Ambao tumerudi tena uku baada ya kua ametajwa na Jesus tu like apa..
@humphreywilliam3070 Жыл бұрын
😂 mwanangu tuko pamoja
@atenionesmo_A1010 ай бұрын
tupo weng
@Maxnengineer Жыл бұрын
Huyu nmerud kumskilza sababu ya Jesus aliepita kumi za maangamizi 😂😂
@emanuelmtui13735 жыл бұрын
Haaaaa leo wakwanza kulicheki hili vibe like hata moja ina nitosha pls
@biggieelias49605 жыл бұрын
Oomamaa
@tunechedward49605 жыл бұрын
Wanamuita Mbizze Emcee me namuita Mbeya city's finest....Nmecheka kinoma😂😂..mikono ju kama unanyoa kwapa piga like tusonge
@abdulmohd68805 жыл бұрын
Ili n balaa jingine mzazi jamaa n baba lao... like 1 tu innitosha mm wana...
@tabudabuya9294 жыл бұрын
Muziki sio kazi ndomaana wasabato juma mosi wanaimba🙌🏽🙌🏽
@fgao10715 жыл бұрын
Kama umegundua huyu jamaa anarap kidogo Kama dizasta vina Nipe like yangu
@floramedutiek16205 жыл бұрын
amna xio dizasta n shauling
@yascoguidezanzibar5 жыл бұрын
Shaulin apana wala dizasta hapana uyo ni black Mc kabisa
@woltamdete38734 жыл бұрын
Hapana hawaendani hata
@babukongwee71863 жыл бұрын
Me naona kam matrix...
@momamishevevo8460 Жыл бұрын
Mbize MC heshima sana.
@movahussein15325 жыл бұрын
Nimeikubal kam na ww kam umeipenda 2juane apa kwny like
@brianwesanza56635 жыл бұрын
Tanzania 🇹🇿 walai kuna marapper wengi tena mistari iko sawa
@shadrackmasokola38104 жыл бұрын
Freestyle umetishaaa sana mbizee we kiboko Wanahip pop ambao hamchoki kumusikiliza mbize mpo wangapi tujuane kwa like zenu
@great__sheik6391 Жыл бұрын
Jesus kanirudisha kwa mwamba anasema angepatia angemtia laki 😂😂😂😂
@husseinchiaseeds26535 жыл бұрын
Jamaa ameanza Kama anazingua hv Ila kikicho fata Sasa 🔥🔥🔥🔥🔥🔥 hatari na nusu
@oscarmuhumenya13454 жыл бұрын
Woyooo kama umesikia mkono juu kama unanyoa kwapa gonga like tende sawa.
@ntawurusigajaphet8135 жыл бұрын
East Africa Redio njooni Burundi🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@calvinceochieng48485 жыл бұрын
Yupo vizuri,aisee,...ila EastAfrica Radio,mitabendi,94.7,Nairobi Kenya hatuwasikii,siku nyingi mno,rekebisheni mitambo tafadhali,twakosa mengi kwenye vipindi vyenu.
@zahirstamina59125 жыл бұрын
Ukweli kabisa
@winstonrwegalulila46835 жыл бұрын
Jamaa anajua sana still ni mapafu ya mbwa.Achana na wazushi wale wanaokuja na daftari afu wanajifanya wana freestyle na bado wanakata upepo big up kwa @mbezimc
@abubackarramadhan57282 жыл бұрын
Hip hop never die
@babun24095 жыл бұрын
MBIZE MC bwana mkimbizi bac kaz nzr sana umeonesha uma kuwa uwezo wako c mdogo n mkubwa sana ,,one love
@moshimoshi60965 жыл бұрын
Mbeya Kuna HIP HOP 🔥🔥🔥 Anaebisha mama ake mwanaume
@kulishaandry57302 жыл бұрын
Mbize vina... Mbize Mc... Green city rapper
@sharogangstar11745 жыл бұрын
Mbize Freestyler kaua sana kijana kutoka Iyunga Mbeya
When Dakika kumi was dakika kumi...nowdays levels zmeshuka
@hommie_ismaa5 жыл бұрын
Mbeziiiii 🔥🔥 Nakukubali Damu Yangu
@ezbk_wapakaya5 жыл бұрын
Umeuaaa blood 🔥🔥🔥🔥
@njiletungu79885 жыл бұрын
Daaahhh brother dullah uko vzr
@alumpost66315 жыл бұрын
Mbize Mc,, unajua sana mwamba.. yan umeuaaaa
@hamzakem29245 жыл бұрын
Jamaa katisha xan
@24four7seven85 жыл бұрын
Wanao cheq wakiwa high nipeni likes tuende sawa
@donalfa18505 жыл бұрын
Hahahah we jamaa noma 🔥🔥high 2the high level
@jrluhombo5 жыл бұрын
Mbize mc made us proud
@iddysekavumo46195 жыл бұрын
Duh mbeya noma yan anafata nyenzo za mbeya boy yan ni hatariiiiiii
@allykaizar95095 жыл бұрын
Jamaa noma xna mkono juu km unanyoa kwapa
@amoboe46543 жыл бұрын
Makini damu yangu
@j4wasaimon9815 жыл бұрын
Hip hop 4life baby
@pancraskasana47984 жыл бұрын
noma sanaa mwamba anajua
@raymondaarontz75105 жыл бұрын
Mbeya kuna vipajiii mbeya boy chuma alitisha mbize amekuja kudhihisha hiloo
@peterogutu71752 жыл бұрын
Hatari bana, mbize mbize
@benjo_brighter Жыл бұрын
Mbize Mc 🙌🔥🙌
@gwantadibusta Жыл бұрын
Hii ilikua ya moto sana
@yascoguidezanzibar5 жыл бұрын
Wangap kwa uyu jmaa wanamsikia BLACK MC
@kasongokanyaru32215 жыл бұрын
yasco mdoe namsikia dizasta ndan yake
@carekazinza60355 жыл бұрын
Jamaa kaua balaaaaaaa atakua #Baba lao
@djtrusted69975 жыл бұрын
KE... Tuko ndani
@KIREDIOO5 жыл бұрын
Shikamoo mbeya
@paulebby15525 жыл бұрын
Mmekosea jina LA MC Mbize
@Geophreychinaco4 ай бұрын
Mziki sio kazi ndomaana wasabato wanaimba mpaka jumamosi😂😂
@jimmykidult2 жыл бұрын
Keep moving for good my blood… one love jamaa.
@johnizoboy5 жыл бұрын
Nomaa sanaaaaaaa🔥🔥🔥🔥
@peterclaver60605 жыл бұрын
Umeipeleka Rap ya mtaani Mainstream. hiyo ndo hiphop safi sana. 🤣✍
@warlenjerome3475 жыл бұрын
Mwanangu mbizeee fundi kutoka sua.......
@abdallahnurdin86855 жыл бұрын
Twende saw km umesikia maua Sam aokot
@camillomakongwa83085 жыл бұрын
Anajuaaa sanaaaa huyo jamaaaaaaa
@abdullychikambo54844 жыл бұрын
Nomaaa....
@amossyonga56764 жыл бұрын
Kaliii bado tunamsubiri shaolin seneta
@siamensoul62145 жыл бұрын
🙌🙌🤣🤣🤣🤣💥💥💥😹😹😹😹nimecheka mnoo jamaa anajuaaa
@kisekemtanganyika67533 жыл бұрын
💪💪💪mbizenoma muziki sokazi🤣🤣
@husseinchiaseeds26535 жыл бұрын
Hki bichwa noma sana aiseee
@brianwesanza56635 жыл бұрын
Namkubali
@transporteralfredy1806 Жыл бұрын
enyewe kaka umefanya vizuri
@mdsound78614 жыл бұрын
Mbizeee na majitaa
@harryboy71945 жыл бұрын
kama anaweza tia like
@nivogee98305 жыл бұрын
Izoo beats nmezkubali afu mwamba kazbless poa
@msafiriseuta11664 жыл бұрын
kijan yupo good
@mbizepoemkid4764 жыл бұрын
*Habari* *MBIZE POEM KID* anapenda kukufahamisha kwamba ile EP yake MPYAA kabisa yakuitwa *THE SEED* uliyokuwa ukiiisubiri kwa Muda mrefu sasa ishaingia mtaani. *THE SEED EP* ni *Strictly Hip Hop,* albamu Safi na imepikwa ikapikika na Mpishi mkuu Black Ninja. The Seed Ep inapatikana kwa Mfumo wa Soft Copy [EMAIL + WHATSAP] *BEI NI Tsh 4, 000/= TU* *MANUNUZI* TIGOPESA: 0658525766 Jina: Geofrey Charles #MbizeNaMasela #TheSeedEp #MwanaharamuUharamuni
@thomasamon37935 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂 hautumii rungu😂
@ngalambemzulu30625 жыл бұрын
Umeua sana japo nime late kuiangalia kinasa waziii
*Habari* *MBIZE POEM KID* anapenda kukufahamisha kwamba ile EP yake MPYAA kabisa yakuitwa *THE SEED* uliyokuwa ukiiisubiri kwa Muda mrefu sasa ishaingia mtaani. *THE SEED EP* ni *Strictly Hip Hop,* albamu Safi na imepikwa ikapikika na Mpishi mkuu Black Ninja. The Seed Ep inapatikana kwa Mfumo wa Soft Copy [EMAIL + WHATSAP] *BEI NI Tsh 4, 000/= TU* *MANUNUZI* TIGOPESA: 0658525766 Jina: Geofrey Charles #MbizeNaMasela #TheSeedEp #MwanaharamuUharamuni
@johnmaningu1265 жыл бұрын
mzk cyo kazi ndy maana wasabato wanaimba mpaka jumamos
Sama unazingua,mchz ana uwezo sana ila beat zako mizinguo
@marthamwanduha8362 жыл бұрын
Gooood
@petersimon21155 жыл бұрын
Hip Hop for ever
@danielkasebele58555 жыл бұрын
nakubali homeboy
@msafirisalum84365 жыл бұрын
Nakubalii
@liifrank21605 жыл бұрын
Mambo ni fire
@nicksonmarko92615 жыл бұрын
balaaaa hili jmn
@danielmichael99785 жыл бұрын
Mbize katishaaaa
@andreakulisha51444 жыл бұрын
Mbize nakubal pacha anguuuuu
@mbizepoemkid4764 жыл бұрын
*Habari* *MBIZE POEM KID* anapenda kukufahamisha kwamba ile EP yake MPYAA kabisa yakuitwa *THE SEED* uliyokuwa ukiiisubiri kwa Muda mrefu sasa ishaingia mtaani. *THE SEED EP* ni *Strictly Hip Hop,* albamu Safi na imepikwa ikapikika na Mpishi mkuu Black Ninja. The Seed Ep inapatikana kwa Mfumo wa Soft Copy [EMAIL + WHATSAP] *BEI NI Tsh 4, 000/= TU* *MANUNUZI* TIGOPESA: 0658525766 Jina: Geofrey Charles #MbizeNaMasela #TheSeedEp #MwanaharamuUharamuni