Hii imekaa vibaya sana aisee😳 yani mpaka leo wanatumia ndoo kama choo😢😢
@ChoroTesla4 сағат бұрын
@@aminielmwasha3994 acha na watu wanafurah kabisa wanajua wafungwa ni watu wasiokua na haki
@MussaBakar-p2p13 сағат бұрын
Viongozi tembeleeni magereza kilawakati ndio itakoma
@RamadhanMbwana-o1j13 сағат бұрын
Yani mpaka leo 2024 wafungwa wanatumia ndoo! duuh😮
@aminielmwasha399413 сағат бұрын
Mwenyewe nimeshangaa sana, siyo fair hata kidogo aisee😥😥
@anordiobadia.nycsong8123Сағат бұрын
Hongera sana mkuu kuliona hilo kwani sisi sote ni wafungwa watarajiwa
@WAASINASTYCRAZY10 сағат бұрын
Professional 👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿
@mwemakhatibu17544 сағат бұрын
Good news
@SalimKombo-xo4pq13 сағат бұрын
Mungu akubariki muheshimiwa. Tanzania ni nchi ya amani lakini wafungwa wana teseka sana. Hawana haki kabisa. Bado wana kunya kwenye mtondoo. Mambo ya kizamaniiiii😢😢😅
@ramadhaniabdulkadry2883 сағат бұрын
Ivi nikwamba aiwezekani kbs kuweka vyo sahihi , hii nchh duh kazi kubwa sana mazingira yenyewe tu cyo fear kbs utaratibu mzima malazi na taraibu zingine hazijakaa sawa kbs nitatizo kbs. Na ndio maana magonjwa kwisha ni ngumu na mlipuko wa magonjwa ni mazingira cyo bora
Ukiwa mfungwa haikuondolea ukose haki zako za msingi ikiwemo kula kulala hata adhabu hv ww ndo wafungwa wanyee kwenye ndoo kuna magonjwa ya mlipuko ndo mana wenzetu wanaita department of correction
@RoseMichael-oz7cy5 сағат бұрын
@@ChoroTesla correction facilities
@isacklaurent89483 сағат бұрын
mm sion ajabu ku2mia ndoo coz kumbukeni ile pih ni sehem ya adhabu kwa makosa aliyoyatenda shida nipale umehukumiwa kwa kusingziwa lakin k2mia ndoo sion ubaya inatakiw akitok hpo asitaman kurud tn jela
@malkiarosemuhando331030 минут бұрын
Ngoja likupate ndo utajua usiku na mchana, unadhani wote wamekosea?