Leo Jully 16, 2021 Mwimbaji Star Alikiba ametambulishwa kama Balozi mpya wa kinywaji cha energy drink na kutoa ufafanuzi kuhusu kinywaji chake cha Mofire Pamoja na mengine. PLAY kutazama
Пікірлер: 22
@denisimaliyaweni91832 жыл бұрын
Dili moja LA kiba sawa na dili 5 za mond, analipwa kwa dollar, cyo mchezo Manchester city itakuwa home kwako pia
@nuratorait38762 жыл бұрын
King kiba kaz iendelee
@beautywithnay59742 жыл бұрын
Nikinywaji kizuri sana ni enaji drink uku nje ya nje tunakunywa sana nzuri mno mashaallh
@idayamataifakey78132 жыл бұрын
Yeebaba mfalume mi nakuelewa sana ongera sana walikubeza sana ally apati madili sasa do huyo sasa
@maryaidan77452 жыл бұрын
Aiseee noma kingnkiba
@ramathedon40012 жыл бұрын
oo Mara sijui kiba hana ubaloz Mara vile sijui vile vidomo vyote kwishnei
@ericklucas50102 жыл бұрын
Kwenye sauti mmezingua
@sirbinladen7862 жыл бұрын
*Habar zenu ndgu zangu naomba nikukaribishen katika masomo yetu yanayohusu tiba za Asili mbali mbali bila malipo yoyote karbuun mjifunze ingia KZbin andika sir Binladen 786 yaliyomo, tiba ya nguvu za kiume, Tiba ya kizazi, Mvuto wa biashara,na mengineoo mengi karbuun mjifunze*
@uledimtumwa24062 жыл бұрын
Huyu Kiba hajuwi kupromoti bidhaa japo ana mashabiki wengi.Sijui anafeli wapi.
@theclambiki1102 жыл бұрын
Mbona anaejua hajapewa?...mnaumiiiiiia king kula dili
@gbbuku47142 жыл бұрын
Kwan mkubwa ile mofaya yako imekuaje tena unapromote ya wengne dah nachanganyikiwa sijui nyie wenzangu kama mnaelewa 🤭
@jemamhagama49782 жыл бұрын
Karanga zile ziliishia wapi?
@SAM_1632 жыл бұрын
Hivi hili ni tukio ni La Dini au 🤔🤔🤔🤔? Mbona Team K hamuwezi kushauriana mnatuvalia Kanzu kwenye matukio ya business ya vinywaji kama haya ambayo kiuhalisia wateja wake ni watu wa Dini zote????. Ushauri tu mjipange pia na vitu vyakuongeaaaaaaaaaa mnapoalikwaaaa😎😎😎#Team Rolls Royce√√√√
@daveme91802 жыл бұрын
We jamaa una akili sana
@zedennjate5482 жыл бұрын
Leo ijumaa wakitoka hapo, wanaenda msikitini halafu wanamalizia clouds