leo nimejarb kupika na mmi ssa nasubir muda wa adhan asante saan kwa mapish yako Allah akupe afya
@aromaofzanzibar7 жыл бұрын
Hongera, amin kwetu sote
@nawalsultan3397 жыл бұрын
mashallah nimejifuza vyakula vingi kupitia wewe mama shukran mola akujaloe uwe katika kiumbe utaenda peponi i read love how you cook your food
@aromaofzanzibar7 жыл бұрын
Shukran habibty , amin kwetu sote tukutane huko peponi ya rabb laalamin
@nawalsultan3397 жыл бұрын
Aroma of Zanzibar amin yarabi sauti yako tuu tunajua una asili ya kiarabu mashallah sio mchoyo alhamdulilah niliwahi kumuliza mtu ramadhani hii vipi unapika shurba na alikataa kuniambia ila kupitia wewe alhamdulilah tunajua vingi tusovijua Allah atakupa kwa kutuelimisha kwa mapisho😘😘😘
@aromaofzanzibar7 жыл бұрын
Shukran habibty mie najua watu wengi kama hivyo hawataki kutoa recipe sifaham kwa nini yaani si kama mashindano kila mtu anapika kwake na familia yake sioni sababu . Sasa unajua pakutafuta, inshallah zitakuja zaidi kidogo kidog
@زوينةالحارثية6 жыл бұрын
Asanta sana kwa mapishi taking ya asli. Lakani dada gungu manga heyday kutumiya kwa kula imakatazwa learn shriya ya kiislamu kwajili ikitumewa kwa winigi inalewesha. Nakushukuru kwa ktufundisha mapishi mazuri . Jazaki lahu khairan
@aromaofzanzibar6 жыл бұрын
Nafaham kuhusu kungu manga na kila mashekhe wansaema vyao na ni kweli kwa wingi inalewesha. Na ninavyofahamu mie ni nia yako muhimu, nia yangu ni kwa ladha na harufu kidogo sio kulewa na kipimo nilichoweka mimi ni kidogo sana haitomlewesha mtu , kila mtu anauwamuzi wake x shukran
@ummikassim7875 жыл бұрын
Nashkuru sana Daa.Mungu akupe umri mrefu upte kutfunza zaidi
@mozasuleiman27536 жыл бұрын
Alhamdulilah siku zote nikifanya donuts zanisumbuwa lakini nimejaribu kama hivi Allah amejaalia zimekuwa Allah akulipe kheri nyingi sanaaa
@aromaofzanzibar6 жыл бұрын
Shukran, Amin
@farhatmohd10173 жыл бұрын
@@aromaofzanzibar mpnz je kama hutumii mafuta unaweza kuoka ama haiwezekan😔
@luluabdulaziz85562 жыл бұрын
MashaAllah my love Allah akupe more mapishi mimi nakupend sana
@aromaofzanzibar2 жыл бұрын
Shukran Amin
@salhasaidsalhasaid83463 жыл бұрын
Mashaallah nice.nauliza kungumanga inasaidia nini kwa chakula
@aromaofzanzibar3 жыл бұрын
Kwa pishi hili ni harufu na ladha
@nailamohamed2067 ай бұрын
Asante kipenzi kwa kutufundisha mapishi
@maryamkhatau94454 жыл бұрын
Allah akupe maisha marefu yenye manufaa tele hakika nafaida Sana nikitatazika na Jambo nikija kwako nalikuwa nakupenda Sana kwa ajili ya Allah stay safe in shaa Allah🥰🥰🥰😘
@aromaofzanzibar4 жыл бұрын
Amin, kwetu sote dear. Thanks
@wardatiddi19777 жыл бұрын
nilikuwa sijuwi kama donas zinatiwa mayai ndio leo nimeona shukurani sana habity 🌹🌹🌹
@aromaofzanzibar7 жыл бұрын
Kuna recipe za aina nyingi inategemea
@saa98907 жыл бұрын
shukran saana just discovered aroma of Zanzibar. i love the cooking and your instructions. easy to follow. Allah bless you.
@aromaofzanzibar7 жыл бұрын
Shukran, karibu
@nuruali96086 жыл бұрын
Mwenyezmungu akuhifadhi ww na Familia yako kwa elmu unayotoa tunafaidika sana sana
@iliasasalum55783 жыл бұрын
Ni lazima kuweka maziwa nataka kujua
@joycedenna75467 жыл бұрын
asante sana,mola akuongezee miaka ya kuishi duniani.
@aromaofzanzibar7 жыл бұрын
Shukran, Amin
@princessluizy92557 жыл бұрын
+Aroma of Zanzibar vikombe vitatu mda mwengeni nakua sielew inamaana in nusu na robo sorry
@fatmass.75197 жыл бұрын
mashallah napenda mapishi yako mungu akupe siha na afya
@aromaofzanzibar7 жыл бұрын
Amin
@abuwisaaam54016 жыл бұрын
MaaShaa Allah Shukran kwa recipe ya Donuts. JazakaLlah Kheir. MaaShaa Allah zilikua nzuriiiiii. Hataa nafikiria kufanya tena. Shukran Dear
@shifahabdallah5834Ай бұрын
If 1kg unga vipimo niaje. Masha Allah thanks for sharing 😊
@aromaofzanzibarАй бұрын
1 kg Unga ni 8 cups
@maimunahassan89284 жыл бұрын
Maashaaa Allah shukran kwa kunifunza ujuzi mzurii daa
@fjmmso36547 жыл бұрын
mashallah nice..anty siagi tuyayushe ndo tupime au tupime mwanzo kisha ndo tuyayushe.thanks alot kutuletea mapishi ya donasi😍
@aromaofzanzibar7 жыл бұрын
Yayusha halafu pima
@fjmmso36547 жыл бұрын
Aroma of Zanzibar mashallah nimefanya donasi tamu nzuri sanaa zina ladha shukran sana😊
@aromaofzanzibar7 жыл бұрын
+um_ imaad Mashallah nimefurahi kusikia umrxipenda shukran kwa kunijulisha
@Umz4yd7 жыл бұрын
Ahsante sana sana kwa kukubali ombi.. mashallah umerahisisha wallah... kusema ukweli mapishi yako ni rahisi kuyafuata.. My friends wanaume wanakusifia
@aromaofzanzibar7 жыл бұрын
Shukran, ni wajib
@alzun38104 жыл бұрын
Aslam aleikum warahmatullah wabarakatuhu kijiko ni cha kula ama mchuzi
@aromaofzanzibar4 жыл бұрын
Kijiko Cha chakula
@fatmabaya8506 жыл бұрын
Naomba kuuliza tena dadaa kama huna siag waeza tumia samli
@aromaofzanzibar6 жыл бұрын
Unaweza kutumia lakini Samli ina ladha tofauti na siagi
@fatmabaya8506 жыл бұрын
Aroma of Zanzibar ooooh shukran sanaa.dadaa mungu akulipe kila lakher aibarki kaz yako
@angelaball82045 жыл бұрын
Mashallah. Umenikumbusha tulivokuwa tukifanya vyakula vikavu kuchukua skuli ya boarding😊
@ramilimohammed52657 жыл бұрын
Aroma of zanzibar Asante anty navipenda sn jaman mashallakh
@lutfiaaziz11442 жыл бұрын
Ma shaAllah kila ninapopika donat ,nimependa recepe yako Allah bless u
@aisharashid67566 жыл бұрын
Nimependa sana tu....Allah akuzidishie.
@malikiakimwera95246 жыл бұрын
nakupenda sana Dada kwani nilikuwa sijuwi kupika keki lakini sasa hivi napika nakupenda sana ila naomba no. yako
Awwwww.....nimejaribu wallaiy imekua shukra anty God bless u
@ramilimohammed52657 жыл бұрын
Aroma of zanzibar Asante nimejaribu juz km vipimo vyako bs alkhamdulilakh but zilikua nene kidogo km za timhotons lkn tamu izo zako zimezid
@aromaofzanzibar7 жыл бұрын
Shukran, nimefurahi kujua kama umezienda x much love
@mesalimrashid63125 жыл бұрын
Masha allah jazayako iko kwa allah .Umenifanya nimekua mama wakueshimika kwa mapishi yako .Unafahamika vizuri huna hiyana mola azidi kukupa afya .
@rehemabakari71944 жыл бұрын
😙
@nunumuhammad19067 жыл бұрын
wowwwww asante sana aroma of zanzibar nitajaribu hayo mapishi . lkn nauliza sukari unapima vp sijaona kipimo chake
@aromaofzanzibar7 жыл бұрын
Sukari ya unga ya mwisho kisia tu kiasi kikombe na robo
@iforgotmynametoday6817 жыл бұрын
shukran aunty Allah akubarik. ni lazima kutia kungu manga au silazima
@aromaofzanzibar7 жыл бұрын
Kukumanga inatia hiyo ladha ya donas
@annachacha45382 жыл бұрын
I'm happy of this ☺ 😊 so I can come back
@aromaofzanzibar2 жыл бұрын
Most welcome
@nunumuhammad19067 жыл бұрын
assalamu aleykum antie recipe nzuri sana nimejaribu leo kuzipika mashallah zimetokea vizuri saaana asante sana kwa recipe
@aromaofzanzibar7 жыл бұрын
Shukran, ahsante wa kwa kunijulisha nimefurahi sana kujua umezipenda x
@sharifamohamed54085 жыл бұрын
Donasi nzuri mashaallah. Waeza Tia blueband kama huna siagi
@aromaofzanzibar5 жыл бұрын
Unaweza kutumia
@fatimasaid41937 жыл бұрын
asalamu alkm mngu akuhifadhi ningeomba no zako mashallah mashallah
@aromaofzanzibar7 жыл бұрын
Shukran, samahani sitoi number zangu humu niletee email aromaofzanzibar@gmail.com au utanipata FB kwa jina la Fathiya Ismail Karriem
@ramilimohammed52657 жыл бұрын
Aroma of zanzibar mm nasubir kwa hamu Wali was asumini
@rehemayusuph98052 жыл бұрын
Aslm Alykm Mzima mrembo Sasa minimized Nataka vipimo vya Dona national 110 Naomba nijibu
@aromaofzanzibar2 жыл бұрын
Aleikum musalaam sijafaham swali lako
@rosemarymunyi50357 жыл бұрын
Thank you mama now i can cook for my biriyan and mandazi blessed day.
@mneneijasmin14935 жыл бұрын
Rosemary Munyi
@happynicolaus63217 жыл бұрын
Dah asante nilisubiri kwa hamu mungu akulinde mamy kwani tunakupenda sana
@aromaofzanzibar7 жыл бұрын
Shukran , Amin
@husnashariff45427 жыл бұрын
Aroma of Zanzibar asante dads tu oneshe kuku pak
@jenijeni97857 жыл бұрын
Aroma of Zanzibar a.aleykum...huku nilipo India naona hamna siagi he naeweza kutumia samli yaan hii unsalted butter ya kupikia ambayo ile ya blocks...please nijibu..asante
@aromaofzanzibar7 жыл бұрын
Jeni samahani hii comment ndio kwanza naiona , mie hua najibu kwa haraka , unsalted butter ni butter ya kupikia vitu kama cake sio samli. Samli ni clarified butter. Unaweza kutumia
@sgfdhaikuhusu60864 жыл бұрын
Mashallahh uko kinyumbani zaid kwa ungo
@fatmasaleh10674 жыл бұрын
Mashallah habibty nimependa donasi zako
@zuhurabini6603 жыл бұрын
MaShallah upo vzr
@rawhiyagalby76937 жыл бұрын
shukraan ukhty.. na sie tunakupenda sanaaaaaaaa
@betinakima2967 жыл бұрын
wooow asante sana👏👏👏👏nitaipika.
@nailamohamed206 Жыл бұрын
Asalam aleykum Hali yako Yani mie napenda jinsi unavyofundisha taratibu napenda sana nakufatilia pia
@mariamhamis40877 жыл бұрын
Asante sana Dada kwa kutufundisha aina ya mapishi mbalimbali
@rachellyimo6426 Жыл бұрын
Asante pishi zuri sana
@linguafranca29237 жыл бұрын
I got your email.Am trying these donuts today.Sijawahi kula donuts za baking powder, so hopefully I will like them.They look easy which is great!.First time making donuts za aina yoyote.Thanks
@aromaofzanzibar7 жыл бұрын
I hope you like them, kuna donuts za aina nyingi so give it a try and let me know what you think of them . Thanks for stopping by
@neematarimo32534 жыл бұрын
Nimependa mno hongera napika sasa hivi dada naomba uniandikie recipe love you
@aromaofzanzibar4 жыл бұрын
Nimeandika viungo vyote hapo chini kwenye description box
@jassimhassan75112 жыл бұрын
Salam umetumia kijiko kipi shukran
@aromaofzanzibar2 жыл бұрын
Cha chai
@jassimhassan75112 жыл бұрын
@@aromaofzanzibar but kwa video maziwa na siagi inaonekana nyingi ama nimejaribu kupima 3 tbsp inaonekana kidogo
@elizaalfredy92394 жыл бұрын
Mama vikombe viwili no sawa na kg ngapi
@aromaofzanzibar4 жыл бұрын
Ni grams 250 tu , yaani robo kilo
@elizaalfredy92394 жыл бұрын
Asante
@mumtazdoshi78187 жыл бұрын
aroma ya zanzibar I am so happy to ear kisuali receipy pls can u make one time rice of coconut thanks my name is Mona I love you
@aromaofzanzibar7 жыл бұрын
Thank you for stopping by Mona, Inshallah I will make coconut rice specially for you dear
@queenbizo28996 жыл бұрын
Aslm alykm Aroma of zanzibar naomba pishi la donuts kwa kutumia mashine yake
@aromaofzanzibar6 жыл бұрын
Mariam Salim Alkm salaam , unaweza ktumia receipe yoyote ile lakini kuna baadhi ya machine Zina receipe maalum, mimi sijui una machine gani
@queenbizo28996 жыл бұрын
Aroma of Zanzibar samahani ila umenichanganya kidogo naona haiwezi kuwa nitatumia any receipe kwa sababu kama hizo donuts hapo utafanya donge na hizo nnazo ulizia wakoroga km ji uji den ndio wauchota ukiweka kwa mashine bt pa kuanzia ndio sipafahamu
@aromaofzanzibar6 жыл бұрын
Mariam Salim nafaham lakini kila machine Zina receipe zake mie situmii mchanganyiko was aina hiyo kwasababu situmii machine
@queenbizo28996 жыл бұрын
Asante sana kwa mda wako
@papricahbeauty21366 жыл бұрын
Mie saut na lafudh yako tu Dada....nakupendaje
@mashaallahtabarakallahahma82694 жыл бұрын
shukran sana hiyo ndio enyewe
@ahlamverynice.36057 жыл бұрын
shukran habibty Kwa kutupenda na kutujali asante sana Allah akuweke miyaka 1000😚😚😚
@aromaofzanzibar7 жыл бұрын
Shukran mami kwa dua njema lakini hiyo miaka 1000 itabidi uje kunipikia tena ;) ;)
@halimamasudi83017 жыл бұрын
Aroma of Zanzibar Mungu akueke ,daa tuzdi kuelimishana
@bintsalimalbimany53405 жыл бұрын
@@aromaofzanzibar Ha ha ha maskin Allah atupe umr wa sah na fia bas miaka mia simchezo rabi atupe mwisho mwema
@seifkhanfar54763 жыл бұрын
Weye uyo
@mwanatumuhassan34145 жыл бұрын
Asante sana..kungu manga inasaidia nini
@aromaofzanzibar5 жыл бұрын
ladha na harufu
@catsandcraft41087 жыл бұрын
ماشاءالله تبارك الله 😍 تسلم يدك 👍🌷
@Layla-vi8yx7 жыл бұрын
MashaAllah swry..May God keep uu. am learning alots😍😍😍😍
@michellembai95204 жыл бұрын
Mashallah...beautiful and yummy 🤤 🤤..I love your cooking you can make someone who doesn’t like cooking start cooking...And wherever you follow the procedure once you become perfect 💯
@aromaofzanzibar4 жыл бұрын
Thank you so much
@ummusahili63997 жыл бұрын
Assalam alaykum warhmatullah wabarakatu Shukran kwa kutufunza mengi Ila naomba ya kiswahili maswali. Yawe kwa kiswahili ili tufaidike sote naomba shawarma na souce yake Shukran
Samahani mapishi ya kiswahili basi waulizaji maswali lazima wanajuwa kiswahili kwahiyo wajitahidi kuuliza maswali Yao yawe kiswahili ili tufaidike sote wengine hatujui kizungu tusameheni wapenzi
@wardatiddi19777 жыл бұрын
hii imeipenda itaifanye leo nazijuwa napika ila nitajaribu na hii ili nione inatokeaje mapishi yako mazuri sana
@biommy67007 жыл бұрын
Twakupenda zaidi...kwa kutujali
@aminaakram93584 жыл бұрын
Very nice mashaallah
@aromaofzanzibar4 жыл бұрын
Many many thanks
@zahraalbaloochi28414 жыл бұрын
Mashaallah sister vyakula vyako vyote pafect👌
@aromaofzanzibar4 жыл бұрын
Shukran dear
@fairouznaaman97376 жыл бұрын
Pizza yako yummy shukraan. Allah akupe Afya.
@mariamhamed58894 жыл бұрын
Asante kwa mapishi
@aromaofzanzibar4 жыл бұрын
Karibu
@mimahsaid23266 жыл бұрын
hamira sio lazimaa uwekee
@aromaofzanzibar6 жыл бұрын
Hizi sio donut za hamira ni tofauti
@mauwam36277 жыл бұрын
masha allah sister me nataka haf cake ufundishe
@abudebinabri12877 жыл бұрын
asante mapishi ysko yote mazuri mungu akuhifadhi
@aromaofzanzibar7 жыл бұрын
Shukran, Amin
@bintsalimalbimany53405 жыл бұрын
Ammin
@aishakassim89646 жыл бұрын
Ma shaa Allah..nimejaribu ur recipe...isipokuwa nimepunguza unga kidogo...Ma shaa Allah ziko poa sana..mpka naulizwa km nimebake instead of frying..kachori ndio zilinibwaga
@aromaofzanzibar6 жыл бұрын
Hongera kwa jitihada zako kwa donas, pole kwa kachori jee tatizo ni wapi
@aishakassim89646 жыл бұрын
Aroma of Zanzibar nikizichoma wakati wakugeuza zaachana mafuta yaingia ndani...na zitakazo geuka vizury ndani haziridhishi..ziko maji maji na sikuziacha na maji
@aromaofzanzibar6 жыл бұрын
Kama zinaachana hivyo itakua ni viazi vina maji bado, kuna baina ya viazi sio vizuri kwa mapishi ya kachori viazi vyenyewe vinakua na maji sana
@aishakassim89646 жыл бұрын
Aroma of Zanzibar ishakua tabu...sasa ntaweza kuvitafautisha vipi
@aromaofzanzibar6 жыл бұрын
Aisha Kassim kweli nitabu lakini ukichemsha vinakua kidogo transparent unavihisi jasa vina maji
@ummudulla85767 жыл бұрын
wallahi ntakuwa mkosefu wa fadhila nikipita bila kuachia comments. .. tnx so much darling kwa kutosogezea karibu vitamtam leo nimezipika donasi mashaAllah so yummy 😋😋😋 mzee wangu kazipenda hivi kesho nimeambiwa nipike tena 😅😅😅😅 tnx love u😍😍😍😍
@aromaofzanzibar7 жыл бұрын
You are welcome dear , nimefurahi umezipenda donuts and going for a second round x thanks for your support dear
@azzamahamdu70394 жыл бұрын
Lulu na wema wajifunze jinsi gan ww unatufundsha kwa ufasaha
@aromaofzanzibar4 жыл бұрын
Ahsante sana, wale ni wasanii sura xao ni muhimu kuliko mapishi
@azzamahamdu70394 жыл бұрын
@@aromaofzanzibar umeonaeee wanaleta uzur kwenye kazi
@halimazubeir11144 жыл бұрын
Allah akuweke wallah tunaenjoy recipe zako love u sanaa
@aromaofzanzibar4 жыл бұрын
shukran, amin
@halimazubeir11144 жыл бұрын
@@aromaofzanzibar nikitaka ziwe kama cake nafanyaje!?
@aromaofzanzibar4 жыл бұрын
@@halimazubeir1114 donut za cake ni recipe tofauti huwezi kutumia hii
@halimaburhan19525 ай бұрын
MashaAllah
@shelifamweta46904 жыл бұрын
Maa shaa Allaah shukraan... Je kikombe ulichopimia nk kipi?
@aromaofzanzibar4 жыл бұрын
Kikombe cha kupimia keki
@kadijahajali39182 жыл бұрын
NZURI MASHAAALAH
@lamermaxx34396 жыл бұрын
I really love your voice my dear, shukran kwa kututoa ujingani :*
@aromaofzanzibar6 жыл бұрын
Shukran, si ujinga dear..elimu haina mwisho
@veerapaveeru64584 жыл бұрын
Hongera mashallaa
@aggieashindu34704 жыл бұрын
Can I use tui instead of milk..love your recepies...I used it basic cake recipe,it was 😋😋
@aromaofzanzibar4 жыл бұрын
Tui might not give you cake texture but its not a bad idea
@ummymakboul69014 жыл бұрын
Kwaiy izi huwez kutia hamira
@aromaofzanzibar4 жыл бұрын
Hizi sio za hamira
@aslyshiazjamaljamal95637 жыл бұрын
yaani na maanisha you write down the receipe fr the donats hope umeelewa
@aromaofzanzibar7 жыл бұрын
Ingredients and measurement zipo description box hapo chini
@alzun38103 жыл бұрын
Asalam aleikum warahmatullah wabarakatuhu habbty
@tumaomar89997 жыл бұрын
shukran sister najifunza mengi kwako
@jkizondoswahilibites4345 жыл бұрын
Kwanini unatumia kungu manga? However I truly love your cooking and simplicity in it MashaAllah. I tried going by your steps za mkate wa mayai ukawa ajab na In Shaa Allah ntazijaribu na donasi. JazakaAllahu kheir
@aromaofzanzibar5 жыл бұрын
Kungumanga its mostly for harufu ni kitu tunatumia tangu when I was young, you can always omit it
@his-queenaisha70866 жыл бұрын
Shukran khabbty kesho inshaallah nitatengeneza
@aromaofzanzibar6 жыл бұрын
Inshallah
@tamhidamohamed6057 Жыл бұрын
Mm mbna hazijaja
@aromaofzanzibar Жыл бұрын
vipi hazijaja sijafahan
@floshkitchen30617 жыл бұрын
I love you Fathiya.ahsante kwa ku share nasi ur recipe
@aromaofzanzibar7 жыл бұрын
Love you back Flora, thanks for your support dear
@ummehaniyusuf6877 жыл бұрын
Hello! love ur receipes☺ it would help if you could also give measurements in grams so that v get precise measurements. thank u
@millkhamis66086 жыл бұрын
Asante mamy tunajifunza mengi
@his-queenaisha70866 жыл бұрын
Je kama hauna kungumanga daa
@aromaofzanzibar6 жыл бұрын
Sio lazima tia mdalasini
@his-queenaisha70866 жыл бұрын
@@aromaofzanzibar shukran
@yusraswaleh26397 жыл бұрын
a aleikom unaeza kutumia mafuta aina gani zaidi ya siyagi
@aromaofzanzibar7 жыл бұрын
Yusra hakika sijawahi kutumia mafuta kwa upishi huu, jaribu mafuta yalokua mepesi na hayana harufu kama sunflower au canola angalia vipi utapenda
@yusraswaleh26397 жыл бұрын
+Aroma of Zanzibar najaribu hii zimekua nzuri sana asante ma dear.
@aromaofzanzibar7 жыл бұрын
You are welcome, mambo mazuri hongera
@hasaniali19965 жыл бұрын
Pika haragwe la skari
@ashuudama80345 жыл бұрын
Alhamdhullilah nilizijaribu Ma Shaa Allah kutumia vipimo vyako...Ila shida sasa nilipoongeza vipimo zawa ngumu sjui nimekosea wapi, maana km mayai 8,siagi vijiko 8,maziwa 8, unga hivyo hvyo...nafaa kuongeza nn?
@aromaofzanzibar5 жыл бұрын
Pole sana Unaweza kuoongeza sizagi zaidi vitakua vilaini kidogo lakini usikande sana
@ashuudama80345 жыл бұрын
@@aromaofzanzibar shukran
@ashahaji49367 жыл бұрын
Mimi naomba unifahamisha vileja vya njugu sijui jina jengine km nimekosea plse my
@aromaofzanzibar7 жыл бұрын
Sorry habibty mie sijawahi kufanya vileja vya nyjugu
@ummuasmaa22556 жыл бұрын
Ahsante mpenzi😘😘😘😘
@saadahaji97906 жыл бұрын
Samahani dada hv una kua unaweka hamira
@aromaofzanzibar6 жыл бұрын
Saada Haji mbona nimetaja viungo vyote nilivyotia humo , dikutia hamira
@alawiyahtimimy52026 жыл бұрын
Na siagi iwe moto ama
@aromaofzanzibar6 жыл бұрын
Alawiyah Timimy siagi si moto, tumia siagi ya kupikia sio ya kulia
@ramilimohammed52657 жыл бұрын
Aroma of zanzibar aaaàah jaman mm napenda sn vikoleee nitaenda japo kwa jirani hahaha Sante anty
@aromaofzanzibar7 жыл бұрын
Haha....
@zainabrishad46507 жыл бұрын
Aroma of Zanzibar Shukran habibti kwa vitebwe sasa tufundishe mofa na vitumbuwa🙏
@husnashariff45427 жыл бұрын
Aroma of Zanzibar asallam alaikum thanks for your receipe people this days dont share the receipe this reminds us when we left tanzania u have done a great job husna from uk
@aromaofzanzibar7 жыл бұрын
Husna Shariff Thank you dear for your support, nafaham sana hayo mambo ya kushare , I love sharing hizi recipe zi sife kufichwa kwenye vumbi lol