Рет қаралды 130,074
Mpenja Tv tumezungumza na Baba Mzazi wa "Ibrahim Bacca" Abdallah Hamad Bakari, na kufunguka mambo mengi kuhusu kipaji cha mwanawe lakini pia furaha yake kuona mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika kati Yanga dhidi ya Al Ahly kupewa jina la mtoto wake "BACCA DAY".