Coronavirus and it's 9years ago. Beauty of my religion. May God bestow us all His Blessings.
@innocentulomi32602 жыл бұрын
this is really
@lorahjhoo36902 жыл бұрын
Very true
@qwizzmena92372 жыл бұрын
Am afraid
@fathimaishmail2768 Жыл бұрын
Ooo Ma Sha Allah THABAARAKA pongezi kwenu mungu azidi kuwapa imani ya kuzidi kutuelimisha Inshaallah 🙏
@ashaali71543 жыл бұрын
Mwenyeezi Mungu ndiye anaehukumu tumuachie kazi yake sisi tafuateni yale mema aliyotuamuru na kutoa mawaidha yanayosaidia vizazi vyetu.
@hellenjelimokiplagat56152 жыл бұрын
Ni vyema kabisa kwao kutuelimisha ambapo tutakua makini kujiepusha na mambo zingine,maanake ata jatika biblia ukisoma ufunuo 13:18 tumeonywa pia.kwangu Mimi naona tu ni Bora waendelee na dawaa
@mangalamlala35166 жыл бұрын
Mimi ni mkristo ila maneno yako nimeyakubali sana
@emmyngowi16817 жыл бұрын
Asante sana mwalimu kwa ukweli huu mkubwa ulioufichua, kwa kweli waafrika inabidi tuamke toka kwenye huu usingizi na tuache kukimbilia mambo ya wageni , ikiwa mwanzo hawakutupenda leo itawezekanaje inabidi tuwe macho sana asante sana mwalimu kwa mara nyingine
@husnakabaya45466 жыл бұрын
Allah awajaze kheir ma sheikh wetu,mume fanya kazi nzuri Sana kutufahamisha haya.........jazakallah kheir!
@khadijakombo42078 жыл бұрын
Mashaallah.... Kwa aliyetaja caliphates kuwa ni Freemasons Allah akusamee... Na nyie wakristo mtaacha chuki nendeni msikize mapadri wenu uko kitu ka ni uongo si lazima mcomment...
@mwajumamwajuma37564 жыл бұрын
Mashaallah maustdh mungu awape kheri 🙏 kwa kutufafanulia mungu atufanyie wepes kwa sote insha'Allah
@umfahad26093 жыл бұрын
Ma sha allah.. Namuomba ALLAH akulinde na maadui. Na akupe uzima, afya na umri mrefu in Sha Allah.🤲
@issackdiso2250 Жыл бұрын
Aamin
@zahraomar61723 жыл бұрын
Allah.sw akulinde sheikh akujaalie uongoze ummah na vijana wetu na ma binti zetu...kwa kweli ummah unaangamia karibu daresalam kuwafanyia daawa vijana wetu...inaskitisha sana
@somopilotina203Ай бұрын
Watching this 2024 May Allah bless you sheikh. 😊
@chrispinramadhani36627 жыл бұрын
Jesus is the way the truth and life no one can go to his heavenly except by him
@hanadialabed86357 жыл бұрын
chrispin ramadhani wewe nawe huna ujualo mungu wako ni Paulo ndo kawaandikia nyie bible af mwadanganyana eti ni nitabu ya issa peace be upon him
@hanadialabed86357 жыл бұрын
chrispin ramadhani utaenda pepo ya nani paulo hana pepo hko
@rahimbanda49547 жыл бұрын
sasa quran nani akayandika
@saidadan80187 жыл бұрын
kkkkkkkk let chrispin tell us...tuone ataenda wapi Ati pepo...do think Paul ana pepo
@jjody19803 жыл бұрын
Jesus de only truth
@dullymsomaly37823 жыл бұрын
Ulishaaaongea zaman kumbe...daah mashallah...kila mwenye macho aone
@mohdsalum54283 жыл бұрын
Haswaaaa.ni.zaman sn
@zalhathasaid20603 жыл бұрын
Toka nina miaka 13 mpka sasa nina 21 bdo watu haweelew
@dullywamashairi1213 жыл бұрын
Yalisemwa miaka nane iliyopita, hatimaye leo kuhusu suala la chanjo limetimia!! Allah Akbar
@zalhathasaid20603 жыл бұрын
Nilikuwa natafuta hii coment na bado tutaona mengii🙌🙌🙌
@dullywamashairi1213 жыл бұрын
@@zalhathasaid2060 Allah Akbar!! Japo n hiyari, binafsi nakushauri usikubali kuchanjwa, n hatari sana
@zalhathasaid20603 жыл бұрын
@@dullywamashairi121 mm labda waniue
@dullywamashairi1213 жыл бұрын
@@zalhathasaid2060 Maashaallaah!! Allah atatuvusha salama kwa rahma zake. Ingawaje hii vita n kubwa lkn kwa Allah n jepesi mno. Pia kuwa makini sana na Shekh yeote anaye hamasisha kuchanjwa, ukiona mawaidha ya namna hiyo n bora ukatia vidole masikioni (usiwasikilize). Watakuja mashkhe wa namna hiyo, wataunga mkono jambo hilo, waepuke. Wametumwa, wanatumika kuhamasisha waumini wasiojitambua
@lorahjhoo36902 жыл бұрын
Iwas looking for this comment
@kennethsondoyi77853 жыл бұрын
Thanks for giving me the word of God Jesus is my chief shepherd.
@benardyengo12413 жыл бұрын
Everyone is 4r himself bt God is 4r us all.
@benjathekingofficialshows2 жыл бұрын
Hawa jamaa wakweli kabsa japo waislamu siwaelewagi kabisa ila ukweli mtupu duh yesu mungu wangu tuokoe
@FatmaFatmA-qk3zl2 жыл бұрын
Kweli kweli kabisa
@zipporahbiyaki24638 жыл бұрын
Tell them my brother,Mimi c Islamic but I support maneno yako .
@williammariach34417 жыл бұрын
Zipporah biyaki I support
@MrMarcomoravia377 жыл бұрын
Zipporah biyaki
@ximaleeumaabowy47676 жыл бұрын
Facilitator bowy jazakallah
@mankaboy51436 жыл бұрын
Zipporah biyaki what are you waiting?
@ibukaharuna83602 жыл бұрын
Zippy ukoje n unaeza kubali kua Muslim please 🙏🙏🙏
@mbwanamohamedy54887 жыл бұрын
Safi sana shehe kwa kutuelimisha kwa ss ambao hatuelewi
@meekdee38192 жыл бұрын
Sheikh leo tunapiga chanjo Allah knows the best
@bakarbaraza2565Ай бұрын
May Allah grants him Jannatul firdwas ya Sheikh
@bahatiboicomedian60673 жыл бұрын
Ak uongo yenye mko nayo na Ni jina ya mungu mnachezea ..
@thuweinthabit63133 жыл бұрын
Hapo inapozungumziwa chanjo, sijui kuna mtu katika wakati huu anasikiliza kwa umakini hii video
@zalhathasaid20603 жыл бұрын
Tupo mbona tutaona mengi tu
@idamammy6081 Жыл бұрын
Sasa mbna madaktari wanatulazimisha watoto wetu wadungwe sindano
@husseinabdulahi1036 Жыл бұрын
Marsha Allah may Allah help us inshaalah amen may Allah grant us to jannah
@amineznymlessniccur1755 жыл бұрын
Sheikh mungu akupeleke mpaka janah
@n.w.l10912 жыл бұрын
Muongooo bob hajawai sema mungu ana makosa ...shenz
@Fazuunafac3 жыл бұрын
May Allah grant us the highest rank in jannah Ameen thuma Ameen
@Haramacad123 жыл бұрын
ameeen
@rashidmaina21663 жыл бұрын
Kweli xx watu waliona kuwa nlikua waongo bt hii Corona imesadikisha yote nlikua mkisema kweli
@mnyamwezionlinetv39988 жыл бұрын
Ismail Gitau Ndutaa,Allah akulinde na azidi kukuongoza katka kheri.
@bahashachembea69223 жыл бұрын
Aamiin yaa Rabbi
@sizzladennh53343 жыл бұрын
But kuna mahali umeogea uogo,natural mystic ya bob hakuna mahali amesema mungu ako na dhambii...zingne uko right but hio ya bob ziii
@abdillahhussein30202 жыл бұрын
Wallah Nina mashaka na chanjo ya korona huenda ndo tayari wameshapigwa hizo sign
@RahmaIddi-s2s2 ай бұрын
❤❤❤❤❤ Subhana Allah 😭😭 lnna lillah wainna illaih Rajiun...
@saduninassoro84910 жыл бұрын
Allah akulipe kila la kheri katika elimu yako
@lianabram40883 жыл бұрын
dunno if anyone gives a damn but if you're stoned like me during the covid times then you can stream pretty much all the new movies and series on InstaFlixxer. Been streaming with my brother during the lockdown =)
@winstonhuxley50643 жыл бұрын
@Lian Abram Yea, been watching on InstaFlixxer for since december myself :)
@saidiramazani155011 жыл бұрын
mengi njo ivo ita tutafautisha mpaka itakapo tufika ajali hata sisi...sasa kila umoja wetu ameisha sikia angalao kuona ata kidogo katika maisha yake basi twende!
@samsonadhiambo13913 жыл бұрын
I love your research my brothers, I truly believe.
@ronniebertin35633 жыл бұрын
Nonsense
@reubenayiendanyakundi96043 жыл бұрын
don"t judge ,let God do his job
@shaffitsuma12507 жыл бұрын
Assalaam waleikum, MashaAllah Mola awazidishie kwa ilmu mnayotupa in shaa Allah
@sharmakeahmed67688 жыл бұрын
masha Allah good information my brother thanks
@kabibikhamis68972 жыл бұрын
Allah atuepushe n atuongoz n atupe mwisho mwema n Pepo inshallah
@mugishayves817 ай бұрын
Asww sheik mtupe habari za dunita❤❤
@topclipentertainment71733 жыл бұрын
Daah n hatar kwenye swala la kuwekewa cheap ndo mambo ya corona na chanjo
@mohamedhamduni933410 жыл бұрын
Wote wanao wapinqa mashehe wetu wasitoe dawa nasema munqu awarani hao ndo wanawapa nquvu makafiri
@rahmaabid4474 жыл бұрын
Ni.kweli wanaona dunia ni tamu sana....ukweli wanaukwepa hata waislamu kwwli majanga hii dunia nitambara bovu.jamani
@tumainsawe69603 жыл бұрын
Wangapi mnaangalia hawa masheihk mpa leo
@yahyashariff56933 жыл бұрын
Covid19 imetuleta tena hapa
@tumainsawe69603 жыл бұрын
@@yahyashariff5693 acha tu ndugu yangu😭😭
@yahyashariff56933 жыл бұрын
@@tumainsawe6960 Tufanye maombi sana na tumumuaini Mungu tu
@zalhathasaid20603 жыл бұрын
Tupo
@felosopha4453 жыл бұрын
Covid 19 Astra Zeneca Vaccine.
@maryamkokani46838 жыл бұрын
Hahahaaaa wah wazimuuu c wale wako mathare...weeeeh huku ni kutafuta Hela au nikuchizi....Mungu Akusamehe ndugu...
@faudhiaamiry27857 жыл бұрын
Hun akili wew ukwer unaongea ukwer
@faudhiaamiry27857 жыл бұрын
Yanayo semwa ukwer nyamaz kam hun chakusema
@allyderossi97425 жыл бұрын
Ww mpumbavu ulishawahi sikia shekhe kafufua m2 zaid ya mapadri wenu sasa nani anatafuta hela?! mungu akusamehee...
@allyderossi97425 жыл бұрын
Da FAUDHIA achana nao hao wameshazoea kudanganwa shekhe yupi alishawahi kuskia ni maconic zaid ya mapadri?! ajue hicho ni chama cha biashara wala si dini, unahubir mwaka unatembelea hummer huombewi mpk ulipie HAAAAAAA..
@atuyanyangeri37482 жыл бұрын
Uyu sheikh ni mwongo😂😂😂😂
@metalcombat44707 жыл бұрын
Hiyo logo ya Vodafone/Vodacom maana yake ni tone la damu itokayo kwenye moyo ulio chomwa kisu! Maana yake ni huzuni tupu kwa binaadamu duniani.
@hanadialabed86357 жыл бұрын
Metal Combat shikilia hpo hpo patakuokoa sawa eeh
@Chekanamimi_4 жыл бұрын
Hawa jamaa ni waongo sana,hiyo nyimbo ya bob marley ni uongo anauelezea sana,waislamu jamani jifunzeni kuutafuta ukweli nyinyi wenyewe kwa wenyewe,kwa yeyote aangalie wimbo huo halafu uje kwa hawa
@majaliwajumamathias20063 жыл бұрын
Kaka ucha ubaya
@ramazecha28772 жыл бұрын
Shekh umeongea ukweli mtupu juu ya chanjo 4yrs ago bt ssa tunadungwa vaccines
@trikxstar12 жыл бұрын
mimi pia ni muislam lakini sheikh ,nyinyi mumezidisha, kuna kati ya vitu vichache mumepatia lakini vingi nahisi sio kweli 100%(kama eti jackie chan started mitsubishi na mengi mengine mliyo taja)... it is this kind of talk that is the foundation of terrorism that portrays a bad image on us muslims
@ayomaamediaa90112 жыл бұрын
Dah wataanzisha ugonjwa ili udungwe🙏kweli ndo kinachotokea
@somicotv30003 жыл бұрын
Until the day ignorance gets out of you then you will come to real understanding. Do not ashame Muslims brother, ati wasema Bob amesemaje, ustaadhi maandazi wewe, wimbo unaitwa NATURAL MYSTIC not mistake, wimbo huo unatukuza kazi za Mungu na si kumkosoa. Kwa nini wapenda dhambi ya uongo?
@jm650m2 жыл бұрын
Let's tearch our faithfuls the core values of religion instead of sowing fear and adding confusion to them.
@saidabdallah68411 жыл бұрын
ALLAH atulinde na hao mashaitwan
@jojoskitchen12102 жыл бұрын
Allah atunusuru, kama chanjo nimeshachanja😢😢
@priscarkandonga77012 жыл бұрын
😂😂😂😂
@Andre-jr7vq2 жыл бұрын
Wewe ni utumbo kweli
@ke.46122 жыл бұрын
Ndo maana Africa ipo nyuma. Upusi tu! Wacha watu wasonge Mbele. Kwani ni kesho.
@amranismail69793 жыл бұрын
Shekh alitabiri ndo chanjo hiyo sasa watu wanachanjwa
@yahyashariff56933 жыл бұрын
Kabisa
@mombasagossipclub95873 жыл бұрын
Uwongo mwingi hivi sasa nafanya kutengeneza cartoon. Lkn ata hakuna kutumia binadamu. Hivi sasa tuko digital
@stephenemuya85755 жыл бұрын
watu wanaitaji elimu sana kutolishwa ujinga hivi wanachulia ujinga wa watu for manufaa yao waliuza cd lakini
@faridaismail29032 жыл бұрын
Nmependa mafunz mem
@ramiahassani56032 жыл бұрын
nilikuwepo ulipo kua ukiichambua mada hii ni Msiki wa Dar es salaam Buguruni Rozana unaitwa Masjid Haqqa, yaani kweli imepita miaka 10
@kanyamagaraabdallah83002 жыл бұрын
Iyo nikweri munzunga anakuwuwa kidogo kidogo kwamafikiriyo ye anajuwa ati hatapata binguni lazima apereke wengi sana. Sasa hapo wazazi warudishe makii wafanye sana vita kwa wazazi wawo ata mimi yiko yivo lazime niambiye watoto wangu kukuwa makini sana na wawace kabisa kujidanganya na ma cartoon izo akuna tunda ndani esipokuwa upotevu tu
@jjody19802 жыл бұрын
Ule mda wenye unakaa ukiwachunguza mafreemason huo mda c ushughulike kumcha Mungu na kuwaombea ama ufagie kwako toa boriti kwenye jicho lako ndio uanze kuangalia vibanzi kwenye macho ya wengine unauhakika gani wewe utaenda peponi ama pia wewe juhanum inakungoja tuu hukumu muachie Mungu
@godwinakengo30603 жыл бұрын
Kila mtu ashike sana imani yake maana siku zimefika
@simonshedrack60192 жыл бұрын
Nakubari shehe kwamafudisho manzuri
@youngblvck30192 жыл бұрын
😂😂😂hapo kwa cartoon amedanganya 😂😂likes za 2021
@abdulrazakhassanor4982 жыл бұрын
Unaijua historia ya cartoon?
@ramadhankijana94423 жыл бұрын
Dah pole sana kwa wazazi
@consultantbayport52852 жыл бұрын
Hii ni miaka 9 iliyopita na sasa imekuwa kweli
@orpharmogaka37368 жыл бұрын
Thanks to sijui nimuite muubili Kwa uchumbe ila kila mtu anaelewa kifiake
@musamadegeda-kf2qb Жыл бұрын
Hawa jamaa ivii wazima mpk Leo bado wapo
@rukundoibrahim8073 жыл бұрын
حقا يافضيلة الشيخ.
@erickjuma76432 жыл бұрын
These are some enlightened individuals.
@khaliddawa68212 жыл бұрын
Amazing genius...
@bakarbaraza2565Ай бұрын
Very true
@mariomimi47697 жыл бұрын
MashaAllah
@belito12703 жыл бұрын
Sasa chanjo tumeipata, yawezekana kuwa unabii umetimia??
@goodlucktemu31492 жыл бұрын
Mungu atukomboe
@khadijacassim1512 жыл бұрын
Asalaam alaikum warahmatullah wabarakatuh Hawa masheikh wako wapi Iyo ni covid 19
@kamalolatofficialpage5 жыл бұрын
Mashaallah continue with daawa.
@thulaniduku32182 жыл бұрын
Assalamu alaykum warahmatullahi wabarakatuh Uyu kijana iko wapi?
@pabloqevoh11 жыл бұрын
Kule Nairobi mlienda pahali panaitwa Kisumu? Na I guess umeskiza Natural mystic pia ama unajuaje? I cant stand ignorance
@lokeredavid97542 жыл бұрын
Na unatumia microphone na KZbin ambayo safaricom ama Vodafone wanaprovide
@lelahassanali73736 жыл бұрын
Mashallah tabarakallah aliekua na akili amekuelewa
@mikedizzo61272 жыл бұрын
Believe in jesus because is the only way of truth no one can see heven without jeasus
@arqamibnarqam.71853 жыл бұрын
Laahaulaa walaakuwwata illaa billah!!!
@mohamedaboubakar18656 жыл бұрын
Haha! Hii ya Mitsubishi kali sana, Maskini jackie Chan Mchina wa Hong Kong.. Mitsubishi Kampuni ya Japan Ila tumeelewa suala la Freemason ijapokua si jambo jema kuwabandika watu wasiohusika katika ibada za kishetani
@saidabdallah97004 жыл бұрын
usiwe mnixhi ushaangara picha ya jack chaine mmasai hiyangalie vizuri
@sallygoldwawatu43725 жыл бұрын
Mm nimekataa hayo maneno yako..nyinyi ndio ma agent wao..mlijuaje mambo yakina Ali kiba?Inaitwa fitina..mm huwa sipendi haya mahubiri yenu ya maurongo...How cms ww unajua list ya madevil?Huezi muita mwenzako mwizi kaa ww mwenyewe hamjaiba na yy..😥😫🤔😝😜😏😏😏🙄🙄🙄
@issahamisi40663 жыл бұрын
Ustadh mbona kam corona Hyo ulii predict aisee
@4hunnidnigga6006 жыл бұрын
Manshaalah long life to u my fellow brother?
@mightybobbyofficial3 жыл бұрын
Was this a prophecy?
@iam-penolive4 жыл бұрын
Nairobi?? Kisumu??? Cjamwelewa huyuuuu.....Nairobi na kisumu Ni wapi na wapi Sasa....mmmh hayaaa banah
@254nicelovecomedy32 жыл бұрын
Ulisema kweli leo hii watu wamepewa chajo
@maswanyakhaji66338 жыл бұрын
natural mystic, bob alikua akionya watu juu ya dajjal, ama anticrist,
@hanadialabed86357 жыл бұрын
maswanya khaji umuongo hiyo kitu iko wazi kabisa kwa taarifa yako aloambia watu waponye dunia ni mickol Jackson na kibao chake (hill the world)
@cypriansinkala46933 жыл бұрын
Mbona kama kweli
@isackbaton36862 жыл бұрын
Mmenifumbua macho
@jamlickwaweru90253 жыл бұрын
Ai kisumu iko Nairobi Tena 🙄 alaa
@mashiabdul499711 жыл бұрын
asante sheikh
@NicholasOuta11 жыл бұрын
Mimi si mwislamu na siwezi tofautiana na huyu jamaa juu sijui lakini...if kila kitu ni ya devil worshiping...tutafanyaje?...hata Vodafon, digital TV, Mitsubishi...MUNGU ATUSAIDIE