DUDU BAYA AIBUA MAZITO SAKATA LA MARTHA MWAIPAJA KUTOMSAIDIA MAMA YAKE

  Рет қаралды 5,245

BONGO 24 NEWS

BONGO 24 NEWS

Күн бұрын

Пікірлер
@Fatima-jp4ym
@Fatima-jp4ym 2 сағат бұрын
Ni kweli anachosema dudu baya mimi mama yangu ananichukia sana ananiongelea vibaya kwa watu. Nyinyi hii dunia wapendwa msimlaumu sana martha 😢
@NtuliSuzan
@NtuliSuzan 2 сағат бұрын
@@Fatima-jp4ym Martha haelewani na mama, mdogo wake, mume hao wote wachawi?
@salomeandrew4148
@salomeandrew4148 Сағат бұрын
Pole my yaan co pow
@zainab8251
@zainab8251 36 минут бұрын
Pole sana may
@erickchibali575
@erickchibali575 31 минут бұрын
Pole na ww kama wako mama waaina hioo
@veronicathomas89
@veronicathomas89 Сағат бұрын
Nakuelewa Dudu Baya 💯,nimepitia hayo,mama anaweza kabisa kushirikiana na ndugu zako kukumaliza
@TALLUBOY
@TALLUBOY Минут бұрын
kwel broh dudu yupo fact
@JonathanIrankunda-i2u
@JonathanIrankunda-i2u Сағат бұрын
Napenda dudu sana respect brother apo popote uripo i am from Burundi brother do you have every talent respect about this mission your mum 😮😮😮
@merrynancesimon1562
@merrynancesimon1562 2 сағат бұрын
❤❤❤❤❤❤kweli kabisa unachosema Mimi ndugu zangu no way 🙅🏾‍♀️🙅🏾‍♀️🙅🏾‍♀️🙅🏾‍♀️🙅🏾‍♀️🙅🏾‍♀️❤️‍🔥❤️‍🔥❤️‍🔥🔥🔥🔥
@HusnaChristopher
@HusnaChristopher 13 минут бұрын
Kweli kaka umeongea maneno mazima
@jessemhally5385
@jessemhally5385 Сағат бұрын
Dudu Baya umesema ukweli...Mungu akutunze Sana.
@AwaziRajab
@AwaziRajab 37 минут бұрын
Usimuache Mwanamke Mchawi Kuishi Lakini Mama Ni Mungu Wa Pili Kwa Mtoto Isipokua Tazama Maisha Yake Kama Wadogo Zako Wanakufa Kupitia Yeye Kaa Mbali Nae Muache Na Maisha Yake
@JamesMwandoje
@JamesMwandoje Сағат бұрын
Kwriiiiiii kbsaaaa...kna Bora wazazi maisha haya
@kapatazaina5444
@kapatazaina5444 Сағат бұрын
Martha ni mtu wa Mungu ! Hawezi kuamini uchawi! Amjali mama yake,Mama akiendelea kumlilia umaarufu utaisha.
@Nancy-z8h
@Nancy-z8h 2 сағат бұрын
Mafirst born wameanza kushtuka na wengine wanaitwa malango makuu ya familia hawataki jamani hizi habari za mtu mmepishana miaka 2 tu lakini shida kidogo tu mwambieni dada yenu mpigieni kaka yenu sasa wote tufanye kazi tuwahudumie wazazi kwa pamoja
@Fatima-jp4ym
@Fatima-jp4ym 2 сағат бұрын
Ila pia mimi nafanya kila kinachostahili lakini naonekana kama sifanyi nyinyi msikie tu jamani
@lilyabel2320
@lilyabel2320 Сағат бұрын
Ni kweli kuna ndugu unawasaidia lkn bado wanaona hufanyi au wanataka awasaidie kila siku
@Kaylyn-z6y
@Kaylyn-z6y 50 минут бұрын
Mchawi ni Joan
@rahabnkya8276
@rahabnkya8276 Сағат бұрын
Waende tu kuhani Musa yeye ni mtambuzi wa wachawi, awafungue, na kama no mama mzazi basi ajue huo mlango ameutokea angeweza asizaluwe na mungu karuhusu Kila kitu tena awe makini na mzazi na mungu huwa anaona na shetani anapendezewa kuwavuruga zaidi wanawake . Amuombee basi mama uchawi umtoke hii ni shida na watumishi wa mungu waombee eneo Hilo basi. Tujuwe mwisho mzuri.
@amishambar3418
@amishambar3418 Сағат бұрын
Nikweli shetani uwa hana aja na mbumbumbu pia wao awataki kisicho kuwa na faida
@AnnuciathaKilindo
@AnnuciathaKilindo Сағат бұрын
Nimemsikiliza huyu kaka dudu baya nimejifunza vingi yupo sahihi
@FloraMwanjala-p4q
@FloraMwanjala-p4q 2 сағат бұрын
Hata mimi naunga mkono ktk Hilo ni shida sana wazazi wengine ni mtihani kwelikweli
@blackangel.58
@blackangel.58 Сағат бұрын
Kiufupi haya mambo ya famni mengi sana kila familia ina changamoto zake hata kama ni tofauti ila wazazi siyo wote upenda watoto wao kuna wazazi ni wehu huko mitaani atujui tu ciz siyo ma star
@elleng5227
@elleng5227 2 сағат бұрын
😂😂mbonaaa hapa hulalii, ilaa Dudu bayaa nimecheka
@ibramakula2303
@ibramakula2303 Сағат бұрын
Mama alipokosea kukupa ww peke yako bila ndugu zako apo ndipo alikalibisha vita
@exalttarimo5083
@exalttarimo5083 Сағат бұрын
Ana hekima sana hyu
@iqmediatz
@iqmediatz Сағат бұрын
Simpingi dudu baya kwasababu wazazi sio malaika ni binadamu ambao wanakosea pia. Mzazi kukuzaa haimaanishi ndio amekuwa malaika, wapo wengi tu ni wachawi na wengine hutoa sadaka na kuwaloga watoto wao wenyewe au watoto wa watoto wao. Hii dunia inamambo sana kama hayajakukuta, wew mshukuru tu Mungu kwa kuwa unawazazi wema kwako na wapo na wew bega kwa bega, usimtukane anaelalamika kwasababu hujui yaliyomkuta. Dunia ina mambo sana.
@lucaschisamalo2852
@lucaschisamalo2852 2 сағат бұрын
Kunawatu nilikuwa nawambia inawezekana mama akawa mchawi naungana na dudu baya mama yako mzazi unamkataaje kwa mfano
@lilyabel2320
@lilyabel2320 Сағат бұрын
Wanamuonea wivu Martha kiishi vizuri na mfanyakazi wake hawapendi. Mama yake Matha kasema mwanae ni mtoaji na huwa anamsaidia lkn inaonyesha wanataka awasaidie zaidi wakidhani kuwa anahela kibao. Ni wivu tu na ufinyu wa mawazo waliyonayo hao ndg wa Martha.
@FrankChacha-y3d
@FrankChacha-y3d Сағат бұрын
Mbona sasa mama alikuwa anaongea huku analia
@lilyabel2320
@lilyabel2320 Сағат бұрын
@FrankChacha-y3d Ni uchungu Tu na mawazo finyu akidhani Yule mfanyakaxi anafaidi zaidi Yao, Mimi nadhani ni hivyo lkn Martha anamsaidia huyo mama Kwa mujibu WA interview
@georgejoseph9089
@georgejoseph9089 2 сағат бұрын
Wewe mbwa hujui sana ya mama
@EmmanuelBernard-t4z
@EmmanuelBernard-t4z 17 минут бұрын
Huyu naye shida yake ni kujifanya kila kitu anakijuwa
@Isabellependo6389
@Isabellependo6389 3 сағат бұрын
Kweli kabisa
@berthamakortha8387
@berthamakortha8387 2 сағат бұрын
Yeye BITRIS siii Mama MTU MZIMA?? AMTUNZEE YE YEEEE HASA JAMANI. BURRIS NINI ANACHOONGEA?? MWANGA HUYOOOO.
@gloriaamase9764
@gloriaamase9764 46 минут бұрын
Mama alisema ukweli and that is it acheni kuchanganikiwa
@rahabnkya8276
@rahabnkya8276 Сағат бұрын
Hufugi mwbwa asiyewinda hahaaaa.
@ambakisyemwanjemba5787
@ambakisyemwanjemba5787 30 минут бұрын
kama mama yako amejiunga na uchawi ndio anakua sio mama yako,kama wewe ni mtumishi wa mungu unapaswa kumsaidia ili tuone nguvu yako kiroho ,bado hamuwezi kumuepusha huyu dada na dhabi anayoipitia ya kumnyanyasa mama yake hata kama sio mama yake mzazi na mama yake mdogo,wa kambo sijui nani ili mradi wanajuana kwa namna yeyote ile alipaswa kumaliza tofauti zao na huyo JOAN (Tom boy)
@EzrahMassawe-ug5uo
@EzrahMassawe-ug5uo 2 сағат бұрын
Nimecheka sana et mtoto mbumbu ila unayosema am
@victorirengo3857
@victorirengo3857 Сағат бұрын
Sio suala la kusaidia mama tu. Beatrice kajilipua ili kumsaidia dada yake. Wary wazima wamemuelewa. Damu ni nziro
@gloriaamase9764
@gloriaamase9764 48 минут бұрын
Tanzania hamujielewi Kabisaa hatacomments ni shida tu😂😂😂😂
@pilimwanza8117
@pilimwanza8117 39 минут бұрын
Eeee shika adabu yako wewe. Mxiewww
@gloriaamase9764
@gloriaamase9764 24 минут бұрын
@pilimwanza8117 😂😂😂
@AsungaSteven
@AsungaSteven 15 минут бұрын
Unachekaga kama tundu lisu
@gracewilliam4102
@gracewilliam4102 2 сағат бұрын
Mama mchawi kwa nini asinge mroga toka akiwa mtoto aje amuuwe akiwa mtu mzima
@lucaschisamalo2852
@lucaschisamalo2852 2 сағат бұрын
Kuwa uyaone ndugu
@Isack-b9k
@Isack-b9k Сағат бұрын
Hilo swal waulize wachaw kwa nn kanun za kichaw huzjui mpaka ww uwe miongon mwao
@truphenaawinja
@truphenaawinja Сағат бұрын
Ndio maanake nashangaa huyu anasema nini
@yohanasamwel1539
@yohanasamwel1539 Сағат бұрын
Et mdg ww hujui kitu kaa kimya
@ednahumazi777
@ednahumazi777 2 сағат бұрын
Nikweli kabisa
@rahabnkya8276
@rahabnkya8276 Сағат бұрын
DUDUBAYA mamako mjengee, aisha pazuri tu,bado kaburi linKuhusu! Tenda wema yende zako. Nyota yako kali kabisa. Wachawi kweli shida. Hawataki video.
@everwilliumameeen7344
@everwilliumameeen7344 2 сағат бұрын
Ukweli uwo
@NifikeNgajilo
@NifikeNgajilo 2 сағат бұрын
Mbona Martha anafanana na huyo mama.hata kama sio mama yake mbona amelelewa na huyo mama, Martha atakuwa kwenye kile chama
@IbrahimMbwambo-o1i
@IbrahimMbwambo-o1i 2 сағат бұрын
Nikwel anloongea dudunikweli kabsa
@levidavid1156
@levidavid1156 Сағат бұрын
Konki Leo umeongea upuuuzii Mzazi wako ni mzazi tuu hata kama mchawi huyo ni mzazi wako tuu
@5araalharmi474
@5araalharmi474 2 сағат бұрын
👏👏👏🙏🏽🤲🌹
@ShellaPuis-x6h
@ShellaPuis-x6h 51 секунд бұрын
Kweri kabisa
@EzrahMassawe-ug5uo
@EzrahMassawe-ug5uo 3 сағат бұрын
Aswaaaaaa
@KissaMwaibila-xp7io
@KissaMwaibila-xp7io 2 сағат бұрын
@NtuliSuzan
@NtuliSuzan 3 сағат бұрын
Ndio umetoka tumbo la Mchawi wewe utakosaje kuwa Mchawi pia
@Kasika-hi6hf
@Kasika-hi6hf 12 минут бұрын
Shida ya huyu konki hua ana generalize fact, sio kila ndugu ni wabaya wewe, labda wa kwako tuu
@NeemaDotto-d1b
@NeemaDotto-d1b 3 сағат бұрын
Mama ange kuwa mchawi angekuzaa na ku kulea
@Nancy-z8h
@Nancy-z8h 3 сағат бұрын
Kwani wachawi hawana watoto nenda kwene simulizi za veronika ufungue kichwa chako
@aishatest4451
@aishatest4451 4 сағат бұрын
😮😮
@WilleyMsindo-fn2tc
@WilleyMsindo-fn2tc Сағат бұрын
Huyo ni mpumbavu mama ni mama tu
@mbwanahasan2971
@mbwanahasan2971 2 сағат бұрын
Umepagawa wewe msenge
@adiaygo8546
@adiaygo8546 2 сағат бұрын
Jitu lipo tungi mnaliohoji Kweli nyie kuku😅
@rithadonatus8110
@rithadonatus8110 2 сағат бұрын
😂😂😂😂
@gloriaamase9764
@gloriaamase9764 40 минут бұрын
Hata sauti yake inakaa kama ametoka kuhubiria mapepo🤣🤣🤣🤣
@wangarijane1669
@wangarijane1669 2 сағат бұрын
Hakuna uchawi waweza kukushika maana kumsaidia mzazi sheria ya mungu
@CharleskazimilyMajahasy
@CharleskazimilyMajahasy 39 минут бұрын
Huujui uchawi
@juliusdonard933
@juliusdonard933 3 сағат бұрын
😂😂😂😂 urusi
@AnnuciathaKilindo
@AnnuciathaKilindo 2 сағат бұрын
Mama mwenyewe kumbe wa kufikia na huyo ndugu yake wamechangia baba upendo mdogo Mungu amsaidie martha
@roselinasandi6509
@roselinasandi6509 Сағат бұрын
Leo mama yake kasema sio kweli kawazaa yy bite na Martha baba mmoja mama mmoja
@AnnuciathaKilindo
@AnnuciathaKilindo Сағат бұрын
@roselinasandi6509 yeye lengo ni kumchafua martha mzazi hawezi kufanya hivyo kwa mtoto wake na hawezi kwenda kinyume na malengo yake jamani Mungu atupe macho ya roho yatusaidie kugundua roho zidanganyazo huyo mama sio mama yake mzazi tunamjua kwa maongezi yake
@roselinasandi6509
@roselinasandi6509 Сағат бұрын
Mungu wangu kama huyu mama anadanganya mpk anamuomba rais amsaidie mbona ni aibu sana jmn
@jumarajab5316
@jumarajab5316 3 сағат бұрын
bange huyu mbona anaelezea ya kwao kaacha ya martha
@LahtinoNation-dt2ui
@LahtinoNation-dt2ui 3 сағат бұрын
Duuuh
@yusufunguruko8080
@yusufunguruko8080 Сағат бұрын
Dudu baya akili huna kabisa, mzazi wangu awe mchawi au nini atabaki kuwa mzazi wangu na kumsaidia hadi mwisho, hii mitandao ndio maana Ina haribu watu wengi wasiojitambua, Sasa angalia eti huu ujinga anaosema Dudubaya eti kuna wanaomsapoti - daah ! kweli hii Dunia nimeamini wajinga ndio wengi kuliko werevu - Mungu tusaidir sana.
@mwakilamwaki7308
@mwakilamwaki7308 Сағат бұрын
Ndugu acha kubisha ayo anayo ongeabyana ukweli asilimia 100
@mwakilamwaki7308
@mwakilamwaki7308 Сағат бұрын
Ingia ulimwwngu wa giza ndo utajua Dunia ipoje utabisha kwakuaa ujui chochote kwenye ulimwengu mwingine wagiza
@catherinealcy9176
@catherinealcy9176 2 сағат бұрын
Huyu anaongea nini huyu? Mama ni mama atakama ni mchawi. Kwani si mkristu. Nani ananguvu? Mchawi ama yeye anayeomba. U talk no sense
@joycejackson2320
@joycejackson2320 Сағат бұрын
@georgejoseph acha kutukana hujui maisha ya familia yake
@deomulokozi1143
@deomulokozi1143 3 сағат бұрын
Moscow 😂
@Mariam-ke4og
@Mariam-ke4og 3 сағат бұрын
Wacha kuongea ujinga angekuwa mchawi angemzaaa usimchanganye MARTHA mwache arudi kwa mama yake na amuombe radhi hayo ni yakwako wewe
@adiaygo8546
@adiaygo8546 2 сағат бұрын
Wewe Mamako namba moja mama wa wenzao wachawi hanithi kivuje 💯 wewe
@OscarFrancis-mx7iy
@OscarFrancis-mx7iy Сағат бұрын
Elewa mada sio unakurupuka tu kukoment
@fidelismwakanyamale6787
@fidelismwakanyamale6787 2 сағат бұрын
HUYU NI MUASILIKA WA MADAWA YA KULEVYA MSIMPE NAFASI YA KUTOWA USHAURI KWENYE JAMII NI KOSA KISHERIA
@AnnuciathaKilindo
@AnnuciathaKilindo 2 сағат бұрын
Mama mwenyewe kumbe wa kufikia na huyo ndugu yake wamechangia baba upendo mdogo Mungu amsaidie martha
Мясо вегана? 🧐 @Whatthefshow
01:01
История одного вокалиста
Рет қаралды 7 МЛН
Mom Hack for Cooking Solo with a Little One! 🍳👶
00:15
5-Minute Crafts HOUSE
Рет қаралды 23 МЛН
СИНИЙ ИНЕЙ УЖЕ ВЫШЕЛ!❄️
01:01
DO$HIK
Рет қаралды 3,3 МЛН
Леон киллер и Оля Полякова 😹
00:42
Канал Смеха
Рет қаралды 4,7 МЛН
POLISI WAMTAKA MORRISON AFIKE KITUONI, AACHE KUJIFICHA
2:22
Millard Ayo
Рет қаралды 5 М.
DUDU BAYA AONGEA MAZITO KUELEKEA UCHAGUZI/Tume isitumike kijinga
8:50
Мясо вегана? 🧐 @Whatthefshow
01:01
История одного вокалиста
Рет қаралды 7 МЛН