EMBARAMBAMBA HATARINI KWENDA JELA AU KULIPA 6.4 MILLION | HATUA KALI ALIZOCHUKULIWA NA KFCB (Part 3)

  Рет қаралды 48,764

Mseto East Africa

Mseto East Africa

Күн бұрын

#Part_3 #Embarambamba #KFCB

Пікірлер: 305
@MargaretKimani-v5b
@MargaretKimani-v5b 7 ай бұрын
Kenya need law like this because nchi yetu imepotea njia sana,,pia kwa media matusi imezidi wanafaa wafuatulie hizo maneno.
@davidolao5292
@davidolao5292 7 ай бұрын
Cheza na kila kitu lakini sio jina la mungu Baba wetu
@NicodemusKithi-xe7mg
@NicodemusKithi-xe7mg 6 ай бұрын
Uliimba kibiashara but haukumwimbia mungu..beba msalaba wako ju unaibisha wakristo
@Fevouredjussey
@Fevouredjussey 7 ай бұрын
Embarambamba naye alipita mipaka😢
@carolineOuru-oi9nc
@carolineOuru-oi9nc 7 ай бұрын
For sure but I think sai amejifunza
@EmmanuelKibet-n5y
@EmmanuelKibet-n5y 7 ай бұрын
Akili yake haiko sawa😅😅
@rosendunge4217
@rosendunge4217 7 ай бұрын
Wewe kula usherati yako..this is now Kenya laws ⚖ that should be ❤❤..mjinga wa mwanamme..na unalaumu itumbi ,kwani ukienda uchi itumbi ndie alikutoa nguo saitani hii..umepewa dawa yako sasa..well done serikali..heri malaya wa koinange kuliko uimbaji wako
@estherwairimu8760
@estherwairimu8760 7 ай бұрын
Let me me tell you imagine umekubarishwa. Kucheza navitu zote zadunia hii but Mungu ni 🔥🔥
@Elimadonna
@Elimadonna 7 ай бұрын
Kabisaa nebukadinezaru
@munyokimakau.
@munyokimakau. 7 ай бұрын
Thank you kfcb,,huyu ata bible hajui,,,no wonder anaiba uchafu
@Elimadonna
@Elimadonna 7 ай бұрын
Leo Niko na sherehe🎉🎉🎉🎉 thank you our God fearing Kenyan
@kaydazkenya
@kaydazkenya 7 ай бұрын
Mtu jinga sana
@Wilky254
@Wilky254 7 ай бұрын
Prisi pris pris samea hii chinga halijui halijofanya... Na mungu amusamehe pia... Na asirudie Tena 😳😳 Tabia Mbayaaa..
@khadijahali6856
@khadijahali6856 7 ай бұрын
Options ni 2.Its either alipe 6.4m ama afungwe 7yrs. Sasa kama hana 6.4m then afuate the 2nd option asituumishe kichwa mjinga huyu unaimba na hata hajui verses za kwa bible.Kupotosha watoto tu kwenye jamii
@mickymikobi1920
@mickymikobi1920 7 ай бұрын
Ufalaaaa cheza na Mungu ujue serekali yetu inaeshimu MUNGU Baniiii wewe 😂😂😂😂
@Elimadonna
@Elimadonna 7 ай бұрын
Leo ndo nimejua Kuna remnants wamcha Mungu serikalini ya Kenya ❤ thank you serikali ya Kenya kwa kutusaidia kulitetea jina la Mungu❤❤ much love
@FaridaGati
@FaridaGati 7 ай бұрын
Omba mungu akusamehe
@redmwiks
@redmwiks 7 ай бұрын
Those who invite him to church events should repent for creating a monster. He was never a gospel artist....apambane..
@jaredatoli5784
@jaredatoli5784 7 ай бұрын
The men of God who invite him are to blame...hao sasa ndio shida.
@cheroojeroo5939
@cheroojeroo5939 7 ай бұрын
Yani siku ya nyani kukufa miti yote utikinga 😮😮 Mzee ana LA kusema
@Elimadonna
@Elimadonna 7 ай бұрын
Leo ndo nimepata nguvu ya ku comment kwa embaravara
@vincentgitiva8849
@vincentgitiva8849 6 ай бұрын
Anatumiwa na watu fulani kusambaza coded message, mama Otis is pure comedy but this guy aadhibiwe tu
@tigermose6491
@tigermose6491 7 ай бұрын
Amekosea mwenyezi mungu, Jamii ya Kisii and Kenyans
@protusmuliro2796
@protusmuliro2796 7 ай бұрын
This guy embarambamba is very innocent plz yani huyu ndo muimbaji pekee atasamehewa na mwenyezi mungu
@sophiahrichard2674
@sophiahrichard2674 7 ай бұрын
Huyu hata ajui verse 😂😂😂😂😂
@ayuma4747
@ayuma4747 7 ай бұрын
But anaitwa makanisa na anapanda madhabau... Tumepotea
@Ruthie-K
@Ruthie-K 7 ай бұрын
😂😂😂😂. Na ati anaimba gospel
@alicejumaa89
@alicejumaa89 7 ай бұрын
Naomba ufungwe miaka hamsini usiharibu watoto wetu kwa upuzi wa crossdressing. Na ushoga. STUPID
@vanierdesludge7156
@vanierdesludge7156 6 ай бұрын
He didn't know it was wrong😊😊 forgive him bana,,, hawa wanamuukumu ndio wanatumia jina la mungu ata vibaya zaidi kuliko hii jambazi ya kisii🤣🤣🤣
@macdonaldotieno5010
@macdonaldotieno5010 6 ай бұрын
Aweke ndani kabisa
@PeacekidBONGOMusic
@PeacekidBONGOMusic 7 ай бұрын
Love your neighbor as you 😂😂😂😂😂
@djfbikenya2695
@djfbikenya2695 7 ай бұрын
Mungu apewe Heshima
@samuelokonji8982
@samuelokonji8982 7 ай бұрын
Imbarambamba, undanganya, how can u play with most High God? Pata kichapo sasa, even Ur friend anatakikana awekwe ndani, imgn unapita pahali unaskia watoto wakiimba hiyo upuzi wako, wakenya msichange,afadhali hiyo mchango pelekeni orphanage homes. Thank you, Bak to the studio willy😂😂😂😂
@Elimadonna
@Elimadonna 7 ай бұрын
Wakifunga huyo watafute huyo mwingine so called William
@bettynjoroge9003
@bettynjoroge9003 6 ай бұрын
Siku zote mungu adhihakiwi,Imba vitu vyako but respect God,Kwanza hiyo song yesu ninyandue hiyo ndio gani!
@NaomNaom-pi5nd
@NaomNaom-pi5nd 7 ай бұрын
Ata mungu alikasirika na hizo nyimbo zako kwanza ya uninyandue
@josephkinyanjui-xd8si
@josephkinyanjui-xd8si 7 ай бұрын
Mzade niaje .....kusema ukweli story yake ni ngumu sana hapo ni mungu tuu
@CohlinzCohlinzkogei
@CohlinzCohlinzkogei 7 ай бұрын
Willy M Tuva you will rep Jesus for in Mambo mseto E Africa 🌍 becoz of Asking a good verse in Bible in jesus Name
@gideonmuia-h9n
@gideonmuia-h9n 7 ай бұрын
Truly, i say to you if money is making you to mock God you are in the wrong side. 😊
@Elimadonna
@Elimadonna 7 ай бұрын
Wah! Nilikuwa naumia macho yangu nikiona video zake
@simonkibunyi6238
@simonkibunyi6238 7 ай бұрын
Even a bible verse hajui
@marywayuwa5867
@marywayuwa5867 7 ай бұрын
Uyu Ebarabamba ako na ujinga sana ni nyimbo ngani kwa hakili zake hio n kuchezea mungu
@johnkimani7944
@johnkimani7944 7 ай бұрын
It's a shame to the Kenyan Gospel singers...then he sings about Kiptum who perished in a road accident and he's riding dangerously again.... what's he advertising. U don't deserve another chance
@hoseanyanyuki-lf8hr
@hoseanyanyuki-lf8hr 7 ай бұрын
their is no reason to condemn this man didn't judge even the judge did not judge💌💌💌 to embarambamba
@simonkibunyi6238
@simonkibunyi6238 7 ай бұрын
We are also told you will know them by their fruits.
@soigeidiiot
@soigeidiiot 6 ай бұрын
I think...... for now you have trended.... ukianza muziki safii... utafika juu sana
@Lynnmwanzia
@Lynnmwanzia 7 ай бұрын
Huyu ata hajui any verse na anajiita Gospel artist
@Bizzbeats1
@Bizzbeats1 7 ай бұрын
Wacha a delete hizo ngoma zote apart from his comedy ,hiyo itaksaidia sana wasanii wanaokosa maadili,sheez
@naominashipai8427
@naominashipai8427 7 ай бұрын
Huyu mtu hana Akili. Aki Mimi simpendi na sio kwa ubaya
@billjames1216
@billjames1216 7 ай бұрын
What wrong has he done???must he worship the people u worship?????kwendeni huko nkt
@EuniceMogoi-lk2my
@EuniceMogoi-lk2my 7 ай бұрын
Wewe ndo huna akili
@Sandra39823
@Sandra39823 7 ай бұрын
​@billjames1216 usimtetee cos akona makosa, makosa yake ni kuiba nyimbo kwa madai ni gospel mbali ni kumtukana Mwenyezi Mungu, sasa kusema yesu ninyandue sio matusi? Kusema nimwangie ndani? Mara imesimama, niko uchi, what is that?
@billjames1216
@billjames1216 7 ай бұрын
@@Sandra39823 Mungu wake sio mungu wako Shughulika na mungu wako naniii ww mungu wa ukweli ndio nani???unamjua ??
@yegonhillary3267
@yegonhillary3267 7 ай бұрын
I fully agree with you
@Daudisalim71
@Daudisalim71 6 ай бұрын
Me i heard of Embarambamba 14 years ago Kwani hakuna wachungaji wamemzunguka na kumshauri ....huyu anyongwe
@ekiruekiru8728
@ekiruekiru8728 7 ай бұрын
Yani ulishiba hadi ukamsahau Mungu kimekurambaa sasa
@johnmeshack4431
@johnmeshack4431 7 ай бұрын
Afugwe maana ata ajiheshimu ata kidogo 😂😂😂😂
@gichanabenard8376
@gichanabenard8376 7 ай бұрын
God isn't your mother nani,,Respect to God is a Must.
@kaydazkenya
@kaydazkenya 7 ай бұрын
Alipewa two options, kama Hana pesa the other option fits him very well😏😏
@carouselkedesigner8582
@carouselkedesigner8582 7 ай бұрын
You would only say that if you never found yourself in such incidents 😢
@user1836-u8l
@user1836-u8l 7 ай бұрын
Angepewa mambo matatu ndio ikue ngumu zaidi
@trizahmacharia2939
@trizahmacharia2939 7 ай бұрын
​@@carouselkedesigner8582he knew what he was doing,jinga sana
@nathanwaka6761
@nathanwaka6761 6 ай бұрын
Huyu JAMA apigwe mawe mpaka akufe hata jela haitoshi. Unaezaje tukana Mungu,
@mercywambui6392
@mercywambui6392 7 ай бұрын
Anaujinga sanaa
@terrywatahi1203
@terrywatahi1203 7 ай бұрын
Huyu aangaliwe mental...😢😮😂
@nyatururecords
@nyatururecords 7 ай бұрын
Watu kama hawa wanazidi kupotoeha jamii Kwa maslahi yao ya kujitafutia umaarufu wakijinga
@tosh313
@tosh313 7 ай бұрын
Afanye kazi na wauzaji wa hebal medicine not gospel
@Elimadonna
@Elimadonna 7 ай бұрын
Yes tumekusamehe lakini usipo njua jinsi unavyo paswa kumwabudu Mungu utakula kichapo ingine Mungu hadhihakiwi,hata nashindwa ulikuwa mshirika wa pastor mgani huyo??????????
@lexynafuna
@lexynafuna 6 ай бұрын
Wauze tu wakisiii 😂
@juliusmwaka8767
@juliusmwaka8767 7 ай бұрын
Itumbe ni mkisii sio Aluyah
@puritdana
@puritdana 6 ай бұрын
Hyo mtu sio kisii ni mkale
@Mboamose
@Mboamose 6 ай бұрын
Ukipewa😮kipawa kitumie vizuri, MUNGU yuko radhi kukusamehe dhambi na makosa yako ikiwa utatubu.
@maurinethambo9605
@maurinethambo9605 7 ай бұрын
Embarambamba usijali hata njera kuna matope mengi sana na pia kuna waimbaji utakua ukiongoza choir ili uwachene na huo ujinga wako 😂😂😅
@ScoviaAnyango-c8c
@ScoviaAnyango-c8c 6 ай бұрын
Aki huyu mtu 😂😂😂
@stephenwanyama7394
@stephenwanyama7394 7 ай бұрын
Hii fala ifungwe mara moja
@giddymentor9671
@giddymentor9671 6 ай бұрын
Hauwezi Cheza na jina ya Mungu..He is a Jealous God
@calebtuei504
@calebtuei504 7 ай бұрын
Sio maneno mingi embarambamba awekwe ndani kwanza ndio atuambie vizuri
@viviananyangoowino333
@viviananyangoowino333 7 ай бұрын
And they are putting God's name in their stupidity 😢
@collinsyegon9978
@collinsyegon9978 7 ай бұрын
First one to watch, wapi likes
@ledeajoasu3119
@ledeajoasu3119 7 ай бұрын
In Jesus mighty name namuombea usiku na mchana ufungwe kabisa ndio ujue Mungu Sio rika yako kwenda kabisaa
@kelvinkarani3804
@kelvinkarani3804 7 ай бұрын
mzee amekosea sana kuvua nguo c poa kwa jamii
@LABANKIPROP-yl2mi
@LABANKIPROP-yl2mi 6 ай бұрын
Pray sir,,, and change a little
@saidibaya5327
@saidibaya5327 7 ай бұрын
Makoti ya chui chui ww wazimu tena sna
@lucygikonyo2437
@lucygikonyo2437 7 ай бұрын
This crazy
@LucyMueni-bf1lm
@LucyMueni-bf1lm 6 ай бұрын
Madiko yasema,,,,WATU WANGU WAPOTEA KWAKUKOSA MARIFA
@KipngenomikeKorir
@KipngenomikeKorir 6 ай бұрын
Atolewe huyu jamaa hasiimbe tena
@alexkarani3660
@alexkarani3660 6 ай бұрын
Coming from TikTok just to have the full story wapi likes 😅😅
@MsetoEastAfrica
@MsetoEastAfrica 6 ай бұрын
Karibu sana
@DorcusVckii
@DorcusVckii 6 ай бұрын
It might be true Mungu alimwambia then,, the devil wuz also there and he wuz like "Not on My watch, that's not happening "
@jamesg.muhohok7553
@jamesg.muhohok7553 7 ай бұрын
Ushetani.
@macdonaldotieno5010
@macdonaldotieno5010 6 ай бұрын
Kumbe yeye ni mkatoliki...na wakatoliki wote hajui lolote kuhusu Mungu
@annnjane1697
@annnjane1697 7 ай бұрын
Dont blame this man, he need deliverance. Being in jail does not change this man, he need God or may be mental support.
@Elimadonna
@Elimadonna 7 ай бұрын
Nani hata kwa bibilia kulikuwa na Sheria ukikiuka Sheria za Mungu
@olivermulanda5572
@olivermulanda5572 7 ай бұрын
This is end time may God help us saa hii amenyenyekea
@EdwinOuta
@EdwinOuta 7 ай бұрын
High level of primitivity
@levinakidali4205
@levinakidali4205 7 ай бұрын
Hajui chochote kuhusu bible huyu.tumeomba sana kwa kuwa umeabisha christianity sana but finally Mungu amejibu maombi yetu
@HezronOtwori
@HezronOtwori 7 ай бұрын
Embarambamba umeharibu jina la Kisii,unatoa nguo gesobono mwanamume kamili mwenye umeimbiwa asubuhi umeelewa chenye nimekuambia,waah hakuna siku nimependa nyimbo zako No huna jina vitu zenye unaimba ni uwazimu tupu.
@ledeajoasu3119
@ledeajoasu3119 7 ай бұрын
Ezekiel kaza kamba kabisa let others learn from him we can't afford to be playing with God like this he deserves honour
@selphineonyango2591
@selphineonyango2591 6 ай бұрын
Huyo haimbi Gospel,..Anaimba uchi
@radifestus148
@radifestus148 7 ай бұрын
Stop blaming your friend Getumbe
@nelsonoisebe
@nelsonoisebe 7 ай бұрын
Embarambamba anajua chenye walikwa wanafanya
@trizahshelly
@trizahshelly 7 ай бұрын
Hukuwa sawa kutoka mwasho kaa ulime uachane n mambo n mziki
@BetyNjue
@BetyNjue 7 ай бұрын
Huyu mtu simpendi na nyimbo zake zinafaa kubanwa kabisa
@nelsonoisebe
@nelsonoisebe 7 ай бұрын
Embarambamba leo kimekuramba kwa upuzi wako.kula ujinga wako sasa... umealibia Jamii ya wakisii sifaa
@princefreddie
@princefreddie 7 ай бұрын
Kwani huyo anaongea nini
@koskeyeric1019
@koskeyeric1019 7 ай бұрын
Asamewe Tu but getumbe awekwe ndani
@esthercheptoo6558
@esthercheptoo6558 7 ай бұрын
Kabisa! Embarambamba tulikuwa tumemzoea hata kama anafanya makosa. Asamehewe na asirudie. Lakini that Getumbe character! Huyo achukuliwe hatua
@javanngotangoma3617
@javanngotangoma3617 7 ай бұрын
Makosa ni makosa
@Lucykoech-q7h
@Lucykoech-q7h 7 ай бұрын
Huyu n short wire y Media West there time uuui
@lydialimera
@lydialimera 7 ай бұрын
Mara ya kwanza mm kuona sijawai kukupenda hata
@johnmutinda9879
@johnmutinda9879 6 ай бұрын
Enda jela bro,unadhani tunafeel aje ukiaibisha wanaume
@jayjay4313
@jayjay4313 7 ай бұрын
😂😂😂😂😂Kenya kwa watani wetu wa jadi. Hii mutu tupeni sisi huku machizi tumewazoeaaa. Haya wote Semeni cheeeeze 📸😂😅
@BonfaceWawire-k6p
@BonfaceWawire-k6p 6 ай бұрын
Huyu jamaa aende jela ni fala sana
@IsaacMorara
@IsaacMorara 7 ай бұрын
Its crazy coz he himself knew he went overboard with that shit... he's been told several times by local radio presenters to stop
@marykibali7568
@marykibali7568 7 ай бұрын
Yaaani ata ajui bibla ata kidogo wawawawa na anasema ni Gospel music anaimba
@Pleasing_view
@Pleasing_view 7 ай бұрын
There's literally no difference between religion and cult.
@isaacrono7054
@isaacrono7054 6 ай бұрын
Mchawi huyu wa kisii ...hajui anachofanya
@carolineotinga-p5e
@carolineotinga-p5e 7 ай бұрын
Hata Hana point willy Tue i Hugo mtu hapo
@busesemusic
@busesemusic 7 ай бұрын
afungwee sisi wasani anatupea shame....
@PatrickMbai-q1v
@PatrickMbai-q1v 7 ай бұрын
Unafurahia akifugwa, na akona Bibi na watoto surely. Bt Osoro na Omari wamemalza hio kesi
@antonykariuki2069
@antonykariuki2069 7 ай бұрын
Ebarambamba aki achana na usanii ukarime
@SamuelOpingoM
@SamuelOpingoM 7 ай бұрын
Pole
@lilianluvanda900
@lilianluvanda900 7 ай бұрын
Anyoroshwe sawa sawa umavi arejeshee kisii
@carolineotinga-p5e
@carolineotinga-p5e 7 ай бұрын
Wewe!!!usiache western hatuna Hugo ujinga
@djbushmeatfans9825
@djbushmeatfans9825 7 ай бұрын
Huyu jamaa.sijawai mpenda.hata siku moja
@theophiluskyalo9907
@theophiluskyalo9907 7 ай бұрын
Osai ndeke ya muthanga 😂
@mariapauls3049
@mariapauls3049 7 ай бұрын
Pwah,maolane fine kana ndaani pamoja?
Don't look down on anyone#devil  #lilith  #funny  #shorts
00:12
Devil Lilith
Рет қаралды 22 МЛН
إخفاء الطعام سرًا تحت الطاولة للتناول لاحقًا 😏🍽️
00:28
حرف إبداعية للمنزل في 5 دقائق
Рет қаралды 53 МЛН
Pipeline embarambamba msanii amevuja record watu maelfu wamekuja kumuona live
3:57
Nay wa mitego Akiwa mpanda katavi frank tv 2024
0:53
DIRECTOR FRANK PICTURE
Рет қаралды 30 М.
Viral Video of a Man's Crazy Job Interview
16:02
Darryl Vega TV
Рет қаралды 1,1 МЛН
Masanja MONICA ft Walter Official Video
5:13
Link Tv Tanzania
Рет қаралды 677 М.