Nijikute mm Wacha nibaki bila mtu nishuke kimya kimya niende kwa mamangu peaceful
@DruscillahKemunto-m3r4 күн бұрын
Hapo Sawa my sister Ata mimi Nita fanya hivyo
@AngieBNetwork4 күн бұрын
yah very true
@DianaMuhonja-oi9co3 күн бұрын
Pia Mimi 😂😂😂😂 ama Angie B atuchukue video na my sister but not hubby wa watu
@Rkelly-h6z3 күн бұрын
@@DianaMuhonja-oi9co 😅😅😅
@ruthmomanyi10853 күн бұрын
@@DruscillahKemunto-m3rkama mm nimenda home 5 times hakuna mwenye anajua mm ufika airport watu wanajukuliwa mm ninapaki kama yatima but siogopi😂😂😂
@Dekamale3 күн бұрын
Team strong nipitieni please 🙏❤️
@verolynenyamoita53634 күн бұрын
Wanawake please pia nyinyi kuwa seriouse,unajua umetolewa unatoka kenya unakaa 7 yrs bila kurudi kenya you expect bwanako akae bila kutombana,,, forget Hilo kwanza
@AngieBNetwork4 күн бұрын
😂😂😂😂aki weee
@verolynenyamoita53634 күн бұрын
@@AngieBNetwork ukweli ni mwanaume mume mgani ataongoja had 7 yrs like seriously
@FRIDAHMBINYA-kw7oi4 күн бұрын
Ubaya wao hawajiiu kuchenza hizi vitu,,
@CarolineGatua2 күн бұрын
Mtu anafaa aongee ukweli,aseme ako na bibi na alitravel,so ukae ukijua wewe ni side chick, mwanaume ndiye mbaya,sio vibaya kukulana juu wanakulana hata ukiwa kwa nyumba,lkn wanaume wajifunze kuongea ukweli.
@UsilaChepchumba3 күн бұрын
Waah doc ako job mingi yawa bt doc.napenda kazi yako angie direct kwa doc uyo mwanamke kimrambe😮
@adhiambolaureen18983 күн бұрын
Sasa kijana mdogo unacheat babygal na kimwanamke mwenye anakaa venye anadai 😂😂😂😂😂😂
@RobbyMukonjero4 күн бұрын
Ladies,akuna mapezi ya pesa.
@RebeccaRebeccamose2 күн бұрын
Ss waezaje kuacha bwana 7years akae tuu akusubirie ww kwan uko na ya gold 😂😂😂😂
@ngenynaomi4 күн бұрын
Sijui siku gani mtajua kujipenda ati ni struggle hapa nimtumie mwanaume doo 😮 I can't imagine
@CatherineGathukumi4 күн бұрын
Huyu wa pili sura mbaya kweli
@AngieBNetwork4 күн бұрын
😂😂😂😂
@MirajSamir-e9b3 күн бұрын
Anakaa mwanaume
@abigaelnamukhula22203 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂
@jeanpaulluanga67803 күн бұрын
Hamna hata ahibu kupigana mbele za watu surely😢🤔🤔please connect me to this girl she so cute
@judith12563 күн бұрын
Mbona bags hasina stickers!! Kwan unasafiri aje ?mnatuona kama matako😂😂
@muzungunamalwalinet3243 күн бұрын
Ghai kumbe na wewe umeona 😂😂😂hii ni uongo ati ametoka Qatar
@judith12563 күн бұрын
@@muzungunamalwalinet324 si najua nimetravel for long so mtu hawezi niona matako
@EuniceNgala-k3h2 күн бұрын
Kumbe umeona😂
@judith12562 күн бұрын
@@EuniceNgala-k3h kitambo
@Wfidelis3 күн бұрын
Aki woiye siwezi pigania mtu mimi navile huyu demu amekam nikasupuu aachane na huyu boys alimove on .😢😢😢
@nancynyaboke27192 күн бұрын
Na hizi bags zinakaa empty walai😂😂
@kamikazisalma52094 күн бұрын
Kimeumana leo 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@angiebofficialnetwork4 күн бұрын
yah
@rizzieangote364 күн бұрын
Watu wa Angie nipitieni then comment done nkupitie
@benjuma89414 күн бұрын
J only hope money is not involved because that is where they go wrong.
@Zuuh42863 күн бұрын
Huyu naye mjinga eti kupenda 😂😂😂 umeacha mwanaume kenya we uko juu angani sangapi atakukumbuka 😂😂😂 dah akili za kitoto lkn hizo😢😢😢Kinakuramba hukuti hata mia
@Sarah-iw6cg2 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂Angie utanimaliza ati unampeda yako yote
@Scolah-i2h4 күн бұрын
kumbe round hii atupumui drama after drama😂😂😂 na utapata sai alitumia bwana pesa zote 😢😢
Thank you alot kwa kunipa roho ya farao,mimi wacha tu nitumie mum pesa,nikipata amekula i will be happy coz amenilea
@Jacintanabwera3 күн бұрын
Mnipitie tugrow wote comment done nikupitie pia
@EstherMogire-u9i4 күн бұрын
Wenye wako na mabwana kenya watalia hadi wachoke Mie aja nikae single forever sitakufa 😢😢😢😢😢😂😂😂😂😂
@AngieBNetwork4 күн бұрын
really😂
@EstherMogire-u9i4 күн бұрын
@@AngieBNetwork yeah
@gladysmartim46714 күн бұрын
Imagine wenye wako na mabwana watakufa juu ya stress single peace
@EstherMogire-u9i4 күн бұрын
Wasichana nikama tulirogwa jamani unatoa wapi nguvu ya kutumia mwanaume pesa 😢😢😢😢mie na mambo za kutumia mtoto wa mtu pesa heli nitumie Baba angu Ivo tuu mapenxi niliajia wazungu😂😂😂@@gladysmartim4671
@gracemanyonge44493 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@neliuskabura168921 минут бұрын
Bt hizo bag hazina sticker ama n mm naona zangu
@Emmaemily-cj5bz4 күн бұрын
Amen enda ukatafute pesa ukitoka huko unagonga mantion mama😊😊
@marylinebarasa17643 күн бұрын
Lakini uyu mama pia ni mkubw kushinda kijana
@Josephine-x9oКүн бұрын
Nashidwa penye unaacha mwanaume io miaka yote na akukoje it's imposible
@ocholarose46543 күн бұрын
Uliacha bag ingine nyumba angie
@EuniceNgala-k3h2 күн бұрын
Bags azina sticker sually mnatubeba ufala
@CeliyKilobi4 күн бұрын
😂😂😂😂😂huku n vita tu mdem mbn huwa mnatumia wanaume dooh aky
@@jentrixkhatiala6073 kaa n dooh yko mama ukikam usuanze mambo n kesi better utumia ur mum kiac ingne save
@abigaelnamukhula22203 күн бұрын
Huyu wapili aliubwa wakati udongo imeisha 😂😂😂😂😂😂Ako na kichwa kubwa kama gurudumu ya gari😂😂😂😂😂
@nyiturikiangel3 күн бұрын
The first lady is young and beautiful,very sexy,and a very good match with the young man but the second one it's a big nooooooooooo
@maryngatia23623 күн бұрын
Mi nko majuu na nifka sitaki stress guka yangu akunje air port aniletee maua
@MilkahNyamuro-kw5cj3 күн бұрын
Mnatoanga wapi nguvu ya kupigania mwanaume airport
@نانسيكينيا-ث8ذ3 күн бұрын
Watu wakienda gulf wakae single ,,kama ni mapenzi tutaipata tukirudi Kenya
@DruscillahKemunto-m3r4 күн бұрын
Mimi najua to ukikuja gulf tunakuanga single hii mambo ya kutumia Wanaume capital ya kutafuta Wana wake mwache na Sita ongea Tena
@AngieBNetwork4 күн бұрын
very true
@EuniceNgala-k3h2 күн бұрын
Ako na miaka27 na Qatar amekaa miaka7 so alienda akiwa na 20 years 😮
@janerosenalianya52272 күн бұрын
Hawa watu wanatupima bangi as if hatujawahi panda ndege,,, from nowhere bebii bebii vipindi, anyway Angie ww tafta PESA
@geofreywainaina43892 күн бұрын
Ni how much kukujia mtu airport
@naomikwamboka35614 күн бұрын
😂😂😂😂 angie p ur smile kills woooow
@AngieBNetwork4 күн бұрын
really 😂😂
@ruthouma-mx3pv3 күн бұрын
Ñilipenda mwengine sai niko Kwa machozi mapenzi mm Tena 🙌🙌🙌
@ndettothejuice3094Күн бұрын
Eti seven years?and you expect a man to wait for you?hai,sosemi kitu.
@shariffamaulid2 күн бұрын
Mumeacha kibet cha blue
@moran-qc8sq3 күн бұрын
Angy maua imeleta vurugu 😂😂😂😂
@HappyBackgammon-th2ii3 күн бұрын
Leo umevaa vizuri🎉kama mama.❤
@JulfaKhatun-r8r3 күн бұрын
Wah mm nklmalza naeda kwa mamangu wanaume weh
@MamrF-v9v4 күн бұрын
😂😂😂😂 jamani kwanini uamini mwanaume unamutumia pesa siheri mamako akule
@hannahwanjirumwangi64383 күн бұрын
Zangu acha zikuliwe na wazazi wangu akii 😂😂 waacha kikulambe mama 😂😜
@MERCYmercy-rl3lu4 күн бұрын
Angie unifuraisha vile huvaa😂😂😂😂 kijana ako smart but bib wa pili anakaa vibaya ni matako tu ananishinda 😂😂😂
@ThomasMsuko3 күн бұрын
Mwapa kazi Daktar tu kila siku 😢😢😢
@JamesNgala-g3c4 күн бұрын
Hii sasa ni ujinga, mnapigana airport hata hamna aibu.
@Tinah_kadolly3 күн бұрын
Nipitieni guys ❤
@NatureWorld-c8u3 күн бұрын
Wacha nikae single hizi ujinga sitaki kuachha ni kusahau
@marylinebarasa17643 күн бұрын
Nani aliandika heading
@xtevemwaxh52403 күн бұрын
c hata mimi nipate wakua ananitumia pesa haki😂😂😂😂
@MagretAwinja2 күн бұрын
Wasichana wengine banaee eyiii unatoa wapi nguvu yakununua mapenxi
@Zuuh42863 күн бұрын
Amekaribishwa na ngumi 😂😂😂😂😂😂😂
@mwanashasjambia8572Күн бұрын
.7years unatarajia abaki single vyenye Kenya kunawarembo ,labda hawe hananguvu zakiume😂.
@Moruridorine3 күн бұрын
Huyu mwanamke anadhani huyu kijana alikuwa na pesa kumbe n ta dem
@FaithNyandieka2 күн бұрын
Utaamin aje mtu 7yrs surely
@FeminaAndeso3 күн бұрын
Muko namauwongo mob 😂😂😂 uyu dem n jirani yangu ata uyo sio mbwanake weeeh
@gracemanyonge44493 күн бұрын
Angie B unafanya kazi poa sana weeeee
@MaryMūriithi-v9f3 күн бұрын
Maajabu haya yaone 😂😂aggie B hope Blihton ako poa😅😅😅..
@RebeccaMusau-or6vi3 күн бұрын
Baby mwisho wa mwezi ujinga sifanyi 😂😂😂
@Moruridorine3 күн бұрын
7yrs thinking that a man will wait u like seriously kurwa pesa sana coz amskii
@Mariam-i2c8b4 күн бұрын
At 7 yas kwani mtu hana hisia aki
@Karenwema4 күн бұрын
Wacha tu nibaki single 😅😅😅😅😅,,, team Lebanon,, na hii vita tusitume pesaa😅😅😅😅
@dorothykerubo58623 күн бұрын
Hii nayo ni noma aki we wacha nikae ivo please
@RamlaOtita2 күн бұрын
Eti bebby,ukwaju😏😏
@samwelnyanumba89533 күн бұрын
Sura ya kiatu ...
@NancieTess4 күн бұрын
Unatumia mwanaume pesa aje sasa...nijikute am sorry for her anyways
@HappyBackgammon-th2ii3 күн бұрын
Huyu wa pili anakaa mama yake😢😢😢😢😢
@annlovergal4 күн бұрын
😅😅😅😅😂😂😂 kuna watu walilaaniwa kwa mapezi 😢😅 mimi hadi kwa mamangu pap
@wilfrideathone43813 күн бұрын
Hata huyu anasema amezalishwa mtoi mwili ni kama mwenye anakula hizi kuku inafanya tunone huku kwa waiguru
@Sharon-mm4mb4 күн бұрын
Uyo dem mwingne anaitwa rodah namjua 😅😅😅
@Marionwanjiru0093 күн бұрын
Kimeumana leo 😂😂😂😂😂😂😂😂
@rebecarael-t9i3 күн бұрын
mbna hawakiss,,ama si wake
@BridgitAyuma-q8v4 күн бұрын
Ulikua unamtumia pesa nyinyi warembo wa gulf hamsikii hata mm niko gulf but siwezi tumia mwanaume wangu pesa first watoi nilipeleka kwetu ndio niwe na time ya kuongea nao
@DruscillahKemunto-m3r4 күн бұрын
Hapo Sawa
@BridgitAyuma-q8v4 күн бұрын
@@DruscillahKemunto-m3r ukweli
@AngieBNetwork4 күн бұрын
best thing ever
@BridgitAyuma-q8v4 күн бұрын
@@AngieBNetwork ndio hiyo
@Elizabeth-hy4gr4 күн бұрын
Watu mko na nguvu waja nijifanye mjinga mhm nayo naenda kimy kimy😮😮
@mumblessed0014 күн бұрын
Mapenzi na doo zangu acha ikae walai
@CatherineGathukumi4 күн бұрын
Wayu wa gulf walilaaniwa aki. Kutuma pesa kwa partners wanakula pesa zako na wengine
@AngieBNetwork4 күн бұрын
imagne😂😂
@RuthGwako-ro9wl3 күн бұрын
Madem muache mchezo miaka saba you expect to get ur man alone
@MaryMmm233-yh3hf4 күн бұрын
Eti miaka saba na hujazaa na yeye maybe kwenu hata hata hajulikan then unamtumia doo hivi hii nguvu unatoa wapi msichana 😢😢
@Wilgister4 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂 Daktari mwikali atachoka this time round na watu wa gulf
@TeresaKwamboka-s9j4 күн бұрын
Nitawaambia mara ngapi eti babe namtrust kwani hyo ni bwanako
@MamrF-v9v4 күн бұрын
Dactari piayia huku
@Hariet-k7k3 күн бұрын
Huyu wanpili anakaa kukalia huyu mwanaume na matusi kwa mdomo,anaita mwenzake mmama na yeye ndio anakaa tu mmama na kuparara hata nilikua nadhani yeye ndio ametoka gulf
@nemaanemaa14594 күн бұрын
Mm nami nitakupenda lakini pesa yangu ziii😂😂😂
@AnneRose-pz7do3 күн бұрын
Kwn alijua aje uyo anakam airport 😅😅 waja story za ja
@judith12563 күн бұрын
Umeona bags na stickers?????? Kwan unasifiri aje bila stickers
@GladysKoinget-mp9zn3 күн бұрын
Mimi uwa nasangaa sana awa watu wako inje ya Kenya pona usisefe peza zako ama useful ka parents wako Wacha muonyezwe Sasa..amukumbukangi vile munapitia mangumu aibu kwenu..kama ingekua mm siwezi peana ata kumi najiwekea peza zangu kwa bank
@JosephineBiyaki-t4o4 күн бұрын
Huyu mwanamke Wa katal ako Na akili nuse😂😂😂😂😂😂
@fatmaaden13104 күн бұрын
Hawa watu wanatuona Wafala😂Ni Nani alimwita Uyo mwingine akuje apa Na amejua aje 😂😂
@GjhBjhhj3 күн бұрын
Angie b nipatoe namba ya dakitari niko Saudi Arabia plz
@maryatieno9130Күн бұрын
Na wote wamevaa black.. nijikute nikipigania mwanaume
@gladyschelangat66614 күн бұрын
Dactari kazi ndio hiii
@Rachael-lw7ro4 күн бұрын
Ak hta huyu boy anapiganiwa na ako hpo tu anafurahia
@marylinebarasa17643 күн бұрын
Trust a man at your own risk
@KENYANQUEENOFFICIAL4 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂dr Mwikali 😂😂😂😂 nipitieni guys pale kwangu youtube channel tafadhali
@KarenusNafula4 күн бұрын
Hawa watu wanajuanga tu mabwana zao ni player ndo manake huwa mnawatumia pesa
@AngieBNetwork4 күн бұрын
😂😂😂
@AngelaPrecious-vj9iq3 күн бұрын
Mbona mnandanga kji embarrasse airport security of airport should stop this nonsense
@ElizabethNangekhe4 күн бұрын
True kwani seven good years how can a man servive surely, you need to think twice then forgive him, after that move on with your life.
@MERCYmercy-rl3lu4 күн бұрын
Hiyo ni miaka mingi sana kwa mwanaume labda kama Dem Ako single but bwana unaeda 7 years zii two years Iko sawa
@kwambokaagnes9501Күн бұрын
Aki iyo imagine ni content si ukweli I know that girl