Рет қаралды 6,249
Siasa za mapema zimeanza kushuhudiwa katika kaunti ya kajiado huku baadhi ya wabunge kutangaza kuwania kiti cha ugavana. Wabunge hao wanaoonekana kuwa wapinzani wa gavana wa kajiado joseph ole lenku hawakuhudhuria sherehe ya mashujaa jambo ambalo halikumfurahisha gavana huyo.