Kweli huyu jamaa kavurugwa hawezi kuwa na msaada wowote kwenye timu kimawazo sio mtu wa mpira anaamini mpira matokeo yanapangwa mbona wewe umezifunga timu kwa janjanja lakini ukashangilia mpira ni vita wewe usiende na matokeo uwanjani
@NsubiRaphael5 сағат бұрын
Sio kufungwa kizembe akifungwa kizembe anazomewa yeye mwenyewe hazitaki pesa yeye mwenyewe awe makini huko kwao West nguvu za juju zinetawala,pesa zake anatoa kdg anafanya kafara asile mwenyewe
@OstianMwafulilo5 сағат бұрын
Simba ni simba ata akonde uwez kumuita paka mim naitwa osi Kay kutoka mbeya
@lonesomekabora55476 сағат бұрын
Kwani kuna timu itamaliza ligi bila kupoteza Mechi, hao Yanga wenyewe wanaongea lkn bado hajacheza mechi ya Tano na Bado hajakutana na Simba wala na Coastal Union,, sasa kwa nn kuanza kusikiliza maneno ya Mzazi mtarajiwa wakati ww tayari una mtoto?
@kelvinpaul70625 сағат бұрын
Well said champ
@jamesmramba26515 сағат бұрын
Acha kuongea usenge ww mwakajana Costal tulimfunga kigoli kimoja chamazi tena baada ya beki wao kumshika Azizi ki ikapelekewa apewe kadi nyekundu walipokuwa pungufu ndo yanga anapata goli jioni kbsa ww tengeneza timu acha makelele
@MADINAKITEMO3 сағат бұрын
Yaani yule manula mchawi yaani simpendi kabisa sijui kwanini viongozi wamemuacha manula
@petro80105 сағат бұрын
Eti yanga anaenda kulipa zile point.....kwa team ipi????????Ninyi hesabuni tu point 5 mmepoteza
@robertmalaba50284 сағат бұрын
Azam wamethaminiwa na gsm tena duh kweli umevurugwa
@JofreyErias3 сағат бұрын
Kweli kaka❤
@maxmia100Сағат бұрын
Ha huyo mbona gb 64 kichaa huyoo mbwa kwanza ropo ropo huyoo jamaa anawadanganya sana wenzake wa simba
@SalumMwankemwa2 сағат бұрын
Hapo umesema kamati ya ufundi iangalie sana mumezidiwa sana na yanga
@JoshuaMmali3 сағат бұрын
Kasolo yanga mbwa ww
@AbdiAbdimasudi-xg1wu3 сағат бұрын
Kwisha kazi nyinyi!
@salamadadi77465 сағат бұрын
❤❤
@IsayaMlakiZ4 сағат бұрын
Ukienda NBC premier league yanga hajapoteza
@JoshuaMmali3 сағат бұрын
Hiv cost umshindwe yanga anaemilik chapa yenyewe ya gsm umuweze 6 zileeeeeee
@MADINAKITEMO3 сағат бұрын
Yaani simba haitochukua ubingwa milele kwa mwendo huu ubingwa tusahau
@Johnbida75592 сағат бұрын
Akili yako ata km ingekuwa matakoni usingeweza kuongea hv
@Tee-King6 сағат бұрын
Sasa hz mnamuangushia lawama Manura maskini jaman ametaka kuondoka mmekataa sa hz mnasema anaroga makipaaaa😂😂😂😂 ngoja si tukae pembem tuwe na 🍿 tusubiri tuone.
@maxmia100Сағат бұрын
Leo hajalewa fala huyoo
@InnocentMwakyange6 сағат бұрын
Tatizo nyinyi mnaotuwakilisha kwenye media mnatuaminisha vikubwa mwisho wa siku mnaishiwa vya kusema,plz ongeeni kwa decimal.
@RabsonSalmon-ys7bf5 сағат бұрын
Mmh"! Baba mkwe kapoaaa
@mohamedmsoma47105 сағат бұрын
Gb 64 wewe ni mwanamichezo wa kweli huwa nakuelewa sana safi sana
@zainabsimbamtoro67902 сағат бұрын
Mbaoo ilikuwa didhasta
@shiaeddy45195 сағат бұрын
Unaubongo wa mende
@JoshuaMmali3 сағат бұрын
Ukienda yanga umesahau
@OswardMwambete-en5uk4 сағат бұрын
Huyu Nae ropo sana!! Hee
@GidionSarehe5 сағат бұрын
😁😁😁
@Tee-King6 сағат бұрын
Wanarud kwenye takwimu 😂😂😂😂😂
@Friday-nx8pm3 сағат бұрын
Uongo.
@frankkitomary38784 сағат бұрын
aya ni yale ambayo mimi ninalia na fer compatsion iko wapi bendera ya bord ya ligi ina pepea upande mmoja tuu kitendo ambacho sio raisi bendera inayo pepea kwa kutegemea upepo unako kwenda sasa ihii bendera ya bord ya ligi bado makando kando mengi sana
@mfaumeibu78964 сағат бұрын
Daaaah huyu Fala ni kabila gani? mbona hajui soccer na wewe kubali ndoa na GSM ili upate mafanikio
@MaendeleoMohammed2 сағат бұрын
😂😂😂sasa coastal union wamekaza na nyie mumeshindwa kukaza eti mtaifunga yanga kweri una akili timamu kabisa
@Munyama67552 минут бұрын
Hivi huyu yuko timamu kweli?
@Tee-King6 сағат бұрын
Wameanza kurud kwa GSM 😂😂😂😂😂😂😂😂😂 sasa zile goal za na GSM wap na wap 😂😂😂😂😂