Dakika 10 Za Maangamizi - MBIZE MC | Planet Bongo

  Рет қаралды 61,527

EastAfricaRadio

EastAfricaRadio

Күн бұрын

#PlanetBongo #Dakika10ZaMaangamizi #EastAfricaBreakfast

Пікірлер: 189
@abdulmohd6880
@abdulmohd6880 Жыл бұрын
Ambao tumerudi tena uku baada ya kua ametajwa na Jesus tu like apa..
@humphreywilliam3070
@humphreywilliam3070 Жыл бұрын
😂 mwanangu tuko pamoja
@atenionesmo_A10
@atenionesmo_A10 10 ай бұрын
tupo weng
@Maxnengineer
@Maxnengineer Жыл бұрын
Huyu nmerud kumskilza sababu ya Jesus aliepita kumi za maangamizi 😂😂
@emanuelmtui1373
@emanuelmtui1373 5 жыл бұрын
Haaaaa leo wakwanza kulicheki hili vibe like hata moja ina nitosha pls
@biggieelias4960
@biggieelias4960 5 жыл бұрын
Oomamaa
@tunechedward4960
@tunechedward4960 5 жыл бұрын
Wanamuita Mbizze Emcee me namuita Mbeya city's finest....Nmecheka kinoma😂😂..mikono ju kama unanyoa kwapa piga like tusonge
@abdulmohd6880
@abdulmohd6880 5 жыл бұрын
Ili n balaa jingine mzazi jamaa n baba lao... like 1 tu innitosha mm wana...
@tabudabuya929
@tabudabuya929 4 жыл бұрын
Muziki sio kazi ndomaana wasabato juma mosi wanaimba🙌🏽🙌🏽
@fgao1071
@fgao1071 5 жыл бұрын
Kama umegundua huyu jamaa anarap kidogo Kama dizasta vina Nipe like yangu
@floramedutiek1620
@floramedutiek1620 5 жыл бұрын
amna xio dizasta n shauling
@yascoguidezanzibar
@yascoguidezanzibar 5 жыл бұрын
Shaulin apana wala dizasta hapana uyo ni black Mc kabisa
@woltamdete3873
@woltamdete3873 4 жыл бұрын
Hapana hawaendani hata
@babukongwee7186
@babukongwee7186 3 жыл бұрын
Me naona kam matrix...
@momamishevevo8460
@momamishevevo8460 Жыл бұрын
Mbize MC heshima sana.
@movahussein1532
@movahussein1532 5 жыл бұрын
Nimeikubal kam na ww kam umeipenda 2juane apa kwny like
@brianwesanza5663
@brianwesanza5663 5 жыл бұрын
Tanzania 🇹🇿 walai kuna marapper wengi tena mistari iko sawa
@shadrackmasokola3810
@shadrackmasokola3810 4 жыл бұрын
Freestyle umetishaaa sana mbizee we kiboko Wanahip pop ambao hamchoki kumusikiliza mbize mpo wangapi tujuane kwa like zenu
@great__sheik6391
@great__sheik6391 Жыл бұрын
Jesus kanirudisha kwa mwamba anasema angepatia angemtia laki 😂😂😂😂
@husseinchiaseeds2653
@husseinchiaseeds2653 5 жыл бұрын
Jamaa ameanza Kama anazingua hv Ila kikicho fata Sasa 🔥🔥🔥🔥🔥🔥 hatari na nusu
@oscarmuhumenya1345
@oscarmuhumenya1345 4 жыл бұрын
Woyooo kama umesikia mkono juu kama unanyoa kwapa gonga like tende sawa.
@ntawurusigajaphet813
@ntawurusigajaphet813 5 жыл бұрын
East Africa Redio njooni Burundi🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@calvinceochieng4848
@calvinceochieng4848 5 жыл бұрын
Yupo vizuri,aisee,...ila EastAfrica Radio,mitabendi,94.7,Nairobi Kenya hatuwasikii,siku nyingi mno,rekebisheni mitambo tafadhali,twakosa mengi kwenye vipindi vyenu.
@zahirstamina5912
@zahirstamina5912 5 жыл бұрын
Ukweli kabisa
@winstonrwegalulila4683
@winstonrwegalulila4683 5 жыл бұрын
Jamaa anajua sana still ni mapafu ya mbwa.Achana na wazushi wale wanaokuja na daftari afu wanajifanya wana freestyle na bado wanakata upepo big up kwa @mbezimc
@abubackarramadhan5728
@abubackarramadhan5728 2 жыл бұрын
Hip hop never die
@babun2409
@babun2409 5 жыл бұрын
MBIZE MC bwana mkimbizi bac kaz nzr sana umeonesha uma kuwa uwezo wako c mdogo n mkubwa sana ,,one love
@moshimoshi6096
@moshimoshi6096 5 жыл бұрын
Mbeya Kuna HIP HOP 🔥🔥🔥 Anaebisha mama ake mwanaume
@kulishaandry5730
@kulishaandry5730 2 жыл бұрын
Mbize vina... Mbize Mc... Green city rapper
@sharogangstar1174
@sharogangstar1174 5 жыл бұрын
Mbize Freestyler kaua sana kijana kutoka Iyunga Mbeya
@adamdejah2763
@adamdejah2763 5 жыл бұрын
safi kabisa hii ndo HIP HOP
@warlenjerome347
@warlenjerome347 5 жыл бұрын
Mbize mc representing SUA MOST TALENTED
@REVOLUTIONARYLYRICS
@REVOLUTIONARYLYRICS 5 ай бұрын
Toka SUA anajua sana udongo na kilimo
@mcburah2883
@mcburah2883 5 жыл бұрын
East Afrika Radio iko juu baba
@michaelmg440
@michaelmg440 5 жыл бұрын
Mkono juuuuu
@pcthemaster9096
@pcthemaster9096 5 жыл бұрын
sana blood angu. mbize mc. umeua hommie. kinasa wazi 4 ever
@arastanleyteswatwende5825
@arastanleyteswatwende5825 5 жыл бұрын
Ako vizuri saana big up
@zackypapla5511
@zackypapla5511 5 жыл бұрын
Kawaidaa sana kwa mbizeee hajawah niangusha
@REVOLUTIONARYLYRICS
@REVOLUTIONARYLYRICS Жыл бұрын
Na hiyo ndo hip hop ndio maana tuko hapa 🇰🇪
@sosatz
@sosatz 5 жыл бұрын
Mbize Mc... 🙌 salute bro..
@kevinwesanza7562
@kevinwesanza7562 Жыл бұрын
When Dakika kumi was dakika kumi...nowdays levels zmeshuka
@hommie_ismaa
@hommie_ismaa 5 жыл бұрын
Mbeziiiii 🔥🔥 Nakukubali Damu Yangu
@ezbk_wapakaya
@ezbk_wapakaya 5 жыл бұрын
Umeuaaa blood 🔥🔥🔥🔥
@njiletungu7988
@njiletungu7988 5 жыл бұрын
Daaahhh brother dullah uko vzr
@alumpost6631
@alumpost6631 5 жыл бұрын
Mbize Mc,, unajua sana mwamba.. yan umeuaaaa
@hamzakem2924
@hamzakem2924 5 жыл бұрын
Jamaa katisha xan
@24four7seven8
@24four7seven8 5 жыл бұрын
Wanao cheq wakiwa high nipeni likes tuende sawa
@donalfa1850
@donalfa1850 5 жыл бұрын
Hahahah we jamaa noma 🔥🔥high 2the high level
@jrluhombo
@jrluhombo 5 жыл бұрын
Mbize mc made us proud
@iddysekavumo4619
@iddysekavumo4619 5 жыл бұрын
Duh mbeya noma yan anafata nyenzo za mbeya boy yan ni hatariiiiiii
@allykaizar9509
@allykaizar9509 5 жыл бұрын
Jamaa noma xna mkono juu km unanyoa kwapa
@amoboe4654
@amoboe4654 3 жыл бұрын
Makini damu yangu
@j4wasaimon981
@j4wasaimon981 5 жыл бұрын
Hip hop 4life baby
@pancraskasana4798
@pancraskasana4798 4 жыл бұрын
noma sanaa mwamba anajua
@raymondaarontz7510
@raymondaarontz7510 5 жыл бұрын
Mbeya kuna vipajiii mbeya boy chuma alitisha mbize amekuja kudhihisha hiloo
@peterogutu7175
@peterogutu7175 2 жыл бұрын
Hatari bana, mbize mbize
@benjo_brighter
@benjo_brighter Жыл бұрын
Mbize Mc 🙌🔥🙌
@gwantadibusta
@gwantadibusta Жыл бұрын
Hii ilikua ya moto sana
@yascoguidezanzibar
@yascoguidezanzibar 5 жыл бұрын
Wangap kwa uyu jmaa wanamsikia BLACK MC
@kasongokanyaru3221
@kasongokanyaru3221 5 жыл бұрын
yasco mdoe namsikia dizasta ndan yake
@carekazinza6035
@carekazinza6035 5 жыл бұрын
Jamaa kaua balaaaaaaa atakua #Baba lao
@djtrusted6997
@djtrusted6997 5 жыл бұрын
KE... Tuko ndani
@KIREDIOO
@KIREDIOO 5 жыл бұрын
Shikamoo mbeya
@paulebby1552
@paulebby1552 5 жыл бұрын
Mmekosea jina LA MC Mbize
@Geophreychinaco
@Geophreychinaco 4 ай бұрын
Mziki sio kazi ndomaana wasabato wanaimba mpaka jumamosi😂😂
@jimmykidult
@jimmykidult 2 жыл бұрын
Keep moving for good my blood… one love jamaa.
@johnizoboy
@johnizoboy 5 жыл бұрын
Nomaa sanaaaaaaa🔥🔥🔥🔥
@peterclaver6060
@peterclaver6060 5 жыл бұрын
Umeipeleka Rap ya mtaani Mainstream. hiyo ndo hiphop safi sana. 🤣✍
@warlenjerome347
@warlenjerome347 5 жыл бұрын
Mwanangu mbizeee fundi kutoka sua.......
@abdallahnurdin8685
@abdallahnurdin8685 5 жыл бұрын
Twende saw km umesikia maua Sam aokot
@camillomakongwa8308
@camillomakongwa8308 5 жыл бұрын
Anajuaaa sanaaaa huyo jamaaaaaaa
@abdullychikambo5484
@abdullychikambo5484 4 жыл бұрын
Nomaaa....
@amossyonga5676
@amossyonga5676 4 жыл бұрын
Kaliii bado tunamsubiri shaolin seneta
@siamensoul6214
@siamensoul6214 5 жыл бұрын
🙌🙌🤣🤣🤣🤣💥💥💥😹😹😹😹nimecheka mnoo jamaa anajuaaa
@kisekemtanganyika6753
@kisekemtanganyika6753 3 жыл бұрын
💪💪💪mbizenoma muziki sokazi🤣🤣
@husseinchiaseeds2653
@husseinchiaseeds2653 5 жыл бұрын
Hki bichwa noma sana aiseee
@brianwesanza5663
@brianwesanza5663 5 жыл бұрын
Namkubali
@transporteralfredy1806
@transporteralfredy1806 Жыл бұрын
enyewe kaka umefanya vizuri
@mdsound7861
@mdsound7861 4 жыл бұрын
Mbizeee na majitaa
@harryboy7194
@harryboy7194 5 жыл бұрын
kama anaweza tia like
@nivogee9830
@nivogee9830 5 жыл бұрын
Izoo beats nmezkubali afu mwamba kazbless poa
@msafiriseuta1166
@msafiriseuta1166 4 жыл бұрын
kijan yupo good
@mbizepoemkid476
@mbizepoemkid476 4 жыл бұрын
*Habari* *MBIZE POEM KID* anapenda kukufahamisha kwamba ile EP yake MPYAA kabisa yakuitwa *THE SEED* uliyokuwa ukiiisubiri kwa Muda mrefu sasa ishaingia mtaani. *THE SEED EP* ni *Strictly Hip Hop,* albamu Safi na imepikwa ikapikika na Mpishi mkuu Black Ninja. The Seed Ep inapatikana kwa Mfumo wa Soft Copy [EMAIL + WHATSAP] *BEI NI Tsh 4, 000/= TU* *MANUNUZI* TIGOPESA: 0658525766 Jina: Geofrey Charles #MbizeNaMasela #TheSeedEp #MwanaharamuUharamuni
@thomasamon3793
@thomasamon3793 5 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂 hautumii rungu😂
@ngalambemzulu3062
@ngalambemzulu3062 5 жыл бұрын
Umeua sana japo nime late kuiangalia kinasa waziii
@alphaleahibrahim8904
@alphaleahibrahim8904 5 жыл бұрын
Nakubali mbize
@prettyshuuumungypo6967
@prettyshuuumungypo6967 Жыл бұрын
msela ni nyokololo
@valencevedastus2954
@valencevedastus2954 5 жыл бұрын
👊👊tabu nyingine hii
@rapperpee9778
@rapperpee9778 5 жыл бұрын
Nomoh kinomah brazah ulisababisha hatari kinyama
@novathkinaboykinaboy6834
@novathkinaboykinaboy6834 5 жыл бұрын
Noma kwel
@erickbmasunga1879
@erickbmasunga1879 5 жыл бұрын
Napenda unavojiongezaa mapema japo we co mchele
@royalpriestsmusic5685
@royalpriestsmusic5685 3 жыл бұрын
OYEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE MBEYAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA CITYYYYYYYYYYYYYYYYYYYYYYYYYYYYYYYYYYYYYYYYYYYYYYYYYYYY HALAHALAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA
@RobyDizzo
@RobyDizzo Жыл бұрын
5 zakwako mbize salut
@bernard-deuly
@bernard-deuly 5 жыл бұрын
Anaweza
@kisakiempire9242
@kisakiempire9242 4 жыл бұрын
Hao ndo watu wa kuleta studio sasa
@mbizepoemkid476
@mbizepoemkid476 4 жыл бұрын
*Habari* *MBIZE POEM KID* anapenda kukufahamisha kwamba ile EP yake MPYAA kabisa yakuitwa *THE SEED* uliyokuwa ukiiisubiri kwa Muda mrefu sasa ishaingia mtaani. *THE SEED EP* ni *Strictly Hip Hop,* albamu Safi na imepikwa ikapikika na Mpishi mkuu Black Ninja. The Seed Ep inapatikana kwa Mfumo wa Soft Copy [EMAIL + WHATSAP] *BEI NI Tsh 4, 000/= TU* *MANUNUZI* TIGOPESA: 0658525766 Jina: Geofrey Charles #MbizeNaMasela #TheSeedEp #MwanaharamuUharamuni
@johnmaningu126
@johnmaningu126 5 жыл бұрын
mzk cyo kazi ndy maana wasabato wanaimba mpaka jumamos
@hellyfridy
@hellyfridy 5 жыл бұрын
Umeua kinoma mwana
@josedorothea7939
@josedorothea7939 5 жыл бұрын
Mbona umekosea ungepatia ningekuonga laki🤣🤣🤣 Tisha mbaya ✌️
@allykaizar9509
@allykaizar9509 5 жыл бұрын
Freestair jamaa noma
@mcburah2883
@mcburah2883 5 жыл бұрын
Tupo live bb tunakwelewa
@kstbongo6943
@kstbongo6943 5 жыл бұрын
Anajuaaa
@deenicetz
@deenicetz 5 жыл бұрын
Sama unazingua,mchz ana uwezo sana ila beat zako mizinguo
@marthamwanduha836
@marthamwanduha836 2 жыл бұрын
Gooood
@petersimon2115
@petersimon2115 5 жыл бұрын
Hip Hop for ever
@danielkasebele5855
@danielkasebele5855 5 жыл бұрын
nakubali homeboy
@msafirisalum8436
@msafirisalum8436 5 жыл бұрын
Nakubalii
@liifrank2160
@liifrank2160 5 жыл бұрын
Mambo ni fire
@nicksonmarko9261
@nicksonmarko9261 5 жыл бұрын
balaaaa hili jmn
@danielmichael9978
@danielmichael9978 5 жыл бұрын
Mbize katishaaaa
@andreakulisha5144
@andreakulisha5144 4 жыл бұрын
Mbize nakubal pacha anguuuuu
@mbizepoemkid476
@mbizepoemkid476 4 жыл бұрын
*Habari* *MBIZE POEM KID* anapenda kukufahamisha kwamba ile EP yake MPYAA kabisa yakuitwa *THE SEED* uliyokuwa ukiiisubiri kwa Muda mrefu sasa ishaingia mtaani. *THE SEED EP* ni *Strictly Hip Hop,* albamu Safi na imepikwa ikapikika na Mpishi mkuu Black Ninja. The Seed Ep inapatikana kwa Mfumo wa Soft Copy [EMAIL + WHATSAP] *BEI NI Tsh 4, 000/= TU* *MANUNUZI* TIGOPESA: 0658525766 Jina: Geofrey Charles #MbizeNaMasela #TheSeedEp #MwanaharamuUharamuni
@changanataliforlife3760
@changanataliforlife3760 3 жыл бұрын
Mbize mc 🔥🔥👉 Black mc
@mkolwebrown4599
@mkolwebrown4599 4 жыл бұрын
Mbiiiiize
@fredykitaly8010
@fredykitaly8010 2 жыл бұрын
Wazee wakubamizaa
Dakika 10 Za Maangamizi  - Kinya | Planet Bongo
12:14
EastAfricaRadio
Рет қаралды 152 М.
Dakika 10 za Maangamizi  - Matrex | Planet Bongo
12:40
EastAfricaRadio
Рет қаралды 216 М.
How to treat Acne💉
00:31
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 108 МЛН
VIP ACCESS
00:47
Natan por Aí
Рет қаралды 30 МЛН
My scorpion was taken away from me 😢
00:55
TyphoonFast 5
Рет қаралды 2,7 МЛН
LIVE :  SPORTS XTRA YA CLOUDS FM | SIMBA YAVUTWA SHATI
CLOUDSMEDIA
Рет қаралды 136
Dakika 10 za Maangamizi - Nyenza | Planet Bongo
12:29
EastAfricaRadio
Рет қаралды 191 М.
VINA MEZANI: KILICHOBAKI WAONDOKE NA MEZA VINA WATUACHIE HAPA
15:01
Dakika 10 za Maangamizi na Bunaya
12:24
EastAfricaRadio
Рет қаралды 138 М.
#ROSTAM WACHANANA KISA #IOKOTE YA MAUA
4:07
VIVAROMA
Рет қаралды 760 М.
How to treat Acne💉
00:31
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 108 МЛН