EXCLUSIVE: IDRISS KITAA AONGEA SABABU YA KIFO CHA DIDA SHAIBU/NATAMANI DIDA ARUDI TENA/NIMEUMIA SANA

  Рет қаралды 9,463

CHAZY MEDIA

CHAZY MEDIA

Күн бұрын

Tumepiga Story na IDRISS KITAA
````````````````````````````````````````````````````
Facebook Page @chazymedia
instagram @chazymedia
Tiktok @chazymedia
``````````````````````````````````````````````````````````````

Пікірлер: 107
@robertrerarevocatus3455
@robertrerarevocatus3455 Сағат бұрын
Dah Kaka pole Sana ndugu yangu hakika ni Uchungu Sana Ulio nao Mwenyezi Mungu akupe wepesi Sana 😢😢😢😢😢 Dah Pumzika kwa Amani Dida
@CikeTanzania
@CikeTanzania Сағат бұрын
Allah akuongoze inamaana kumwabudu M/ mungu mpaka akuondoshee hili
@MsNajma-j7e
@MsNajma-j7e Сағат бұрын
Idrisa umekufuru Yan hamuamin kama mungu yupo mbaka akuondole mtu wako wa karibu au ndg Yako tunajidanganya sana hibada ni muimu na pumzi tunayo itumia atunui kama ruku au bado ni mumba wetu katujaria na anaichukua wakanti ukifka urivyo sain kabda ujaja dunian ivyo tumche Allah kila huchao in Sha Allah Allah atujarie mwisho mwema Ameen
@bihijaabdalla6885
@bihijaabdalla6885 58 минут бұрын
Kughafilika ni kwa Sisi binadamu lkn pia mauti ni mawaidha tosha hususan ya mtu wako wa karibu..Allah amuongoze na amuongoze na Sisi na amjalie kaul thabit ya Rabb
@SuleAltwaf
@SuleAltwaf 48 минут бұрын
Subir na ww ya kukute utajua nn Alimaanisha
@mwanamkeshujaabongoflavama7180
@mwanamkeshujaabongoflavama7180 2 сағат бұрын
Inna lillahi wa inna illahi rajiun Dida Idris usikufuru, hata kama una uzuni , mola akusamehe
@RadShayo
@RadShayo Сағат бұрын
Poleni jamaniii Eee mwezi mungu tunaomba umsamehe makosa yake yote apumzike Kwa amanii
@AmanaHassan-cy4fi
@AmanaHassan-cy4fi 2 сағат бұрын
Allah awape Subra... Innallilah wa Innailaaih Llaajhun..
@richardJanson-h7c
@richardJanson-h7c Сағат бұрын
Poleni sana tena sana tulimpenda lakini Mungu kazi yake haina makosa
@Danielraulents-r3g
@Danielraulents-r3g 15 минут бұрын
Pole kaka iddy 😭😭
@muhidinsuleiman4315
@muhidinsuleiman4315 2 сағат бұрын
KKa mbn unaongea hvy utamuamudu mungu mpk akuondoshee hyo.. dah Allah atuongoze
@nusaebahkeis6774
@nusaebahkeis6774 2 сағат бұрын
Haifai kabisa
@kadrimwingamno258
@kadrimwingamno258 Сағат бұрын
Poleni sana kwa msiba. Innalilah wainah ilahi rajiun. Haqika sisi wote wa Allah. Kijana wangu kuna kitu umesema kizito sana. Amakweli kifo ni mawaidha tosha kwa muumini. Umeapa kuhusu kumuabudia Allah akuoteshe kuhusu kufanya jambo sahih katika kumuabudia Allaah.
@kadrimwingamno258
@kadrimwingamno258 Сағат бұрын
Hicho kifo cha dada yako mpedwa Dida kufariki. Kina kupa usahihi wa kujitathimini. Nenda kutana na Masheikh wa Kisalafi....katika masjid omary mukhatab Jangwani karibu na club ya yanga. Kawambie story yako na elezea hamu yako ya kutaka kumuabudia Allaah. Na akujuze pale ulipoteleza katika kufanya makosa. Allaah akuifadhi Iddrisa
@abdallahabibu8340
@abdallahabibu8340 Сағат бұрын
Innaalillaahi Wainnaa Ilayhi raajiuun
@WambeneHabiba
@WambeneHabiba 2 сағат бұрын
Inalilahi waina ilahi rajiun
@Naju645
@Naju645 Сағат бұрын
Allah atupe mwisho mwema 😢😢nimeumia😭😭😭😭
@halimasawa611
@halimasawa611 51 минут бұрын
Inna lillahi wa inna illahi raijun😢Allah amsehm makosa yake ya siri na dhairi🙏🙏sote pua zangalia chini😢Allah atujalie mwisho mwema InshaAllah 🙏🙏🙏ndugu zangu sio vizr kusehm maiti hii niwakati wakumuombea dua ndio chakula cha maiti
@maryamsuleiman6340
@maryamsuleiman6340 16 минут бұрын
Innalillah Wainnailayh Rajiuun ,Mungu akupeni subira nikweli usemavo kaka ,mazoea nimtihani sio kama hatuyakubali mauti ,msiba unauma hata kama niwajibu ,Allah nae Assamese alimokosea sote siwakamilifu ,tusihukumiane vibayapia😢
@anabBajaga
@anabBajaga 4 сағат бұрын
INNALILLAHI WAINAILEHI RAJIUN
@alyehemed4477
@alyehemed4477 3 сағат бұрын
Allah amlaze pema peponi
@ZamdaLupeta
@ZamdaLupeta 4 минут бұрын
😢😢poleni kwa kipindi hiki kigumu mbele yake nyuma yetu😢😢😢
@carolinetanui2382
@carolinetanui2382 3 сағат бұрын
Daaaaaaa ehhhhh mungu
@adamkipenga6512
@adamkipenga6512 2 сағат бұрын
Daaaaaah kweli kifo sikia kwa mwenzio mbele yake nyuma yetu 😢
@ismailfarah8083
@ismailfarah8083 Сағат бұрын
Poleni kwa msiba.
@omanmct135
@omanmct135 2 сағат бұрын
Inalilah wainailah rajun aaalllah amuweke peponi
@shamilamo9159
@shamilamo9159 Сағат бұрын
Innalillah wa innailayh rajiun
@tumainijotham5054
@tumainijotham5054 52 минут бұрын
Pumzika kwa amani dada dida inauma sana
@Zuuh4286
@Zuuh4286 Сағат бұрын
Innalillah wainaillha rajiuun😭😭😭😭dida jamn
@Sharifajafari-ys6gx
@Sharifajafari-ys6gx 59 минут бұрын
Kachanganyikiwa uyo Allah amsamehe
@faridaally-jp1gx
@faridaally-jp1gx Сағат бұрын
Kuli nafsi dhalikal mauti inna lilahi wainailahi rajiuun
@NadhiraNa-vm5hs
@NadhiraNa-vm5hs 2 сағат бұрын
Allah akuongoze kweli umludie allah idrisa
@MelanyMelany-ep4bw
@MelanyMelany-ep4bw Сағат бұрын
Amrudie mungu kivipi kwani huko kuwa mtangazaji ndio ina maana hafati vile Allah anataka acheni mambo yenu nyie
@SaudaOmary-pi9si
@SaudaOmary-pi9si 27 минут бұрын
😭😭😭😭😭R.I.P. Dida
@FadhiraMwema
@FadhiraMwema Сағат бұрын
Ndugu zanguni kifo hakina mda hakina taarifa tuishi kwa tahadhari na tujilazimishe kumuabudu allah
@HabibaMkwama
@HabibaMkwama Сағат бұрын
Pole sna Babu iddi najalbu kuvaa viatu
@saumusudi9720
@saumusudi9720 26 минут бұрын
Innalillah wainaillaih rajiun
@KhaletaniyaQueen
@KhaletaniyaQueen 3 сағат бұрын
isikufuru bro
@AbdouliHasani
@AbdouliHasani Сағат бұрын
Inalilah wa inalilah lajiun
@fakihassan9021
@fakihassan9021 45 минут бұрын
Kilicho bakia kaka Ibada ukweli kabisa
@JokhaSaid-e1c
@JokhaSaid-e1c Сағат бұрын
Ukimuona Idris machozi yanakutoka pole I saaaaaana
@aliroro9344
@aliroro9344 3 сағат бұрын
🤔..Kwaio Wewe Mungu unaemuabudii Una Imani nae na Umuamni mpka akuodole ilo itaji lako 🤔 Hii kufru
@treyvissy9854
@treyvissy9854 3 сағат бұрын
Ni jazba tu ya msiba ndugu usikaze fuvu sana .. yeye anaelewa anatakiwa kumuabudu mungu wake wakati wote!
@hanifa9153
@hanifa9153 3 сағат бұрын
Kachanganyikiwa wallah😢😢😢
@aliroro9344
@aliroro9344 2 сағат бұрын
@@treyvissy9854 Akuna cha jazba yeye ni arudi nyuma atubie maana hii clip ipo akione tena na akijua amekosea basi atubie tu.
@nusaebahkeis6774
@nusaebahkeis6774 Сағат бұрын
Subraaaa subraaa punguza maneno
@silverman6930
@silverman6930 Сағат бұрын
He was closed to her just relax .. it’s painful trust me 😢. Dude he’s in excruciating agony right now 😢
@RamadhaniIssa-e6i
@RamadhaniIssa-e6i Сағат бұрын
😢
@komboomar8275
@komboomar8275 2 сағат бұрын
*Alikuwa mtoto wa kiislam ila maadili ya kikafiri... hii dunia sio sehemu sahihi ya kufanya staarehe na kujisahau kuishi ni bahati na kufa ni lazima Allah atujaalie mwisho mwema in shaAllah*
@joycehaule9717
@joycehaule9717 2 сағат бұрын
Sawa secretary wa Mungu tumekuelewa wewe unaye ishi mbinguni...
@himidiwekabuje8402
@himidiwekabuje8402 2 сағат бұрын
We unajuaje km aliishi kikafili usihukumu maana utahukumiwa
@JohnsonRutta-k1c
@JohnsonRutta-k1c 2 сағат бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂hi imenifanya ncheke aki hyu cy anahukumu ​@@joycehaule9717
@mohdkhamis2914
@mohdkhamis2914 2 сағат бұрын
Tajeni mema ya maiti zenu na muwafichie makosa yao. Usimuhukumu mtu wewe muombee dua mwenye kuhukumu ni Allah peke yake
@aboudijaaboudija
@aboudijaaboudija 2 сағат бұрын
hukumu mmeanza
@kareemyassin9322
@kareemyassin9322 51 минут бұрын
😢😢😢😢😢
@wemaMichael-fr4th
@wemaMichael-fr4th 2 сағат бұрын
mbona watu wanasema ni moyo
@FahadAbubakari-y3f
@FahadAbubakari-y3f Сағат бұрын
Watu gani wakwenu huko uliko au hao walokua karibu nae
@masoudtwalib6413
@masoudtwalib6413 2 сағат бұрын
Punguza kuongea sana unachochora.
@sygtamks1643
@sygtamks1643 2 сағат бұрын
Huyu kaka Allah ampe hidaya mana imani yake haijatengemaa maongezi yake tu unafamu😢 Allah atuongeze kumjua Yeye mola wetu nakufata matakwa yake nakuacha makatazo yake
@ummycheedy2809
@ummycheedy2809 Сағат бұрын
Kila mtu akipata msiba anaupokea anavyojua yeye 😭
@AyubuIssa-np3vc
@AyubuIssa-np3vc Сағат бұрын
Tatizolako umejawa naudini sana ubaguzi umekujaa .sasa alichokosea nikipi .au kisa bwana ametowa jinalake is iimisiwe .uyo amegusa kwWatuwote
@HALIHAMISI
@HALIHAMISI 54 минут бұрын
Hupaswi kusema hunais ndoto broh kifo tumeumbiwa wanadam ni sehem moja ambayo kila mmoja wetu hitamkuta hila tu kwa nyakat zake tuseme inshaallah mwenyenz mungu hamfanyie wepes kwenye safali yake ya milele kabuli lake liwe miongon mwa watu wema popen inshaallah
@ashuu7772
@ashuu7772 Сағат бұрын
Huyu kachanganyikia kidogo
@Sharifajafari-ys6gx
@Sharifajafari-ys6gx 57 минут бұрын
Daaa kwaiyo dida malizake kaaacha pesa zake kaaacha kaenda yeye tu jamani dunia tunaiacha jamani tupunguze tama za dunia
@mohamedimbinga7422
@mohamedimbinga7422 36 минут бұрын
ndyo tafsiri ya dunia hii
@JohnsonBagambi
@JohnsonBagambi 2 минут бұрын
🙏🙏🙏🙏
@YonoZanzibar
@YonoZanzibar 12 минут бұрын
😢😢😢😢
HALI ILIVYO MSIBANI KWA DIDA MUDA HUU NYUMBANI KWAO SHEKILANGO.
1:30
Hii hapa Video ya Mwisho ya Didah kabla Hajafariki Dunia
3:27
Ophoro Tube
Рет қаралды 10 М.
Spongebob ate Patrick 😱 #meme #spongebob #gmod
00:15
Mr. LoLo
Рет қаралды 20 МЛН
Diamond na mastaa wengine wamlilia Dida Shaibu
8:58
Simulizi Na Sauti
Рет қаралды 10 М.
VITUMBUA
13:12
Joti TV
Рет қаралды 68 М.