Рет қаралды 39,991
EKHUWE SINA? (With Translations below). Composed by Ochieng Odongo
Wele Papa owe bise biosi , Wele Papa owe bise biosi, Wele Papa owe bise biosi, wakhusima lukali buli khase x2.
Khumatemo Papa ewe olio - Wele Papa owe bise biosi, Wele Papa owe bise biosi, wakhusima lukali buli khase.
Mubulwale Papa ewe olio----
Mubutinyu Papa ewe olio-----
Nekonekha Papa ewe olio---
Chorus:
Ekhuwe sina Wele wange, khumalayi niko wakholela, nyola orio yange nio ekhurusilia, endalo ya luno x2.
1.Mungu Baba wewe unatupenda siku zote (kweli), hakika kila wakati wewe u mwema.
2.Unafanya mvua inanyesha kwa wote (kweli), walio wema na hata wale waovu.
3.Mwili wako nimekula damuyo nimekunywa (kweli), chakula kilicho bora chenye uzima.
4.Wanikinga na hatari nyingi kila wakati (kweli), nguvu na afya njema umenijalia.
5.Na uzima umeniahidi kwa kifo chako (kweli) uzima ule wa mbingu na wa milele.
Translation:
Mungu baba wa milele, Mungu baba wa milele, Mungu baba wa milele, unatupenda sana siku zote.
Katika majaribu wewe upo - Mungu baba wa milele, Mungu baba wa milele, unatupenda sana siku zote.
Katika magonjwa wewe upo----
Katika magumu wewe upo----
Kukiharibika wewe upo------
Chorus:
Nikupe nini Mungu wangu, kwa mema yote uliyonijalia, pokea shukrani zangu ninazokutolea, siku ya leo x2.