BINTI KIZIWI : RAIS NISAMEHE / SIFANYI KAZI TENA NA Z ANTO

  Рет қаралды 49,747

Gangana Info Channel

Gangana Info Channel

Күн бұрын

Пікірлер: 131
@mamuhadi5664
@mamuhadi5664 4 жыл бұрын
Yaan bint huyu yupo tofauti sana kisura na mabint wengne km umekubali nipe like yang
@lm6373
@lm6373 4 жыл бұрын
Yes sana mzuri
@husseinaliyesau3995
@husseinaliyesau3995 4 жыл бұрын
Sanaaaa
@emanuelylaitayo2483
@emanuelylaitayo2483 3 жыл бұрын
Show love
@Pascal08
@Pascal08 2 жыл бұрын
Pole sana. Inaumiza
@cabylake2320
@cabylake2320 Жыл бұрын
Nc
@fabianndimanya2055
@fabianndimanya2055 4 жыл бұрын
Najua km ni mtanzania Ila pia siamini km ni mtanzania maana ni muwazi sana km wakenya.Nakupenda sana momyyyy
@WORDOFMYCREATOR
@WORDOFMYCREATOR 4 жыл бұрын
She is so cute and Down to earth God give her a new better life
@georgebushmissg2830
@georgebushmissg2830 4 жыл бұрын
Love you so much
@danielmwakamisa1985
@danielmwakamisa1985 4 жыл бұрын
Nakushauri mdogo wangu achana na mabishoo wa kibongo,omba Mungu akupe mume bora,fanya vitu vingine tofauti na mziki fanya kazi,biashara nk.wanamume wacha Mungu wapo na usirudie tena hiyo kazi ya madawa ya kulevya
@lauraabass1077
@lauraabass1077 4 жыл бұрын
Unaumia mdogo wangu kwa kilichokutokea but usiumie shukuru maana kama usingekamatwa usingejifunza na kujuta hivyo bali ungeinjoy mapeni. So shukuru kwa kilichokutokea mamy. Simamia msimamo uo plz na Mungu azidi kukupigania. Ameen
@zakayomutundilo3614
@zakayomutundilo3614 3 жыл бұрын
Pore sana Dada kwa matatizo yalokukuta
@mok9703
@mok9703 4 жыл бұрын
She is so honest. Glad she learnt her lesson. Wishing you all the best!
@lizzybahati9833
@lizzybahati9833 3 жыл бұрын
Dada yupo vinzur sana
@tinyaanosiatha1118
@tinyaanosiatha1118 4 жыл бұрын
Binti kiziwi so beautiful
@chany9950
@chany9950 4 жыл бұрын
Binti kiziwi mungu nimwema tena anakupenda saaana
@ladymashaallahilikeuaadvis997
@ladymashaallahilikeuaadvis997 4 жыл бұрын
Mimi bi Sandra nakuombeya kwa Allah akujaaliye mume mwema,na uzidi kupambambania maisha ya mwanayo
@rehemasultani7524
@rehemasultani7524 4 жыл бұрын
Hila huyu dada namuelewa anajiamini katika interview zote
@amishawatif8222
@amishawatif8222 4 жыл бұрын
Mungu akutangulie binti mrembo
@didahnidhar3780
@didahnidhar3780 4 жыл бұрын
😭😭😭😭😭pole Sana Allah akufanyie wepes
@kijanahodari2080
@kijanahodari2080 4 жыл бұрын
Nikipata contacts zake namleta 254 apate raha duniani, she's so beautiful and humble unlike others
@nsrnsr5838
@nsrnsr5838 4 жыл бұрын
Nakupenda mno dada mungu akupiganie kipenzi changu ila binti kiziwi mzur mno mumy
@fatmaally859
@fatmaally859 4 жыл бұрын
Nakupenda sn bint kiziwi
@celinamgundoi5601
@celinamgundoi5601 4 жыл бұрын
Mungu akufanyie wepesi mdada mzuri
@halimabakari4174
@halimabakari4174 4 жыл бұрын
Allah akuongoze inshaallah pia pole kwa mitihani yote iliyokupata
@veevictorius5116
@veevictorius5116 4 жыл бұрын
May your life be better. Umelipia
@baruanijafari4110
@baruanijafari4110 4 жыл бұрын
Mwambie bint kiziwi mi binafs namkubali saaaaan
@ifgodsayyes.nobodycansayno1796
@ifgodsayyes.nobodycansayno1796 4 жыл бұрын
HATA MIMI NILIJUA NI KIZIWI KIMBE DAH NI NYIMBO ANYWAY UKO SMART SANA 🇰🇪🇨🇿
@domedeus3488
@domedeus3488 4 жыл бұрын
Binafsi namuomba wakiweza warudiane na Z Anto! Ingawa sjui kilichowatenganisha lkn kwa mbaaaali nahc nafsi zao znavutana/wanaelekeana.
@hamisihassan2620
@hamisihassan2620 4 жыл бұрын
Nakupenda na hizo yah yah yah yah yah yah yah za ki hongkong
@rosemaryladiges4199
@rosemaryladiges4199 4 жыл бұрын
Happy 4 u binti kiziwi.
@maomaomarchmaomaomarch4471
@maomaomarchmaomaomarch4471 4 жыл бұрын
Hata mm nilkuwa na jua nikiziwi ?
@bahatiundule5190
@bahatiundule5190 4 жыл бұрын
Yaani wewe Dada ni mzuri sana kwanza mshukuru mungu kwa ilo ,alafu muabudu sana mungu wenzio akina masogange wamekufa
@mwanazuberishabani5404
@mwanazuberishabani5404 4 жыл бұрын
Pole saana,Dada ila mungu yupa nawe mshukuru saana mungu
@mwanazuberishabani5404
@mwanazuberishabani5404 4 жыл бұрын
Nakupenda saana
@abdulkaole2011
@abdulkaole2011 4 жыл бұрын
her future looks bright, basi muwe mwampromo sio ma interview kibao tu
@hadijahmwajombe9588
@hadijahmwajombe9588 4 жыл бұрын
pole kwa yote binti kiziwi daaar nibola ufanye kazi mpaka jacho likutoke kuliko njia za mkato mbaya sana
@veevictorius5116
@veevictorius5116 4 жыл бұрын
New better life.
@bensonnahkdgks2119
@bensonnahkdgks2119 3 жыл бұрын
Vizuri kwa kulijua kosa lako
@dullahjuma6137
@dullahjuma6137 4 жыл бұрын
Mm mwenyewe nlkujua kzw
@muhsiniissa8151
@muhsiniissa8151 4 жыл бұрын
Uyu mdada mzuri Sana mashallah!!
@lusajochanya8184
@lusajochanya8184 4 жыл бұрын
Nakupenda bule dada
@kirimigodfrey9242
@kirimigodfrey9242 4 жыл бұрын
Najipata nalia
@liverpoolvsrangers2273
@liverpoolvsrangers2273 4 жыл бұрын
Gangana upo vzuri Sana kwenye one to one interview keep it up nakuona mbali sana
@healthchoicewithluciebern8741
@healthchoicewithluciebern8741 4 жыл бұрын
Alijifunza ki honkong ao kajifunza tu yeah yeah..
@elizabethmwandu6937
@elizabethmwandu6937 4 жыл бұрын
Duuu kumbe ulikamatwa na madawa ya kulevya! Acha hizo biashara za kishetani zinazoharibu afya za watu .Mungu akupe biashara nzuri inayompendeza Mungu.Pole sana kwa matatizo yaliyokukuta..
@fabianndimanya2055
@fabianndimanya2055 4 жыл бұрын
Heeeee ndo umejua leo au unafiki😒😒😒
@elizabethmwandu6937
@elizabethmwandu6937 4 жыл бұрын
@@fabianndimanya2055 mfyuuu mnafiki wewe mwenyewe wewe kama unajua usitake na wewe wawe wanajua mfyuuuu!
@fabianndimanya2055
@fabianndimanya2055 4 жыл бұрын
@@elizabethmwandu6937 Uko period nn😂😂😂😂
@elizabethmwandu6937
@elizabethmwandu6937 4 жыл бұрын
@@fabianndimanya2055 siwezi kukulaumu maana ndipo akili zako fupi za kufikiri zilipoishia.
@fabianndimanya2055
@fabianndimanya2055 4 жыл бұрын
@@elizabethmwandu6937 Nipe k yako ndo utjua ni fupi au vp🤣🤣
@lm6373
@lm6373 4 жыл бұрын
Jamani msimkumbushe antiya imani hakuna mtua aso koseya
@aminanoor5637
@aminanoor5637 4 жыл бұрын
daaa dada usiwe unalia ayo ni mapito tuu ndugu yng
@aneymaalim704
@aneymaalim704 4 жыл бұрын
Yeah yeah
@yusufmwangichannel6692
@yusufmwangichannel6692 4 жыл бұрын
Kua muislam kamili ahana na ushetani mziki ni maneno ya kipuzi na hayamridhishi Allah
@nahyialetomia9284
@nahyialetomia9284 4 жыл бұрын
Miaka kumi class ya 6?
@dasilvajunior3016
@dasilvajunior3016 4 жыл бұрын
very nice project
@chesterbrand6723
@chesterbrand6723 4 жыл бұрын
Yah. Yah. Yah. Yah........ Simeling.... Yah... Yah...
@judamsaki5609
@judamsaki5609 3 жыл бұрын
cute .
@aishamawalla733
@aishamawalla733 4 жыл бұрын
Yah!!!!
@rahmarahma5076
@rahmarahma5076 4 жыл бұрын
😍😍😍😍😍😍😍😍😍
@labikongwa9744
@labikongwa9744 4 жыл бұрын
Natamani nipate namba yako sandra
@aneymaalim704
@aneymaalim704 4 жыл бұрын
Pole kwa hayo majanga
@josephinetrazias7193
@josephinetrazias7193 4 жыл бұрын
Ilo swali siyo la kiubinadam ndugu mtagazaji
@hidayabakar7026
@hidayabakar7026 4 жыл бұрын
Mm nakuomba staghafiru Rudi kwenye dini yako ya kiislam
@agnespeter8383
@agnespeter8383 4 жыл бұрын
我爱你Binti kiziwi
@aminasalum1954
@aminasalum1954 4 жыл бұрын
Mbona leo yaa Yaa Yaa nyingi jmn mmmh
@fabianndimanya2055
@fabianndimanya2055 4 жыл бұрын
😂😂😂Acheni wivu jaman
@vanyahmed8937
@vanyahmed8937 4 жыл бұрын
Bintikiziwi mrembo Sana Tanzanie nzima
@lm6373
@lm6373 4 жыл бұрын
Mzuri sana ni mix sio mu Africa kachanganya sio ndo wana uzuri yes
@ipyanagodius2839
@ipyanagodius2839 4 жыл бұрын
Tafuta Mungu mrembo Mungu anakupenda sana
@jamilajamila4572
@jamilajamila4572 4 жыл бұрын
Pole mpendwa
@samuelmwewa7063
@samuelmwewa7063 4 жыл бұрын
Dada we Ni mrembo achana na yote yaliyo kukuta piga kazi Dada angu
@silyadamian5708
@silyadamian5708 4 жыл бұрын
0%
@josephmagadula6937
@josephmagadula6937 4 жыл бұрын
NANI AMESIKIA YAH!!!
@aishalukas5814
@aishalukas5814 4 жыл бұрын
Yaani kila mda yaaah yaah yaah
@halimabakari4174
@halimabakari4174 4 жыл бұрын
Haha
@alexmurithi1327
@alexmurithi1327 4 жыл бұрын
She's very cute
@hatamimnimempendabulejaman1596
@hatamimnimempendabulejaman1596 4 жыл бұрын
Ya tanzania imejengeka nasikia
@hatamimnimempendabulejaman1596
@hatamimnimempendabulejaman1596 4 жыл бұрын
Ya viziwi lazima wafurah
@hatamimnimempendabulejaman1596
@hatamimnimempendabulejaman1596 4 жыл бұрын
Ya aliiigiza vizur kama kiziwi kwel tulimpenda Sana. Kwel alivyoondoka z akapotea
@hatamimnimempendabulejaman1596
@hatamimnimempendabulejaman1596 4 жыл бұрын
Wenyewe wanajuwa kama wanaendana kwenye kazi
@hatamimnimempendabulejaman1596
@hatamimnimempendabulejaman1596 4 жыл бұрын
Mtangazaji anaoji vizur
@wangash6144
@wangash6144 4 жыл бұрын
Kabisa binti matatizo mengine yanakupa mwili
@winifridajohn9635
@winifridajohn9635 4 жыл бұрын
Apo kweli kurudi na z anto naye kafufuka
@chesterbrand6723
@chesterbrand6723 4 жыл бұрын
Open girl secret girl desplin girl
@seifmassoud2686
@seifmassoud2686 4 жыл бұрын
Yani unakuta mtangazaji anakuliza mambo ya maisha yalokupitia 8yrs ago shit mjifunze kumhoji mtu kama huna suali bora usiitishe interview tu, mtu unamkumbusha life ambayo ameshaachana nayo Shiiiit
@ganganainfochannel
@ganganainfochannel 4 жыл бұрын
😀😀😀 hii ndiyo bongo wakosoaji wasio na hoja. Haya ndugu mtaalamu comment yako imeonekana.
@ashaali7154
@ashaali7154 4 жыл бұрын
Yeye kaachana nayo vipi wale walioathirika na hayo madawa alipokuwa anauza si wameharibikiwa pamoja na familia zao? Acha aeleze tangu mwanzo tumuelewe.
@sadahgullam8228
@sadahgullam8228 4 жыл бұрын
@@ashaali7154mlango wa toba hauko ivo kasome dini
@ashuhunamohamed7997
@ashuhunamohamed7997 4 жыл бұрын
Yeah
@ashaali7154
@ashaali7154 4 жыл бұрын
Unaostshili kuwaomba msamaha ni wale wazazi waliopoteza watoto na familia zao Kwa hayo madawa ya kulevya. Tamaa mbele mauti nyuma. Wewe umesharudi uraiani lakini mateja wako vile vile hivyo hasara ni ya familia zao.
@aminaluttu649
@aminaluttu649 4 жыл бұрын
Kaongo
@yunaisamir2099
@yunaisamir2099 4 жыл бұрын
Nataman nijue huo wimbo unao imbwa bt sisikia
@latenitepiano
@latenitepiano 4 жыл бұрын
“Halafu mbona huwa hamu waulizi miaka minane au yote hiyo wanayo fungwa” (Mapenzi huwa wana fanyaje 😋 ? Au huwa wana jichua ? Au maofisa wa jela wana waliwaza ? Au huwa wana ruhusiwa ku tembelewa na kufanya mapenzi na mpenzi wao ? Huwa wana jimaliza vipi na hamu au ashiki ya tendo la ndoa ? Tujuze tafadhali 😬!
@newmuscat1698
@newmuscat1698 4 жыл бұрын
Hahahahahaa hatar sana
@luturinakivaria6565
@luturinakivaria6565 4 жыл бұрын
Swali la kijing a hiloo. H aujaon a Chakuuliza?? Kuwa mustarabu
@tumatuma6478
@tumatuma6478 4 жыл бұрын
mh kwa kweli wakiuliza swala hilo tutawashusha hadhi kwa uwandishi wao sababu si jambo la msingi
@latenitepiano
@latenitepiano 4 жыл бұрын
@@tumatuma6478 Hakuna ku shusha hadhi au heshima ya mtu yeyote! Wana nanihiliwa na maaskari wa Jeshi la jela au maofisa wakuu wa gereza! Wana wasugua vizuri sana! Watu hupata ridhiki pale wanapo fanya kazi au biashara! Na ridhiki zenyewe ndiyo hizo! We una fikiri wata waachia watoto wazuri kama hao 🤔? Walisha suguliwa vizuri sana tu! Na ndiyo wakome 🙄😡!
@elizabethmwandu6937
@elizabethmwandu6937 4 жыл бұрын
Duuu kumbe ulikamatwa na madawa ya kulevya! Acha hizo biashara za kishetani zinazoharibu afya za watu .Mungu akupe biashara nzuri inayompendeza Mungu.Pole sana kwa matatizo yaliyokukuta..
@chany9950
@chany9950 4 жыл бұрын
Eeeeee umeongea vizuri saana 👏👏👏👏👌👍
@aneymaalim704
@aneymaalim704 4 жыл бұрын
Pole kwa hayo majanga
To Brawl AND BEYOND!
00:51
Brawl Stars
Рет қаралды 17 МЛН
Tuna 🍣 ​⁠@patrickzeinali ​⁠@ChefRush
00:48
albert_cancook
Рет қаралды 148 МЛН
Сестра обхитрила!
00:17
Victoria Portfolio
Рет қаралды 958 М.
REAL or FAKE? #beatbox #tiktok
01:03
BeatboxJCOP
Рет қаралды 18 МЛН
BISHOP IN PRISON /njeraini ciitu inooro tv sun  9pm .
7:26
SIMON KIBE INOORO TV /FM
Рет қаралды 62 М.
GENDER REVEAL SURPRISE | The WaJesus Family
31:01
THE WAJESUS FAMILY
Рет қаралды 23 М.
DAKIKA KADHAA NA BINTI KIZIWI : NAUMIA MTOTO WANGU HANIPENDI
11:14
Gangana Info Channel
Рет қаралды 89 М.
DHARAU NDANI YA NDOA
39:58
Daniel Mulesi
Рет қаралды 54
MPENZI JINI BY ZANTO
4:43
omarionapoet
Рет қаралды 77 М.
MISSION IMPOSSIBLE [23] SEASON 2
21:36
CHADO MASTA FILMS
Рет қаралды 74 М.
To Brawl AND BEYOND!
00:51
Brawl Stars
Рет қаралды 17 МЛН