No video

EXCLUSIVE: EBITOKEE KAFUNGUKA KILICHO MUONDOA TIMAMU, KADHULUMIWA?

  Рет қаралды 33,221

Millard Ayo

Millard Ayo

5 жыл бұрын

Пікірлер: 73
@Wamikogo
@Wamikogo 5 жыл бұрын
Dah kama unaona ebitoke atafika mbali weka like twende saw
@naymah3560
@naymah3560 5 жыл бұрын
Mmh? Sitaki kuamini kwamba eby anaspidi kiasi hichi kwa kunywa maji nna wasi wasi amehamia kiwandani maana sio kwa weupe huo, haya mamy twakuombea mafanikio mema lkn upunguze kunywa maji mwanzo ulikuwa poa sana na rangi yako nyeusi
@allyjuma6136
@allyjuma6136 5 жыл бұрын
Hivi nikwanini wasani wetu hampendi kutunza rangi zenu nyeusi. Au rangi nyeusi haionekani vizuli kwenye camera?
@zedonswaga1398
@zedonswaga1398 5 жыл бұрын
ujue hawa wasanii wetu wa kibongo wapumbafu sana, akishapata umaarufu kidogo wanaanza kuwadharau maboss zao nakuamin kua wanaweza hata wakiwa wao binafsi, lakini hupotea kwenye ramani na mwisho wa siku wanakosa wa kumlaumu
@jumamooneys8558
@jumamooneys8558 5 жыл бұрын
Niseme upande wa huyu binti kile alichoongea ambacho Mara nyingi tumeshindwa wengi ni kitendo cha mtu kuhama kutoka sehemu Mona kwenda sehemu nyingine,alichofaulu ni kutozungumzia mabaya au kumzungumza mtu isivyo,yuko vizuri hapo nampa hongera na uendelee kuwa hivyo, Fanya yako wala usimfanye mwingine hafai kwasababu mmeachana, barikiwa
@asinathasinath5090
@asinathasinath5090 5 жыл бұрын
Mungu yupoo usijali my dia fanya kazi Insha Allah 🙏🙏🙏
@manyaramrema6531
@manyaramrema6531 5 жыл бұрын
Me nafikiri bora ungeendelea kubaki timamu umri wako bado ni mdogo ungeendelea kukua kiakili na kimawazo, umaarufu ulioupata na hao timamu wamechangia kiasi fulani!!! Mdogo wangu hakuna sehemu yeyote utaenda upewe mkataba usio na unyonyaji!
@imbatokamoyoni2209
@imbatokamoyoni2209 5 жыл бұрын
je, una changamoto ukiwa Unaimba SUBSCRIBE hapa #IMBATOKAMOYONI
@rahmaramadhani3993
@rahmaramadhani3993 5 жыл бұрын
Jamani vido wewe uko vizuri sana sauti yako ukuje kwangu nakupenda bure
@alexkabeho5609
@alexkabeho5609 5 жыл бұрын
Hiyo interview pekee inaonyesha ummekuwaa so go on with life ata usihogope you will make it, talent ni ya kwako siyo ya boss
@firdausabdullah6315
@firdausabdullah6315 5 жыл бұрын
Hongera ebitoke mutegemee mungu utafanikiwa
@rutashubanyuma4546
@rutashubanyuma4546 5 жыл бұрын
Bado wewe ni mdogo kujisimamia dogo ungekomaa na timamu,umaarufu kidogo tu uliokuwa nao unajiona mkubwa! Utafeli
@BigZhumbe
@BigZhumbe 5 жыл бұрын
There is more than wat meets the media
@andreymalisa1625
@andreymalisa1625 5 жыл бұрын
Daah....nampenda huyu dada jman
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 5 жыл бұрын
😍😍😍😍 you Ebi
@amanlenatus9067
@amanlenatus9067 5 жыл бұрын
WEWE ULIKUWA WA KWANZA KUMCHEKA MKALI WENU NA KUMUONA KAMA YEYE HANA AKILI KUTOKA PALE ILA KIUKWELI NA WEWE HII NI ZAMU YAKO YA KUPOTEA
@angelndikizi447
@angelndikizi447 5 жыл бұрын
mfyuuu siuseme ukweli kama uliiba mumewamwenzio mama ashura! ukavunja ndoa yake! sasa wameludiana ndo ukatimuliwa! unajiuma uma nn wakati ukweli unajulikana
@faridahshisha6717
@faridahshisha6717 5 жыл бұрын
Carolight
@mashallahoman6355
@mashallahoman6355 5 жыл бұрын
yote nikheri ebitoke allaha akutaguliye
@habibakhalfan1065
@habibakhalfan1065 5 жыл бұрын
wa bongo hamuwezi kudumu sehemu mkiona mfanikio kidogo mnabadilika Roho mlianza vizurii mwisho mnamalizaga vibaya
@youngkillermsodoki7664
@youngkillermsodoki7664 5 жыл бұрын
Mkaliwenu alivyoondoka #Timamu alichekwa sana Je na nyinyi mna toka sasa leo hii hamcheki tena? Usidanganye watu😁😁 eti ni mkataba ume kwisha hapana umeondoka kwa sababu labda ni kunyonywa labda umechoka na tabia za viongozi wa #Timamu angalia kwa mfano Mkali aliondoka je ni mkataba? Mavoko aliondoka #WCB je ni mkataba? Usi wadanganye watu kila mtu ana akili.
@tripleddc8724
@tripleddc8724 5 жыл бұрын
yeah very true Hawa wasanii ndo walivyo wanatuchukulia sisi hatujielew
@mbodzebemasika7477
@mbodzebemasika7477 5 жыл бұрын
kwanza huyu alimcheka sana mwenzie
@hadijandenga4025
@hadijandenga4025 5 жыл бұрын
mungu akupe nguvu
@ishaq9925
@ishaq9925 5 жыл бұрын
Hamna rorote mnajifanya mnatemberea magali mwisho wa siku mmnaumbuka
@mariamameir8527
@mariamameir8527 5 жыл бұрын
Nitumie namba ya timamu nikajiunge mimi maana nataka niwe mugizaji ila sijapata pakujiendeleza natamani sana
@ericstephenm.844
@ericstephenm.844 5 жыл бұрын
Tatizo kubwa la wasanii wetu wakipata umaarufu kidogo tu wanadhani wameshakuwa na wanaweza kujisimamia. Wengine wanadiriki kuwazungumzia vibaya mabosi wao wanasahau kwamba wao ndio wamewatengeneza na kuwafanya wapate majina.
@johnnyakabhi5791
@johnnyakabhi5791 5 жыл бұрын
Utafka mbali mwaya
@manyweretv5177
@manyweretv5177 5 жыл бұрын
mkaliwenu, ebitoke na mzee makulusa undeni kundi mnajua sana
@nyamalwaleonard793
@nyamalwaleonard793 5 жыл бұрын
Acha mkorogoooo byanaa Baki mweusi hata hujapendezaaa
@queengee988
@queengee988 5 жыл бұрын
Mmmmhhh shost weeee so kwa futa hilooo jmn duuuhhh yaliyop yanafurahish😂😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣😂😂
@martinyohani3757
@martinyohani3757 5 жыл бұрын
Mmm
@amirsab1158
@amirsab1158 5 жыл бұрын
Una nikera Ebitoke kama ulitoka timamu badilika basi wacha hayo mamekaup ya uso
@shakirshakir9100
@shakirshakir9100 5 жыл бұрын
acha bn emb
@adolphmwangoje2887
@adolphmwangoje2887 5 жыл бұрын
kaza bna badiliken ktka mzigo wenu uoga umaskini
@uwimanaraoul6824
@uwimanaraoul6824 5 жыл бұрын
Usijali w chapa kazi
@reginaemmanuel8233
@reginaemmanuel8233 5 жыл бұрын
wasanii Wa bongo bwana, kila mmoja haachi kusema yaa, may be, okey nk,,,,,,, wana vingereza vya ajabu ajabu....
@msangimsangiz9967
@msangimsangiz9967 5 жыл бұрын
umekua mweupe ebitoke
@lilianjeremiah2880
@lilianjeremiah2880 5 жыл бұрын
Naona filter inafanya kaz
@msangimsangiz9967
@msangimsangiz9967 5 жыл бұрын
mama ashura yuko wap
@kajjd40
@kajjd40 5 жыл бұрын
Unganen namkalii
@Jameskaguo
@Jameskaguo 5 жыл бұрын
jamaa unahoji kama unamtokea vile safi
@hasiyakeniyausiachiebabu7634
@hasiyakeniyausiachiebabu7634 5 жыл бұрын
usiangalii udogo angalia akili
@Tam_media2548
@Tam_media2548 5 жыл бұрын
Hayuko huruu
@mayungamapinga7266
@mayungamapinga7266 5 жыл бұрын
mboso
@joshuamkupi6893
@joshuamkupi6893 5 жыл бұрын
Mama Ashura afunguka kwa Ebitoke kuhusu kuvunja ndo yake kzbin.info/www/bejne/kH-QZKOlnpWekNU
@innocentchulla6738
@innocentchulla6738 5 жыл бұрын
mr.joshtz
@enosmchomvu6649
@enosmchomvu6649 5 жыл бұрын
Ebtoke mbna anacheka kama hamnazo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@shakirshakir9100
@shakirshakir9100 5 жыл бұрын
kumbk ww umetoka wp mukipt kindong huw munaribga sn muuu
@shakirshakir9100
@shakirshakir9100 5 жыл бұрын
half unaony na kuringa sn
@badmanno.1650
@badmanno.1650 5 жыл бұрын
Hya ungana na mkali wenu..mukinukishe
@allyjuma6136
@allyjuma6136 5 жыл бұрын
VP ukitakiwa kufanya show ya live. ilo futa utafanyaje ili liendelee kung'ara wakati upo jukwaani?
@dannygroening3547
@dannygroening3547 5 жыл бұрын
Ndio
@aishaismail7717
@aishaismail7717 5 жыл бұрын
Muosha nae huwoshwa
@sikuzanibusanya6423
@sikuzanibusanya6423 5 жыл бұрын
Uo weupe vipi wewe mzingu eti Ebitoke jamani mkerewe wewe
@shakirshakir9100
@shakirshakir9100 5 жыл бұрын
kam unatoka mbon bado miwaja yako😵
@asiazuberi9722
@asiazuberi9722 5 жыл бұрын
Bitoke umekua mweupe au ni ilo futa ulilojikandika
@rashidhusain2958
@rashidhusain2958 5 жыл бұрын
😁😆
@uwimanaraoul6824
@uwimanaraoul6824 5 жыл бұрын
😂😂😂ww
@abdulazizsharif2984
@abdulazizsharif2984 5 жыл бұрын
my Sweetheart Asia am just looking for u msalimie Ebitoke na futa lake
@asiazuberi9722
@asiazuberi9722 5 жыл бұрын
@@abdulazizsharif2984 we nae nilipo nawe upo mmh
@abdulazizsharif2984
@abdulazizsharif2984 5 жыл бұрын
yes of cz my Asia how can i stay fer from u? nakupenda that's whay kila kwenye uko lazima niweko
@aishasilaji5759
@aishasilaji5759 5 жыл бұрын
Futa lishakukataa ebitoke hahaha,🤦
@jonaselias7729
@jonaselias7729 5 жыл бұрын
kwanini anajitikisa...???
@anuaryally6177
@anuaryally6177 5 жыл бұрын
Ni madoido tena ayo ya vishtobe si unajua
@alternatemusic1
@alternatemusic1 5 жыл бұрын
Hahah wedemu wewe uyoo futaa ulio pakaa usoni siunge pakaa kwenye kumaa
@iddhamidukibonge5606
@iddhamidukibonge5606 5 жыл бұрын
HazardVEVO we nae
@markrichardfreemasonry2602
@markrichardfreemasonry2602 5 жыл бұрын
Oya ulikua unamtia madole wakati una mhoji mbona anaweweseka alafu chini hutuoneshi
@rahmaramadhani3993
@rahmaramadhani3993 5 жыл бұрын
Punguza ukali wa maneno
DAD LEFT HIS OLD SOCKS ON THE COUCH…😱😂
00:24
JULI_PROETO
Рет қаралды 15 МЛН
Secret Experiment Toothpaste Pt.4 😱 #shorts
00:35
Mr DegrEE
Рет қаралды 12 МЛН
SMALL FISH NDIO DAGAA AU ? 😂😂🤣
1:01
Millard Ayo
Рет қаралды 968