FRIJI BOVU:WACHAMBUZI WAMEVULIWA NGUO NA CHAMA WOTE MTATEMBEA UCHII HAMTAAMINI

  Рет қаралды 34,528

SPORTS MAX

SPORTS MAX

Күн бұрын

KWA HABARI NA MATANGAZO
TUPIGIE SASA
0753393036 CALL
0625466848 WHATSAPP

Пікірлер: 26
@AllyHamisi-c7j
@AllyHamisi-c7j 3 ай бұрын
Kweli chama si mwamba tu wa lusaka!na tanzania pia,sasa inatakiwa tuunganishe lusaka na dar,tupate tupate jina moja kisha tumpe chama.
@GOLDIANEDRICK-sm6xk
@GOLDIANEDRICK-sm6xk 3 ай бұрын
Lusadar
@kulthumally1854
@kulthumally1854 3 ай бұрын
Huna lolote fala we leo unajitoa unawaja wenzio maneno yanakutoka mengi kwa aibu
@JohnMbogo-c1n
@JohnMbogo-c1n 3 ай бұрын
Huyu nae dishi limeyumba😂 eti mo akiamua aamue mara ngapi??? Kaamua na ameshindwa kufika dau...mara njoo Dubai mara namtuma mtu Lusaka. Jana pia watu wamemsubiri airport lakini wapi😅😅 Shida tajiri kutoa hela hadi aombe kwa ndugu zake😂😂😂😂
@sittamwigulu8395
@sittamwigulu8395 3 ай бұрын
Huna akili hata kidogo 😅😅
@malietamaliet
@malietamaliet 3 ай бұрын
sai unaenda kupoteza tu uchambuzi wako ulikua Bora vip fei kipnd anaachana na yanga akufanya usaliti dube ndo anaonekana msaliti na uku yanga ulikua adi kimataifa @mfalme wa soka? usifate usimba na uyanga ama kiki utaaribu ubora wako
@comsmkemwa2671
@comsmkemwa2671 3 ай бұрын
Nyie wachambuzi wote mpk mnatia kinyaa....!! Friji bovu wewe mwnyewe umeshasema mara nyingi kuwa Chama Yanga kishasaini !acheni upumbavu
@AlfredMwakabana
@AlfredMwakabana 3 ай бұрын
Hivi mwandishi wewe umekosa kazi kumhoji huyo ana hana taaluma ya uchambuzi
@BenjaminiPastiani
@BenjaminiPastiani 3 ай бұрын
Kaka una jitetea sana kama umeandika kubali tu yaishe acha mambo mengi
@WestonMbuba-ff4jk
@WestonMbuba-ff4jk 3 ай бұрын
Azam hawafanyi kiprofeshno. Wangefanya kiprofeshno wasingefanya uhuni waliofanya kwa Fay
@NdayishimiyeEvelyne-ws6ts
@NdayishimiyeEvelyne-ws6ts 3 ай бұрын
Pasco fei hajawakosea yanga kwani si azam waliyoyafanya yanga ndo waungwana juu fei amatolewa bure
@jumannemsengi2195
@jumannemsengi2195 3 ай бұрын
Ila FEI naye aliwasaliti wepi???? Mbona ni mulemule😅😅😅
@fredrickipembe8188
@fredrickipembe8188 3 ай бұрын
Baazi ya wachambuzi wanahalibu soka letu wanazitia joto timu na wachezaji wakati wa usajili
@MagembeAngelo
@MagembeAngelo 3 ай бұрын
Awezi kwenda yanga kwani yanga wanadaiwa na wachezaji pesa kibao
@JohnMbogo-c1n
@JohnMbogo-c1n 3 ай бұрын
Sasa wakidaiwa yeye Chama yanamhusu vipi?
@allymtunge5530
@allymtunge5530 3 ай бұрын
😅😅😅 hy kweli huyo friji
@LetasKomba-br1xh
@LetasKomba-br1xh 3 ай бұрын
Mtakua waongo hatutawaangalia kwenye media zenu
@LUIAABDALAJAMALDINELUIA
@LUIAABDALAJAMALDINELUIA 3 ай бұрын
wandishi wa tz ni wajinga sana
@evaristgaspa6074
@evaristgaspa6074 3 ай бұрын
Chama akibaki Simba atajuta mbereni ataanza kuchareweshewa maripo yake kwssababu warikuwa hawamtaki ira wamemchukua
@MungeJr-u7x
@MungeJr-u7x 3 ай бұрын
Tofautisha R na L then nd uandike maana naona kama mganga ajae, wakat bado ww kijana
@bonifacealphonce490
@bonifacealphonce490 3 ай бұрын
Watu mmeanza lini kuwa wanajumu?Nini kinafanya useme atacheleweshewa malipo akibaki simba hali hajawahi fanyiwa hivyo wapi atawahishiwa?Maadamu yuko simba na hajawahi kucheleweshewa hapo ndio kwenye uhakika kwingine nikubeti tu.
@kassidpandu866
@kassidpandu866 3 ай бұрын
Huyo ni Mtu mbona Majeruhi sana na Hamusemi ukweli wachambuzi?
@mwanangusana
@mwanangusana 3 ай бұрын
😂😂😂😂😂 atapelekwa kwenda kutubiwa ....
@KasukuluMwenbungu
@KasukuluMwenbungu 3 ай бұрын
Unatafuta kazi kwa mo dewj
@EstomiMoshi
@EstomiMoshi 3 ай бұрын
Mshabiki wa Simba hiyu
@saimjonas
@saimjonas 3 ай бұрын
Uwa hukumbuki unaongea nini
Please Help This Poor Boy 🙏
00:40
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 22 МЛН
HAH Chaos in the Bathroom 🚽✨ Smart Tools for the Throne 😜
00:49
123 GO! Kevin
Рет қаралды 16 МЛН
Watermelon magic box! #shorts by Leisi Crazy
00:20
Leisi Crazy
Рет қаралды 42 МЛН
哈莉奎因怎么变骷髅了#小丑 #shorts
00:19
好人小丑
Рет қаралды 54 МЛН
Please Help This Poor Boy 🙏
00:40
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 22 МЛН