KWA HABARI NA MATANGAZO TUPIGIE SASA 0753393036 CALL 0625466848 WHATSAPP
Пікірлер: 26
@AllyHamisi-c7j3 ай бұрын
Kweli chama si mwamba tu wa lusaka!na tanzania pia,sasa inatakiwa tuunganishe lusaka na dar,tupate tupate jina moja kisha tumpe chama.
@GOLDIANEDRICK-sm6xk3 ай бұрын
Lusadar
@kulthumally18543 ай бұрын
Huna lolote fala we leo unajitoa unawaja wenzio maneno yanakutoka mengi kwa aibu
@JohnMbogo-c1n3 ай бұрын
Huyu nae dishi limeyumba😂 eti mo akiamua aamue mara ngapi??? Kaamua na ameshindwa kufika dau...mara njoo Dubai mara namtuma mtu Lusaka. Jana pia watu wamemsubiri airport lakini wapi😅😅 Shida tajiri kutoa hela hadi aombe kwa ndugu zake😂😂😂😂
@sittamwigulu83953 ай бұрын
Huna akili hata kidogo 😅😅
@malietamaliet3 ай бұрын
sai unaenda kupoteza tu uchambuzi wako ulikua Bora vip fei kipnd anaachana na yanga akufanya usaliti dube ndo anaonekana msaliti na uku yanga ulikua adi kimataifa @mfalme wa soka? usifate usimba na uyanga ama kiki utaaribu ubora wako
@comsmkemwa26713 ай бұрын
Nyie wachambuzi wote mpk mnatia kinyaa....!! Friji bovu wewe mwnyewe umeshasema mara nyingi kuwa Chama Yanga kishasaini !acheni upumbavu
@AlfredMwakabana3 ай бұрын
Hivi mwandishi wewe umekosa kazi kumhoji huyo ana hana taaluma ya uchambuzi
@BenjaminiPastiani3 ай бұрын
Kaka una jitetea sana kama umeandika kubali tu yaishe acha mambo mengi
@WestonMbuba-ff4jk3 ай бұрын
Azam hawafanyi kiprofeshno. Wangefanya kiprofeshno wasingefanya uhuni waliofanya kwa Fay
@NdayishimiyeEvelyne-ws6ts3 ай бұрын
Pasco fei hajawakosea yanga kwani si azam waliyoyafanya yanga ndo waungwana juu fei amatolewa bure
@jumannemsengi21953 ай бұрын
Ila FEI naye aliwasaliti wepi???? Mbona ni mulemule😅😅😅
@fredrickipembe81883 ай бұрын
Baazi ya wachambuzi wanahalibu soka letu wanazitia joto timu na wachezaji wakati wa usajili
@MagembeAngelo3 ай бұрын
Awezi kwenda yanga kwani yanga wanadaiwa na wachezaji pesa kibao
@JohnMbogo-c1n3 ай бұрын
Sasa wakidaiwa yeye Chama yanamhusu vipi?
@allymtunge55303 ай бұрын
😅😅😅 hy kweli huyo friji
@LetasKomba-br1xh3 ай бұрын
Mtakua waongo hatutawaangalia kwenye media zenu
@LUIAABDALAJAMALDINELUIA3 ай бұрын
wandishi wa tz ni wajinga sana
@evaristgaspa60743 ай бұрын
Chama akibaki Simba atajuta mbereni ataanza kuchareweshewa maripo yake kwssababu warikuwa hawamtaki ira wamemchukua
@MungeJr-u7x3 ай бұрын
Tofautisha R na L then nd uandike maana naona kama mganga ajae, wakat bado ww kijana
@bonifacealphonce4903 ай бұрын
Watu mmeanza lini kuwa wanajumu?Nini kinafanya useme atacheleweshewa malipo akibaki simba hali hajawahi fanyiwa hivyo wapi atawahishiwa?Maadamu yuko simba na hajawahi kucheleweshewa hapo ndio kwenye uhakika kwingine nikubeti tu.
@kassidpandu8663 ай бұрын
Huyo ni Mtu mbona Majeruhi sana na Hamusemi ukweli wachambuzi?