Friji bovu timu ya Simba ni mpya na kocha ni mpya, Fadlu anahitaji miezi 6 kuweza kuiweka sawa timu. Hawezi kuiweka sawa timu kwa kutumia wacjezaji wote. Alihitaji kwanza kuwajua wachezaji na kisha kupata kikosi kipana.
@NitGeneralsupplyDom14 сағат бұрын
Nakubal Mzee wa frij bovu pira Casablanca ata me nimeona kak
Hii Simba kuna watu watakula kumi siku sinyingi Simba nguvu moja💪💪💪
@issaomari529712 сағат бұрын
Tumeangalia kipenga Cha mwisho mechi ya DABI makosa yalikuwa mengi sana yakimaamuzi..ila uchumbazi mpo good
@PeterMuhina5 сағат бұрын
Nakukubali sana friji bovu
@ANNAKISIGA-pc5qs9 сағат бұрын
Friji bovu kwemye ukweli huwa unasimama kwemye ubovu pia huwa huumi maneno safi sana wachambuzi wengine wao nikuisemwa yanga fu ila hawajui kuchambua mchezeji mmoja mmoja bigp
@hamadbakar709113 сағат бұрын
Niukweli kabisa friji bovu Simba inatishaa
@KhayratAlly-i5l13 сағат бұрын
Hii kweli bab
@PeterMuhina4 сағат бұрын
Uyo anaeuliza maswali asioneshe mapenz na utopolo yake ajue iyo nikaz
@SaidKasembe-s8l13 сағат бұрын
Friji bovu unapenda kuongea huku unakuna kichwa 😅😅😅
@MADINAKITEMO12 сағат бұрын
Alafu uyo muandishi ni bonge la choko yaani niliutopolo lichovu
@Juliety-v3o12 сағат бұрын
Uyo apo pemben ni yanga ndio maana apend unavyoisifia simba
@AbasiAlmasi4 сағат бұрын
Unajua kaka
@MashakaSabato14 сағат бұрын
Binafsi mimi nimemkubali sana chasambi kamkela kocha babu siyo ubishi
@omanbarka158824 минут бұрын
Costa ya zamani sio ya sasa hivi ya GSM sasa Leo shamba la bwana Ally mbuzi wa bwana Ally hamna kesi hapo mpila hauna mvuto nnje ya uwanja tunajua ni wachawi vizuri Sana
@frankkitomary38783 сағат бұрын
bado ata kama dara ayupo cost kwa sasa ni gulio la gsm kaka 😂😂😂😂cost awezi kuizuwia yanga kiraisi
@abtway6613 сағат бұрын
Mwandishi anazingua ,hajatulia halafu anaonekana haipendi Simba
@HARUNSIMON-hj6upСағат бұрын
Kuna Timu inaitwa SBS, Ya singida yafundshwa na kocha wa Simba wa zaman mhm haiongelewi ila mpka Leo haijapoteza tusubir
Huyo bendy ni mjinga anadukuduku anaongelea nyuma ya kamela
@dismasmusoma94784 сағат бұрын
Hua nakukubali sana nakumbuka ulisema kabla wa mech kuchezwa kwamba simba anataka ikifika dakika 15 awe ameshakufunga unazidi kuniaminisha maneno yako.
@kamaratsalimsafari88389 сағат бұрын
Aaah! Fridge bovu basi ata energy pia tusielewe!!!😂
@godfreysimbeye5767Сағат бұрын
Friji unakosea sana umetaja wachezaji wanne muhimu ambao hawakuanza mechi ya jana. Nakushangaa hukumtaja Kibu kama mchezaji muhimu ambaye hakuanza. Sasa nikuambie subiri mechi na JKT ndio utajua kama Kibu ni muhimu au sio muhimu.
@michaelnsingija4 сағат бұрын
huyo jamaa anae kuhoji ni mkundu tu masiharaa sijui katumwa
@rashidgoza315740 минут бұрын
Hapo umesema maneno ya kweli na kipa anaewaelekeza wachezaji wenzie kuwa nendeni mkamuumize furani na furani wakishindwa anaumiza yeye kumbuka alimfanyia hivyo kibu D alivyotoka nje yeye anaonyesha kichwa yake kuwa ametumia hakiri hivyo huyo jamaa sio mtu mzuri
@brunomchalla443912 сағат бұрын
Friji Bovu, unashindwa kuona quality ya Mnyama ukizingatia muda wa miezi miwili tu ya kuzoena, ukilinganisha na Yanga walio na misimu mitatatu ya kuzoeana
@MoshiRamadhani-z6z12 сағат бұрын
Uyo mtoto Fala anazingua uyo mwandish anaipenda yanga kuliko kaziyake
@harounmaarufu3241Сағат бұрын
Hivi huyu mwandishi wa habari au .maana sielewi hata ana interview yake imesimamia wapi
@ekimnkande287313 сағат бұрын
Waandishi wengine uchonganishi akupe vyeti huyo anayekuhoji
@VeryMnyakiwele-j1p8 сағат бұрын
Huyo mwandishi wa habari aache kuisema Simba vibaya kama hawezi aache kuichambua mbuzi huyo
@KassimShmeil-pi6up3 сағат бұрын
FRIJI BOVU KAMA MWANDISHI WAKO ATAENDELEA IVI KUSEMA SIMBA VIBAYA, BC TUTAKUHAMA WANASIMBA TUNAPOTEZA MDA WETU ILI TUPATE FURAHA SIO JENGINE ASANTE.
@NahodhaSeleman-ez3qu7 сағат бұрын
Kipigo kizito Gani? Acha kupenda !
@anthonymilinga86968 сағат бұрын
Halafu friji bovu unajishushia umaarufu wako kwaku washirikisha wachambuzi wa mchongo kama huyo! Dogo anaonyesha kabisa nishabiki wa yanga huyo hawezi kuwa mchambuzi kabisa kwanza mpira haujui
@ekimnkande287314 сағат бұрын
Kipigo kizito goli moja? Unajua kiswahili?
@raphaelbendera4 сағат бұрын
Acha kutoa siri ww wanatakiwa waje wastuke wamechezea nyingi
@ChanuoWakala12 сағат бұрын
me naona simb inachez pira angaik pira teseka dk kumi na tano
@rahmaomary51342 сағат бұрын
😁😁
@BeatriceSoka-c7cСағат бұрын
Yan hii tv kama cyokuwa na dev ungekinga inzi coz wewe unayemuhoj ka dev ni shabik wa timu