu akuhifadhi ww na Familia yako kwa elmu unayotoa tunafaidika sana sana
@iliasasalum5578
@iliasasalum5578 3 жыл бұрын
Ni lazima kuweka maziwa nataka kujua
@joycedenna7546
@joycedenna7546 7 жыл бұрын
asante sana,mola akuongezee miaka ya kuishi duniani.
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 7 жыл бұрын
Shukran, Amin
@princessluizy9255
@princessluizy9255 7 жыл бұрын
+Aroma of Zanzibar vikombe vitatu mda mwengeni nakua sielew inamaana in nusu na robo sorry
@fatmass.7519
@fatmass.7519 7 жыл бұрын
mashallah napenda mapishi yako mungu akupe siha na afya
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 7 жыл бұрын
Amin
@abuwisaaam5401
@abuwisaaam5401 6 жыл бұрын
MaaShaa Allah Shukran kwa recipe ya Donuts. JazakaLlah Kheir. MaaShaa Allah zilikua nzuriiiiii. Hataa nafikiria kufanya tena. Shukran Dear
@shifahabdallah5834
@shifahabdallah5834 Ай бұрын
If 1kg unga vipimo niaje. Masha Allah thanks for sharing 😊
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar Ай бұрын
1 kg Unga ni 8 cups
@maimunahassan8928
@maimunahassan8928 4 жыл бұрын
Maashaaa Allah shukran kwa kunifunza ujuzi mzurii daa
@fjmmso3654
@fjmmso3654 7 жыл бұрын
mashallah nice..anty siagi tuyayushe ndo tupime au tupime mwanzo kisha ndo tuyayushe.thanks alot kutuletea mapishi ya donasi😍
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 7 жыл бұрын
Yayusha halafu pima
@fjmmso3654
@fjmmso3654 7 жыл бұрын
Aroma of Zanzibar mashallah nimefanya donasi tamu nzuri sanaa zina ladha shukran sana😊
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 7 жыл бұрын
+um_ imaad Mashallah nimefurahi kusikia umrxipenda shukran kwa kunijulisha
@Umz4yd
@Umz4yd 7 жыл бұрын
Ahsante sana sana kwa kukubali ombi.. mashallah umerahisisha wallah... kusema ukweli mapishi yako ni rahisi kuyafuata.. My friends wanaume wanakusifia
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 7 жыл бұрын
Shukran, ni wajib
@alzun3810
@alzun3810 4 жыл бұрын
Aslam aleikum warahmatullah wabarakatuhu kijiko ni cha kula ama mchuzi
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 4 жыл бұрын
Kijiko Cha chakula
@fatmabaya850
@fatmabaya850 6 жыл бұрын
Naomba kuuliza tena dadaa kama huna siag waeza tumia samli
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 6 жыл бұрын
Unaweza kutumia lakini Samli ina ladha tofauti na siagi
@fatmabaya850
@fatmabaya850 6 жыл бұрын
Aroma of Zanzibar ooooh shukran sanaa.dadaa mungu akulipe kila lakher aibarki kaz yako
@angelaball8204
@angelaball8204 5 жыл бұрын
Mashallah. Umenikumbusha tulivokuwa tukifanya vyakula vikavu kuchukua skuli ya boarding😊
@ramilimohammed5265
@ramilimohammed5265 7 жыл бұрын
Aroma of zanzibar Asante anty navipenda sn jaman mashallakh
@lutfiaaziz1144
@lutfiaaziz1144 2 жыл бұрын
Ma shaAllah kila ninapopika donat ,nimependa recepe yako Allah bless u
@aisharashid6756
@aisharashid6756 6 жыл бұрын
Nimependa sana tu....Allah akuzidishie.
@malikiakimwera9524
@malikiakimwera9524 6 жыл бұрын
nakupenda sana Dada kwani nilikuwa sijuwi kupika keki lakini sasa hivi napika nakupenda sana ila naomba no. yako
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 6 жыл бұрын
Ahsante dear tafadhali niletee email aromaofzanzibar@gmail.com mimi siwezi kuandika nbr yangu hapa
@malikiakimwera9524
@malikiakimwera9524 6 жыл бұрын
Axante nimekuelewa
@abdisingh3387
@abdisingh3387 6 жыл бұрын
Awwwww.....nimejaribu wallaiy imekua shukra anty God bless u
@ramilimohammed5265
@ramilimohammed5265 7 жыл бұрын
Aroma of zanzibar Asante nimejaribu juz km vipimo vyako bs alkhamdulilakh but zilikua nene kidogo km za timhotons lkn tamu izo zako zimezid
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 7 жыл бұрын
Shukran, nimefurahi kujua kama umezienda x much love
@mesalimrashid6312
@mesalimrashid6312 5 жыл бұрын
Masha allah jazayako iko kwa allah .Umenifanya nimekua mama wakueshimika kwa mapishi yako .Unafahamika vizuri huna hiyana mola azidi kukupa afya .
@rehemabakari7194
@rehemabakari7194 4 жыл бұрын
😙
@nunumuhammad1906
@nunumuhammad1906 7 жыл бұрын
wowwwww asante sana aroma of zanzibar nitajaribu hayo mapishi . lkn nauliza sukari unapima vp sijaona kipimo chake
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 7 жыл бұрын
Sukari ya unga ya mwisho kisia tu kiasi kikombe na robo
@iforgotmynametoday681
@iforgotmynametoday681 7 жыл бұрын
shukran aunty Allah akubarik. ni lazima kutia kungu manga au silazima
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 7 жыл бұрын
Kukumanga inatia hiyo ladha ya donas
@annachacha4538
@annachacha4538 2 жыл бұрын
I'm happy of this ☺ 😊 so I can come back
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 2 жыл бұрын
Most welcome
@nunumuhammad1906
@nunumuhammad1906 7 жыл бұрын
assalamu aleykum antie recipe nzuri sana nimejaribu leo kuzipika mashallah zimetokea vizuri saaana asante sana kwa recipe
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 7 жыл бұрын
Shukran, ahsante wa kwa kunijulisha nimefurahi sana kujua umezipenda x
@sharifamohamed5408
@sharifamohamed5408 5 жыл бұрын
Donasi nzuri mashaallah. Waeza Tia blueband kama huna siagi
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 5 жыл бұрын
Unaweza kutumia
@fatimasaid4193
@fatimasaid4193 7 жыл бұрын
asalamu alkm mngu akuhifadhi ningeomba no zako mashallah mashallah
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 7 жыл бұрын
Shukran, samahani sitoi number zangu humu niletee email aromaofzanzibar@gmail.com au utanipata FB kwa jina la Fathiya Ismail Karriem
@ramilimohammed5265
@ramilimohammed5265 7 жыл бұрын
Aroma of zanzibar mm nasubir kwa hamu Wali was asumini
@rehemayusuph9805
@rehemayusuph9805 2 жыл бұрын
Aslm Alykm Mzima mrembo Sasa minimized Nataka vipimo vya Dona national 110 Naomba nijibu
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 2 жыл бұрын
Aleikum musalaam sijafaham swali lako
@rosemarymunyi5035
@rosemarymunyi5035 7 жыл бұрын
Thank you mama now i can cook for my biriyan and mandazi blessed day.
@mneneijasmin1493
@mneneijasmin1493 5 жыл бұрын
Rosemary Munyi
@happynicolaus6321
@happynicolaus6321 7 жыл бұрын
Dah asante nilisubiri kwa hamu mungu akulinde mamy kwani tunakupenda sana
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 7 жыл бұрын
Shukran , Amin
@husnashariff4542
@husnashariff4542 7 жыл бұрын
Aroma of Zanzibar asante dads tu oneshe kuku pak
@jenijeni9785
@jenijeni9785 7 жыл бұрын
Aroma of Zanzibar a.aleykum...huku nilipo India naona hamna siagi he naeweza kutumia samli yaan hii unsalted butter ya kupikia ambayo ile ya blocks...please nijibu..asante
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 7 жыл бұрын
Jeni samahani hii comment ndio kwanza naiona , mie hua najibu kwa haraka , unsalted butter ni butter ya kupikia vitu kama cake sio samli. Samli ni clarified butter. Unaweza kutumia
@sgfdhaikuhusu6086
@sgfdhaikuhusu6086 4 жыл бұрын
Mashallahh uko kinyumbani zaid kwa ungo
@fatmasaleh1067
@fatmasaleh1067 4 жыл бұрын
Mashallah habibty nimependa donasi zako
@zuhurabini660
@zuhurabini660 3 жыл бұрын
MaShallah upo vzr
@rawhiyagalby7693
@rawhiyagalby7693 7 жыл бұрын
shukraan ukhty.. na sie tunakupenda sanaaaaaaaa
@betinakima296
@betinakima296 7 жыл бұрын
wooow asante sana👏👏👏👏nitaipika.
@nailamohamed206
@nailamohamed206 Жыл бұрын
Asalam aleykum Hali yako Yani mie napenda jinsi unavyofundisha taratibu napenda sana nakufatilia pia
@mariamhamis4087
@mariamhamis4087 7 жыл бұрын
Asante sana Dada kwa kutufundisha aina ya mapishi mbalimbali
@rachellyimo6426
@rachellyimo6426 Жыл бұрын
Asante pishi zuri sana
@linguafranca2923
@linguafranca2923 7 жыл бұрын
I got your email.Am trying these donuts today.Sijawahi kula donuts za baking powder, so hopefully I will like them.They look easy which is great!.First time making donuts za aina yoyote.Thanks
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 7 жыл бұрын
I hope you like them, kuna donuts za aina nyingi so give it a try and let me know what you think of them . Thanks for stopping by
@neematarimo3253
@neematarimo3253 4 жыл бұрын
Nimependa mno hongera napika sasa hivi dada naomba uniandikie recipe love you
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 4 жыл бұрын
Nimeandika viungo vyote hapo chini kwenye description box
@jassimhassan7511
@jassimhassan7511 2 жыл бұрын
Salam umetumia kijiko kipi shukran
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 2 жыл бұрын
Cha chai
@jassimhassan7511
@jassimhassan7511 2 жыл бұрын
@@aromaofzanzibar but kwa video maziwa na siagi inaonekana nyingi ama nimejaribu kupima 3 tbsp inaonekana kidogo
@elizaalfredy9239
@elizaalfredy9239 4 жыл бұрын
Mama vikombe viwili no sawa na kg ngapi
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 4 жыл бұрын
Ni grams 250 tu , yaani robo kilo
@elizaalfredy9239
@elizaalfredy9239 4 жыл бұрын
Asante
@mumtazdoshi7818
@mumtazdoshi7818 7 жыл бұрын
aroma ya zanzibar I am so happy to ear kisuali receipy pls can u make one time rice of coconut thanks my name is Mona I love you
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 7 жыл бұрын
Thank you for stopping by Mona, Inshallah I will make coconut rice specially for you dear
@queenbizo2899
@queenbizo2899 6 жыл бұрын
Aslm alykm Aroma of zanzibar naomba pishi la donuts kwa kutumia mashine yake
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 6 жыл бұрын
Mariam Salim Alkm salaam , unaweza ktumia receipe yoyote ile lakini kuna baadhi ya machine Zina receipe maalum, mimi sijui una machine gani
@queenbizo2899
@queenbizo2899 6 жыл бұрын
Aroma of Zanzibar samahani ila umenichanganya kidogo naona haiwezi kuwa nitatumia any receipe kwa sababu kama hizo donuts hapo utafanya donge na hizo nnazo ulizia wakoroga km ji uji den ndio wauchota ukiweka kwa mashine bt pa kuanzia ndio sipafahamu
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 6 жыл бұрын
Mariam Salim nafaham lakini kila machine Zina receipe zake mie situmii mchanganyiko was aina hiyo kwasababu situmii machine
@queenbizo2899
@queenbizo2899 6 жыл бұрын
Asante sana kwa mda wako
@papricahbeauty2136
@papricahbeauty2136 6 жыл бұрын
Mie saut na lafudh yako tu Dada....nakupendaje
@mashaallahtabarakallahahma8269
@mashaallahtabarakallahahma8269 4 жыл бұрын
shukran sana hiyo ndio enyewe
@ahlamverynice.3605
@ahlamverynice.3605 7 жыл бұрын
shukran habibty Kwa kutupenda na kutujali asante sana Allah akuweke miyaka 1000😚😚😚
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 7 жыл бұрын
Shukran mami kwa dua njema lakini hiyo miaka 1000 itabidi uje kunipikia tena ;) ;)
@halimamasudi8301
@halimamasudi8301 7 жыл бұрын
Aroma of Zanzibar Mungu akueke ,daa tuzdi kuelimishana
@bintsalimalbimany5340
@bintsalimalbimany5340 5 жыл бұрын
@@aromaofzanzibar Ha ha ha maskin Allah atupe umr wa sah na fia bas miaka mia simchezo rabi atupe mwisho mwema
@seifkhanfar5476
@seifkhanfar5476 3 жыл бұрын
Weye uyo
@mwanatumuhassan3414
@mwanatumuhassan3414 5 жыл бұрын
Asante sana..kungu manga inasaidia nini
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 5 жыл бұрын
ladha na harufu
@catsandcraft4108
@catsandcraft4108 7 жыл бұрын
ماشاءالله تبارك الله 😍 تسلم يدك 👍🌷
@Layla-vi8yx
@Layla-vi8yx 7 жыл бұрын
MashaAllah swry..May God keep uu. am learning alots😍😍😍😍
@michellembai9520
@michellembai9520 4 жыл бұрын
Mashallah...beautiful and yummy 🤤 🤤..I love your cooking you can make someone who doesn’t like cooking start cooking...And wherever you follow the procedure once you become perfect 💯
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 4 жыл бұрын
Thank you so much
@ummusahili6399
@ummusahili6399 7 жыл бұрын
Assalam alaykum warhmatullah wabarakatu Shukran kwa kutufunza mengi Ila naomba ya kiswahili maswali. Yawe kwa kiswahili ili tufaidike sote naomba shawarma na souce yake Shukran
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 7 жыл бұрын
Alkm salaam , sijafaham comment yako umekusudia nini maswali ya kiswahili
@ummusahili6399
@ummusahili6399 7 жыл бұрын
Samahani mapishi ya kiswahili basi waulizaji maswali lazima wanajuwa kiswahili kwahiyo wajitahidi kuuliza maswali Yao yawe kiswahili ili tufaidike sote wengine hatujui kizungu tusameheni wapenzi
@wardatiddi1977
@wardatiddi1977 7 жыл бұрын
hii imeipenda itaifanye leo nazijuwa napika ila nitajaribu na hii ili nione inatokeaje mapishi yako mazuri sana
@biommy6700
@biommy6700 7 жыл бұрын
Twakupenda zaidi...kwa kutujali
@aminaakram9358
@aminaakram9358 4 жыл бұрын
Very nice mashaallah
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 4 жыл бұрын
Many many thanks
@zahraalbaloochi2841
@zahraalbaloochi2841 4 жыл бұрын
Mashaallah sister vyakula vyako vyote pafect👌
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 4 жыл бұрын
Shukran dear
@fairouznaaman9737
@fairouznaaman9737 6 жыл бұрын
Pizza yako yummy shukraan. Allah akupe Afya.
@mariamhamed5889
@mariamhamed5889 4 жыл бұрын
Asante kwa mapishi
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 4 жыл бұрын
Karibu
@mimahsaid2326
@mimahsaid2326 6 жыл бұрын
hamira sio lazimaa uwekee
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 6 жыл бұрын
Hizi sio donut za hamira ni tofauti
@mauwam3627
@mauwam3627 7 жыл бұрын
masha allah sister me nataka haf cake ufundishe
@abudebinabri1287
@abudebinabri1287 7 жыл бұрын
asante mapishi ysko yote mazuri mungu akuhifadhi
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 7 жыл бұрын
Shukran, Amin
@bintsalimalbimany5340
@bintsalimalbimany5340 5 жыл бұрын
Ammin
@aishakassim8964
@aishakassim8964 6 жыл бұрын
Ma shaa Allah..nimejaribu ur recipe...isipokuwa nimepunguza unga kidogo...Ma shaa Allah ziko poa sana..mpka naulizwa km nimebake instead of frying..kachori ndio zilinibwaga
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 6 жыл бұрын
Hongera kwa jitihada zako kwa donas, pole kwa kachori jee tatizo ni wapi
@aishakassim8964
@aishakassim8964 6 жыл бұрын
Aroma of Zanzibar nikizichoma wakati wakugeuza zaachana mafuta yaingia ndani...na zitakazo geuka vizury ndani haziridhishi..ziko maji maji na sikuziacha na maji
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 6 жыл бұрын
Kama zinaachana hivyo itakua ni viazi vina maji bado, kuna baina ya viazi sio vizuri kwa mapishi ya kachori viazi vyenyewe vinakua na maji sana
@aishakassim8964
@aishakassim8964 6 жыл бұрын
Aroma of Zanzibar ishakua tabu...sasa ntaweza kuvitafautisha vipi
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 6 жыл бұрын
Aisha Kassim kweli nitabu lakini ukichemsha vinakua kidogo transparent unavihisi jasa vina maji
@ummudulla8576
@ummudulla8576 7 жыл бұрын
wallahi ntakuwa mkosefu wa fadhila nikipita bila kuachia comments. .. tnx so much darling kwa kutosogezea karibu vitamtam leo nimezipika donasi mashaAllah so yummy 😋😋😋 mzee wangu kazipenda hivi kesho nimeambiwa nipike tena 😅😅😅😅 tnx love u😍😍😍😍
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 7 жыл бұрын
You are welcome dear , nimefurahi umezipenda donuts and going for a second round x thanks for your support dear
@azzamahamdu7039
@azzamahamdu7039 4 жыл бұрын
Lulu na wema wajifunze jinsi gan ww unatufundsha kwa ufasaha
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 4 жыл бұрын
Ahsante sana, wale ni wasanii sura xao ni muhimu kuliko mapishi
@azzamahamdu7039
@azzamahamdu7039 4 жыл бұрын
@@aromaofzanzibar umeonaeee wanaleta uzur kwenye kazi
@halimazubeir1114
@halimazubeir1114 4 жыл бұрын
Allah akuweke wallah tunaenjoy recipe zako love u sanaa
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 4 жыл бұрын
shukran, amin
@halimazubeir1114
@halimazubeir1114 4 жыл бұрын
@@aromaofzanzibar nikitaka ziwe kama cake nafanyaje!?
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 4 жыл бұрын
@@halimazubeir1114 donut za cake ni recipe tofauti huwezi kutumia hii
@halimaburhan1952
@halimaburhan1952 5 ай бұрын
MashaAllah
@shelifamweta4690
@shelifamweta4690 4 жыл бұрын
Maa shaa Allaah shukraan... Je kikombe ulichopimia nk kipi?
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 4 жыл бұрын
Kikombe cha kupimia keki
@kadijahajali3918
@kadijahajali3918 2 жыл бұрын
NZURI MASHAAALAH
@lamermaxx3439
@lamermaxx3439 6 жыл бұрын
I really love your voice my dear, shukran kwa kututoa ujingani :*
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 6 жыл бұрын
Shukran, si ujinga dear..elimu haina mwisho
@veerapaveeru6458
@veerapaveeru6458 4 жыл бұрын
Hongera mashallaa
@aggieashindu3470
@aggieashindu3470 4 жыл бұрын
Can I use tui instead of milk..love your recepies...I used it basic cake recipe,it was 😋😋
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 4 жыл бұрын
Tui might not give you cake texture but its not a bad idea
@ummymakboul6901
@ummymakboul6901 4 жыл бұрын
Kwaiy izi huwez kutia hamira
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 4 жыл бұрын
Hizi sio za hamira
@aslyshiazjamaljamal9563
@aslyshiazjamaljamal9563 7 жыл бұрын
yaani na maanisha you write down the receipe fr the donats hope umeelewa
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 7 жыл бұрын
Ingredients and measurement zipo description box hapo chini
@alzun3810
@alzun3810 3 жыл бұрын
Asalam aleikum warahmatullah wabarakatuhu habbty
@tumaomar8999
@tumaomar8999 7 жыл бұрын
shukran sister najifunza mengi kwako
@jkizondoswahilibites434
@jkizondoswahilibites434 5 жыл бұрын
Kwanini unatumia kungu manga? However I truly love your cooking and simplicity in it MashaAllah. I tried going by your steps za mkate wa mayai ukawa ajab na In Shaa Allah ntazijaribu na donasi. JazakaAllahu kheir
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 5 жыл бұрын
Kungumanga its mostly for harufu ni kitu tunatumia tangu when I was young, you can always omit it
@his-queenaisha7086
@his-queenaisha7086 6 жыл бұрын
Shukran khabbty kesho inshaallah nitatengeneza
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 6 жыл бұрын
Inshallah
@tamhidamohamed6057
@tamhidamohamed6057 Жыл бұрын
Mm mbna hazijaja
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar Жыл бұрын
vipi hazijaja sijafahan
@floshkitchen3061
@floshkitchen3061 7 жыл бұрын
I love you Fathiya.ahsante kwa ku share nasi ur recipe
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 7 жыл бұрын
Love you back Flora, thanks for your support dear
@ummehaniyusuf687
@ummehaniyusuf687 7 жыл бұрын
Hello! love ur receipes☺ it would help if you could also give measurements in grams so that v get precise measurements. thank u
@millkhamis6608
@millkhamis6608 6 жыл бұрын
Asante mamy tunajifunza mengi
@his-queenaisha7086
@his-queenaisha7086 6 жыл бұрын
Je kama hauna kungumanga daa
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 6 жыл бұрын
Sio lazima tia mdalasini
@his-queenaisha7086
@his-queenaisha7086 6 жыл бұрын
@@aromaofzanzibar shukran
@yusraswaleh2639
@yusraswaleh2639 7 жыл бұрын
a aleikom unaeza kutumia mafuta aina gani zaidi ya siyagi
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 7 жыл бұрын
Yusra hakika sijawahi kutumia mafuta kwa upishi huu, jaribu mafuta yalokua mepesi na hayana harufu kama sunflower au canola angalia vipi utapenda
@yusraswaleh2639
@yusraswaleh2639 7 жыл бұрын
+Aroma of Zanzibar najaribu hii zimekua nzuri sana asante ma dear.
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 7 жыл бұрын
You are welcome, mambo mazuri hongera
@hasaniali1996
@hasaniali1996 5 жыл бұрын
Pika haragwe la skari
@ashuudama8034
@ashuudama8034 5 жыл бұрын
Alhamdhullilah nilizijaribu Ma Shaa Allah kutumia vipimo vyako...Ila shida sasa nilipoongeza vipimo zawa ngumu sjui nimekosea wapi, maana km mayai 8,siagi vijiko 8,maziwa 8, unga hivyo hvyo...nafaa kuongeza nn?
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 5 жыл бұрын
Pole sana Unaweza kuoongeza sizagi zaidi vitakua vilaini kidogo lakini usikande sana
@ashuudama8034
@ashuudama8034 5 жыл бұрын
@@aromaofzanzibar shukran
@ashahaji4936
@ashahaji4936 7 жыл бұрын
Mimi naomba unifahamisha vileja vya njugu sijui jina jengine km nimekosea plse my
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 7 жыл бұрын
Sorry habibty mie sijawahi kufanya vileja vya nyjugu
@ummuasmaa2255
@ummuasmaa2255 6 жыл бұрын
Ahsante mpenzi😘😘😘😘
@saadahaji9790
@saadahaji9790 6 жыл бұрын
Samahani dada hv una kua unaweka hamira
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 6 жыл бұрын
Saada Haji mbona nimetaja viungo vyote nilivyotia humo , dikutia hamira
@alawiyahtimimy5202
@alawiyahtimimy5202 6 жыл бұрын
Na siagi iwe moto ama
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 6 жыл бұрын
Alawiyah Timimy siagi si moto, tumia siagi ya kupikia sio ya kulia
@ramilimohammed5265
@ramilimohammed5265 7 жыл бұрын
Aroma of zanzibar aaaàah jaman mm napenda sn vikoleee nitaenda japo kwa jirani hahaha Sante anty
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 7 жыл бұрын
Haha....
@zainabrishad4650
@zainabrishad4650 7 жыл бұрын
Aroma of Zanzibar Shukran habibti kwa vitebwe sasa tufundishe mofa na vitumbuwa🙏
@husnashariff4542
@husnashariff4542 7 жыл бұрын
Aroma of Zanzibar asallam alaikum thanks for your receipe people this days dont share the receipe this reminds us when we left tanzania u have done a great job husna from uk
@aromaofzanzibar
@aromaofzanzibar 7 жыл бұрын
Husna Shariff Thank you dear for your support, nafaham sana hayo mambo ya kushare , I love sharing hizi recipe zi sife kufichwa kwenye vumbi lol
Will A Basketball Boat Hold My Weight?
00:30
MrBeast
Рет қаралды 121 МЛН
А что бы ты сделал? @LimbLossBoss
00:17
История одного вокалиста
Рет қаралды 11 МЛН
Mom had to stand up for the whole family!❤️😍😁
00:39
KAIMATI - KISWAHILI
6:29
Aroma Of Zanzibar & Beyond
Рет қаралды 604 М.
Donut Recipe | Homemade Donut Recipe
6:32
Spicy Foodz
Рет қаралды 10 МЛН
VISHETI VYA NO 8/ COCONUT DONUTS
8:08
CHEF LATY
Рет қаралды 3,4 М.
SWAHILI DOUGHNUTS/DONAZ
6:39
queenshibas kitchen
Рет қаралды 16 М.
Mapishi ya mini doughnuts|Mini doughnuts recipe
6:30
Shuna's Kitchen
Рет қаралды 333 М.
Amazing Cake Decorating Technique | Making a Variety of Cakes - Korean Street Food
27:18
Best Donuts 🍩 Recipe. Taamu and very easy to make.
8:04
Malkia Foods
Рет қаралды 11 М.
Maandazi - Kiswahili
13:34
Aroma Of Zanzibar & Beyond
Рет қаралды 778 М.
Will A Basketball Boat Hold My Weight?
00:30
MrBeast
Рет қаралды 121 МЛН