RAPA WANGU BORA WAKIzaz kijacho 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌mtanielewa baadae😂
@mustaphasolyambingo5851 Жыл бұрын
Kwel brooo
@victorvictor3064 Жыл бұрын
Kaka Bando Mc Huyu Dogo muweke kwenye remix ya Naomba tuongee
@abdallahidrisa910 Жыл бұрын
Me nimeekewa kuanzia ss
@abdallahidrisa910 Жыл бұрын
Nimeelewa kuanzia ss
@richmonster_tz9138 Жыл бұрын
hatari sanaaaaa
@hatuatv Жыл бұрын
Onhooooo; Bongo Hip Hop inahifadhiwa katika eneo sahihi mnooo na si lingine zaidi ya East Africa Radio ✊🏽 #dakika10zamaangamizi #hiphop 🔥🔥
@EarningsEdge101 Жыл бұрын
Flows A Punchlines A Creativity A Kunata na beat A Vibes A Inspired by Bando MC Monster 💀💀 🔥🔥
@umbrellanews9410 Жыл бұрын
Leo Ujamuekea GPA kaka
@alexsesi66769 ай бұрын
much respect Home BOY,endelea kupambana una kitu ndugu.
@cosbytz2370 Жыл бұрын
Rapper wa kwanza kwenye dakika 10 za maangamizi aliyevaa tai na kuchomekea hakika ametisha sana aisee
@Priver_Jabir Жыл бұрын
Huyu jamaaa nilianza kumkubali pale shule ya jongo,,, time ya jioni Huwa walikuwa wanakutana kufanya pindi ya sir side presenter wa pambazuko fm kipindi Kule. Respect kwako #rich_monster.. Sikup maua Mzee nakupa Kombat, Buti na bunduki ukapambanie nafasi yako maana naiona kwenye bongo hip hop