Hii Couple👫 ya Mudi na mkewe ni noma😅😅😅 kama umewakubali gonga like hapa 😂😂😂😂😂
@SalamaTaura2 сағат бұрын
Wananbamba mm😅😅😅😅😅
@abdallahjuma741Сағат бұрын
Hahaha au na wwe ni Mwenzake mudy 😂😂😂
@Haji-yr9dbСағат бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂weweeeeeeeeeee
@JacintaMalobaСағат бұрын
Hd wanaimba viviano😂😂😂
@khadijasalim2697Сағат бұрын
😂😂😂😂 Noma sanaaaa
@SimuliziMediaKE-u3zСағат бұрын
shabbiki mkubwa kutoka kenya aiseee movie lina mafunzo tele. na waigizaji waliobobea nataka kuchukua fursa hii kuwapongeza wahusika na waigizaji wote wa filamu hili. hongera!!!!!nyote
@KingNtiharirizwaСағат бұрын
Nitamu sèa wanacherewesha kazi hongela sana kazi nziri munao yifanya
@garirehema767Сағат бұрын
Napenda sana hii movie coz inafundisha sana jamii...kazi nzuri sana kwenu hongereni..❤❤kutoka kenya
@radgamechanger25472 сағат бұрын
Mundi anateremsha na kachupa😂😂 The best couples ever
@nesaahaji13292 сағат бұрын
Salute kwa team nzima ya Dunia maana kila mtu amevaa uhusika ipasavyo hongereni kazinzuri sana
@EmmanuelMaduhu-q9d2 сағат бұрын
Mashabiki wa vaileth na manyanya naomba like zenu
@DrackGameboy47 минут бұрын
Série ya bien sana mina furai Ku toka Congo Kinshasa RDC
@salumumwandazi-uh7kd2 сағат бұрын
Daaah manyanya aisee kumbe una talent kubwa kiasi hicho duuh nakuona mbali kaka push zaidi unawashusha wote nakubali sana manyanya 😅😅😅
@alheeramobile37932 сағат бұрын
Wakwanza mie jaman. Wale waliopenda manyanya kumuona uyo dada na kumnyenyua weka Like apa
@EmmanuelMaduhu-q9d2 сағат бұрын
Okay nice
@LuckyboyOg2 сағат бұрын
Wa kwanza from burundi 🇧🇮 nipeni like zanguu
@mariambakari-h9nСағат бұрын
Maashallah n tamu n hii nyimbo yenu mwenzenu yanimalza sjui naeza ipata
@MarkOlubayoСағат бұрын
Nadhani mimi Mkenya hapa nishafika. Kazi zenu ni tamu sana.Vai, Kase, Mati, Manyanya Cindy na wengine wote pamoja na Asma Films. Barikiweni sana na tuko pamoja.❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉.
@SuzanMtoi57 минут бұрын
Mbona suzana jmn😂😂😂
@IbrahimNshimirimana33 минут бұрын
Mbona munakawiyakutow jaman nimeyipend muno iyi firam ten naeacezaj nawakubar mun❤❤❤❤
@AbdulQareem-g3h41 минут бұрын
Very creative manyanya unajua kaka you will be most of best artist
@bonfacesikuku34352 сағат бұрын
Inaelimisha, mapenzi yanaumaa kuliko maradhi 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@hamisimakati1354Сағат бұрын
Mko vizuri kwa mnavo waisha move hadi raha maana tunakuwa hatusahau matukio sio kama zingine wanakawia sana
@JorvinVerdastoСағат бұрын
🥳🥳 hii movie kalii imetulia sana nzurii👍
@Tobias_mhina2 сағат бұрын
Uyu vaileth ana Ululu falani ivi ndani yake yani Elizabeth Michael adi sura yake kwa mbali
@ZephaniahSekwa-fl2go27 минут бұрын
Patamu hapo😂, ok mtuwahishie sasa
@emanuelyntamila91412 сағат бұрын
Nataman sana Kama manyanya angejiweka kwauyumtoto ili mke ashikeadabu
@ashasalimin10332 сағат бұрын
Na ndo itavokua
@SophiaMfilingeСағат бұрын
Nimependa mafunzo mazuri sana 🎉🎉
@hamzaIlunga2 сағат бұрын
From zambia lusaka 🇿🇲🇿🇲 unajuwa kazi Kaka mkubwa tupia like zangu apo atakama nimechelewa kidogo team baba asma familly
@AyubuMzadini44 минут бұрын
manyanya kaka unajua sana ....ila ushauli wangu usijalibu kuiga chochote ..trust your self.....
@peterkiage-rw1rp23 минут бұрын
Naomba Mtoe episode kama tatu kwa siku..hii series ni poa kweli Inamafunzo mengi sana❤❤
@mrdanico5937Сағат бұрын
Hii moja nimeshindwa kujizuia film nzuri kabisa kk naikubal sana from Uganda 🇺🇬 Kampala kuna mwenzangu mwengine hapa tujuane basi❤❤
@salmalamar30812 сағат бұрын
Mim namkubal san Manyanya jmn mn movie zak nzr san nik na wew milele team Manyanya tujuan
@Yvonne-hu6zd42 минут бұрын
Mudi 😂😂😂😂 unichekesha sana nakupendaa bure
@placidesenga6449Сағат бұрын
Mudi kavaa mkononi bendera la Congo🇨🇩🇨🇩🇨🇩 Tanzania na Congo one love. Ila kesho mpira tuta wafunga😂😂 jirani zetu
@KhairuniSimba2 сағат бұрын
Kazi nzuri mungu awape wepesi kila siku
@braytoncosmas-se4ndСағат бұрын
Mmetisha sana Niwape Maua yenu 🎉🎉🎉🎉 move nzuri.
@soldd-xz5ue39 минут бұрын
Mmmm jamani hongereni wenye kuishi na waume walevi
@lindauma982Сағат бұрын
Wee mudi vipi eti ukinywa pombe inafanya unaishi kwa ndoto zako mie jmn ndoto za ulevi au vipi uku😂😂😂😂😂
@JasmineJuma-q5y42 минут бұрын
Daah hii move tam sana ingekuwa ndan ya uwezo wangu ningewaambia wapost kila siku😂
@NkorerimanaSalem2 сағат бұрын
Jamani movie hii inafundishe kabisa
@Hamad-x8j2 сағат бұрын
Hatujachelewa pia nice
@Special_boy_og2 сағат бұрын
Kama unahamini ma nyanya atakuwa muigizaji mkubwa Tanzania 🇹🇿 tujuane apa
@martinkioko643752 минут бұрын
Nawapenda Sana actor's wote wa Tz mm hapa kutoka Kenya 🇰🇪 🇰🇪
@PiusmarioErnesto2 сағат бұрын
Jamani mnachelewa sana kutupatiya ep,from Moçambique 🇲🇿... pessoal estão demorar muito nos dando ep, from Moçambique 🇲🇿...
@FastaHeradi2 сағат бұрын
Jamani sija chelewa tu sana, manyanya naomba like moja tu inatosha, nawapenda sana toka drc 🇨🇩🇨🇩🇨🇩 congo.
Mudi anasahiwishi mkewe apige mbeta hata 1,na kanasa kwenye mtego❤❤❤ like kidgo na kwa manyanya na matilda pia..na mamen tumwangalie vzr vai hawa tunaishi nao..
@NajmaRajabu-q8eСағат бұрын
Sindi kimemlamba😂😂😂😂😂kafata ushauli wa mudi kindibwi😂😂😂😂
@NucraIssa2 сағат бұрын
Nmekuwa wa kwanza
@Dontatv-255-fsСағат бұрын
Manyanya yupo vizuri sana ginga like kwa manyanya
@hassanbilaly-cq1xeСағат бұрын
Ila we manyanya unajua mwamba😅
@richardmuseremu65152 сағат бұрын
Naipenda sana kazi zenu, big up guys
@SmartVicenzo12 минут бұрын
Hongereni sana kbs Mudi na mkewe wana patia sana 🤝 Inshort waigizaji wote wako powa
@KibweOnlineTv2 сағат бұрын
NINAYO FURAHA KUMUONA MOHAMEDI KWENYE UBORA WAKE ANAKULA UGALI AKISUKUMIZIA KWA BIA😂😂😂😂
@GodefroidMusekwa29 минут бұрын
Vraiment manyanya, you are talented, keep going, we are behind you from Congo 🇨🇩🇨🇩
@LevotaPius2 сағат бұрын
Jaman wakwanza nipen likes zangu hapa
@JkRomeo-g9j2 сағат бұрын
N chart
@NkolwaSamweli2 сағат бұрын
Wanaboa kweli Kila mtu nipeni like
@schadrackanyimbu9120Сағат бұрын
🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@SadockJoel2 сағат бұрын
Nimekuwa wa kwanza kutoka kigoma naomba like zenu manyanya tunakukubali
@NyenjeNdeu-u6p2 сағат бұрын
Hii series wamajua saan tuwape TU maua yao🎉🎉🎉🎉🎉
@JullianaEmmanuel-tm5xgСағат бұрын
Matilinda au huyo rafk ake na Manyanya watakuja kuoana huwez amin, Vai dharau nyng mwanamke
@Seyusking2 сағат бұрын
Leo mimi wa kwanza naombeni like zenu ata tatu😢
@leonardsylvanusi82892 сағат бұрын
Daah hii movie naipenda sana
@sadikigatera4808Сағат бұрын
Cinema nzuli saana tunawafatilia kutoka🇷🇼❤
@batofrancis693045 минут бұрын
Aliyeona love bite kwa mdada weka like hapa 😂😂😂
@MichaelMbwambo-t1pСағат бұрын
Namkubali mwamba manyanya ni mshauri mzuri
@JosephBaraka-db9sjСағат бұрын
Jaman hii dunia ni dunia kweli nimeipenda na kuikubali hongereni sana
@ummunassree2 сағат бұрын
Leo nmewah haya mnipe hizo like namie niziweke kabatin maana kila siku watu wanaomba like tu
@AmaniRashidi-i9b56 минут бұрын
Nafatilia kutoka south Africa 🇿🇦 mna Jua mpaka mna boa naona mtafika mbali ila lipaneni vizuri tu ili kundi lisivunjile❤
@EllyvadiazTzСағат бұрын
Duuuh don't talk any hahhhhhh mwambaaa kingerexaa chakeee hatal
@florahsalustian1323Сағат бұрын
Mundi na mkewe... best couple I ever seen before 😅😅❤❤❤
@lincolnbayah1832 сағат бұрын
I have been following this series since epi 1 is a really nice work
@LebonAlliance2 сағат бұрын
Kazi zuri kabisa musikawe kutocha nainpenda sana usisheleweshe
@mutabaziadolphe4851Сағат бұрын
Jamani munafanya kazi nzuri sana kuliko, hii ya leo kali kabisa
@HawaHamisi-x4gСағат бұрын
🎉🎉🎉napenda kazi yenu iko chap chap nilingoja kwa hamu
@TweveSinkonde2 сағат бұрын
Nakubal sana ❤😂🎉🎉😅pisi 😅😂😅
@Sarahadhiambo-y7t2 сағат бұрын
Wakwanza jameni kutoka Kenya likes zikam
@thomaslupombi874119 минут бұрын
Nimeipenda sana mna maneno ya busaraa
@Joyce-qf5pxСағат бұрын
Wewe mudi na mkeo mm ndio nawapendaaaaaaa ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@HassanHarun-v7s45 минут бұрын
Nawakubali sana 🎉🎉🎉🎉🎉
@AishaZeni2 сағат бұрын
Mnachelewesha sana
@user-sarah1sarah2 сағат бұрын
Naenda kusoma kingereza jaman
@PaulineNasoro2 сағат бұрын
Manyanya kazi nzuri sana 👏👏👏👏👏👏🇰🇪🇰🇪🥰🇰🇪 we love you bro
@salimjuma5142 сағат бұрын
Big up💪💪from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@PacifiqueLeontina54 минут бұрын
Nawapenda sn kbs ndo Dunia iyi kbs
@MajimbiTz2 сағат бұрын
NAJUA SIJAWAHI WA KWANZA.. ILA UNAESOMA HII COMMENT MUNGU AKUPE MAISHA MAREFU AMEEN 🙏🙏🙏🙏🙏
@Jasminadamu2 сағат бұрын
Kwako pia❤
@LazarusMalya-f4bСағат бұрын
Haki. Kizazi cha kanumba. Kinarudi. Pambaneni😂😂😂🎉❤❤
@GloriaMtana16 минут бұрын
Nawapenda sanaaaaa ❤❤❤🎉🎉🎉🎉
@QueenbethPetter2 сағат бұрын
jamn mimi nafurahia sana ndoa ya mudi😂😂😂😂 yan noma mzee
@majanjajunior57062 сағат бұрын
Wakwanza apa jamani kutoka Kenya wapi likes zangu jamani❤
@FarajiJackson2 сағат бұрын
Iii move mmetulia sana jaman nzr mnio❤❤❤
@NeemaEli-wl1dz2 сағат бұрын
Kazini zuri sana mungu hawabatiki sana❤❤❤❤❤❤
@VictoriaNkole2 сағат бұрын
Waoooo jmn vaileth leo kanikosh jamn kafny lamaan saaan, next pleaz
@BagumaJulienBagumaJulien-k8g2 сағат бұрын
Yaaa🙏🙏🙏 vai leo umenifuraisha sana 👍👍
@HalimaAbdu-cm8vj2 сағат бұрын
Wa kwanza Leo nawaombeni likes zangu😂
@erictosh12 сағат бұрын
Kitu kimeachwa love from Kenya
@AbudoAbubacar-v9n2 сағат бұрын
Dunia sehemo inayo fatiya isichelewe sna jamani nimeipenda sana from mozambique 🇲🇿
@ndindamuema23052 минут бұрын
Nawatazama kutoka kenya nawapenda sana
@MobTrsco2 сағат бұрын
Wakuni jaman naomba like zangu plz😂😂😂
@radgamechanger25472 сағат бұрын
Mundi anateremsha na kachupa😂😂
@cassamoantumaneantumane36732 сағат бұрын
Nimekua wakwanza leo naombeni like zangu from mozambique
@mwasa_tv2 сағат бұрын
Sema uyu jamaa anajua sanaaa yaan
@NajmaRajabu-q8eСағат бұрын
Jordan 😂😂😂😂😂 kimemlamba 😂Vai funguka
@Steven-v9g2 сағат бұрын
Jamanii likr moja kwangu plz
@mamaaanmar12612 сағат бұрын
Manyanya. Na zinduna. Wamekutana. Haya. Wachatuone. Mwisho wao. 😂😂😂😂😂😂😂