EXCLUSIVE NA MREMBO ANAYEISHI NA NYOKA | HUU NDIO UKWELI WA HISTORIA YAKE YA UTAJIRI

  Рет қаралды 14,502

Bongo Touch

Bongo Touch

Күн бұрын

Our mission is to bring people together,entertain and educate people that's why we create content that does exactly that
;Cast Latifa Mussa
:Host JS
: Camera 1 Charles
: Camer 2 Kasamalu

Пікірлер: 75
@mathiasndekimo3983
@mathiasndekimo3983 3 ай бұрын
huyo dada nimchawi kweli na aliongea mwanzo niukweli Sema kapigwa mabiti naserikali kupotosha vijana waache kufanya kazi wafate ushenzi Yani huyu kazingua sana sana mbona mwanzoni alijiamin sana saiv imekuwaje anashindwa kuongea acheni kufanya watu watoto wadogo
@arafatali2796
@arafatali2796 3 ай бұрын
kwaio kuwwambia vijn wafany kaz waach kuuw na tamaa na majoka ndo ushenz ama vip
@LiangGirle
@LiangGirle 3 ай бұрын
Huyu muongo atakuwa katishiwa tu ila mchawi kwer​@@arafatali2796
@OfficialA83640
@OfficialA83640 3 ай бұрын
Anasafisha chanel maana walitaka kufungiwa na zile clip zote waliambiwa wafute😂😂😂
@aminamaulid7371
@aminamaulid7371 3 ай бұрын
Pumbafu zake asingepigwa mikwara ingekuwaje? Mwanga mmoja tu huyu.
@GodfreyGabriel-jn8ge
@GodfreyGabriel-jn8ge 3 ай бұрын
Hamna cha ilikuwa ni story hapo bali ni uhalisia/ukweli. Ushauri wangu kwake, atubu kwa MUUMBA wetu kisha aachane na ushetani huo.
@SahimSalim-l5f
@SahimSalim-l5f 3 ай бұрын
Media nyingi za kibongo habr zao utaskia alikiba kajamba, diamond kahara, wema sepetu anaugua, tafteni habr za maana watu wanachangamoto kibao, za maisha acheni ujinga msitulete habr za ujinga
@SharonGodwill
@SharonGodwill 3 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂 umeniuwa
@sirlimomari2633
@sirlimomari2633 3 ай бұрын
Bongo touch mnazingua mnatufanya watoto. Ingependeza mtangazaji yulyule aliyemuhoji akiwa na joka amuhoji hii video,, kuna kitu kingine tungekijua
@VictorLyimo-so9xr
@VictorLyimo-so9xr 3 ай бұрын
Uyo nyoka anaye mpaka Sasa anampa ela,ila amekatazwa asiongee hzo habari vijana watamaliza ndugu
@channychizzo5144
@channychizzo5144 3 ай бұрын
Hujyamuliza vizuri. Kama ilikuwa story mbona hukumuwuliza ile nyoka tuliwona ilitoka wapi?
@sirlimomari2633
@sirlimomari2633 3 ай бұрын
Ya kwanza ilikuwa ina % kubwa ya ukweli,, alaf anasema Et kuiendleza story mpk apate kibali,, kibali kutoka kwa jini au
@HawaShaibu-dq5nr
@HawaShaibu-dq5nr 3 ай бұрын
Huyu dada ni muongo sana
@SwaumuRamadhanDhahabu
@SwaumuRamadhanDhahabu 3 ай бұрын
Tena sio kidg
@LuluByams
@LuluByams 3 ай бұрын
Niukweli Utaigiza vipi Na nyoka Mkubwa ka yule
@HASSANBAKARI-q9c
@HASSANBAKARI-q9c 3 ай бұрын
kumbe ajakoma😊😊
@farhannahkulishwaburekunam5360
@farhannahkulishwaburekunam5360 3 ай бұрын
Ni mkirsto baba ako amesema marina umejibadil8sha kwanini unausaliti uislam
@nusaebahkeis6774
@nusaebahkeis6774 3 ай бұрын
Wanaudhalisha uislam nankuukaahif kwa manufaaa yake
@jamyabdul4321
@jamyabdul4321 3 ай бұрын
Ile ya kwanza inaukweli ndani yake... jamani yule mwandishi alivyokuwa anaruka nyoka asimguse😅😅 kweli leo ni mwandishi wa vitabu? Duuuhh.
@LiangGirle
@LiangGirle 3 ай бұрын
Huyu dada nimshenzi kaamua kuzuga tu ila nimchawi kwer
@SwaumuRamadhanDhahabu
@SwaumuRamadhanDhahabu 3 ай бұрын
Huyu ni muongo sana jaman
@farhannahkulishwaburekunam5360
@farhannahkulishwaburekunam5360 3 ай бұрын
Muongo sasa kama ni story na huyo nyoka wa nani na umempata wapi na
@NuruBakari-w7l
@NuruBakari-w7l 3 ай бұрын
Mi nauliza kama ilikuwa story tu na wale wazazi wliohojiwa na ndugu je aliwapanga? Mbona mi dielewi
@rukiahabib3444
@rukiahabib3444 3 ай бұрын
mbona nyumba ya mwanzo na hii ni tofauti ama hawa wanatutungia hadithi za abunuasi hapa alaf nguo ni ile ile ama nyoka alisema uvae nguo hio hio
@ZaituniAthumani-q8u
@ZaituniAthumani-q8u Ай бұрын
Mh
@VivanAmasi
@VivanAmasi 3 ай бұрын
Mmmh ss yule nyoka ilikuaje
@charlestryphone656
@charlestryphone656 3 ай бұрын
Mwandishi wa habari unahoji kiboya huna maswali yanye maana! Unashindwa kumuuliza huyo nyoka niwananan na amewezaje kupata comfidance yakumshika!
@LiangGirle
@LiangGirle 3 ай бұрын
Nikwer kabisa huyu dada nimchawi tu
@PauloBarton
@PauloBarton 3 ай бұрын
Ukweli tunaujua uchawi was nyoka tunaujua wewe nimchawi kweli Acha kutuzuga
@VictoriaMsiagi
@VictoriaMsiagi 2 ай бұрын
Mshenzi huyu kabadilisha eti ni story
@abdallahsaid4139
@abdallahsaid4139 3 ай бұрын
Na kile ulichotonyesha ni nn mdoli
@zulekhaa6817
@zulekhaa6817 3 ай бұрын
Uongo mtupu, Wala haielekei uongo wake. Kashabanwa asidanganye watu, lkn na hili pia anadanganya.
@abdallahsaid4139
@abdallahsaid4139 3 ай бұрын
huyu anaogopa mkwala wa serikali
@MwaIne
@MwaIne 3 ай бұрын
Mmh
@susanlikokhe4361
@susanlikokhe4361 3 ай бұрын
Dress code
@KhamisiOmar-v3h
@KhamisiOmar-v3h 3 ай бұрын
Kusema kweli watu walitoa laana nyingi sana na maneno yasio kuwa mazuri kama ni kweli huyu dada anavo sema ni story.paa watu wajufunze kupitia hili wasitoe hukuma kabla ya mwisho wakitendo..
@TifaMussa
@TifaMussa 3 ай бұрын
❤hakika
@TifaMussa
@TifaMussa 3 ай бұрын
❤❤❤❤
@SahimSalim-l5f
@SahimSalim-l5f 3 ай бұрын
Nyinyi wenye chanal mnatafuta Kiki tu na uyu Dada anatafuta Kiki, ilimradi mpate viewers KZbin na mpate pesa ya youtube, apo mwanzo ilikuwa hamjui kama anaongea uongo kuhusu nyoka, tafteni habar za maana mtuletee acheni ujingaa
@salamamohamed843
@salamamohamed843 3 ай бұрын
Anaficha tuu pumbafu mambo yangewageukiaaa
@husnathabiti4114
@husnathabiti4114 3 ай бұрын
Sasa kumbe Alishika nn
@magdalenaisrael3432
@magdalenaisrael3432 3 ай бұрын
Alhaji do sule alisema muongo kweli🤨
@josemselle3844
@josemselle3844 3 ай бұрын
Ni muongo sana
@esterpaul5856
@esterpaul5856 3 ай бұрын
Nyoka ulimpatq wap
@aboudijaaboudija
@aboudijaaboudija 3 ай бұрын
upuuuzi
@emmatheo-w4o
@emmatheo-w4o 3 ай бұрын
🤣
@VivanAmasi
@VivanAmasi 3 ай бұрын
Kwaiyo uze kitabu na story ndio uwishi hayo maisha jaman mbona mnaona watu wajinga et
@NSHIMIRIMANAMARIAMMARIAM
@NSHIMIRIMANAMARIAMMARIAM 3 ай бұрын
Ila kweli we dada Ulitumia makosa makubwa sana kutumia mtandao kupotosha jamii
@hamzahamza7565
@hamzahamza7565 3 ай бұрын
Nguo ni ile ile ya masharti 😂😂 na yule mzee kule pia alikuwa sehem ya script au😅
@TifaMussa
@TifaMussa 3 ай бұрын
We fal kwel watak ukwel au watak nguo
@TifaMussa
@TifaMussa 3 ай бұрын
😂😢
@TifaMussa
@TifaMussa 3 ай бұрын
😅kumbe kuona huon hat kusom hujui nguo ile na hii ni moj yaaan wanaume wasiojua kuhudumia wake zao wanaish kwa kukalili haaaa😂😂😂
@SahimSalim-l5f
@SahimSalim-l5f 3 ай бұрын
Kiufupi Dada na wenye chanal washapata Kiki zao mjini na pesa ya youtube, wabongo wingi washazoweya kuskiliza ujinga wa mtandao na habr za ujinga
@TifaMussa
@TifaMussa 3 ай бұрын
Akiwem wewe
@SahimSalim-l5f
@SahimSalim-l5f 3 ай бұрын
Ata ww kwenye ujinga umo
@prophetmwonajisamson2079
@prophetmwonajisamson2079 3 ай бұрын
Huyu anadanganya juu mganga wake alijitokeza pia mama yake mzazi na wakamsitumu. Mshirikina wewe
@arafatali2796
@arafatali2796 3 ай бұрын
unauhaki kuq niwazaz wak kwel au nimgang kwel pngn nawao wapiingzwaj kweny ilo dili lakutft kiki z kijinga
@prophetmwonajisamson2079
@prophetmwonajisamson2079 3 ай бұрын
@@arafatali2796 ukweli upo fuatilia hayo mambo yake vizuri utajua hata yule mganga wake alipata wateja wengi sana duniani na amechukua hera za watu wengi sana Tanzania, Kenya na nchi zingine. Hapa serikali ya Tanzania inamchukulia hatua ya kumiliki kiumbe kama yule ndani ya nyumba yake bila vibali Sasa anajaribu kuepa na kujitakaza. Kama kweli angeonyesha bahadhi ya vitabu zake ndio tujue ukweli wake
@TifaMussa
@TifaMussa 3 ай бұрын
😅😅😅😅
@TifaMussa
@TifaMussa 3 ай бұрын
😂Kwenye huo upumbav akiwemo na wewe ni mpumbavu
@Kzm-c9u
@Kzm-c9u 3 ай бұрын
Wanasaikolojia wenyewe huwa tunaelewa, huyu amelazimisha kugeuza uhalisia.
@fathiyahmuzney7367
@fathiyahmuzney7367 3 ай бұрын
Hamkomi tu wenzenu juz yamewakuta
@BongoEa
@BongoEa 3 ай бұрын
Tazama video acha kukurupuka wewe
@fathiyahmuzney7367
@fathiyahmuzney7367 3 ай бұрын
@@BongoEa Ukitazama ww inatosha🤣
@fathiyahmuzney7367
@fathiyahmuzney7367 3 ай бұрын
@@BongoEa Bando langu bado unipangie sukununu ww🤣🤣🤣🤣
@BongoEa
@BongoEa 3 ай бұрын
Sasa ulalamika nini kwani kuna mtu aliku force ufungue
@fathiyahmuzney7367
@fathiyahmuzney7367 3 ай бұрын
@@BongoEa Wapi nimelalamika hebu tuliza mshono mtt wa kiume mdomo mrefu km chuchunge laza makende hayo yalolegea km nyanya ya nyongeza
@VivanAmasi
@VivanAmasi 3 ай бұрын
Yan leo unavyo ongea nasikuile ulivyo kuwa naungea nivitu viwili tofaut sikuilee ulikuwa ata usoni ulikuwa ukionekana ķabisa ulikuwa unaongea ukweli na leo unavyo ongea unaonekana kabisa umepigwa mabiti na viongozi ndiomana unataka kutudanganya kuna watu wakikutazama2 wanajua unaongea ukweli au unadanganya
@HilmiHilal-g8j
@HilmiHilal-g8j 3 ай бұрын
Huyu dada ni mpumbavu tu, kila kitu kina mipaka yake. Mnapofanya hayo mambo yenu ya kishirikina ama kutafuta kwenu umaarufu kwanini mjinasibishe na uislamu? Fanya toba dada yangu usije ukaangukia kwenye ghadhabu za Allah!
@SOPHIABUNZAR
@SOPHIABUNZAR 3 ай бұрын
Dada mwamin mungu yeye nitajir wamatajir
@farhannahkulishwaburekunam5360
@farhannahkulishwaburekunam5360 3 ай бұрын
Na jina pia sio lako na sio msambaa
PANIC IN RUTO'S CAMP AFTER THIS SPEECH BY JIMMY WANJIGI
18:47
Electric Flying Bird with Hanging Wire Automatic for Ceiling Parrot
00:15
WORLD BEST MAGIC SECRETS
00:50
MasomkaMagic
Рет қаралды 52 МЛН
The Joker wanted to stand at the front, but unexpectedly was beaten up by Officer Rabbit
00:12
LIFEHACK😳 Rate our backpacks 1-10 😜🔥🎒
00:13
Diana Belitskay
Рет қаралды 3,9 МЛН
kikongwe season 2 episode 3
50:54
DOKO
Рет қаралды 13 М.
MAAJABU YA MAPACHA HAWA WANAOTAKA KUOLEWA NA MWANAUME MMOJA
8:39
BIBLIA INAMAKOSA KIBAO
29:11
UNIVERSITY FILMS
Рет қаралды 19 М.
binti anayeshiriki ngono na joka///jemimah miyu
4:51
Jemimah miyu
Рет қаралды 4,3 М.
Duuh.! LISSU AFUNGUKA MAZITO MUDA HUU KILA KITU KIPO WAZI
25:40
BONGO 24 NEWS
Рет қаралды 3,3 М.
Electric Flying Bird with Hanging Wire Automatic for Ceiling Parrot
00:15