Zeee la kutune. Kakaaaaaaa nakukubali sanaaaaaa🎉🎉🎉
@e7bits_tz Жыл бұрын
🙏🙏🙏
@aslinemapenzi7962 Жыл бұрын
Treasure in the sky the trending movie this movie is something else it's very emotional i have 😭😭😭😭😢 cried the best producers in nollywood industry nagerian uchenna munambo tv on KZbin the best director ben cassie and the new Fine boy cute and handsome, intelligent CLINTON JOSHUA EZEWELE ❤❤❤❤
@filemonjerad151 Жыл бұрын
Watu ni mnawai balaaa khaaa😅😅😅 naombeni like zangu tu Atakama nimechelewa
@stevenjacob8011 Жыл бұрын
Hizo like mnazoziomba Zina kaz gan ?
@ridhiwanmkwanda8436 Жыл бұрын
Yaan zngekuwa seat ww ungekuwa unawahi mbele
@official_juju01 Жыл бұрын
Hatuchelewi😂😂
@khalidmwakabuta5045 Жыл бұрын
Hio apo Joh ,tishaah sana
@IssaMussa-cl9oi11 ай бұрын
Lazima upewe
@IssaHamisi-tf1bf Жыл бұрын
Umetisha mwambaaaas babaaaaaas
@e7bits_tz Жыл бұрын
🙏🙏
@DONY-kz Жыл бұрын
Dah we Jamaa noma Sana movie imetoka juzi tu namaliza kuitazama tayari umepita...safi sana
@nasha_59 Жыл бұрын
Ni movie nzur sna Huwez jua maumiv yakuondkew mpk uondkew na yyl mt wa karib Ni mwak sas tang Mama yang afarik sio rahis😭😭😭😭😭😭 Unajua sna 🙌💥
@e7bits_tz Жыл бұрын
Pole sana🙏
@nasha_59 Жыл бұрын
Asnt sna 🙏🙏
@Shadia544 Жыл бұрын
Duuuh watu halali 😂 nimechelewa nimekuwa wa 98 sio mbaya asante mwamba tunainjoi tuuu ❤❤🌹🌹✌️
@AllenSmith-lp360 Жыл бұрын
Wa kwanzaa leo likee zanguu jamanii
@e7bits_tz Жыл бұрын
🙌
@TheDeeHerself Жыл бұрын
Like zako ndo nini? Acha utoto wewe
@AllenSmith-lp360 Жыл бұрын
@@TheDeeHerself Kumbee,,,hello devothaa😂
@shaibukhamis8635 ай бұрын
Like zako zipi hz
@irenemahal3311 Жыл бұрын
Jamn E 7 bits u are the best ever nimeanz kuwafwatilia Jan nmemaliz recap zotee na Badoo naendelea had nmekutan na 17 min ago
@e7bits_tz Жыл бұрын
Asante sna aisee🙏
@iblack22_11 ай бұрын
Jama anavyo fupisha hizi movie alafu nakuziweka kwa kiswahili yaani sisi wengine ambao tunaoziona zote full kama nimeielewa zaidi kwa hiki kipande kifupi kuliko full yote jamaa umeuwa 🎉❤🔥
@gladysmkamburi500111 ай бұрын
Umeonae niliona full but English
@gidionlemanya607711 ай бұрын
Labda lugha ndio tatizo 😅😅
@abdiswift Жыл бұрын
wakwanzaaaaaa tisha sana e7bits
@e7bits_tz Жыл бұрын
🙏🙏🙏
@ZakiaJuma-z5f Жыл бұрын
Broo hii imetishaaa❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
@e7bits_tz Жыл бұрын
🙏🙏🙏
@nachtor_tz Жыл бұрын
Sikujua kama movie itaisha hiv 😢 ila imenitoa ma chozi na vicheko kwa wakat mmoja ,,,hey ma nigga konkaaa unajua aise we kaka 🥺🥺🥺 Mungu anajua wapi atakufikisha good of luck ma men
@e7bits_tz Жыл бұрын
Thank you so much🙏
@ommyfuture.3853 Жыл бұрын
Aiseeee zee la town respect sana brother 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 Unazidi kutupa burudani na kukonga nyoyo zetu
@e7bits_tz Жыл бұрын
🙏🙏🙏
@JeffRashid-f9z Жыл бұрын
7 bits hii movie ni kali na iko na stor kal nmetouch haya maisha ni mafup love ndo kila kitu
@calvinmathiace9512 Жыл бұрын
Dah kaka inasikitisha sana mwishoni had imenitoa machozi yani 😢
@ZillyGbwy Жыл бұрын
Sana Konka ✌🏼
@mohamedsaid8221 Жыл бұрын
Namba mojaaaaaaaaa
@e7bits_tz Жыл бұрын
🙌🙌🙌
@mohamedsaid8221 Жыл бұрын
@@e7bits_tz nakubali mwamba
@haluarahma3071 Жыл бұрын
Moto sana🔥🔥🔥🔥asante dj❤❤❤
@Tito_mbugi Жыл бұрын
wakwanza naomba usipite bila likes jamn
@e7bits_tz Жыл бұрын
🙌🙌🙌
@Tito_mbugi Жыл бұрын
pamoja kak.. 😁😁
@MossesSanga-e9f Жыл бұрын
Umeipig San nakubal mwanang
@MunyangeNdabirinde-pn8px Жыл бұрын
Kak umeniliza sana kwa story inatiy uzuni san
@DavidThadeo Жыл бұрын
Mzee unajuwa😂🫡🫡🫡🫡🙌🏻🙌🏻🙌🏻
@e7bits_tz Жыл бұрын
Asante sana🙏
@MohdAli-cx7bc Жыл бұрын
Utalia tu inafundisha sana nimepata kitu cha kujifunza maisha mafupi tuishi vizuri na watu hata kama wanatuudhi😢😢
@RickChazy Жыл бұрын
Walio lia kama mimi gonga like tujuane 😭
@SaudatOmary Жыл бұрын
Mzigo unasikitisha sana dah! Nakukubali mwamba...
@emmanuelmashauri1430 Жыл бұрын
Joshua Clinton anajua Sana huyu jamaa
@ClaudGeorge Жыл бұрын
jamaa anakuja kwa kasi 🔥🔥
@millermlowe8156 Жыл бұрын
Hivi mnao omba like huwa mna taka kuzifa nyia nini
@yoh1078 ай бұрын
😆😂😂😂😂😂Aseeeeeeee bora tu uwaambie
@NeyratZubeiry6 ай бұрын
Bora na wew ata umeuliz
@aminaomary483411 ай бұрын
Hii movie ni kali mpaka nimetoa machozi jamani❤❤❤
@justinemasse2811 ай бұрын
Mimi pia nimetoa machozi jamn
@fayzadaud Жыл бұрын
Mzigo ni wa moto 🔥 ila umenitoa machoz kw kwl
@WilfredyChuwa Жыл бұрын
Daaaah nomah sanh # tupendan maish n mafup wanang
@zanifaadam6344 Жыл бұрын
kweli ndomana ikaitwa the treasure in the sky❤❤...
@lengoyamangoindakeni893 Жыл бұрын
Dah!!! Nimeumia bro😮😮
@jovinodongo8212 Жыл бұрын
Ime nitachi sana ukilinganisha na hi life nayo ishi ....... nimachozi tu yananibubujika .... ,,,, ((( maisha nimafupi ishini kwaku furahi 😢😢😢 ))).....😪😪😭😭😭
@fourteen_kiid Жыл бұрын
Kama hujalia hongera yako!
@omarmufti4184 Жыл бұрын
Hiii movie imetufunza kuishi nawana wengine kiroho safiij mana hakuna anaejuwa keshooo I say nimejifunja mengii zaidi kupitia hi movie..
@VailethCharles-xd3dx Жыл бұрын
Isee napenda unavyo tafsiri wah! adi unasisimua yan move unaipeleka ilivyo mm shabiki ako nomba moko
@e7bits_tz Жыл бұрын
Asante sana
@tellodelucky6864 Жыл бұрын
All the way from Zenji#Marashi ya Karafuu...🔥🔥🙌🙌🙌❤
@e7bits_tz Жыл бұрын
🙌🙌🙌
@nachtor_tz Жыл бұрын
😂😂😂 ety wat ,,am sorry sitaweza 🙌😂😂
@e7bits_tz Жыл бұрын
😂
@ChristinaCharles-ef8qv Жыл бұрын
Nimelia kwauchungu 😢 😭 inaumiza sana hi movie
@e7bits_tz Жыл бұрын
So sad😭
@johnpetro1069 Жыл бұрын
Huyu dogo kaupiga mwingi❤❤❤❤ unapoiangali ni lazima ulie au kama una moyo mgumu kama jiwe utaumia sana moyoni
@joshuafute568011 ай бұрын
Yani lazima aseeee machozi yashuke
@ummuhumayraa7000 Жыл бұрын
Machozi yananitoka jamn so sad story
@MasoudMakanya Жыл бұрын
Wakwanza leo na mimi
@e7bits_tz Жыл бұрын
🙌🙌
@NdikumanaSheba-nk5jf Жыл бұрын
Dah mpaka nimelia aki 😥
@mwanahamishamis2711 Жыл бұрын
M mwenyeew nmelia😢😢😢😢
@SHALIFUHASSAN-c1t11 ай бұрын
Huyo jidena jina lake halis ni nan🎉
@pillymwigura124911 ай бұрын
Joshua Clinton ezewele
@dullywa9973 Жыл бұрын
😃😃sema wanaijeria bana, hii story naijua banaaa…ila zee la kutune umeuaaa sana
@ferouzmasoud3104 Жыл бұрын
Daaah 😥 imeniliza hii movie haswa hapo alipo jilikodi inabidi tupendane 😢
E7bit umenifanya kila muda ni refresh youtube yangu kuona mzigo mpya umepost😂😂😂😂
@neemammbaga227 Жыл бұрын
Same here nmekua addicted na recap zake af nlkua at sipend za kutafsiriwa ila saiv wee nshatizam recap za e7bit zotee nasubria mpya tu
@hamoud-kf7xk Жыл бұрын
Nomaaaaaa atali
@benjagabril9994 Жыл бұрын
Oyah weh comment moja inatosha
@irenechristopher2320 Жыл бұрын
Plzz recap ya miracle cell no 7 🙏🙏
@christainc.521711 ай бұрын
Najifunza kitu hapa kuambiya watu waapendane wace cuki maisha nimafupi❤❤
@Chimamy5242 Жыл бұрын
Saut ako ndo inafanya nafatilia story zako❤
@e7bits_tz Жыл бұрын
Asante🙏
@IssaKilimo Жыл бұрын
Duuh jamaa unajua kumsimulia mtu mpaka anasisimka aloo wee noma sanaa
@ashajumanne3281 Жыл бұрын
Mbona nimelia sasa jamni
@nancyg8664 Жыл бұрын
😢ata mimi
@maylucson001 Жыл бұрын
Duuuh nimeipendaaa ❤❤😢
@wennybarny1688 ай бұрын
Leukemia ni English na kwa Kiswahili ni Lukemia hii ni kansa ya damu na ilomuua Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere kwa jina la utani mchonga meno. Ndo ugonjwa ulompata huyo Jidena.
@GeraldKings-xj8iq10 ай бұрын
Leukemia ni cancer ya damu kama kawaida ya cancer isipotibiwa mapema uwa inasambaa kwenye sehemu nyingine za mwili inaweza kwenda kwenye mapafu mtu akapata cancer ya mapafu na sehemu nyingine nyingi ..all in all kazi nzuri brother unajua kusimulia
@NajmaMohammedy-u4y Жыл бұрын
Ad mm nmeliyaa🤧
@WwEe-qc7tc Жыл бұрын
Kusema tu ukweli watu wenye mioyo hii ya dhahabu ni wachache ila matendo yao huwa ni kama maji ambayo hujivunia hadhi yake ya gharama kwani sio uchafu wala ubaya wala sumu maji haogopi kwani maji yanajiamini na jujitosheleza kwa kila kitu kwani maji hayajawahi kushindwa na lo lote zaidi maji yame beba uhai kwa kila kitu ivyo hivyo mtu mwenye moyo waukarimu na ulio jawa na upebdo ni zaidi ya dhahabu safi
@Elizakilisipinilikolika1996 Жыл бұрын
sijui kwann watu wenye moyo mzuli au awadumu
@estergordian-vv9jx Жыл бұрын
Kiukwel watu wakutaka like mnaboa sana
@princealian5642 Жыл бұрын
Jaama jidenna kauwa yaani big respect kwake
@abdul-hamidali6534 Жыл бұрын
Wakwanza😂
@e7bits_tz Жыл бұрын
🙌🙏🙏
@GadafhiFundii Жыл бұрын
❤❤❤ your brother
@richardlizomba1291 Жыл бұрын
Aiseee..nilizimia baada yakuiona hii movie
@sharifabahar9905 Жыл бұрын
🎉❤😂yani dj mm kila muda nilikuwa naangalia chukua mau yako
@e7bits_tz Жыл бұрын
🙌😂
@AloydKalikeka Жыл бұрын
Dah! Hadi nimelia mwishoni aisee😭
@laurentraphael269711 ай бұрын
Uyu jamaa ni fund sana hii ni movie kbsa yenye hisia sana
@MaimunaMustapha-m6c11 ай бұрын
Daah ad nalia
@marryofficial914311 ай бұрын
Mm nmelia mpk mafua😢😂
@Jackilinedanielikilika Жыл бұрын
Daaaa hii movc umenitoa machozi jaman😢😢
@princealian5642 Жыл бұрын
Movie hii unaweza kuangalia mara million Wala isikuboe
@MariahJuliuss6 ай бұрын
Daaaah mpaka mm nimelia jamani jamani kizuli hakidumu😢😢😢😢
@ngido255 Жыл бұрын
Oya zee la kutune huu mzgo nimrudia kusikilza mala tatu wamoto alafu unasikitisha kinomaa😢dah
@elizabethmark2912 Жыл бұрын
Clinton joshua hiii move kaniliza😢
@e7bits_tz Жыл бұрын
Pole🙌
@zenaM-y1b Жыл бұрын
uwe unapost kila mara mana nisipoona ata move moja kwasiku sisiki raa ya KZbin kabisa mpaka narudia kuangalia zanyuma
@AminaBakari-oy9eb Жыл бұрын
Nzur san
@godsonmwanga8808 Жыл бұрын
Mpk nimelia asee😢
@ZachSteph-bp1xl Жыл бұрын
Kama umefanikiwa kuona full movie na hujalia you are a robot my friend😢
@uchebetz7284 Жыл бұрын
Kali sana masaa matatu
@EzekielDebora-cd2ib Жыл бұрын
Watu mko fastaa😂
@MoTalentTz7 ай бұрын
Oy hii movie kali mpk nimeludia tn kuangalia😂😂😂😂😂😂
@cosmasdaudgwemela604611 ай бұрын
Ukweli hii move tamu sana sijui nisemeje I like so much