Sekunde ya 0:27 byser Kuna lines amechapa inasound Kali ila haiko kwa hii ngoma....Kama umeskia nipe like hpa🔥🔥
@binally78872 жыл бұрын
Jamaa kaua
@cptnbazil61217 ай бұрын
Bonge moja la free style
@hadija8465 жыл бұрын
Da wabongo tukiwa na ushirikiano kama hivi naona upendo pia utajitokeza kwa Watanzania wote. Nawapenda wote. Mbele zaidi wanangu👍😍
@wizzydully89635 жыл бұрын
Naikubal xana iii ngoma kati ya ngoma zangu qal 2019 iih namba 1 kama na wew unaikubl fanya una #like twende xawa
@zezenature3 жыл бұрын
Mr blue was like a boss in here and from there look they all respect him💯💯💯
@switnush58854 жыл бұрын
Chemistry on Top... Hivi kama Mandugu. Nawapenda my Bongo top 3💖❤💖❤💯 KENYA LOVE.
@rizikiabdalla45983 жыл бұрын
Amazing guys najua nimechelewa kucomment lakini thats talent.
@abdibakari6415 жыл бұрын
Great love to you ma continent people... ila Kenya wasanii ubinafsi. No ushirikiano kama huo kwa sana. big up guys
@obamatechnology5265 жыл бұрын
kama wakubali blue byser ndio shikamoo baba umu likes nyng apa
@zaliali94125 жыл бұрын
Africain boy iko saw
@emdoublej24754 жыл бұрын
😂😂😂😂
@wizzyfernando86555 жыл бұрын
Jux ndo corasi killer wa mwaka 2018 Sheta ndo msanii mwenye ngoma bora ya kufungia mwaka 2018 Bluuu mamaaaaaaaaaaaaaaaa hajawakosea tangia ajue mziki
@40bgangster925 жыл бұрын
Wizzy Fernando bruh kumbe unajuwa Byser babele Hapo frsh congratulations 🎈 Mr Blue Lion 🦁
@davidowizkid76725 жыл бұрын
Wizzy Fernanda Hernando's,
@caprince_tz31664 жыл бұрын
Good music ma men.....I like it gonga like kama unaitazama 2020
@yirgayemyirgah78204 жыл бұрын
Blue anavyoongeag hua nakubali sanaa sauti flani hv amazing sanaa
@khalfanmohd58075 жыл бұрын
The perfect definition of good music chemistry
@ramamanyama29445 жыл бұрын
kumamaaaaao sheta haujawah fanya ngoma kal kama hii mr blue hajawah kukosea hata cku moja
@adoniamaseneje56695 жыл бұрын
daah mziki mgum kudadeki sema wote Wameua ngoma itakuja kuwa hit sana na itasumbua mtaani kinoma noma subilini muone.....
@mengimswaki84005 жыл бұрын
Kumaamazenu wasenge mmeua kinyama Yn kinyamwezi sana big up wanyama wakali
@mbarukkhamis69945 жыл бұрын
I didn't know if BYSER was mastermind of this whole idea!!! He is LEGEND!
@zezenature3 жыл бұрын
Exactly
@alicemoses42475 жыл бұрын
I love Mr blue more than my breath😘😘😘😘😘
@filberthabashi33665 жыл бұрын
Alice Moses Hahahaha how
@denischande94215 жыл бұрын
Huyu Mr. Blue daaaah hatar sana
@alternatemusic15 жыл бұрын
Napenda vile Mr blue anavyo tingisaa kishwaa yani amee feel wimbo
@shabanihassan86785 жыл бұрын
Shkamoo ma brothers 👌🏼 one,more🔥🔥🔥
@manfizzle4115 жыл бұрын
Mmefanya kaz mzr sana Nakubal sana hii ngoma hapa nko kigeto naburudika nayo
@benjaminmwashumbe3586 Жыл бұрын
The epitome of enjoying the process. Still one of my favorite songs to date.🔥🔥🔥
@kilulumasunga86575 жыл бұрын
Beat la kinyamwezi sana #kimamba wasanii wazuri ma producer wazuri wacha tule ngoma kali..... #BongoFleva
@kapona9275 жыл бұрын
Blue mnyamwezi sana
@dennischarles85245 жыл бұрын
Umoja ni nguvu, great chemistry, mtoe na nyingine
@ben_digital5 жыл бұрын
Duuh kama nimemuona Q-Boy Msafi hapo amezubaa kinoma. Daah achangie hata mada basi🤓🤓🤓
@filberthabashi33665 жыл бұрын
BEN DIGITAL Hahahaha kweli nnenuona
@fadhilikigwama17855 жыл бұрын
Dah aise mm ngoja nifanye kazi nyengine tu mziki sitoweza
@mbembelatv4 жыл бұрын
😂😂😂 nimecheka nusu ninye
@fanig3194 жыл бұрын
2020! Still a banger....you nailet it guyz....Boom!!!
@stevenshonza765 жыл бұрын
Hii ngoma inatibu magonjwa sungu inaongeza na nguvu za kiume 😂😂😂😂 kama unakubali gonga like hapa
@klbstudioz98565 жыл бұрын
Steven Shonza heheee
@stevenshonza765 жыл бұрын
KLB Studioz 😂😂😂😂
@albertochipande19945 жыл бұрын
African boy
@andrewmathias19135 жыл бұрын
😍😍💪
@justinemosha12015 жыл бұрын
Wewe chali chenga
@comraderashid_nuru_m52609 ай бұрын
Mr Blue ni mtunzi mzuri sana
@showbiz84275 жыл бұрын
kama umemuona Q boy anang'aza sharubu gonga like kama zote
@giftmwanga Жыл бұрын
hahaha anataman angejua kuimba
@silvergold5855 Жыл бұрын
😁
@micahkalume7826 Жыл бұрын
Wanyama watu wameacha mbuga, mji unakazi ❤
@dankin103 жыл бұрын
Ngoma Kali🔥🔥kenya tuko ndani
@emmanuelgabriel56274 жыл бұрын
Byserr man behind the fire 🔥 💯 🙌🏽
@alfredgroover64835 жыл бұрын
natoka kenya na kwa nkweli this is my song of the year gonga like kama unaifeel as me..
@gittermugdanny2001 Жыл бұрын
Mr blue is talented
@majidmajid80095 жыл бұрын
SALUTE LEGEND BLUE, straight from MALAYSIA. GUYS, mmefanya kazi safi sana SHETTA n JUX. RESPECT to KIMAMBA
@solanuskomba825 жыл бұрын
npo na ear phone naisikiliza nyimbo nzuri. ##sheta. ##jux. ## mr blue
@andrewmosses47845 жыл бұрын
Ngoma Kali mmetisha
@albertwililo4315 жыл бұрын
Oiiiih @shetta iy ngmaa ni Kali snaa yni ni moja ya ngoma ya jumalizia au kufungia mwka I like it 💪💪👊👊👍👍
@mekagodson72624 жыл бұрын
Asante asante asanteeeeeh
@iconlyx27245 жыл бұрын
M nlishangaa jux kaandika vipi chorus Kali ivo kumbe kaandika bizy babilon bayser yan wmbo mzma blue ndo sh'kamoo baba..na shetta kidooogo kajtutumua bar ya pili
@boniphacemussa11075 жыл бұрын
Mr blue ✅ ✅ good music 🎷 🎷 🎷
@slimpirate60205 жыл бұрын
Mr. Blue kabysaaa I luv the way u've maintained big up bro
@lameckbwoy81710 ай бұрын
Noma sana 🔥🔥🔥🔥 blue ni moto
@athumanmgaya13015 жыл бұрын
Daaaa bruu umetisha sana
@ckosmah215 жыл бұрын
Maninaaaa hit ilianzia mjengoni
@isihakamtaalam20995 жыл бұрын
Mnajua sana jamaaa wakubwa kabayse wote na juma ft mashauzi shetter.
@stadiuscornely44885 жыл бұрын
Daaaah kiukweli hii nyimbo weka mbali na watoto na kweli mji umevamiwa
@kennix64574 жыл бұрын
Mr blue tisho saaaana. Jux chorus uliua baba. Shetta kali sana
Kumbe jamaa walifanya kuivamia beat na wakaibaka kisawa sawa hahaha wameifumua funua i say 😃
@drizzlesly60092 жыл бұрын
Real studio vibes🔥🔥
@fatumasaid43705 жыл бұрын
Mmeuwa jamn hiki kitu Noma aaaa Nomaaaaaaaaaaaaaa Nomaaaaaaaa Kabisa HATUFANANI NAO imefunga mwaka kama unabisha Kunywa sumu kabla ya mwaka mpya 😙😙😙😙
@samsonmusa76265 жыл бұрын
Fatuma Said mwanza nyegezi
@fatumasaid43705 жыл бұрын
samson musa hyo hapana 😂😂😂😂😂ww mchokozi
@esterkatoto77675 жыл бұрын
Ukimtoa marehemu A ngwea, Bluu ndo mwana hiphop mwenye ladha 4 nw
@sehemya4485 жыл бұрын
sahihi
@yirgayemyirgah78204 жыл бұрын
Kweli kabisa
@princessringo49685 жыл бұрын
Love u more
@mulababaz2232 Жыл бұрын
Unyama unyamani saluute to the 3 Legends
@jamesmedutieki18875 жыл бұрын
Hii ngoma ni enyewe kuliko zote hapa bongo
@brianlawrence12385 жыл бұрын
Good music with vibes
@officialsalim39555 жыл бұрын
Byser.. Big up
@danieldoglasmtweve91135 жыл бұрын
noma sana
@frankmoga5 жыл бұрын
Salute kwako KIMAMBO Bonge moja la beat,na hili ndio goma la kufungia mwaka.
@suleymanmohammed7005 жыл бұрын
Hiingoma ukiwanayo getto inatbu nguvu za kiume km nawew imekutbu like hapa tujuwane
@nelsonnmwaipaja69805 жыл бұрын
kkkkkkkk
@bembelezamickidadi18075 жыл бұрын
duh we we blue nihatar
@hafidhhamadi91685 жыл бұрын
Nakubali mzee wa micharazo
@vickysmart78135 жыл бұрын
acha zko nguvu za kiumee?
@robertevarist15955 жыл бұрын
Bonge la ngoma la mwaka, kila mmoja kaonesha kuwa anaweza zaidi ya sana, Ila Blue byser hujawahi kosea we ni noma tena zaidi ya noma, unajua kurap zaidi ya dunia inavokujua
@fadiaabdallah87545 жыл бұрын
shkamooni kaka zangu mumetisha nawapenda sana
@jaydady77882 жыл бұрын
Noma sana
@lastsimbatv1497 Жыл бұрын
Shetta anakata sana maneno pmzi ndogo mziki wake lazma uwe lain
@kimtv.ubuyuonline78535 жыл бұрын
safi wanangu endeleeni kupepelusha bendela ya tz🇹🇿
@petermoshi69205 жыл бұрын
Jaman uyu Baisa Ni Jin ✅✅
@amosmwakapesa85405 жыл бұрын
mnaonaje sheta jux na mr blue muwe group moja iko poa sana
@RealconfidentscarsАй бұрын
Noma
@furahahamadi95375 жыл бұрын
Kitu cha uhakika,mumetisha sana
@ibrawasafitv19145 жыл бұрын
Kali Sana Jamaa Mna Jua
@philipjohn27995 жыл бұрын
shkamooo babaaaaaaa!
@ramamanyama29445 жыл бұрын
hamna collabo kali kama hii tz ukishamueka blue halaf tena na jux kuna nn tena sasa imeisha hyo
@abubakaryjohn51184 жыл бұрын
we ninomaaaaaaaaaaaaaaaa
@Respicius5 жыл бұрын
Ndo ngoma yangu ninayo ipenda kwasasa mwaka huu.
@leilayzer115 жыл бұрын
Bizzzy babilon kasaidia sanaaa anaaidia kama zoteeeee mzeee heshma kwake #jux saut kal hakuna mfano #shetaaaaaaa sanaaaaaaaa hii ndo nyimbo yang ya mwaka shule wahun kama wote tunaikubal
@nikodemasajile10964 жыл бұрын
Bor i am happy nikiwaona kwenye hii behind
@richardkazungu12242 жыл бұрын
Mr Blue was hot... full of ideas
@mohahmed64234 жыл бұрын
You see even the ones that sing will listen to the one rappin, Mr Blue is a star 🌟🌟🌟🔥🔥🔥🔥🔥💪👑❄️
@muhiziallan55345 жыл бұрын
BLUEEEEEEEE FOREVER
@arnoldlyimo80885 жыл бұрын
nomaaa sana jux kwa chorus ndio mmepatia saana
@ousamahharoub16825 жыл бұрын
vibe moja 🔥
@slimmirunga78175 жыл бұрын
WANYAMA wa 3 🔥🔥
@shebbytz71115 жыл бұрын
Palipo na blue hakushindikan kitu.
@leilayzer115 жыл бұрын
Shebby Tz hahaha shebbyyyyyyyyyyy
@com_sci1235 жыл бұрын
I like
@twikareomary43545 жыл бұрын
very nice vijana
@masubojrmtiba21595 жыл бұрын
sanaa,, jumajux
@cheayboy91763 жыл бұрын
Vizur
@devydaniel16514 жыл бұрын
Aisee blue nimwepesi sana kujua
@salehmuhammed7295 жыл бұрын
Mashabiki hamuoni km mnazalauliwa
@lucky92855 жыл бұрын
Jux kanenepa👏👏👏👏
@Respicius5 жыл бұрын
Kumbe usanii kazi kweli kweli
@eastafricavoicechannel919110 ай бұрын
The IQof mr blue is on another level 😂😂😂
@sampalsa_Official5 жыл бұрын
Na furahi sana kuwaona mkiwa ivo wazee wangu duuh noma sana , @Shetta , @Jux @Mr kabaisa
@directortariq14555 жыл бұрын
kama umsikia sheta katukana like apa
@wizshine19045 жыл бұрын
Kawaida tu... ngoma... sio kali kiivyo...... hapa nazani shetta hakustaili kuwepo coz ajul kulap... hapa anakaaa GOSBE...alafu uone ilo pini
@directortariq14555 жыл бұрын
ngoma ya mwakaa
@momentumtv45825 жыл бұрын
Hiii ngoma tunafunga nao mwaka ....ukibisha tunaKUZIMIA mpka data wahuni c watu wazuri...#HATUFANANI