Vizuri sana mchungaji, nimefurahi sana juu ya kuheshimu wabeba maono
@catherinegimbika154510 ай бұрын
Mungu awabariki wabeba kusudi (IT team) wako vizuri mno kama mchungaji wao, Mungu awainueee daima🎉🎉🎉🎉🎉
@lightmoshi313110 ай бұрын
Paster Eliona nikama umeniona nakopita na ndugu zangu,yn ni kinapa,yelyeuwiiiii
@annamazengo97510 ай бұрын
Haina sauti mbona tusaidieni basi
@furahamtweve422210 ай бұрын
Amen❤❤❤❤
@josephlukumaya422310 ай бұрын
Mbona hii hayonekani vizuri
@JackieSiriwa8 ай бұрын
😊😊
@doreentemba78333 ай бұрын
😇💟✝️🙏🏿
@giftcalleb159710 ай бұрын
Mimi nimebariiiwa san,Nlkua naomba kama itawezekana turushiwe matangazo Mahubir haya kwenye TV maana kunasehem wanatamani kuyasikia na hawana namna yakuyapata online,mfano ikiwekwa kwenye Azam tv au startimes itawafikia watu wengi sana na Jina la bwana litazidi kutukuzwa,Mahubiri Mazuri sana na nnafatilia kila mara sitoki tupu Mungu awabariki sana team nzima ya kijito nyama na mchungaji hakika umebeba kusudi sio tu kwa Watanzania na dunia kwa Ujumla
@deborahissaya16019 ай бұрын
Ameen ubarikiwe sana kwa hili wazo naamini wataona comment yako
@catherinegimbika154510 ай бұрын
Yaan like zingeruhusiwa zaidi ya moja, ningelike zisizo na hukomo,