bro unaongea point kweli unaga ubaguz ukweli unausema
@jumaamohamedi56675 күн бұрын
Kwani mzee saidi yuko wapi chagambaa
@evansmoshi19235 күн бұрын
Huyo mzee mapengo, muulize meno alipotezea wapi?
@HappyBabyKittens-wx2mb5 күн бұрын
Uyu mbamba anajua mpira
@mohamedmfaume22805 күн бұрын
Miraji anajua sana mpira ukweli huwa anaweka ukweli.mbona jemedali said anasema timu ya kawaida sana kuliko simba? Hao mwaka juzi wamecheza nusu fainal
@SamsonSimba-k4l5 күн бұрын
Miraji kaingia kwenye mfumo wa misukule ya yanga 🐸🤣🤣🤣
@othmanibakiri20105 күн бұрын
Amasa
@veronicangwale71595 күн бұрын
Ila makolo😁😁😁😁😁😁😁😁😁
@user-mx4vz3jt2n5 күн бұрын
We mzee ni muongo milaji anaongea sawa
@hamzamaulidi5 күн бұрын
Chagamba unatisha hamza ap kutoka Kwa faizani
@veronicangwale71595 күн бұрын
😁😁😁😁😁😁😁😁
@allyuchebe84515 күн бұрын
Uyo miraji yanga lia lia Ana kadi tawi la yanga manzese ukombozi 😂😂
@kombadenis29065 күн бұрын
Miraji unaongea Kama mlevi mlevi wewe unadhani ni rahisi kujiuzu
@giftkalenge4185 күн бұрын
Tff atajuaje shida ya mchezaji ni wajinu was club inayomsajili kuhakikisha mchezaji wanae msajili yupo sawa ikiwa ni pamoja na kuwasiliana na clup aliyokuwepo iv tff itaweza kuanza kufuatilia mchezaji aliko toka? ndo maana hakuna timu iliishitaki shirikisho owe ndani ya nchi au caf au Fifa shikisho wenyewe ni wasuluhishi sio wasajili
@chalemofaraji87975 күн бұрын
Bro miraji unakosea chama lipo ulaya hapana Simba wapi Asia - ugiriki hawapo Europe 😂😂
@EdwinAugustine-up5kd5 күн бұрын
mtume tena kalogwaaa
@mussakingazi88755 күн бұрын
Hujui au? Mtume alilogwa kweli hivyo waislamu wanaamini uchawi upo
@saltechnologiesco.ltd.23775 күн бұрын
Kwenye biblia kunatajwa wachawi Mara ngapi?
@loishiyesamwel13745 күн бұрын
Huyu Bwana ni mpiga Dili tu, amekuwa km mwanasiasa anaangalia upepo, ktk timu zetu hizi mbili hata kama timu yako haipo vizuri kuizidi nyingine, Huwezi kujitoa ufahamu na kuanza kuisemea upande wa pili, Mara nyingi ni bora uisemee upande wako.
@MzansiDiski275 күн бұрын
Kuna watu walianza kupenda mpira kwanza, kabla ya kuchagua timu. Ninyi misukule mtaugua moyo, maana mnakomalia timu zenu kwa chukiii mpaka mnashindwa kufurahia mpira. Mimi ni Yanga lakini mechi za Simba mpaka Azam naangalia
@LilianBitwale3 күн бұрын
We NI shabiki WA team sio shabiki WA Mpira ndo shida ilipo