Mama Rais Samia,kwa siku zote nimekuwa nikikufatilia tangu Baba atuache mayatima.Leo ndio siku ya kwanza nimeona umeanza kazi rasmi.Kiuhalisia nilikuwa nimekata tamaa maana naona ni panga pangua na ziara tu kila kukicha.Mimi niko nje ya nchi ila naifatilia sana nchi yangu maana ndio roho yangu.Tunahitaji kazi na maendeleo zaidi kama alivyotuachia Baba JPM na sio power recognition among the people.Tushakukubali na tunakuona kama JPM,chapa kazi mama.Nitaangalia next episode nione ni nini ulifanya kwenye hii ziara ila kwa hakika umefufua matumaini yangu tangu uapishwe.Otherwise,may time be the measure of your diligence for future terms.......Thanks Millad Ayo.
@Ali-nl2du3 жыл бұрын
Tusimfanye hayati JPM kuwa ni benchmark ya kumpimia Mama Samia. Hii ni unfair kwa mama Samia. Binadamu tupo tofauti. Kila 1 ana mazuri na mapungufu yake. Tuelekeze macho kwenye mazuri. Naamini mama alikuwa anapanga safu kwanza. Sasa team imetimia, ligi kuu imeanza rasmi. Kazi iendelee.
@j.c.maxima8163 жыл бұрын
Rais kafanya kazi ya Mkuu wa Mkoa, badala ya kuyashughulikia mambo mazito 🤔🤔🤔 Mungu ibariki Tz...
@bushparty95883 жыл бұрын
@@Ali-nl2du hilo nalitambua ndugu,ninachosisitiza ni upambanaji zaidi maana nchi yetu ilipo ni kukaza buti zaidi maana second world country inamaanisha ni mapambano zaidi kupitia viongozi wenye weledi.Kwa suala la kumuweka JPM as the benchmark reference ni lazima kwa sababu ukitaka kuijua giza lazima uijue nuru kwanza.Anyway,ni mtazamo wangu kama tu ulivyodokeza kuwa kila bunadamu yupo tofauti na mwingine;likewise,JPM's era is currently my weakness hence needs no less than that for upgrade.
@bushparty95883 жыл бұрын
@@j.c.maxima816 kabla umchape mtoto kuwa mtoto kwanza,anafanya basics.Tuwe na imani nae tu,yuko sawa
@priscadaudi75783 жыл бұрын
Kabisa
@loxlox34143 жыл бұрын
Kura si zake zamwamba jpm aiweke roho yake sehem salama mwamba yule
@mohamedhaji22003 жыл бұрын
Na yy pia
@sharrifidris34223 жыл бұрын
Unamaanisha nini sasa? Mfufue jpm basi.
@charlesmartine34673 жыл бұрын
Mmmh
@dicksonmatulile15233 жыл бұрын
Samia watumikie wanyonge, wasikilize na watatulie changamoto zao watakupenda
@j.c.maxima8163 жыл бұрын
Mhmhmhmh... Tz Nchi ya wanyonge tu ?! No comment... Napita tu... 🤫🤫🤫🤫🤫🤫🤫
@franceally76153 жыл бұрын
Proud of you Mama 🙏
@mathewungani97243 жыл бұрын
Mibarakoa
@franceally76153 жыл бұрын
@@mathewungani9724 imefanyaje
@godfreyfrank53543 жыл бұрын
huyo camera man kanichekesha sana 😂😂😁
@mbwanakhamis96343 жыл бұрын
🤣🤣🤣 Kidogo aanguke....
@eastafrica68583 жыл бұрын
Kariakooo kuchafuu jamani mitaro ya chemba kila coner
@jumakapola4193 жыл бұрын
Mama wasaidie sana wamachinga uyo mkuu wa mkoa dar ameanza ubaguzi wa kipumbavu sana wamachinga ndio waliyo wapigia sana kula mama muwakumbuke sana ata hayati baba yetu kipenzi cha watanzania jonh joseph pombe makufuri aliwatetea sana wamachinga mama usisahau usia wa baba
😂😂😂😂 yaani mm nimecheka kwerii uyo nakikamele chake jamni
@user-ot2io4cy6w3 жыл бұрын
😁😁😁
@godfreyfrank53543 жыл бұрын
😁😂😂
@MahmoudMohamed-ct8no3 жыл бұрын
😂😂😂😂 yaaani wewe jamaa ulieandika hii comment umenivunja mbavu kwa kucheka
@paulalphonce79663 жыл бұрын
Hahaaaa
@kasimmarko55133 жыл бұрын
Mama na mkubari sana hii awamu atuesabu miaka 4 kama ofa tu.mwaka 2025 mama miaka 10 halisi hkuna rais ambae kaongoza miaka 4 kwenye katiba ya jamhuri ya muungano mama miaka 10 jumla miaka 14.
Ya ni vizuri mama kutembelea machinga na kujua kelo zao Ila jitahid mama kutembelea maeneo tofauti tofauti isiwe dar tu mikoa IPO mingi tu Tanzania na kelo za wananchi wako ni nyingi ukifanya ivo wananchi wanyonge na masikini watakupnda
@michaelpeter75273 жыл бұрын
Kariakoo leo pasafi machinga wametolewa kwa muda
@salimsaid72003 жыл бұрын
HADI RAHA
@hizamp18273 жыл бұрын
Asante kwa taarifa kwa wakati
@jtheophil54993 жыл бұрын
Im speechless🌹
@thinker10943 жыл бұрын
Kwa elimu, tiba,burudan,michezo na matukio nifollow instagram kwa jina la; Talented Man in Africa
@mwanzashinyanga80603 жыл бұрын
rest in peace magufuli watu wako wamekusahau mapema sana 😢😢
@abuukamanda.s.mkenga66873 жыл бұрын
🤣🤣
@saleheinnocent76363 жыл бұрын
Hakuna namna ndugu ndomana ya kifo
@mohamedhaji22003 жыл бұрын
Hatuwezi kufanya kila alilofanya yy, mengine aliharibu
@eliabuedward87553 жыл бұрын
Huu utawala wa mwendo wa barakoa mpaka basi
@petermwimanzi47173 жыл бұрын
Jaman ya mungu mengi hakika hatuijui kesho yetu et hapo ndo pameungua dah poleni Sana ndugu zangu mungu Awatie nguvu
@mybrevisai25083 жыл бұрын
Kwahiyo WaTz wote ambao hawajavaa mask hawana akili, si ndio maana yake?
@sleymohamed38253 жыл бұрын
unabisha vitu vya kijinga sana kwani umekatazwa kuvaa au kutovaa mask niaje wewe.
@mybrevisai25083 жыл бұрын
@@sleymohamed3825 Nimeuliza tu
@mohamedhaji22003 жыл бұрын
@@mybrevisai2508 wajinga ndio
@ismailsalumu63983 жыл бұрын
Mama urais umeshaamuiva tayar, nakupenda sna samia
@harunaomary6603 жыл бұрын
Sasa apo gari ni Ile ile wametoa nmb Ile wameeka iyo alafu na walinzi sio gafla
@selemanjuma15953 жыл бұрын
Madaraka ya kuingili mlango wanyuma hongera kwako mama
@saifaljahwai18803 жыл бұрын
Maskini imenitowa machozi kusikia neno maama, maama, maama, hii inakuja wakati mama mzazi akija kutoka safari akifika kwa watoto wake huwa sauti hizi ndio mapokezi yake
@salomewandya72573 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😢😢😢😢😢😢
@j.c.maxima8163 жыл бұрын
Nani kama Mama...! 💕🌹🇹🇿
@tatumohamed50883 жыл бұрын
Kweli kabisa
@temkezatv43813 жыл бұрын
Unatembelea kariakoo unaacha bank wanaiba mabilioni ya pesa kweli u9ngozi unq mambo
@mnzavachris54233 жыл бұрын
🙄
@azizikibwana48023 жыл бұрын
sasa we ulitaka afanyaje ebu achen ushamba wenu Kwan kusikiliza Kero za wanach dhambi
@djdisboy255tz3 жыл бұрын
Nani kaona ako ka maandishi was habari kamevutwa
@hafidhuayubu62563 жыл бұрын
Hyo jamaa ,mwenye camera
@mufamozmufash1663 жыл бұрын
What a happy day for them
@mobellamobenimpenda70553 жыл бұрын
MashaAllah mama kama mama tunakupenda
@boniphaceabbas82383 жыл бұрын
Mara eti ooh mbona huyu hana makomandoo na mabunduki mengi Kama ilivyokuwa kwa anko jpm sasa hao ni kina joti au? Pili kushitukiza kakosea style wale askari wangekausha wangeingia kimya kimya tu.
@mohamedhaji22003 жыл бұрын
Unadhani huyo ni raia aingie bila askari. Ni amiri jeshi mkuu. Lini magu kashtukiza peke yake? Kakojoe ukalale
@saidtembele30703 жыл бұрын
Dah ka Camera man ka watu kamevutwa huko
@yagalbyyaayuni72473 жыл бұрын
😃😄🤣😆😂😀
@Emedroadtocanada3 жыл бұрын
Mama anapendwa jaman maashaallah
@mrishomrisho53493 жыл бұрын
njoo na magomeni kuna tatizo kubwa sanaaa soko jipya
@Ndu-wa.uroony23 жыл бұрын
Gari lenye namba za kiraia?
@yohanadeusi56603 жыл бұрын
JPM alitengeneza njia itumieni vzr sisi wanyonge tupo msitusahau
@saidsuleiman17533 жыл бұрын
Hizi kazi za masokoni, madarajani siku za nyuma alikuwa akizimaliza Makonda, Rais alikuwa anashughulika na mambo mazito. Hizi ni kazi za wakuu wa Wilaya au Mkoa sio kupoteza muda wa Rais hii sio sawa
@isayakoroso24993 жыл бұрын
Acha umbea na chuki wewe kilaza yule dikiteta wenu yeye ndo alikuwa Raisi mzululaji kuliko wote, pia yule wenu mwenda zake ndo alikuwa Raisi wa kwanza kula mahindi barabarani, lazima mkubali nyie sukuma Gang kuwa yule haludi tena na yupo uko anakula adhabu balaaaaaaha
@kshdbzjnxksksw65673 жыл бұрын
@@isayakoroso2499 we utabakia maisha
@saidsuleiman17533 жыл бұрын
@@isayakoroso2499 Nadhani wewe ni kilaza namba moja acha kuangalia mambo kwa jazba na mhemuko mimi nauunga mkono mama Samia ila ninachosema Wakuu wa Wilaya na Mikoa kazi zao ni nini mpaka sokoni mpaka aende Rais. Rais ana mambo mengi ndio maana ana wasidizi wake ila kama wasaidizi hawtekelezi majukumu yao ipasavyo ndio Raisi anakuwa hana budi.
@hobokelajackson19473 жыл бұрын
Na Rais pia yuko chini ya vyooooooooooote
@salomewandya72573 жыл бұрын
@@isayakoroso2499 Wewe utabakia milele???
@moneytrainingmaker55223 жыл бұрын
Kwel katisha
@mybrevisai25083 жыл бұрын
Hao mabaunsa mbona kama wa WCB ? 😂😂
@husnasaidihasani71723 жыл бұрын
Shauri yako mi simo😂😂😂
@yagalbyyaayuni72473 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@mohamedhaji22003 жыл бұрын
Kasogee unye
@shaddybmc83423 жыл бұрын
Hili ndio gar lake ila plate imebadilishwa
@justinashayo37433 жыл бұрын
Kifo cha magu ni mipango ya Mungu. Mama ongoza usijali maneno yetuuuuh. Uko vzr
@azizikibwana48023 жыл бұрын
kabisaaa mung ndo kila kitu
@starboy71463 жыл бұрын
Wahuni tukajua rayvanny kaka kutoa mahela🤣🤣🤣
@elbaricktv16323 жыл бұрын
Sasa mabodgad wanawake kibao kwann watu waache kujua anaepita Ni Samia tu hata Kama akiwa ndan ya katapila watajua tu🤣
@kennedymtweve31873 жыл бұрын
Raisi wa wakina mama
@salmahalfani63073 жыл бұрын
@@kennedymtweve3187 na nyie kina baba tafuteni Rais wenu
@shaddybmc83423 жыл бұрын
Shida barakoa tu
@obedkiswaga27903 жыл бұрын
Haya mabarakoa siyapendi kabisaa na hapo ndiyo naona hafai
@j.c.maxima8163 жыл бұрын
Masks zinafaa kwenye umati kama huu...
@sayman1583 жыл бұрын
@@j.c.maxima816 wapiii wewe juzi tumeangalia fainal ya uefa hat hao wazungu hawavaiii.....siku hizi..
@jumahassan2733 жыл бұрын
Watanzania mnambwembwe dah
@hamzamnyawami68943 жыл бұрын
Kiki zimejaa huku km diamond tu 🤣🤣🤣🤣
@masalupeter35613 жыл бұрын
Duu hili ndio soko linalo ungua!!! Poleni mliopoteza Mali zenu
@bahatiiddibahatiiddi-be5nj3 ай бұрын
😂😂watu nakamela zetu hatuchelewi
@nalyismail99153 жыл бұрын
Kumbe alifika kabla saa inginee ndio maana wamebutuaa motoo
@faustermathiasfaustet53623 жыл бұрын
Hahahaaaaa! Nmeixhia kucheka na uyo kamera man
@mohammedhussein67483 жыл бұрын
Mashallah
@eddyjosephmagenge96583 жыл бұрын
Ila mbona hajaongea na wananchi ili weweze kutoa kero zao hadharani? Rais bado JPM Ni namba 1. Anyway nimpongeze Sana mama Samia ,bila shaka kidogo kidogo mambo yatakuwa sawa.🙏🙏🙏
@amosmoses78003 жыл бұрын
WaSenGe ni WenGi tu WeWe nDio mmojAwaPo
@tumainsawe69603 жыл бұрын
True
@rockcitynative99853 жыл бұрын
Huyu ndiye rais kama inakuuma sana nenda chato huko makaburini.
@piusjuma73843 жыл бұрын
Yaani hivi ndivyo watu wanavyotaka watakukubali tu
@emmanuel_mihambo33 жыл бұрын
Hawezi tumikia wanyonge ngoja tusubili tena ziara afu tupigwe tena azina
@azizikibwana48023 жыл бұрын
we ndo unaweza ebu mumuache mama afanye kazi kila kipind na dhama zake
@awardhakimu47773 жыл бұрын
Barakoa za nn sasa
@elialukombo61713 жыл бұрын
Hio si ile gar yake ila tu wameweka plate number ya kiraia😁
@gibsonjosephat6352 Жыл бұрын
Kiraia wakati wanajeshi wako wengi hovyo
@rehemamaduhu56423 жыл бұрын
Mmmmm
@khadijahali48373 жыл бұрын
😷😷🙄
@mchambawimakilasiku13493 жыл бұрын
Wabongo wacheni visa nyie, sasa mama kasahau kununua kitunguu au ni kitu gani, yaani tangu iingie hii mitandao viongozi wote hovyooo hawajui chakufanya ili mradi tu waingie kwenye mitandao na watu wawaone wanacho kifanya hakijulikani.
@AbdulAbdul-pr9qe3 жыл бұрын
Mama kama Mama
@rodsconehenry42493 жыл бұрын
Basi wasiokosaga la kukosoa watakwambia matumizi mabaya ya plate number
@hamzamnyawami68943 жыл бұрын
Yy na mibarakoa tu ,,,
@barakamwamkinga46243 жыл бұрын
Mama tatizo hatukuzoea balakoa kwa mfano mi binafs
@dennismwambenja63993 жыл бұрын
huku unazuga tu ili usiulizwe upigaji mkubwa unaoendelea na kweli unawapata
@gebborecords3 жыл бұрын
Barakoa za Nini Mama ????
@simondangote32453 жыл бұрын
Hilo ndio swli la kujiuliza
@gebborecords3 жыл бұрын
@@simondangote3245 Anatuuza huyu Mama , yaany hatutendei Haki Kabisaa , naanza kuamini maneno ya Watu sasa ,
@tumainsawe69603 жыл бұрын
Nimeangalia nikajikuta nakasirika
@gebborecords3 жыл бұрын
@@tumainsawe6960 Daah yaaany ...noma saaana
@rockcitynative99853 жыл бұрын
Acha upumbavu wewe huyo ndio rais wa nchi heshimu mamlaka,
@safaristanley72153 жыл бұрын
Usafi sasa utazingatiwa shimoni
@m.mmarckus62983 жыл бұрын
Huko shimoni nakumbuka niliingia mara moja tu nikasema sitarudia nihatari
@kabalajunior54413 жыл бұрын
Camera man🤣🤣🤣
@gt.mkushimakoba5313 жыл бұрын
Tunaimani kubwa sana na Mama Yetu...
@paulosamusonnigo7453 жыл бұрын
Gomaiko pow
@juniormgema25243 жыл бұрын
Mama kaishafika dodoma muda tu
@ishoboebaazazi47903 жыл бұрын
so mama na yy kashaanza kutembea tembea
@Aysha-ms3ln3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣watu wanamsema sana kua anakaa tu ikulu
@hermanndongolo15503 жыл бұрын
Safi lakini mabarakoa ya nini
@j.c.maxima8163 жыл бұрын
Kuna msongamano wa watu huko Kariakoo,,,
@martinhinda52333 жыл бұрын
Me nilijua kaenda kusikiliza kero za wananch kumbe alienda kutembea ok sawaa.
@wamoroboy89633 жыл бұрын
😪😪
@samsonkaboko51373 жыл бұрын
Nonsense
@amrimzee74923 жыл бұрын
Asante Sana Mama kwa upendowako dhidi ya tanzania yetu
@tumainsawe69603 жыл бұрын
Upendo hahahahaha
@msalikemedia3 жыл бұрын
Hahaha
@erickchitumbi13083 жыл бұрын
Mambo niiiiiih 💥💥💥💥💥
@husseinmkanga77943 жыл бұрын
Mama kuwa na JPM tutakupenda, tulimpenda JPM kwa uongozi wake kwa kupenda nchi yake kuilinda kutoka kwa wanyonyaji. Tulimueshimu kikwete kama Rais wa nchi lakini hatukuwa na mapenzi nae kwasababu sababu alikuwa Rais wa matajiri. Matajiri walikuwa hawaeshimu sheria za nchi wakanunua mpaka Coco Beach japo sheria za nchi haziruhusu. Wapo waliodiliki kuwaambia viongozi wa chini hawaongei na mbwa wanaongea na mwenye mbwa. Tunakuomba tusirudi huko tutakupenda kama kiongozi wetu.ukiacha sera za JPM hatuta kuelewa kwasababu Watanzania walio wengi walizikubali. Sera za kikwete hazina mvuto kwa Watanzania walio wengi. Kama humfuati JPM 2025 itakuwa ngumu. Mitaani kuna Majonzi na machungu. Mungu akusaidie Mama YETU. RIP JPM!
@jongosalehe10363 жыл бұрын
Mama kazi inaendelea...
@phabiancharles93453 жыл бұрын
0000000000 (4) 000000 sikuzote mtanzania anajuwa kushangiriatu angalikwa tangia angie mdarakani amefanya nini ndiouwanze kupongeza shida tu mambo ariyo kuwa anafanya magufuri ndiyo yanaenderezwa kwashida tu napo ## mufikirikwanza sio kupongezatu## kwamagu awezi kufikia kwenye ziara zakushutukiza .
@hassankhalid24653 жыл бұрын
Usitake m2awe km yule,kila m2 na karama zake hat magu alikua na mapungufu yake,miezi miwili unataka uone jipya gan?unadhan kukabidhiwa nchi ni sawa na meza ya nyanya?
@salimsaid72003 жыл бұрын
POLE MJANE.
@salimsaid72003 жыл бұрын
@@hassankhalid2465 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@salimsaid72003 жыл бұрын
KESHA KUFA ATAWEZA VP.
@amosmoses78003 жыл бұрын
MAgU ALijioNA munGu. ALijioNA aKiWa nA uFaLmE nA utaWaLa inChini TanZaNiA bAsi inAtoshA tu . Ataishi tu miLeLe biLa yA kuumWa waLa miSAadA KutOkA njE. KwAsaBaBu AliJionA ni munGu haNa sHiDa nA uLimweNgu wA njE . HuYu mAmA Ana MaoNo yA kujUA kWamBa TanZaNiA iLivyo BiLa yA miSaaDa nA mashiLikiaNo nA maTaiFa yA njE . .TuTaAngaMia
@deejeydaev3 жыл бұрын
Dahh yani simple tu ... Hakuna complications za ulinzi.. Mama mwenye Tanzania yake uyo!!!
@lonsmanempire96273 жыл бұрын
Mama kama mama Appreciate you
@rahmahussein40193 жыл бұрын
Powerful ...👍❤️🇹🇿🌴
@ammsuya94003 жыл бұрын
Kwahyo dodoma ndo umetuhama kabisa mama😭😭😭😭😂😂😂
@amosmoses78003 жыл бұрын
MAgU ALijioNA munGu. ALijioNA aKiWa nA uFaLmE nA utaWaLa inChini TanZaNiA bAsi inAtoshA tu . Ataishi tu miLeLe biLa yA kuumWa waLa miSAadA KutOkA njE. KwAsaBaBu AliJionA ni munGu haNa sHiDa nA uLimweNgu wA njE . HuYu mAmA Ana MaoNo yA kujUA kWamBa TanZaNiA iLivyo BiLa yA miSaaDa nA mashiLikiaNo nA maTaiFa yA njE . .TuTaAngaMia
@omarmwabege3 жыл бұрын
Hizo ni nyayo za Magufuli .
@tumainsawe69603 жыл бұрын
Magufuli yupi sikumwona anavaa barakoa mimi
@rockcitynative99853 жыл бұрын
Amka bwege wewe hii ni awamu ya sita na rais wa 6. Toka humo makaburini ulimo lala. Chapa kazi mama watanzania tuko nyuma yako.
@elishaworkout61163 жыл бұрын
Showoff
@malelabmalela50163 жыл бұрын
j
@jimsonsanga49133 жыл бұрын
Please mama show that you deserved to save the office. Tunaimani nawe.
@amosmoses78003 жыл бұрын
MAgU ALijioNA munGu. ALijioNA aKiWa nA uFaLmE nA utaWaLa inChini TanZaNiA bAsi inAtoshA tu . Ataishi tu miLeLe biLa yA kuumWa waLa miSAadA KutOkA njE. KwAsaBaBu AliJionA ni munGu haNa sHiDa nA uLimweNgu wA njE . HuYu mAmA Ana MaoNo yA kujUA kWamBa TanZaNiA iLivyo BiLa yA miSaaDa nA mashiLikiaNo nA maTaiFa yA njE . .TuTaAngaMia
@arbaab93373 жыл бұрын
MUNGU AKUHIFADHI KIONGOZI WETU***AKUSIMAMIE VYEMA MUNGU KWENYE UONGOZI WAKO...✍
Hadi nasisimka kwa FURAHA. Rais wetu wa watanzania wote. Huyu si Rais wa Wanyonge peke yake bali ni Rais wa makundi yote Tanzania. Heshima kwako mama yetu na Rais wetu Samia Suluhu Hassan.
@hassanmtitu16873 жыл бұрын
Piga kazi
@comrademlewaisavile3363 жыл бұрын
Bravo mama
@wamoroboy89633 жыл бұрын
❣️ mom
@MICHAKATONOAH3 жыл бұрын
ameenda kusababisha usumbufu tu
@abelypeter32253 жыл бұрын
Wajaribu kumsimamisha 2025 waone kibokoyako
@hassanally5113 жыл бұрын
Usishindane na mweny mamlaka kazi bure mama akiamuwa kuongoza tna 2025 hyo ni rahis Sana kwake lbda akatae
@amosmoses78003 жыл бұрын
MAgU ALijioNA munGu. ALijioNA aKiWa nA uFaLmE nA utaWaLa inChini TanZaNiA bAsi inAtoshA tu . Ataishi tu miLeLe biLa yA kuumWa waLa miSAadA KutOkA njE. KwAsaBaBu AliJionA ni munGu haNa sHiDa nA uLimweNgu wA njE . HuYu mAmA Ana MaoNo yA kujUA kWamBa TanZaNiA iLivyo BiLa yA miSaaDa nA mashiLikiaNo nA maTaiFa yA njE . .TuTaAngaMia
@geraldeliah72873 жыл бұрын
Mbn hatuoni akihutubia wanaanchi au kutatua kero zao au alikuwa anapita tu Kutoa hi,,Raisi wetu?
@martinhinda52333 жыл бұрын
Ameenda sokon,kutembea au maana hata me subr aongee na wananch
@amosmoses78003 жыл бұрын
MAgU ALijioNA munGu. ALijioNA aKiWa nA uFaLmE nA utaWaLa inChini TanZaNiA bAsi inAtoshA tu . Ataishi tu miLeLe biLa yA kuumWa waLa miSAadA KutOkA njE. KwAsaBaBu AliJionA ni munGu haNa sHiDa nA uLimweNgu wA njE . HuYu mAmA Ana MaoNo yA kujUA kWamBa TanZaNiA iLivyo BiLa yA miSaaDa nA mashiLikiaNo nA maTaiFa yA njE . .TuTaAngaMia
@kingbuddah63723 жыл бұрын
Mama mama mama mama oyeeeeeee
@lloveyoutanzania53153 жыл бұрын
Rais Tanzania alikua MAGUFULI tu hawa wavaa matambara kwa domo 0
@jafetgitts63523 жыл бұрын
Waliokuwa wanauliza walinzi wenye mabunduki nafikiri mumewaona muache kuingilia mambo ya protocal na mjue rais ni taasisi na kama kiongoz wa nchi akiwa anatumia msafara wa magari lazima security iwe hivyo mlihoji na kukebei misafara na walinzi wenye nguo za kijeshi na bunduki kwa JPM nafkiri mmeona wapo kenge nyie
@amosmoses78003 жыл бұрын
MAgU ALijioNA munGu. ALijioNA aKiWa nA uFaLmE nA utaWaLa inChini TanZaNiA bAsi inAtoshA tu . Ataishi tu miLeLe biLa yA kuumWa waLa miSAadA KutOkA njE. KwAsaBaBu AliJionA ni munGu haNa sHiDa nA uLimweNgu wA njE . HuYu mAmA Ana MaoNo yA kujUA kWamBa TanZaNiA iLivyo BiLa yA miSaaDa nA mashiLikiaNo nA maTaiFa yA njE . .TuTaAngaMia
@rockcitynative99853 жыл бұрын
Unataka kumlinganisha mama rais mwenye ujuzi na uongozi na yule wako aliyekuwa hajui lolote, unaukichaa wewe si bule.