Dr.Sulle:Ukiota nyoka Umekwisha!!

  Рет қаралды 62,723

ISLAAH ISLAMIC  TV

ISLAAH ISLAMIC TV

Күн бұрын

#drsulle #trending #islaamic #tanzania #islaahislamictv #health #ndoto
Kuna madhara makubwa ukiota Ndoto Nyoka wanakukimbiza au kukun`gata au wakikuzingira.Hii ina maana kubwa na mbaya katika maisha ya mwanadamu.Kupitia kipindi chetu kipya cha TAFSIRI ZA NDOTO ambacho Al-Haj-Dr.Sulle ndiye msimulizi mkuu pata wasaha wa kutazama na kusikisikiliza hapa tuachie maoni yako.USISAHAU KUTU FOLLOW ON INST andika ISLAAH ISLAMIC TV.KARIBUNI SANA

Пікірлер: 125
@FrankKimario-w1t
@FrankKimario-w1t 7 күн бұрын
Nakukubali sana mzee sule kazi njema
@user-wo5es9vn5w
@user-wo5es9vn5w 3 күн бұрын
Shukran sana shekh 😢 niliota nyoka yupo chini ya uvungu kila nikitaka kumupiga anajificha mwisho nikamkatakata vipande vipande..nieleze shekh hii inamana gani
@AmiriHumudi-hn6pt
@AmiriHumudi-hn6pt Ай бұрын
Walah nakukubali shegh wangu mh alla akuweke sn uzidi kutuelimisha.
@fatmahussein6085
@fatmahussein6085 Жыл бұрын
Allah atukinge na maadui🤲🏾😢
@plastidiacasmiry2234
@plastidiacasmiry2234 Ай бұрын
Maamini asemayo huyu shee japo ni kristu Mungu akuzidishie hekima ili wengi tujue kweli
@user-xv4jb9jq7r
@user-xv4jb9jq7r Жыл бұрын
Assalm alkm niliota ndt ya nyoka na ikanijia tena mchana nikadharau nilipokua narudi masjd wakati wa isha nikamkanyaga mlangoni kwangu lakini allah akaniepusha nae akuwahi madhara alhmdulillah
@islaahislamictv9085
@islaahislamictv9085 11 ай бұрын
pole sana
@amylohluali7262
@amylohluali7262 11 ай бұрын
Mh! الله المستعان
@AmidaIRAKOZE-uz3in
@AmidaIRAKOZE-uz3in 9 ай бұрын
Ndoto y nyoka hatari sana.mi huwaga naziota mara nying san.n kuziona live .
@shameemahmed1130
@shameemahmed1130 3 ай бұрын
Asalam alaikum mimi nimeota ndoto ya nyoka sasa hivi tena mkubwa atufukuza mimi na mtoto wangu mdogo wa kiume...Ndio nikaja direct kutafta maana nikaona alots of Video za tafsiri but mm Sheikh wangu ni Dr Sule nika fungua hii kuskiza na kupata majibu Subhana Allah
@KoisiiEverlin
@KoisiiEverlin 5 ай бұрын
Asante nimekjif
@LatifaMbarouk
@LatifaMbarouk Ай бұрын
Sheikh nimeota natafunwa na nyoka 😢😢
@safiyanirram-pf3sv
@safiyanirram-pf3sv 7 ай бұрын
Subhana Allha mm leo mida ya saa kumi na moja alfajili nimeota nyoka yupo ndani kwetu kabisa arafu hicho chumba tunakaa kuna shimo ainaingia na kutoka akiwa anawatt wakae baadae nikatoka nje nyoka akawa anatoka ndani anakuja nje akaja akanirukia shingoni akajivirishi shingoni kwangu kwangu mpaka nikaona nimekata pumzi nikastuka na kushika shingo yangu nikaisi kabisa nimekabwa subhanallha Allha atunusuru mara naona panya mkubwa sana kanikalia shingoni
@Sssqw12Aaaq-ck8up
@Sssqw12Aaaq-ck8up 11 ай бұрын
Shukrani Mimi naitasana nyoka naukweri ninamaadukiasiya kwambia awajifichi iranirikuwa naomba namaanaya kukimbizwa na ngongoti tena awaimoja wanakuwa wengi irawaawanipati nini maanatake shee naomba nisaidie
@ConstanceneemaRobert
@ConstanceneemaRobert 9 ай бұрын
Umenigusa maana hii ndoto inanifuata sana
@user-dy8pk6zf2g
@user-dy8pk6zf2g 9 ай бұрын
Asante sana dr Sule
@MwalikoRashidi
@MwalikoRashidi 5 күн бұрын
Assalamualaikum Ostadhi tunataka mawasiliano yako
@GladynessJohn-mi2kn
@GladynessJohn-mi2kn 4 ай бұрын
Daah ahsantee sana ila tuu tuombeane tuu jamanii
@ashuraa9079
@ashuraa9079 6 ай бұрын
Kheeee subbuhanallah 😢
@oman6024
@oman6024 Жыл бұрын
🙏
@LETICIAJOHANSEN
@LETICIAJOHANSEN 4 сағат бұрын
Asnt sas Bab ang ,maan tok nimesimamishw Kaz bila kuambiw kos Kila siku naot nyoka
@user-uz3ge3tc5f
@user-uz3ge3tc5f Жыл бұрын
Nihatari sana
@user-rh7en3kd3p
@user-rh7en3kd3p 8 ай бұрын
asalam alaikum wa rahmatullah wa barakatuh shekhe shukran mi pia huwa naota ndoto hiyo pia mwanangu wa mwisho halali huwa anapiga kelele kwenye ndoto usiku mpaka akiamka anapiga kelele akisema nyoka inampandiya
@MamaSauda-yr7gm
@MamaSauda-yr7gm 6 ай бұрын
Asalam aleikum mm nikonzanzibar niliwahi kupata ndoto ya nyoka lakni alikua pembeni yangu tukitupiana macho nakuendlea kulala... lakni cha kusitajabisha mm saiv sipati ndoto ila nakumbana na nyoka live ndani mwetu na mm ndo hua naona mwanzo chooni mara mbili...katika kizingiti... ivi shekhe sule inamana gani na haya mmbo...
@nyiranshimiyimanamadine6070
@nyiranshimiyimanamadine6070 3 ай бұрын
Mimi niliota nyoka mweusi nanika lishwa uwo nyoka Subukhanallah nimeskiya uoga
@SULEYMANMAGINA
@SULEYMANMAGINA Жыл бұрын
Aisee shaikher mim hilo tatzo nnalo tena sana kwahio nnaomba mswaada jaman AS-SALAM ALEYKUM WALAHAMATULLAH WABARAKATUH
@islaahislamictv9085
@islaahislamictv9085 11 ай бұрын
pole Sana chukua namba hapo kwenye video tuwasiliane
@islaahislamictv9085
@islaahislamictv9085 11 ай бұрын
pole Sana chukua namba hapo kwenye video tuwasiliane Inshallah
@noahjoshua5649
@noahjoshua5649 29 күн бұрын
Mimi niliota nyoka lakini wakiwa wengi sehemu moja na wapole wala hawakunitisha na sikuwaogopa! Sijui ina maana gani tu
@ZulphaMohammed
@ZulphaMohammed 2 ай бұрын
Shekh asnte kwa tafsiri
@everlastingmiriam
@everlastingmiriam 8 ай бұрын
Habari mutu anisaidie kutafsiri hii ndoto Niliota nikiwa nimesimama nyoka kubwa kama barabara ikanijia mbio Sana kwa minguu yangu mbio nikawa na hofu sana hio nyoka ikanijia katikati ya muguu yangu Nika panua minguu yangu mwili hio nyoka kubwa ika pita katikati ya mingu na ikakwisha huku nikiwa nimepanua minguu na ikakwisha nikawa na hofu sana Hadi ikakwisha na huku nikaamuka nikiwa na hofu sana
@user-yr6bq3ct2w
@user-yr6bq3ct2w 8 ай бұрын
dr sule vzur sana,, ila ukitafsiri tueleze sasa tufanye nn tukiwa tumeota hizo ndoto
@user-ee2dy5ky7m
@user-ee2dy5ky7m 8 ай бұрын
Mim nikiotaga ntoto zanyoka lazima nakuwaga mjamzito
@hassadfazal3418
@hassadfazal3418 Жыл бұрын
Assalam aleikum warahmatullah, je mtuu akiota amevua samaki kubwa mwenzako amevua ndogo
@RamadanPaul
@RamadanPaul Жыл бұрын
Duuh hyo, sio kwamba umetoboa zaidi yao
@JafariAbdallah-ot9gp
@JafariAbdallah-ot9gp Жыл бұрын
Duh! Hizi ndoto zinanija maranyingi tofautitofaut mara nimezungukwa na nyoka wengi mara nifukuzwe na nyoka mara natapika nyoka alafu nimechoka kweli
@islaahislamictv9085
@islaahislamictv9085 11 ай бұрын
chukua namba hapo kwenye video tuwasiliane
@shamsuldeenmayalib3305
@shamsuldeenmayalib3305 11 ай бұрын
sheikh Assalam alyk na sasa tibu ni nini
@BrianOchieng-cs8cc
@BrianOchieng-cs8cc Жыл бұрын
Assalamu Alaikum sheikh Al-Hajj 🙏🙏 Ndoto linayo penda kunikujia usingizi ni ya maubwa mengi sana na Sio mara moja ama mara mbili ni mara kadha🙏🙏🙏
@lifeinmiddleeast8179
@lifeinmiddleeast8179 Жыл бұрын
Mbwa maana yake ni rafiki waovu omba dua zitaacha hata Mimi ilikuwa hivyo alhamdullillah zimekimbia
@user-df4kd3zl8g
@user-df4kd3zl8g 2 ай бұрын
Asalam alaikum warahmatulilah wabarakatuh ustadh..mm nliota tukiwa nyumbani kwetu Na familia yetu ,,gafla kkatokea nyokq mkumbwa akainua kichwa kmudona kakangu ..kaka aka mpiga kichwa gafla akiwa chini huyo huyo nyoka alikuwa Na vichwa vitatu akip
@najatysaid9282
@najatysaid9282 7 ай бұрын
Nyok mkubwa je😢
@fatumamussa8397
@fatumamussa8397 8 ай бұрын
shekh mimi nilimuotea mtoto wangu kagogwa na yoka lakini asikii maumivu nikamchukua nikaanza kumkamua lakini anao ishinao awakunionyesha ushilikiano asubhi nikaambia anaumwa usiku hakulala
@shariffkareem8045
@shariffkareem8045 11 ай бұрын
Mm ni mla kabisa uyo nyoka kwenye ndoto na nika ipata alufu yake ya kichoka
@ElizabethLizzy-pk3zj
@ElizabethLizzy-pk3zj 3 ай бұрын
Sasa ufanyeje mana mm naota 😢😢😢😭😭😭
@user-cd9th6bg3t
@user-cd9th6bg3t 5 ай бұрын
Asalam alaykum warakhmatullah wabaraqatul sheikh mm niliota nafukuzwa nanyoka mkubwa kweli yuataka kuniuma kiguu lkn ilipo nikaribia nkaonyeswa gongo nakaipiga kwa kicha maratatu ikafarika hapohapo nkastuka usingizini naangalia saa nsaa tisa za usiku je inamaana gani
@NIYONKURUJumaine-fm4sb
@NIYONKURUJumaine-fm4sb Жыл бұрын
Assalam alaykum warahamatullah wabarakatul Vp hali yako sheikh Samahani kwani mtu aki ota iyo ndoto Mara moja kwani ina kuwa na madhara Gani sheikh Wangu
@user-yu9os6ld3f
@user-yu9os6ld3f 6 ай бұрын
Subanallah
@user-or1nk2th6j
@user-or1nk2th6j Ай бұрын
Aslam alykm warhmatullah wabarakatuh ustadhi ata mm nilitoa ikiwa nimelala nayo nanilipoamka ikanitamkia nisiogope nilale ilikuwa ya rang ya dhahabu maana yake nini?
@MyunaMwalim
@MyunaMwalim 15 күн бұрын
Assalamu alaykum sheikh nimeota nyoka alikuepo sheikh anasoma Dua na baada ya kumalizia kusoma sheikh alipoondoka alipokua amekaa nyuma yake walijitokeza nyoka 2 sikuweza kuwapiga na walitoka nje maana yake ni nini
@user-yq7te7ms5p
@user-yq7te7ms5p 4 ай бұрын
Nmekuelewa kabsa dr sure
@user-di7zz2si9r
@user-di7zz2si9r Ай бұрын
Dr sulle mi nimeota ndoto ya nyoka nikiwa natoka nyumbani nikielekea kazini njiani nimekutana na nyoka mkubwa Sana yani chatu amenivinga alitaka kunumeza nikapambana nae mpaka nimemdhibi nilipo mdhiti t nikakulubuka kitandani hii ina Maan gani
@dianabosibori8476
@dianabosibori8476 28 күн бұрын
Nyoka simply ni enemies 😅 nothing serious
@TobaErty
@TobaErty 14 күн бұрын
Mm zaman nilikua naota ndoto za nyoka nikawanaota nayakanyaga mayoka makubwa kila sehem ninayopita yamelala barabaran nilipodumu n kusoma qur-an na dua na visomo vya rukia nikaacha kuota ila juz I.ejirudia kua kuna nyoka wawili mmoja ni mwembamba anatembea km hna nguvu na mwengine ni mnene km alo na mimba yy ananitega yaan mda nilioacha kusoma ndio anakuja km ananitaq
@saidmbedha
@saidmbedha 2 ай бұрын
Asalam alekum niliota nyoka mkubwa amenikunja mwengine mweusi akaniuma mkononi je ina maana gani😢😢
@mwamoyomoyo747
@mwamoyomoyo747 Ай бұрын
MAADUI WAWILI WANASHIRIKIANA IMA KWA KUJUANA AU LA ILA MAADUI WOTE VITA WANAKUPIGA
@FaridaKessy
@FaridaKessy 20 күн бұрын
Mm nimeota linawaka nyoka macho taa😢
@IsmailKisesa
@IsmailKisesa 4 ай бұрын
Mm niliota nyoka wa3 wananikimbiza mbeleni nikakutan na mwanamke mtu mzm kwny nyumba yake aliponiona akanambia ingia ndan tujifiche ila sikumskiza nikaondoka na wale nyoka waliacha kunikimbiza na nikasikia saut yule mama akipiga kelele na wale nyok walikuw wakubwa
@RozinaHamisi
@RozinaHamisi 10 ай бұрын
Mm niko saudia na nliota ya nyoka ambae anaongea ila mm ndio nlijua anaongea hadi nkawa naongea nae akashangaa mbona mm namskia na kumjibu ndoto hiyo alikuwa akimviringa Rais putin wa uingereza shingoni ndoto ya pili niliota kijana wangu alifariki kitambo lkn nilimuota amenijia juu niyy ila miguu yake ni nyoka 😢akiiniita Maa maa
@lydiadaudi4076
@lydiadaudi4076 6 ай бұрын
🤔putini ni Raisi wa uingereza!?
@haithamdahillard8746
@haithamdahillard8746 3 ай бұрын
Assalam aleikum warahmatullah wabarakatuh. Je na mimi sheikh nimeota nyoka wadogo wengi napambana nao hawakunidhuru bali Nimewauwa wote kila anae nisongelea ninapambana nao vikali na kuwamaliza. Mmoja mmoja . Tafsiri yake nini Ustadh?
@user-bc1jg8md3h
@user-bc1jg8md3h 7 ай бұрын
Mimi kila mwezi lazma niote ndoto naona nyoka nateseka muda mwingine na shituka usingizini yaani Shekh Dua tuu niombe ndoto ziniachie na ninaona uaduni ni mkubwa sna hapa mtaani ninapo ishi
@user-lx5cs1zl8e
@user-lx5cs1zl8e 7 ай бұрын
Kama Kuna uwezokano unaweza kugura bana pia uwa kunasaidia kusambaratisha uchawi kidogo
@nurukimea3804
@nurukimea3804 4 ай бұрын
Mm nimeota ndoto nyoka ananikimbia kila nikimfwat anakimbia tena kwa speed
@JoshuaKisiva-wu7gb
@JoshuaKisiva-wu7gb 7 ай бұрын
Asalam aleyku mwislam
@user-ge8ti6ru1v
@user-ge8ti6ru1v 6 ай бұрын
Asalamu alaykum sheikh,napenda kujua nini maana ya kuota ndoto kuhusu mtu amekuja kudaiwa madeni na watu wasiojulikana??
@christianishengoma7038
@christianishengoma7038 2 ай бұрын
Mm naota nikoshule au makaburini mala naolewa nazaa nanyonyesha sielewi maanahu
@MohamedMbwama
@MohamedMbwama 11 ай бұрын
Assalam Aleykum Shekhe_ mimi nimeota nyoka wa kijana nilikua bafuni naoga ila nimlimkanyaga hadi nikamuua alafu tena siku ya pili tena nikaota nyoka nilikua bafuni pia yule nyoka wa pili alikua mweusi alafu mkubwa kiasi lakn nilitoka nje nikamuuita baba kisha tukamuua
@TibaibaiOmary
@TibaibaiOmary 5 ай бұрын
Asalam aleikum.nimeota ndoto ya nyoka anaingia ndani sebuleni nikapambana kumuu lkn akaingia chini ya meza baadae nikaona tena uyo nyoka nimempiga kichwani.Madhara yake ni nini? Nanifanye nini juu ya ndoto hii
@ZamdaNyagali
@ZamdaNyagali Ай бұрын
NDOTO ZA NYOKA KANGU ZIMESHAKUWA KITISHO SIMALIZI WIKI LAZIMA NIOTE NYOKA MKUBWA MWEUSI ILA USIKU WA JANA NIMEOTA NYOKA MKUBWA SANA MWEUPE ANAELEA ANGANI NYUSO YAKE YA BINADAMU NAKUWA NA HOFU MUDA WOTE
@mwanaishakama3381
@mwanaishakama3381 4 ай бұрын
Shekh naomba jibu mana wengi wenu uwa hamjibu kama amekugonga na ukatolewa sumu na kumuhuwa nyoka uyo ndani ya usingizi ina maana gani? Au utakua umeutoa uo uchawi ulio ekewa? Ama bado shuhuli unayo?😢
@ZainabuSaidi-n7d
@ZainabuSaidi-n7d Ай бұрын
Nimeota mwanangu kangatwa nanyoka mguun
@VickKulekana-si1ib
@VickKulekana-si1ib 11 ай бұрын
Nilishawaigi kuotaga majoka megi na ya kutisha hiyo sehem niliyoota kuna bint alishawai kulala akapandishaga akasema kuna nyoka na mimi nilivyokuja kulala kweye kile kitada nikaota majoka makubwa na ya kutiasha nikasema kwel pale kuna nyoka, nyoka anawakilisha shetan au adui au muotaji anakuwa na mashetan
@musnamihayo-ok1sm
@musnamihayo-ok1sm 11 ай бұрын
Shekh haya yote yameshanitokea na kwa sasa niko na matatizo makubwa kiafya na kifamilia natokaje na matatizo haya maaana yameshanikuta tayari nahitaji tiba shekh
@mariambashir7261
@mariambashir7261 Жыл бұрын
Asalaam aleykum mm nliota napingana na nyoka watatu weusi baada ya hapo nlikua mgonjwa sana
@islaahislamictv9085
@islaahislamictv9085 Жыл бұрын
+255752517751 piga simu hii
@HamissMpinga
@HamissMpinga Ай бұрын
Shekhe ukiota umewaona wafungwa wanagongwa na nyundo kichwani inamaanisha kitu gani
@khamismaestro2524
@khamismaestro2524 Ай бұрын
je ukiota uko na mwezako mwezako anakuchukua mukaue nyoka yy ndy ana mpga nyoka mpak anamgawa vipande viwil ina maana gan
@MurjyNgose-wc8ep
@MurjyNgose-wc8ep 8 ай бұрын
Mm niliota nakimbizwa na nyoka pamoja na wenzangu lakini yule nyoka alipotaka kuning,ata alikamatwa na wale wenzangu sjajua hii inamaana gani
@Users2523
@Users2523 11 ай бұрын
Ndoto nyingi ni matatizo ya kisaikolojia ya mtu mwenyewe. Ni ndoto chache tu ndio za kweli.
@user-mb7oe3pg3y
@user-mb7oe3pg3y 8 ай бұрын
Ndoto mingi ni kweli change ndio za kisaikolojia 80% true
@mwajumaally3383
@mwajumaally3383 8 ай бұрын
Sheh mimi Niko arusha nafsnyaje sasa maana mimi niliota yoka kaniuma kweny mguuu
@sukhairamlisho
@sukhairamlisho 2 ай бұрын
Assalam alaykum shekh niliot nasafar alafu mtu ananisindikiz ila ulivo fika usafili nikawa kam nime sahau tiket nikalud nyumban alafu nikashituka kwenye ndot co iyo ndot imeniijia malatatu yot co maan yake nn yatatu nikamuot namtu amekasilik san me kugaili safar
@abdulrahmanhassan3439
@abdulrahmanhassan3439 11 ай бұрын
asalm aleyum mm niliota ndoto ya nyoka alinifukuza nikaja kuanguka akataka kunizuruu kunifikiaa yule nyoka akaniambia sio ww akaniacha ila nyokaa mkubwa sana
@user-ef2fw6wy4s
@user-ef2fw6wy4s 9 ай бұрын
Asalaam aleykum na ukiota umeingia miskitini je?
@kwisa4899
@kwisa4899 4 ай бұрын
Nimeota nyoka nikawa na lala nao nikawa naona usiku watu wengi sana nikawa na pesa nyingi lakini nyoka walipo ondoka nikafirisika kabisa nikabakia na nyoka mmoja akaishia kuni gonga mkononi tangia hapo hakuna kinacho sogea
@janepherodouri3393
@janepherodouri3393 2 ай бұрын
Mimi niliota nyoka mkubwa sana alikuwa amelala kando ya bahari Kisha alipo niona skashutuka na kuingia baharini hiyio
@MwanaidRamaha-td1hl
@MwanaidRamaha-td1hl Жыл бұрын
Mimi niliota nyoka mwenye mabaka anakatiza barabarani nikamkata na panga..basi ule mkia nilio ukata ukawa unanifukuza na kutaka kugonga lakin akufanikiwa kunigonga.
@islaahislamictv9085
@islaahislamictv9085 11 ай бұрын
chukua namba hapo kwenye video tuwasiliane Ameen
@user-wg2hd2bc5c
@user-wg2hd2bc5c 11 ай бұрын
Niliota nipo napamba na nyoka huku nimebeba mtoto yule nyoka nilikuwa nikimkimbia na aliendelea kunifata mpaka miguu lakini alipo fika miguuni hakuning'ata kabisa hiyo imekaaje
@carolinemrinji9605
@carolinemrinji9605 11 ай бұрын
Asalaam aleykum Sheikh hata kama nimemuua nyoka pia?
@MukamusoniHawa-cj2yc
@MukamusoniHawa-cj2yc 11 ай бұрын
Ukimuua umemshinda adui yako kwa kiwango kuku wa👌
@AshuraGoroba
@AshuraGoroba 11 ай бұрын
Je nofanyeje sassshekhe ili niwe katika hali ya kawaida na kuepukana na naadui
@user-ob1tt3oy6e
@user-ob1tt3oy6e Жыл бұрын
Nini kifanyike Sasa kwa watu hao
@mussakamando2678
@mussakamando2678 9 ай бұрын
Mimi mara nyingi huwa naota kinyesi Pia kwa upande wa viumbe huwa naota Simba
@user-bj2nx2lc1d
@user-bj2nx2lc1d 5 ай бұрын
Mimi. Naota .nawafanyaje
@InnocentCrescentMoon-vj3sj
@InnocentCrescentMoon-vj3sj 7 ай бұрын
Me nilishawah kuota nyoka ananinyonya damu alafu nimeamka asubuh nimekuta nnaalama na nimekuta alama za damu na maumivu shee
@SULEYMANMAGINA
@SULEYMANMAGINA Жыл бұрын
Pia nimeota majuz nimeshikwa ugon jamaa akaanza kunishambulia akanichoma na mkuki kifuan had nikahs kutikezea mgongon kwahio nikawa sjashtuka usingzn had asubh
@lifeinmiddleeast8179
@lifeinmiddleeast8179 Жыл бұрын
Angalia mifumo wako wa maisha
@RamadanPaul
@RamadanPaul 11 ай бұрын
😂😂.... Daah make kwanza ncheke
@lifeinmiddleeast8179
@lifeinmiddleeast8179 11 ай бұрын
@@RamadanPaul 😄 aache ujinga huo haraka
@RamadanPaul
@RamadanPaul 11 ай бұрын
@@lifeinmiddleeast8179 umeona eeh .. anaonekana ni mzinzi😂😂
@JenifaJulius-x9e
@JenifaJulius-x9e 2 ай бұрын
Mama niliota njoka ananingata
@logaloga5077
@logaloga5077 11 ай бұрын
Assalam aleikum mimi nilito nyoka ana mmeza samaki ninini maana yake
@SmilingRockBand-ju2cy
@SmilingRockBand-ju2cy Ай бұрын
Assalamu aleykum shekhe mim niliota kuna nyoka wawili wanataka kunigonga ila nilipambana nae atimae nyoka mmoja nilimuua hii inamaana gani shekhe wangu
@softlee9536
@softlee9536 4 ай бұрын
Na maana ya kumuona mara kwa mara😢😢?
@joyjusuf9454
@joyjusuf9454 5 ай бұрын
Mmi juzi niliota nimeumwa na nyoka mweusi,kuamka naskia uchungu kabisa ni kama nimeumwa kweli
@jacklinedeus6068
@jacklinedeus6068 3 ай бұрын
Ukiota umeumwa nyoka na ukasikia maumivu wakati umeamka ni kweli tukio hilo limefanyika.tafuta msaada kidogo.kwa mashekhe au wachungaji kulingana na dini yako.pole na Mungu akusaidie
@willyclever725
@willyclever725 4 ай бұрын
Mimi niliota napigana na nyoka, kisha yule nyoka akazaa watoto maana yake nini?
@VickKulekana-si1ib
@VickKulekana-si1ib 11 ай бұрын
Ndio nyoka ata mimi nilikuwa najuwa hivyo nyoka inawakilisha uadui
@subiraomary7000
@subiraomary7000 9 ай бұрын
Mtoto ameota amegongwa na nyoka mkononi
@nurunhitu3148
@nurunhitu3148 5 ай бұрын
Shekh, nn maana ya ndoto ya samaki aliyeoza anatoka wadudu?
@EmmyKanjanja-qi1vl
@EmmyKanjanja-qi1vl 11 ай бұрын
Okoa muda
@user-gp5lc7wc8t
@user-gp5lc7wc8t 10 ай бұрын
Je ukiota unakimbizwa na ng,ombe utapatikana na nini
@alimwanza7356
@alimwanza7356 11 ай бұрын
Mtu akiota ndoto kua nyumba imeja kombamwiko, kunguni na huku anawauwa halafu mtu atoke amwambie usiwauwe alfu amke usingizini. Je Ina dhihirisha nini
@asyahaji9268
@asyahaji9268 11 ай бұрын
Zinanijia sana hizo ndoto lakin mara nyingi naishia kumuua yule nyoka,sasa vp nmeshinda uadui hapo?
@Mswahili-12
@Mswahili-12 11 ай бұрын
Huyu jamaa amekuwa mfasiri wa ndoto siku hz
@Catherine-mh8sw
@Catherine-mh8sw 11 ай бұрын
Hata mie nilitaka kusema hivyo hivyo
@fat_hyabuge7380
@fat_hyabuge7380 Жыл бұрын
70%ya ndoto nazootaga snahusiana na nyoka nyingine zinahusiana na maji aidha Bahar au mito kua naogelea au natak kuvuka
@tatoo0098
@tatoo0098 Жыл бұрын
Wewe km mie jaman tufanyeje sasa 😢
@islaahislamictv9085
@islaahislamictv9085 11 ай бұрын
chukueni namba hapo kwenye vidieo zinapita chini tuwasiliane
@DoricasWawire-ff9os
@DoricasWawire-ff9os 9 ай бұрын
Ata mm
@ZulphaMohammed
@ZulphaMohammed 2 ай бұрын
Shekh asnte kwa tafsiri
DR.SULLE/MWANAMKE AMBAYE HAJAOLEWA KUOTA NYOKA NI HATARI
14:35
ISLAAH ISLAMIC TV
Рет қаралды 12 М.
Electric Flying Bird with Hanging Wire Automatic for Ceiling Parrot
00:15
So Cute 🥰
00:17
dednahype
Рет қаралды 46 МЛН
English or Spanish 🤣
00:16
GL Show
Рет қаралды 17 МЛН
Dad gives best memory keeper
01:00
Justin Flom
Рет қаралды 21 МЛН
TAFSIRI YA NDOTO UNAPOMUONA NYOKA USINGIZINI
7:02
Riyadh Tv Online Znz
Рет қаралды 129 М.
NDOTO UKIUMWA NA NYOKA NINI MAANA YAKE?
13:22
REV PETER NJIHIA
Рет қаралды 13 М.
DR.SULLE WATU WENGI WANAJUA WAISLAM TUNAFUGA MAJINI#nondozadrsulle
28:41
ISLAAH ISLAMIC TV
Рет қаралды 44 М.
DR.SULLE MAJI YA  MVUA NI KIBOKO YA UCHAWI WOTE UNAOUJUA
32:27
ISLAAH ISLAMIC TV
Рет қаралды 48 М.
NDOTO YA NYOKA INA MANISHA NINI
17:51
REV PETER NJIHIA
Рет қаралды 11 М.
TAFSIRI ZA NDOTO ZA NYOKA MWEUSI /Imamu Mponda
3:41
Mponda Media
Рет қаралды 14 М.
Electric Flying Bird with Hanging Wire Automatic for Ceiling Parrot
00:15