Our mission is to bring people together,entertain and educate people that's why we create content that does exactly that ;Cast Latifa Mussa :Host JS : Camera 1 Charles : Camer 2 Kasamalu
Пікірлер: 75
@mathiasndekimo39833 ай бұрын
huyo dada nimchawi kweli na aliongea mwanzo niukweli Sema kapigwa mabiti naserikali kupotosha vijana waache kufanya kazi wafate ushenzi Yani huyu kazingua sana sana mbona mwanzoni alijiamin sana saiv imekuwaje anashindwa kuongea acheni kufanya watu watoto wadogo
@arafatali27963 ай бұрын
kwaio kuwwambia vijn wafany kaz waach kuuw na tamaa na majoka ndo ushenz ama vip
@LiangGirle3 ай бұрын
Huyu muongo atakuwa katishiwa tu ila mchawi kwer@@arafatali2796
@OfficialA836403 ай бұрын
Anasafisha chanel maana walitaka kufungiwa na zile clip zote waliambiwa wafute😂😂😂
@aminamaulid73713 ай бұрын
Pumbafu zake asingepigwa mikwara ingekuwaje? Mwanga mmoja tu huyu.
@GodfreyGabriel-jn8ge3 ай бұрын
Hamna cha ilikuwa ni story hapo bali ni uhalisia/ukweli. Ushauri wangu kwake, atubu kwa MUUMBA wetu kisha aachane na ushetani huo.
@SahimSalim-l5f3 ай бұрын
Media nyingi za kibongo habr zao utaskia alikiba kajamba, diamond kahara, wema sepetu anaugua, tafteni habr za maana watu wanachangamoto kibao, za maisha acheni ujinga msitulete habr za ujinga
@SharonGodwill3 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂 umeniuwa
@sirlimomari26333 ай бұрын
Bongo touch mnazingua mnatufanya watoto. Ingependeza mtangazaji yulyule aliyemuhoji akiwa na joka amuhoji hii video,, kuna kitu kingine tungekijua
@VictorLyimo-so9xr3 ай бұрын
Uyo nyoka anaye mpaka Sasa anampa ela,ila amekatazwa asiongee hzo habari vijana watamaliza ndugu
@channychizzo51443 ай бұрын
Hujyamuliza vizuri. Kama ilikuwa story mbona hukumuwuliza ile nyoka tuliwona ilitoka wapi?
@sirlimomari26333 ай бұрын
Ya kwanza ilikuwa ina % kubwa ya ukweli,, alaf anasema Et kuiendleza story mpk apate kibali,, kibali kutoka kwa jini au
@HawaShaibu-dq5nr3 ай бұрын
Huyu dada ni muongo sana
@SwaumuRamadhanDhahabu3 ай бұрын
Tena sio kidg
@LuluByams3 ай бұрын
Niukweli Utaigiza vipi Na nyoka Mkubwa ka yule
@HASSANBAKARI-q9c3 ай бұрын
kumbe ajakoma😊😊
@farhannahkulishwaburekunam53603 ай бұрын
Ni mkirsto baba ako amesema marina umejibadil8sha kwanini unausaliti uislam
@nusaebahkeis67743 ай бұрын
Wanaudhalisha uislam nankuukaahif kwa manufaaa yake
@jamyabdul43213 ай бұрын
Ile ya kwanza inaukweli ndani yake... jamani yule mwandishi alivyokuwa anaruka nyoka asimguse😅😅 kweli leo ni mwandishi wa vitabu? Duuuhh.
@LiangGirle3 ай бұрын
Huyu dada nimshenzi kaamua kuzuga tu ila nimchawi kwer
@SwaumuRamadhanDhahabu3 ай бұрын
Huyu ni muongo sana jaman
@farhannahkulishwaburekunam53603 ай бұрын
Muongo sasa kama ni story na huyo nyoka wa nani na umempata wapi na
@NuruBakari-w7l3 ай бұрын
Mi nauliza kama ilikuwa story tu na wale wazazi wliohojiwa na ndugu je aliwapanga? Mbona mi dielewi
@rukiahabib34443 ай бұрын
mbona nyumba ya mwanzo na hii ni tofauti ama hawa wanatutungia hadithi za abunuasi hapa alaf nguo ni ile ile ama nyoka alisema uvae nguo hio hio
@ZaituniAthumani-q8uАй бұрын
Mh
@VivanAmasi3 ай бұрын
Mmmh ss yule nyoka ilikuaje
@charlestryphone6563 ай бұрын
Mwandishi wa habari unahoji kiboya huna maswali yanye maana! Unashindwa kumuuliza huyo nyoka niwananan na amewezaje kupata comfidance yakumshika!
Uongo mtupu, Wala haielekei uongo wake. Kashabanwa asidanganye watu, lkn na hili pia anadanganya.
@abdallahsaid41393 ай бұрын
huyu anaogopa mkwala wa serikali
@MwaIne3 ай бұрын
Mmh
@susanlikokhe43613 ай бұрын
Dress code
@KhamisiOmar-v3h3 ай бұрын
Kusema kweli watu walitoa laana nyingi sana na maneno yasio kuwa mazuri kama ni kweli huyu dada anavo sema ni story.paa watu wajufunze kupitia hili wasitoe hukuma kabla ya mwisho wakitendo..
@TifaMussa3 ай бұрын
❤hakika
@TifaMussa3 ай бұрын
❤❤❤❤
@SahimSalim-l5f3 ай бұрын
Nyinyi wenye chanal mnatafuta Kiki tu na uyu Dada anatafuta Kiki, ilimradi mpate viewers KZbin na mpate pesa ya youtube, apo mwanzo ilikuwa hamjui kama anaongea uongo kuhusu nyoka, tafteni habar za maana mtuletee acheni ujingaa
@salamamohamed8433 ай бұрын
Anaficha tuu pumbafu mambo yangewageukiaaa
@husnathabiti41143 ай бұрын
Sasa kumbe Alishika nn
@magdalenaisrael34323 ай бұрын
Alhaji do sule alisema muongo kweli🤨
@josemselle38443 ай бұрын
Ni muongo sana
@esterpaul58563 ай бұрын
Nyoka ulimpatq wap
@aboudijaaboudija3 ай бұрын
upuuuzi
@emmatheo-w4o3 ай бұрын
🤣
@VivanAmasi3 ай бұрын
Kwaiyo uze kitabu na story ndio uwishi hayo maisha jaman mbona mnaona watu wajinga et
@NSHIMIRIMANAMARIAMMARIAM3 ай бұрын
Ila kweli we dada Ulitumia makosa makubwa sana kutumia mtandao kupotosha jamii
@hamzahamza75653 ай бұрын
Nguo ni ile ile ya masharti 😂😂 na yule mzee kule pia alikuwa sehem ya script au😅
@TifaMussa3 ай бұрын
We fal kwel watak ukwel au watak nguo
@TifaMussa3 ай бұрын
😂😢
@TifaMussa3 ай бұрын
😅kumbe kuona huon hat kusom hujui nguo ile na hii ni moj yaaan wanaume wasiojua kuhudumia wake zao wanaish kwa kukalili haaaa😂😂😂
@SahimSalim-l5f3 ай бұрын
Kiufupi Dada na wenye chanal washapata Kiki zao mjini na pesa ya youtube, wabongo wingi washazoweya kuskiliza ujinga wa mtandao na habr za ujinga
@TifaMussa3 ай бұрын
Akiwem wewe
@SahimSalim-l5f3 ай бұрын
Ata ww kwenye ujinga umo
@prophetmwonajisamson20793 ай бұрын
Huyu anadanganya juu mganga wake alijitokeza pia mama yake mzazi na wakamsitumu. Mshirikina wewe
@arafatali27963 ай бұрын
unauhaki kuq niwazaz wak kwel au nimgang kwel pngn nawao wapiingzwaj kweny ilo dili lakutft kiki z kijinga
@prophetmwonajisamson20793 ай бұрын
@@arafatali2796 ukweli upo fuatilia hayo mambo yake vizuri utajua hata yule mganga wake alipata wateja wengi sana duniani na amechukua hera za watu wengi sana Tanzania, Kenya na nchi zingine. Hapa serikali ya Tanzania inamchukulia hatua ya kumiliki kiumbe kama yule ndani ya nyumba yake bila vibali Sasa anajaribu kuepa na kujitakaza. Kama kweli angeonyesha bahadhi ya vitabu zake ndio tujue ukweli wake
@TifaMussa3 ай бұрын
😅😅😅😅
@TifaMussa3 ай бұрын
😂Kwenye huo upumbav akiwemo na wewe ni mpumbavu
@Kzm-c9u3 ай бұрын
Wanasaikolojia wenyewe huwa tunaelewa, huyu amelazimisha kugeuza uhalisia.
@fathiyahmuzney73673 ай бұрын
Hamkomi tu wenzenu juz yamewakuta
@BongoEa3 ай бұрын
Tazama video acha kukurupuka wewe
@fathiyahmuzney73673 ай бұрын
@@BongoEa Ukitazama ww inatosha🤣
@fathiyahmuzney73673 ай бұрын
@@BongoEa Bando langu bado unipangie sukununu ww🤣🤣🤣🤣
@BongoEa3 ай бұрын
Sasa ulalamika nini kwani kuna mtu aliku force ufungue
@fathiyahmuzney73673 ай бұрын
@@BongoEa Wapi nimelalamika hebu tuliza mshono mtt wa kiume mdomo mrefu km chuchunge laza makende hayo yalolegea km nyanya ya nyongeza
@VivanAmasi3 ай бұрын
Yan leo unavyo ongea nasikuile ulivyo kuwa naungea nivitu viwili tofaut sikuilee ulikuwa ata usoni ulikuwa ukionekana ķabisa ulikuwa unaongea ukweli na leo unavyo ongea unaonekana kabisa umepigwa mabiti na viongozi ndiomana unataka kutudanganya kuna watu wakikutazama2 wanajua unaongea ukweli au unadanganya
@HilmiHilal-g8j3 ай бұрын
Huyu dada ni mpumbavu tu, kila kitu kina mipaka yake. Mnapofanya hayo mambo yenu ya kishirikina ama kutafuta kwenu umaarufu kwanini mjinasibishe na uislamu? Fanya toba dada yangu usije ukaangukia kwenye ghadhabu za Allah!