Hawa watu wenye tabia hii walikuepo na mpaka sasa wapo, leo kapatikana Dunga dunga kwenye daladala ya anabambia mpka kichupa kinaisha...
Пікірлер: 790
@martinmsigwa90663 жыл бұрын
"Hata hivyo nilikua na kichupa kweli kweli nashukuru nimekitua"😂😂😂 Joti Msenge sana
@aishatanzania11942 жыл бұрын
🤣🤣🤭🤭🤭🤭🤭
@deewyzeeofficial35123 жыл бұрын
Blaza makoti katika ubora wake alie sikia Nani like zangu jamani😂😂😁😁
@puridangote2701 Жыл бұрын
😂😂😂😂
@seifmohamed8363 жыл бұрын
Joti ulivoona zigo unabambia kinoma na mzigo ulivoo jazia nomaaaa👌👌👌👌 mulichofeli ugejaza gar wanaobambia husubir gar ijaye sio hivo wazi
@nancyjonas34843 жыл бұрын
Jamani naombeni like kumi tu sijawahi hata kupewa naombeni watanzania wezangu
@dutchsafari75623 жыл бұрын
Kabla sijaangalia nshacheka 😂😂..haya wale team Nishai tuliowahii kufika hapa nakusanya mahudhurio hapo chini 👇
@eliya56richard963 жыл бұрын
KONDAEEE KONDAEEE HIYO SAUTI NIYA MNAZI NINI.. Ila Jot unavituko Sana'a yani Umekitua kichupaa.
@mattanofficemusc35353 жыл бұрын
😂😂😂niliwahi kumuona jamaa mmoja kwenye dara dara akimng'a ng'ania mdada nilicheka sana leo joti kanikumbusha sijuw wanakuwaga na vichupa vya miaka mingapi😂😂😂
@bensonmuindi7133 Жыл бұрын
Kama uwa warudia hii gonga like
@blackpanther48253 жыл бұрын
Joti umezingua umetoboa siri yetu. Wadada wengine wanaumiza roho ukiwatazama walivyoumbika nyuma
@hamzaathumani63933 жыл бұрын
😆😆😆😆😆😆
@elinanassary27823 жыл бұрын
Hahahaa
@peterisdory88443 жыл бұрын
Kipande yuko wp jaman like km unahitaji kipande arudi
@althamdb55013 жыл бұрын
Kwnn?
@yirgayemyirgah78203 жыл бұрын
Kipande alipata ubunge wa viti maalumu
@obdady13363 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/sKXCpYymaNGXmZo
@rashidibamangwe70223 жыл бұрын
Wangapi tumeipenda saut ya sopa😁😁😁
@selembaga54233 жыл бұрын
Huyu nimm kabisa ndio tabia yangu hii 🤣🤣🤣🤣
@kelly_visiontz2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@ahmedanwar12103 жыл бұрын
Brekiiiii zimezidiiiii wee gusaaa tuuuu mjubaaa na makotiii yakooo hahahha
Hataree!! Mie mwenzenu nachukua kabsaa nguo za kubadilisha nikishuka daladala😂
@suleimanmuhammad87663 жыл бұрын
Nime shikilia Bomba dada 👄
@eliayona16573 жыл бұрын
Hahahaha 😂😂 jamaa mpaka umepizi jot tz
@eligiusvitalis35043 жыл бұрын
Nimeimis sana Dar hizi raha nilizinjoy sana,
@dembocomedian48943 жыл бұрын
Waoooo Leo mapemaaaa nakuona mlewa,
@obdady13363 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/sKXCpYymaNGXmZo
@joshuamichael73493 жыл бұрын
Dungaaaaaaa😁😁😁😁😁😁
@ngapicsonvilla3623 жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥 hujawah feli sema daladala utamu wake huo 😂😂😂😂😂😂
@pascalmsuyajr.79803 жыл бұрын
Mamb yak noma mzee 😂😂
@cunada0753 жыл бұрын
Ameshamaliza🙌🙌
@bongelabwana35263 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣 joti bro nomaa
@fatmafetty41173 жыл бұрын
Alie gundua sopa anaongea kama zembwela please like yako hapa😀😀😀
@tamemahmad99023 жыл бұрын
Ameshamaliza 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 yaani kajuwa kunichekesha
@elishaipyana35632 жыл бұрын
Brother ww noma sana ila tungetisha zaid tungekuwa wote
@impressivebeast17763 жыл бұрын
We msenge unachekeshaaa😂😂😂😂
@sangomamourice35392 жыл бұрын
Safi sana
@emaklathamichael-sg6vy Жыл бұрын
Kumbe una Pala😁😁😁😁
@bundukitv13223 жыл бұрын
Kuna siti haina mtu afu kuna mmoja kasimama.... ha ha ha ha msichezee kazi zetu
@CaboJr3 жыл бұрын
Brother mweny kikot kwenye ubora wake 😂😂🙆♂️
@playmore47283 жыл бұрын
Dah u deserve kuitwa king
@teamfreefiregarena93123 жыл бұрын
Jaman Bongo muvi tunapita bongo muvi😀😀😀😀😀😀😀
@josephkasongwa86163 жыл бұрын
Jamaa anajua kinyamaa yani jot yukopoa uyu mwamba
@TheNewKid_TV Жыл бұрын
Braza makoti katika ubora wake🤣🤣🤣🤣
@emmymajula72913 жыл бұрын
Hahaahaa joti kaloa
@fatumaomy48583 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣 joti falaaa kweli 🤣🤣 kichupa amekituaaa
@mudhakkirhemed3 жыл бұрын
Nimekupata kutoka London , watu wa London mupoooo 🇬🇧🇬🇧🇬🇧🇬🇧
@ellyki.d28943 жыл бұрын
Joti msenge sana 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@philippeter1983 жыл бұрын
nimefanya sana hv nilivyokuwa miaka ya kumi na
@nyamkechacomedy62223 жыл бұрын
😅😅😅😅😅 BUZA to KARIAKOO
@mamafloraofficial43153 жыл бұрын
Niliwahi kushuhudia ugomvi kwenye daladala konda kamshika mama wa watu makalio🤣🤣
@SimbareMichaeljackson-td7zz Жыл бұрын
Nkupenda saana joti
@samsonimwalukasa89243 жыл бұрын
Daaaaa joti unachekexha
@naimaislam5523 жыл бұрын
Hiii imenikumbusha mbaaaaliii Daaa daladala hizi
@breneyork96533 жыл бұрын
🤣🤣🤣aahahahaaa watu wa daslam jamani hii ishatokea kwa wana kibao na bado inaendeleaaa,daahh nimecheka
@allybobo10143 жыл бұрын
Hahaha we jamaa fala sana umempizia dada wa watu
@franciskiti93043 жыл бұрын
Noma sana mzito you are so creative
@petroerinest69623 жыл бұрын
Dunga dunga keshatua kichupa chake😂😂😂
@jmm18402 жыл бұрын
Kudungwa mnakutaka baadhi ya kina dada. Unavaa taiti ya kulalia kilakitu wazi unaetegemewa nini 😂😂. Mwanangu akijichanganya mwingine dunga tu maana kichupa kimebaki nusu huko njiani.