Kenya need law like this because nchi yetu imepotea njia sana,,pia kwa media matusi imezidi wanafaa wafuatulie hizo maneno.
@davidolao52927 ай бұрын
Cheza na kila kitu lakini sio jina la mungu Baba wetu
@NicodemusKithi-xe7mg6 ай бұрын
Uliimba kibiashara but haukumwimbia mungu..beba msalaba wako ju unaibisha wakristo
@Fevouredjussey7 ай бұрын
Embarambamba naye alipita mipaka😢
@carolineOuru-oi9nc7 ай бұрын
For sure but I think sai amejifunza
@EmmanuelKibet-n5y7 ай бұрын
Akili yake haiko sawa😅😅
@rosendunge42177 ай бұрын
Wewe kula usherati yako..this is now Kenya laws ⚖ that should be ❤❤..mjinga wa mwanamme..na unalaumu itumbi ,kwani ukienda uchi itumbi ndie alikutoa nguo saitani hii..umepewa dawa yako sasa..well done serikali..heri malaya wa koinange kuliko uimbaji wako
@estherwairimu87607 ай бұрын
Let me me tell you imagine umekubarishwa. Kucheza navitu zote zadunia hii but Mungu ni 🔥🔥
@Elimadonna7 ай бұрын
Kabisaa nebukadinezaru
@munyokimakau.7 ай бұрын
Thank you kfcb,,huyu ata bible hajui,,,no wonder anaiba uchafu
@Elimadonna7 ай бұрын
Leo Niko na sherehe🎉🎉🎉🎉 thank you our God fearing Kenyan
@kaydazkenya7 ай бұрын
Mtu jinga sana
@Wilky2547 ай бұрын
Prisi pris pris samea hii chinga halijui halijofanya... Na mungu amusamehe pia... Na asirudie Tena 😳😳 Tabia Mbayaaa..
@khadijahali68567 ай бұрын
Options ni 2.Its either alipe 6.4m ama afungwe 7yrs. Sasa kama hana 6.4m then afuate the 2nd option asituumishe kichwa mjinga huyu unaimba na hata hajui verses za kwa bible.Kupotosha watoto tu kwenye jamii
@mickymikobi19207 ай бұрын
Ufalaaaa cheza na Mungu ujue serekali yetu inaeshimu MUNGU Baniiii wewe 😂😂😂😂
@Elimadonna7 ай бұрын
Leo ndo nimejua Kuna remnants wamcha Mungu serikalini ya Kenya ❤ thank you serikali ya Kenya kwa kutusaidia kulitetea jina la Mungu❤❤ much love
@FaridaGati7 ай бұрын
Omba mungu akusamehe
@redmwiks7 ай бұрын
Those who invite him to church events should repent for creating a monster. He was never a gospel artist....apambane..
@jaredatoli57847 ай бұрын
The men of God who invite him are to blame...hao sasa ndio shida.
@cheroojeroo59397 ай бұрын
Yani siku ya nyani kukufa miti yote utikinga 😮😮 Mzee ana LA kusema
@Elimadonna7 ай бұрын
Leo ndo nimepata nguvu ya ku comment kwa embaravara
@vincentgitiva88496 ай бұрын
Anatumiwa na watu fulani kusambaza coded message, mama Otis is pure comedy but this guy aadhibiwe tu
@tigermose64917 ай бұрын
Amekosea mwenyezi mungu, Jamii ya Kisii and Kenyans
@protusmuliro27967 ай бұрын
This guy embarambamba is very innocent plz yani huyu ndo muimbaji pekee atasamehewa na mwenyezi mungu
@sophiahrichard26747 ай бұрын
Huyu hata ajui verse 😂😂😂😂😂
@ayuma47477 ай бұрын
But anaitwa makanisa na anapanda madhabau... Tumepotea
@Ruthie-K7 ай бұрын
😂😂😂😂. Na ati anaimba gospel
@alicejumaa897 ай бұрын
Naomba ufungwe miaka hamsini usiharibu watoto wetu kwa upuzi wa crossdressing. Na ushoga. STUPID
@vanierdesludge71566 ай бұрын
He didn't know it was wrong😊😊 forgive him bana,,, hawa wanamuukumu ndio wanatumia jina la mungu ata vibaya zaidi kuliko hii jambazi ya kisii🤣🤣🤣
@macdonaldotieno50106 ай бұрын
Aweke ndani kabisa
@PeacekidBONGOMusic7 ай бұрын
Love your neighbor as you 😂😂😂😂😂
@djfbikenya26957 ай бұрын
Mungu apewe Heshima
@samuelokonji89827 ай бұрын
Imbarambamba, undanganya, how can u play with most High God? Pata kichapo sasa, even Ur friend anatakikana awekwe ndani, imgn unapita pahali unaskia watoto wakiimba hiyo upuzi wako, wakenya msichange,afadhali hiyo mchango pelekeni orphanage homes. Thank you, Bak to the studio willy😂😂😂😂
@Elimadonna7 ай бұрын
Wakifunga huyo watafute huyo mwingine so called William
@bettynjoroge90036 ай бұрын
Siku zote mungu adhihakiwi,Imba vitu vyako but respect God,Kwanza hiyo song yesu ninyandue hiyo ndio gani!
@NaomNaom-pi5nd7 ай бұрын
Ata mungu alikasirika na hizo nyimbo zako kwanza ya uninyandue
@josephkinyanjui-xd8si7 ай бұрын
Mzade niaje .....kusema ukweli story yake ni ngumu sana hapo ni mungu tuu
@CohlinzCohlinzkogei7 ай бұрын
Willy M Tuva you will rep Jesus for in Mambo mseto E Africa 🌍 becoz of Asking a good verse in Bible in jesus Name
@gideonmuia-h9n7 ай бұрын
Truly, i say to you if money is making you to mock God you are in the wrong side. 😊
@Elimadonna7 ай бұрын
Wah! Nilikuwa naumia macho yangu nikiona video zake
@simonkibunyi62387 ай бұрын
Even a bible verse hajui
@marywayuwa58677 ай бұрын
Uyu Ebarabamba ako na ujinga sana ni nyimbo ngani kwa hakili zake hio n kuchezea mungu
@johnkimani79447 ай бұрын
It's a shame to the Kenyan Gospel singers...then he sings about Kiptum who perished in a road accident and he's riding dangerously again.... what's he advertising. U don't deserve another chance
@hoseanyanyuki-lf8hr7 ай бұрын
their is no reason to condemn this man didn't judge even the judge did not judge💌💌💌 to embarambamba
@simonkibunyi62387 ай бұрын
We are also told you will know them by their fruits.
@soigeidiiot6 ай бұрын
I think...... for now you have trended.... ukianza muziki safii... utafika juu sana
@Lynnmwanzia7 ай бұрын
Huyu ata hajui any verse na anajiita Gospel artist
@Bizzbeats17 ай бұрын
Wacha a delete hizo ngoma zote apart from his comedy ,hiyo itaksaidia sana wasanii wanaokosa maadili,sheez
@naominashipai84277 ай бұрын
Huyu mtu hana Akili. Aki Mimi simpendi na sio kwa ubaya
@billjames12167 ай бұрын
What wrong has he done???must he worship the people u worship?????kwendeni huko nkt
@EuniceMogoi-lk2my7 ай бұрын
Wewe ndo huna akili
@Sandra398237 ай бұрын
@billjames1216 usimtetee cos akona makosa, makosa yake ni kuiba nyimbo kwa madai ni gospel mbali ni kumtukana Mwenyezi Mungu, sasa kusema yesu ninyandue sio matusi? Kusema nimwangie ndani? Mara imesimama, niko uchi, what is that?
@billjames12167 ай бұрын
@@Sandra39823 Mungu wake sio mungu wako Shughulika na mungu wako naniii ww mungu wa ukweli ndio nani???unamjua ??
@yegonhillary32677 ай бұрын
I fully agree with you
@Daudisalim716 ай бұрын
Me i heard of Embarambamba 14 years ago Kwani hakuna wachungaji wamemzunguka na kumshauri ....huyu anyongwe
@ekiruekiru87287 ай бұрын
Yani ulishiba hadi ukamsahau Mungu kimekurambaa sasa
@johnmeshack44317 ай бұрын
Afugwe maana ata ajiheshimu ata kidogo 😂😂😂😂
@gichanabenard83767 ай бұрын
God isn't your mother nani,,Respect to God is a Must.
@kaydazkenya7 ай бұрын
Alipewa two options, kama Hana pesa the other option fits him very well😏😏
@carouselkedesigner85827 ай бұрын
You would only say that if you never found yourself in such incidents 😢
@user1836-u8l7 ай бұрын
Angepewa mambo matatu ndio ikue ngumu zaidi
@trizahmacharia29397 ай бұрын
@@carouselkedesigner8582he knew what he was doing,jinga sana
@nathanwaka67616 ай бұрын
Huyu JAMA apigwe mawe mpaka akufe hata jela haitoshi. Unaezaje tukana Mungu,
@mercywambui63927 ай бұрын
Anaujinga sanaa
@terrywatahi12037 ай бұрын
Huyu aangaliwe mental...😢😮😂
@nyatururecords7 ай бұрын
Watu kama hawa wanazidi kupotoeha jamii Kwa maslahi yao ya kujitafutia umaarufu wakijinga
@tosh3137 ай бұрын
Afanye kazi na wauzaji wa hebal medicine not gospel
@Elimadonna7 ай бұрын
Yes tumekusamehe lakini usipo njua jinsi unavyo paswa kumwabudu Mungu utakula kichapo ingine Mungu hadhihakiwi,hata nashindwa ulikuwa mshirika wa pastor mgani huyo??????????
@lexynafuna6 ай бұрын
Wauze tu wakisiii 😂
@juliusmwaka87677 ай бұрын
Itumbe ni mkisii sio Aluyah
@puritdana6 ай бұрын
Hyo mtu sio kisii ni mkale
@Mboamose6 ай бұрын
Ukipewa😮kipawa kitumie vizuri, MUNGU yuko radhi kukusamehe dhambi na makosa yako ikiwa utatubu.
@maurinethambo96057 ай бұрын
Embarambamba usijali hata njera kuna matope mengi sana na pia kuna waimbaji utakua ukiongoza choir ili uwachene na huo ujinga wako 😂😂😅
@ScoviaAnyango-c8c6 ай бұрын
Aki huyu mtu 😂😂😂
@stephenwanyama73947 ай бұрын
Hii fala ifungwe mara moja
@giddymentor96716 ай бұрын
Hauwezi Cheza na jina ya Mungu..He is a Jealous God
@calebtuei5047 ай бұрын
Sio maneno mingi embarambamba awekwe ndani kwanza ndio atuambie vizuri
@viviananyangoowino3337 ай бұрын
And they are putting God's name in their stupidity 😢
@collinsyegon99787 ай бұрын
First one to watch, wapi likes
@ledeajoasu31197 ай бұрын
In Jesus mighty name namuombea usiku na mchana ufungwe kabisa ndio ujue Mungu Sio rika yako kwenda kabisaa
Coming from TikTok just to have the full story wapi likes 😅😅
@MsetoEastAfrica6 ай бұрын
Karibu sana
@DorcusVckii6 ай бұрын
It might be true Mungu alimwambia then,, the devil wuz also there and he wuz like "Not on My watch, that's not happening "
@jamesg.muhohok75537 ай бұрын
Ushetani.
@macdonaldotieno50106 ай бұрын
Kumbe yeye ni mkatoliki...na wakatoliki wote hajui lolote kuhusu Mungu
@annnjane16977 ай бұрын
Dont blame this man, he need deliverance. Being in jail does not change this man, he need God or may be mental support.
@Elimadonna7 ай бұрын
Nani hata kwa bibilia kulikuwa na Sheria ukikiuka Sheria za Mungu
@olivermulanda55727 ай бұрын
This is end time may God help us saa hii amenyenyekea
@EdwinOuta7 ай бұрын
High level of primitivity
@levinakidali42057 ай бұрын
Hajui chochote kuhusu bible huyu.tumeomba sana kwa kuwa umeabisha christianity sana but finally Mungu amejibu maombi yetu
@HezronOtwori7 ай бұрын
Embarambamba umeharibu jina la Kisii,unatoa nguo gesobono mwanamume kamili mwenye umeimbiwa asubuhi umeelewa chenye nimekuambia,waah hakuna siku nimependa nyimbo zako No huna jina vitu zenye unaimba ni uwazimu tupu.
@ledeajoasu31197 ай бұрын
Ezekiel kaza kamba kabisa let others learn from him we can't afford to be playing with God like this he deserves honour
@selphineonyango25916 ай бұрын
Huyo haimbi Gospel,..Anaimba uchi
@radifestus1487 ай бұрын
Stop blaming your friend Getumbe
@nelsonoisebe7 ай бұрын
Embarambamba anajua chenye walikwa wanafanya
@trizahshelly7 ай бұрын
Hukuwa sawa kutoka mwasho kaa ulime uachane n mambo n mziki
@BetyNjue7 ай бұрын
Huyu mtu simpendi na nyimbo zake zinafaa kubanwa kabisa
@nelsonoisebe7 ай бұрын
Embarambamba leo kimekuramba kwa upuzi wako.kula ujinga wako sasa... umealibia Jamii ya wakisii sifaa
@princefreddie7 ай бұрын
Kwani huyo anaongea nini
@koskeyeric10197 ай бұрын
Asamewe Tu but getumbe awekwe ndani
@esthercheptoo65587 ай бұрын
Kabisa! Embarambamba tulikuwa tumemzoea hata kama anafanya makosa. Asamehewe na asirudie. Lakini that Getumbe character! Huyo achukuliwe hatua
@javanngotangoma36177 ай бұрын
Makosa ni makosa
@Lucykoech-q7h7 ай бұрын
Huyu n short wire y Media West there time uuui
@lydialimera7 ай бұрын
Mara ya kwanza mm kuona sijawai kukupenda hata
@johnmutinda98796 ай бұрын
Enda jela bro,unadhani tunafeel aje ukiaibisha wanaume
@jayjay43137 ай бұрын
😂😂😂😂😂Kenya kwa watani wetu wa jadi. Hii mutu tupeni sisi huku machizi tumewazoeaaa. Haya wote Semeni cheeeeze 📸😂😅
@BonfaceWawire-k6p6 ай бұрын
Huyu jamaa aende jela ni fala sana
@IsaacMorara7 ай бұрын
Its crazy coz he himself knew he went overboard with that shit... he's been told several times by local radio presenters to stop
@marykibali75687 ай бұрын
Yaaani ata ajui bibla ata kidogo wawawawa na anasema ni Gospel music anaimba
@Pleasing_view7 ай бұрын
There's literally no difference between religion and cult.
@isaacrono70546 ай бұрын
Mchawi huyu wa kisii ...hajui anachofanya
@carolineotinga-p5e7 ай бұрын
Hata Hana point willy Tue i Hugo mtu hapo
@busesemusic7 ай бұрын
afungwee sisi wasani anatupea shame....
@PatrickMbai-q1v7 ай бұрын
Unafurahia akifugwa, na akona Bibi na watoto surely. Bt Osoro na Omari wamemalza hio kesi