Tumepiga Story na IDRISS KITAA ```````````````````````````````````````````````````` Facebook Page @chazymedia instagram @chazymedia Tiktok @chazymedia ``````````````````````````````````````````````````````````````
Пікірлер: 107
@robertrerarevocatus3455Сағат бұрын
Dah Kaka pole Sana ndugu yangu hakika ni Uchungu Sana Ulio nao Mwenyezi Mungu akupe wepesi Sana 😢😢😢😢😢 Dah Pumzika kwa Amani Dida
@CikeTanzaniaСағат бұрын
Allah akuongoze inamaana kumwabudu M/ mungu mpaka akuondoshee hili
@MsNajma-j7eСағат бұрын
Idrisa umekufuru Yan hamuamin kama mungu yupo mbaka akuondole mtu wako wa karibu au ndg Yako tunajidanganya sana hibada ni muimu na pumzi tunayo itumia atunui kama ruku au bado ni mumba wetu katujaria na anaichukua wakanti ukifka urivyo sain kabda ujaja dunian ivyo tumche Allah kila huchao in Sha Allah Allah atujarie mwisho mwema Ameen
@bihijaabdalla688558 минут бұрын
Kughafilika ni kwa Sisi binadamu lkn pia mauti ni mawaidha tosha hususan ya mtu wako wa karibu..Allah amuongoze na amuongoze na Sisi na amjalie kaul thabit ya Rabb
@SuleAltwaf48 минут бұрын
Subir na ww ya kukute utajua nn Alimaanisha
@mwanamkeshujaabongoflavama71802 сағат бұрын
Inna lillahi wa inna illahi rajiun Dida Idris usikufuru, hata kama una uzuni , mola akusamehe
@RadShayoСағат бұрын
Poleni jamaniii Eee mwezi mungu tunaomba umsamehe makosa yake yote apumzike Kwa amanii
@AmanaHassan-cy4fi2 сағат бұрын
Allah awape Subra... Innallilah wa Innailaaih Llaajhun..
@richardJanson-h7cСағат бұрын
Poleni sana tena sana tulimpenda lakini Mungu kazi yake haina makosa
@Danielraulents-r3g15 минут бұрын
Pole kaka iddy 😭😭
@muhidinsuleiman43152 сағат бұрын
KKa mbn unaongea hvy utamuamudu mungu mpk akuondoshee hyo.. dah Allah atuongoze
@nusaebahkeis67742 сағат бұрын
Haifai kabisa
@kadrimwingamno258Сағат бұрын
Poleni sana kwa msiba. Innalilah wainah ilahi rajiun. Haqika sisi wote wa Allah. Kijana wangu kuna kitu umesema kizito sana. Amakweli kifo ni mawaidha tosha kwa muumini. Umeapa kuhusu kumuabudia Allah akuoteshe kuhusu kufanya jambo sahih katika kumuabudia Allaah.
@kadrimwingamno258Сағат бұрын
Hicho kifo cha dada yako mpedwa Dida kufariki. Kina kupa usahihi wa kujitathimini. Nenda kutana na Masheikh wa Kisalafi....katika masjid omary mukhatab Jangwani karibu na club ya yanga. Kawambie story yako na elezea hamu yako ya kutaka kumuabudia Allaah. Na akujuze pale ulipoteleza katika kufanya makosa. Allaah akuifadhi Iddrisa
@abdallahabibu8340Сағат бұрын
Innaalillaahi Wainnaa Ilayhi raajiuun
@WambeneHabiba2 сағат бұрын
Inalilahi waina ilahi rajiun
@Naju645Сағат бұрын
Allah atupe mwisho mwema 😢😢nimeumia😭😭😭😭
@halimasawa61151 минут бұрын
Inna lillahi wa inna illahi raijun😢Allah amsehm makosa yake ya siri na dhairi🙏🙏sote pua zangalia chini😢Allah atujalie mwisho mwema InshaAllah 🙏🙏🙏ndugu zangu sio vizr kusehm maiti hii niwakati wakumuombea dua ndio chakula cha maiti
@maryamsuleiman634016 минут бұрын
Innalillah Wainnailayh Rajiuun ,Mungu akupeni subira nikweli usemavo kaka ,mazoea nimtihani sio kama hatuyakubali mauti ,msiba unauma hata kama niwajibu ,Allah nae Assamese alimokosea sote siwakamilifu ,tusihukumiane vibayapia😢
@anabBajaga4 сағат бұрын
INNALILLAHI WAINAILEHI RAJIUN
@alyehemed44773 сағат бұрын
Allah amlaze pema peponi
@ZamdaLupeta4 минут бұрын
😢😢poleni kwa kipindi hiki kigumu mbele yake nyuma yetu😢😢😢
@carolinetanui23823 сағат бұрын
Daaaaaaa ehhhhh mungu
@adamkipenga65122 сағат бұрын
Daaaaaah kweli kifo sikia kwa mwenzio mbele yake nyuma yetu 😢
Amrudie mungu kivipi kwani huko kuwa mtangazaji ndio ina maana hafati vile Allah anataka acheni mambo yenu nyie
@SaudaOmary-pi9si27 минут бұрын
😭😭😭😭😭R.I.P. Dida
@FadhiraMwemaСағат бұрын
Ndugu zanguni kifo hakina mda hakina taarifa tuishi kwa tahadhari na tujilazimishe kumuabudu allah
@HabibaMkwamaСағат бұрын
Pole sna Babu iddi najalbu kuvaa viatu
@saumusudi972026 минут бұрын
Innalillah wainaillaih rajiun
@KhaletaniyaQueen3 сағат бұрын
isikufuru bro
@AbdouliHasaniСағат бұрын
Inalilah wa inalilah lajiun
@fakihassan902145 минут бұрын
Kilicho bakia kaka Ibada ukweli kabisa
@JokhaSaid-e1cСағат бұрын
Ukimuona Idris machozi yanakutoka pole I saaaaaana
@aliroro93443 сағат бұрын
🤔..Kwaio Wewe Mungu unaemuabudii Una Imani nae na Umuamni mpka akuodole ilo itaji lako 🤔 Hii kufru
@treyvissy98543 сағат бұрын
Ni jazba tu ya msiba ndugu usikaze fuvu sana .. yeye anaelewa anatakiwa kumuabudu mungu wake wakati wote!
@hanifa91533 сағат бұрын
Kachanganyikiwa wallah😢😢😢
@aliroro93442 сағат бұрын
@@treyvissy9854 Akuna cha jazba yeye ni arudi nyuma atubie maana hii clip ipo akione tena na akijua amekosea basi atubie tu.
@nusaebahkeis6774Сағат бұрын
Subraaaa subraaa punguza maneno
@silverman6930Сағат бұрын
He was closed to her just relax .. it’s painful trust me 😢. Dude he’s in excruciating agony right now 😢
@RamadhaniIssa-e6iСағат бұрын
😢
@komboomar82752 сағат бұрын
*Alikuwa mtoto wa kiislam ila maadili ya kikafiri... hii dunia sio sehemu sahihi ya kufanya staarehe na kujisahau kuishi ni bahati na kufa ni lazima Allah atujaalie mwisho mwema in shaAllah*
@joycehaule97172 сағат бұрын
Sawa secretary wa Mungu tumekuelewa wewe unaye ishi mbinguni...
@himidiwekabuje84022 сағат бұрын
We unajuaje km aliishi kikafili usihukumu maana utahukumiwa
@JohnsonRutta-k1c2 сағат бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂hi imenifanya ncheke aki hyu cy anahukumu @@joycehaule9717
@mohdkhamis29142 сағат бұрын
Tajeni mema ya maiti zenu na muwafichie makosa yao. Usimuhukumu mtu wewe muombee dua mwenye kuhukumu ni Allah peke yake
@aboudijaaboudija2 сағат бұрын
hukumu mmeanza
@kareemyassin932251 минут бұрын
😢😢😢😢😢
@wemaMichael-fr4th2 сағат бұрын
mbona watu wanasema ni moyo
@FahadAbubakari-y3fСағат бұрын
Watu gani wakwenu huko uliko au hao walokua karibu nae
@masoudtwalib64132 сағат бұрын
Punguza kuongea sana unachochora.
@sygtamks16432 сағат бұрын
Huyu kaka Allah ampe hidaya mana imani yake haijatengemaa maongezi yake tu unafamu😢 Allah atuongeze kumjua Yeye mola wetu nakufata matakwa yake nakuacha makatazo yake
@ummycheedy2809Сағат бұрын
Kila mtu akipata msiba anaupokea anavyojua yeye 😭
@AyubuIssa-np3vcСағат бұрын
Tatizolako umejawa naudini sana ubaguzi umekujaa .sasa alichokosea nikipi .au kisa bwana ametowa jinalake is iimisiwe .uyo amegusa kwWatuwote
@HALIHAMISI54 минут бұрын
Hupaswi kusema hunais ndoto broh kifo tumeumbiwa wanadam ni sehem moja ambayo kila mmoja wetu hitamkuta hila tu kwa nyakat zake tuseme inshaallah mwenyenz mungu hamfanyie wepes kwenye safali yake ya milele kabuli lake liwe miongon mwa watu wema popen inshaallah
@ashuu7772Сағат бұрын
Huyu kachanganyikia kidogo
@Sharifajafari-ys6gx57 минут бұрын
Daaa kwaiyo dida malizake kaaacha pesa zake kaaacha kaenda yeye tu jamani dunia tunaiacha jamani tupunguze tama za dunia