No video

GHOROFA LA KIFAHARI LAVUNJWA DAR, WAZIRI SILAA AKISHUHUDIA, MMILIKI Adaiwa Kuwa MVAMIZI SUGU!

  Рет қаралды 102,946

Wasafi Media

Wasafi Media

5 ай бұрын

GHOROFA LA KIFAHARI LAVUNJWA DAR, WAZIRI SILAA AKISHUHUDIA, MMILIKI Adaiwa Kuwa MVAMIZI SUGU!
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 490
@Kidia-yt3bm
@Kidia-yt3bm 5 ай бұрын
Huyu waziri nimemfuatilia sana anakitu tofauti,endelea na moyo huo huo wa kutetea wanyonge waziri utafika mbali,safi sana
@VeronicaPaul-cj1yu
@VeronicaPaul-cj1yu 5 ай бұрын
Kweli Jerry. Umeamua kuitafuta pepo yako ukiwa bado una nguvu inshaalah mungu akujalie na azidi kupa nguvu zaidi na uzidi kutenda mema. Amini
@petercostakisoka
@petercostakisoka 5 ай бұрын
Daah uyo tajiri mjinga sana kuliko ange tumia mawakili kupambana na uyo mwanamke angekaa nae amlipe angerizika ss akaona pesa zake zingeweza kupindisha sheria
@msafirimaulidi5054
@msafirimaulidi5054 5 ай бұрын
Kabisa apo alishajenga angmlipa ata marambili yake ili kuokoa asala kubwa
@user-um8xn4ge4i
@user-um8xn4ge4i 5 ай бұрын
Tajiri kakataaa kutoa rushwa wanamkomesha tu, miaka 20 mtu anaanza kujenga waziri wa aridhi alikuwa wapi adi mjengo umekwisha, ndio wanakuja kubomoa kwanini wasimkataze kujenga au huyo kashitaki huzi baada kuona mjengo tayari nn
@yapukahassan
@yapukahassan 4 ай бұрын
​@@user-um8xn4ge4iwew waongea 2 hajakukuta
@issaramadhani9141
@issaramadhani9141 5 ай бұрын
Tatizo tunapata huruma baada ya kuon uvunjaji hatumfirii mwenye kiwanja amepitia mateso kiasi gani, huenda kashatukanwa sana na kudhihakiwa wakati akidai haki yake, miaka 20 angekuwa ameshafanya uwekezaji wake lakini ameishia kuhangaika, ukisema wapatane alipwe hapo wenye nguvu ya pesa watawahamisha wanyonge wote kwa kuvamia maeneo yao wakitegemea watawalipa fidia wakishtaki. Acha maamuzi magumu na machungu yafanyike
@frankrobertkomba2318
@frankrobertkomba2318 5 ай бұрын
Hii ipo kitaalam sana,shda kupata muendelezo wa viongoz wahv ndo mziki
@chuchufplatnumz4888
@chuchufplatnumz4888 5 ай бұрын
​@@frankrobertkomba2318Mimi mpaka naogopa wakija kumuhamishaaaaa😢😢😢
@MsAggie5
@MsAggie5 5 ай бұрын
Ardhi mko hovyo sana, nyinyi ndo mlikuwa mkiwauzia watu wawili wawili viwanja Kwa nini msiwashauri waelewane? Kama ni haki hata aliyeuziwa mala ya pili nae ana haki. Watumishi wenu ndo wabovu, wabaneni waache hiyo michezo
@estakapufi7582
@estakapufi7582 5 ай бұрын
Kabisa vitu ivi huwa vinatakiwa maamuzi magumu sana bila hivi ndio maana mgogoro wa haya mambo huwa hayaishi, usipo tumia maamuzi magumu.
@kabhikachambala3392
@kabhikachambala3392 5 ай бұрын
Umeandika kwa akili na ufafanuzi mzuri sana... Hakuna kuhamisha mtu... Inatakiwa ivunjwe na amlipe hasara ya muda na faida alioipoteza kwa kunyimwa fursa ya kuwekeza
@user-yc4nz1kf2h
@user-yc4nz1kf2h 5 ай бұрын
Safiii Sanaa waziriii ,hakii itendeke kwa usawaaa ,Bigg up waziri silaaaa .
@MsAggie5
@MsAggie5 5 ай бұрын
Hata huyo aliyejenga usikute alikuwa na hati. Ardhi kuna wakati walikuwa wanawapiga sana watu. Kiwanja kikikaa miaka 5 bila kujengwa wanamuuzia mtu mwingine. Ilitokea Sana Sinza
@abdulfatahumarsaideazamo2654
@abdulfatahumarsaideazamo2654 5 ай бұрын
Pedimos a Allah para nos conceder dirigentes como esses aqui em Moçambique também
@estakapufi7582
@estakapufi7582 5 ай бұрын
Jamani mingu yupo anayenda mambo kwa wakati sasa alitumia nguvu ya pesa kuchukuwa kiwanja kwa pesa kiko wapi, mungu analipa hapa hapa duniani, mungu azidi kukulinda waziri maana hapa duniani tunapita, tenda haki kabisa mungu atakurinda.
@mbuganitv3021
@mbuganitv3021 5 ай бұрын
Huyo ni moja tu kavunjiwa wapo wengi sana wanadunda tu
@user-xm3ny2si5k
@user-xm3ny2si5k 5 ай бұрын
Waziri MUNGU akulinde sana na akuepushe na mabaya ya adui zako yaani wewe huna tofauti na magufuli umekuja kufukua visima vya dhuluma
@Serenawilson11
@Serenawilson11 5 ай бұрын
Safi sana waziri
@hawaelymaricca7602
@hawaelymaricca7602 5 ай бұрын
Mama kitomari hongera kw kumjua mmiliki,hii ni fundisho hapo mbez ,Afrikana wezi sana matajiri wanatumianpesa na kwenda Ardhi kuhonga hii iwe Fundi should
@dismasdastan5493
@dismasdastan5493 5 ай бұрын
Mama kitomari nimemfahamu zaidi ya miaka 24 iliyopita na alikua mtumishi katika taasisi flani hivi mika ya 2001 hivyo A To z anamjua huyo dada naomi ndie mmiliki
@swedywamba5535
@swedywamba5535 5 ай бұрын
Very nice
@joycestai8049
@joycestai8049 5 ай бұрын
Asante sana mungu ww ni mume wa wajane umempigania mjane
@user-xm3ny2si5k
@user-xm3ny2si5k 5 ай бұрын
Naomba serikali imongezee ulinzi waziri wetu wa ardhi na wanachi wamuombee ulinzi wa MUNGU
@shabanihugo8332
@shabanihugo8332 5 ай бұрын
Safi sana
@user-hu1ev9pt8q
@user-hu1ev9pt8q 5 ай бұрын
Huyo anayebomoa na kijiko ukute anaishi kichochoroni ata bei ya msumari haijui, ila tafuteni suluhu za kibinadamu maana hapo itakua mmetengeneza uhasama mkubwa sana haswa familia yenye hiyo asset... Mtanguluzeni mungu
@RobertRange-uf3rf
@RobertRange-uf3rf 5 ай бұрын
Wewe unajielewa kweli, au hata sheria unajua yaan mwizi akuibie halafu useme kwamba suluhisho itafutwe na vielelezo vimenyooka fikiri kabla y kuweka koment sheikh hii nchi ina sheria
@agapemunyi2095
@agapemunyi2095 5 ай бұрын
Watu kama hawa sio wa kuwaonea huruma ukiona kadharum mpk kujenga ivo hashindwi kukufanyia lolote ili usidai haki yako , kua uyaone
@PrinceBonnyTz8
@PrinceBonnyTz8 5 ай бұрын
Anafanya KAZI yake
@tobosha3236
@tobosha3236 5 ай бұрын
Yeye alipokuwa anampora uyo mama haki yke alimtanguliza Mungu
@stevenclaud6648
@stevenclaud6648 5 ай бұрын
Akili yako haina akili aliyevamia hapaswi kumwogopa Mungu ila aliyeporwa ndio aogope Mungu
@sophiadarabu8606
@sophiadarabu8606 5 ай бұрын
Mungu akulinde ktk kutekeleza wajibu wako wa kutetea haki za wananch
@johnsebastian4868
@johnsebastian4868 5 ай бұрын
Safi sana hii ndiyo inayotakiwa swali kwanini ununue utumie nguvu kudhulumu
@demicratia4071
@demicratia4071 5 ай бұрын
Thnx I saw it ysterday
@user-sj3wf5vz7l
@user-sj3wf5vz7l 5 ай бұрын
Inaonekana huyu jamaa alikuwa anatumia hela kumkandamiza huyo mama mjane. Ndio maana wanavunja na huyo alipewa taarifa aondoke
@ericdaniels2608
@ericdaniels2608 5 ай бұрын
Safi sana Mhe. Waziri 👏🏼
@BIGBOSS-hl3bu
@BIGBOSS-hl3bu 5 ай бұрын
Hii ndio dawa yake Hongera sana mh waziri Kwa msimamo wako ktk kutekeleza sheria ❤❤❤mungu akulinde
@shanimbaruku2071
@shanimbaruku2071 5 ай бұрын
Ubarikiwe sana kiongozi ❤🎉
@wilfredmlaki822
@wilfredmlaki822 5 ай бұрын
Safi sana Mr slaa! Unafanyakazi sana!!! Safi kabisa! Mungu akupe maisha marefu sana.
@FatimaAli-of4gh
@FatimaAli-of4gh 5 ай бұрын
Mnaweza kutiana uchuzi kwa vitu ambavyo tunakufa tunaviwacha dunia simama nishuke😢😢
@asmasaif5972
@asmasaif5972 4 ай бұрын
Mashalah huyu ndio wziri mchapa kazi hingera waziri wa ardhi 🙏
@magembesitta5657
@magembesitta5657 5 ай бұрын
Safi slaaa Mungu akulinde brooo your best than lukuvi
@hasinaalrahbi6681
@hasinaalrahbi6681 2 күн бұрын
Yani mungu amlimde.tu.wabongo mtunakitumia haki anauwawa
@stephanochaula4356
@stephanochaula4356 5 ай бұрын
Be blessed #slaa
@logicsportsandentertainmen105
@logicsportsandentertainmen105 5 ай бұрын
Safi sana tena kuna TAPELI wa mbezi mpk BOKO anaitwa MIKELA 💔
@ZulfaRamadhani-d4z
@ZulfaRamadhani-d4z 20 күн бұрын
Wanyonge huonewa sana ila haki yamtu aipotei bule mungu akuweke kiongozi
@fikirimachela4778
@fikirimachela4778 5 ай бұрын
Safi sana waziri piga kazi wapo wengi sana ao walio wazulumu wenzae
@lydiadaudi4076
@lydiadaudi4076 5 ай бұрын
Some day na mm nitapata haki yangu, wapuuzi wako wengi sana wanaong'ang'ania maeneo yasiyo yao. 🙏
@Tzn255
@Tzn255 3 ай бұрын
ogopa sana neno linalo itwa haki, haki ni zaid ya sheria aise tujifunze ivyo hapo na bado, jerry fanya kazi yako bila kugeuka nyuma. watasema sana laikini usiku watalala. asante.
@AMBINHED
@AMBINHED 5 ай бұрын
Hivi wameshindwa kuafikiana jamani hata compassion wangempa mwenye kiwanja? Very sad wezi wakubwa ndio hao hao viongozi wizarani 😢
@eliamtani2840
@eliamtani2840 5 ай бұрын
hakuna cha kufidia, walichokifanya ndio sahihi, nimesikia raha sanaaa
@maxgerad5083
@maxgerad5083 5 ай бұрын
Ukiona hivo, huyo aliyejenga alikuwa na mdomo na majibu ya nyodo
@user-ce4ni2id6j
@user-ce4ni2id6j 5 ай бұрын
Jambo zuri sana
@user-jn8yw5pc4l
@user-jn8yw5pc4l 5 ай бұрын
Nawe pole sana na mitihani
@SharifaOman-bf1bn
@SharifaOman-bf1bn 5 ай бұрын
Labda. Alikataa. Kumlipa ndiomana. Wanabomoa😢😢😢
@MsAggie5
@MsAggie5 5 ай бұрын
Itakuwa! Wangeelewana Tu, nyumba ya mamilioni kama hiyo alishindwa nini kumpa milions akanunue Boko au Bunju huko
@AminiMsellem-gk3yy
@AminiMsellem-gk3yy 5 ай бұрын
Ndo ivo alikataa na kiburi juu
@stanchi138
@stanchi138 5 ай бұрын
Wanakuwaga jeuri sa mingine anavimbia serikali sa wamekutana na wazir
@joshuamwambene2874
@joshuamwambene2874 5 ай бұрын
Haaaaaaa jamani MUNGU tusamehe tunachezea hela wakati kuna wahitaji
@charlesmwambinga4355
@charlesmwambinga4355 5 ай бұрын
Safi Jerry ..Upo Vizuri.
@exaverysimon1064
@exaverysimon1064 5 ай бұрын
MIONGON MWA MAWAZIR ANAE SIMAMIA HAKI AF INAONEKANA HANA NJAA YA PESA MAKE MWINGINE ANGEHONGWA MAMBO YAKAPOTELEA CHIN KWA CHIN GOD BLESS SANA WAZIR
@HappynessJapheth
@HappynessJapheth 2 ай бұрын
Kweri
@sapikiwanga6154
@sapikiwanga6154 5 ай бұрын
Hapa Kuna somo,wakati huyu anavamia na kujenga viongozi waliotoa kibali cha ujenzi ni kwamba wamekura RUSHWA,this is the BIG SHAME.
@ramadhankhatwib8561
@ramadhankhatwib8561 5 ай бұрын
Sasa nyumba inabomolewa kwa nn kama huyo nyumba mtu kajenga kwenye kiwanja cha mtu mwenye kiwanja angechukua na hio nyumba
@abdulazizijolo8700
@abdulazizijolo8700 5 ай бұрын
Inaumiza sanaa
@alexmatt9504
@alexmatt9504 5 ай бұрын
Hili zoezi ni zuri na lifanyike nchi nzima.Na kwa hiki kilichotokea hapo kwanza washikwe wote waliohusika kumuuzia kiwanja huyo mvamizi,na huu mfumo wa madalali uchwara inabidi upigwe marufuku kisheria.Kama mtu anataka kiwanja anunue direct kwa mmiliki halali au serikalini.Mambo ya udalali kwenye ardhi ni utapeli wa waziwazi.Mweshiwa Waziri Slaa hebu liangalie hili kwa kina.
@graceshayo5763
@graceshayo5763 5 ай бұрын
Mungu awabaliki viongoz wetun
@banosmaximillian7538
@banosmaximillian7538 5 ай бұрын
Sasa si mungemwachia hyo mama nyumb kama fidia
@kambamazig02024
@kambamazig02024 5 ай бұрын
Fidia kwa vipi kwa hali kama hiyo, mwenye pesa angeweza kuridi tena kwa sura tofauti.
@mfebricknkuna7106
@mfebricknkuna7106 5 ай бұрын
Sasa si mngempa hiyo nyumba naomi ailipie pole pole, hata mkiibomoa huyo noami si atakuja kujenga tena. Kama serikali imeshampa naomi umiliki basi wangekaa chini na kujadili kuhusu jengo na kukubaliana hata nusu hasara ilipwe kuliko kubomoa. Na unaweza kukuta mwenye nyumba na yeye hana kosa ni tamaa za madalali tu, ndiyo wamemungiza katika matatito.
@MisanaMasatu-zz4xr
@MisanaMasatu-zz4xr 5 ай бұрын
Je kama hataki nyumba ya aina hyo lkn pia mali yake ni kiwanja na cyo nyumba
@user-ur7pw9ek6s
@user-ur7pw9ek6s 5 ай бұрын
Ndugu cha mtu mavi😂😂😂
@imanmwashitete5243
@imanmwashitete5243 5 ай бұрын
Jamani kwahiyo wameshindwa kuyajenga mpaka kufikia kubomoa nyumba km hiyo si Bora wangea wabadilishane viwanja duuh
@agapemunyi2095
@agapemunyi2095 5 ай бұрын
Mkiona wamefikia hapo jamaa jeuri
@iddyjohn1032
@iddyjohn1032 5 ай бұрын
Hayajakukuta ndugu yangu,na usiombe kukukuta, kukutana na Watu wanao vamia maeneo ya watu
@erickchitumbi1308
@erickchitumbi1308 5 ай бұрын
Jerry Mungu akusimamie.najua wenye mioyo migumu hawaelewi unachofanya.muda ukifika wataelewa.
@user-nr3uw7bq1r
@user-nr3uw7bq1r 5 ай бұрын
Slaa mungu akuongezee ujasiri
@user-mc3du2rz8l
@user-mc3du2rz8l 5 ай бұрын
MH..kuna maeneo ya wazi mengi yameingiliwa na wenye pesa. Tunataka kuona kama kweli sheriya msumeno au ubanaishaji tu
@SuzanGabriel-tp2cx
@SuzanGabriel-tp2cx 5 ай бұрын
Kweli kabisa uku kwetu Toangoma Mtaa wa Masaki katika viwanja vya serikali, maeneo mengi ya wazi yameuzwa na serikali ya mtaa na maafisa ardhi Temeke, na bado wanaendelea kuuza . Mbona serikali hipo kimya .
@MICHAELSYLIVANUS-ig5pk
@MICHAELSYLIVANUS-ig5pk 5 ай бұрын
Fikiri kabla hujapora haki ya mtu,acha wabomoe
@user-vy2bc6xg3i
@user-vy2bc6xg3i 5 ай бұрын
Ukionahatua ya uvunjaji huu muhusika mbishi. Hapo atakuwa alipewa notice ila atakuwa alikaidi
@gilbertkalanda9354
@gilbertkalanda9354 5 ай бұрын
Wangekaa wayamalize, wangeona uwekezaji, huyo kama alitumia pesa basi ilikuwa kufeli kwa mifumo yetu. Poleni wote
@MrKhatibu
@MrKhatibu 5 ай бұрын
Miaka 20 unategea wangeyamaliza mezani?
@stanchi138
@stanchi138 5 ай бұрын
Kwa kweli wanaumiza sana Hawa Akina jeuri ya pesa,,,wanasau Dunia ni ya MUNGU, na sisi ni wake,na mwisho tunatoweka
@salehkhamis-ob8ln
@salehkhamis-ob8ln 5 ай бұрын
Hii nimeipenda iwe fundisho kwa wengne
@salumjumaruhaga2513
@salumjumaruhaga2513 5 ай бұрын
Safi sana wababe watakoma
@idinado-wk3lx
@idinado-wk3lx 5 ай бұрын
Uyo mwenye njumba angee Kaa nae uyo mama wayaongee amununulie sehemu amkabizi ampe na pesa kidogo kikubwa izidi samani ya kiwanja kuliko kuvunjiwa njumba kubwa ivyo duuuu
@emmanuelmlowe-ew7gx
@emmanuelmlowe-ew7gx 5 ай бұрын
Yy aliona amemaliza kibabe
@msatibongonyuzi14
@msatibongonyuzi14 4 ай бұрын
Safi sana mbwa hawa wanazani dunia ya kwao hii sasa fundisho kwa wotee😂😂😂😂
@Shehasweet-hy6xn
@Shehasweet-hy6xn 5 ай бұрын
Miaka 20..je ni mawazir wangapi wamepita?hata yule mama wamwanza alietumbuliwa alikuwa mwizi tuuu. Ona kazi inavyokwenda sasa...mungu akuweke waziri na moyo huo ulionao na akuripe kadir ya utendavyo haki❤
@awadhjamal3430
@awadhjamal3430 4 ай бұрын
Wasiwasi wangu waziri anaeza akatangulizwa mapema sana
@Ushauri235
@Ushauri235 5 ай бұрын
Hapa inaonyesha huyu tajiri alakataa kumlipa mwenye kiwanja akatumia nguvu ya fedha sasa amejua kwamba majonzi ya mtu si mazuri serikali simamieni haki za watu binadamu wote ni sawa
@zebedayokatamaduni9676
@zebedayokatamaduni9676 5 ай бұрын
Sahihi kabisa mtu wa Mungu
@yujinxhing3766
@yujinxhing3766 4 ай бұрын
Duh..hatari Sana,si Bora angempa hela tuu
@sharifshaban8817
@sharifshaban8817 5 ай бұрын
Tunaimarisha uchumi, tunauboamoa tena dahhh, hapo kuna viongozi wa mitaa,mipango miji wanaona toka ujenzi unaanza, kwa nini wasiuzuie kama hakuna vibali vya ujenzi, ama kesi mahakamani?
@zebedayokatamaduni9676
@zebedayokatamaduni9676 5 ай бұрын
Jamani ninyi mbona mnaona hiyo nyumba? Hivi mnajua maumivu ya kuporwa mali yako? Yaani ardhi ya kwako alafu ichukuliwe na mtu mwingine. Kwa sababu ana fedha
@shanimbaruku2071
@shanimbaruku2071 5 ай бұрын
Inauma sana 😢
@user-db2hi8jn3e
@user-db2hi8jn3e 5 ай бұрын
Inauma sana
@Abdumfaume
@Abdumfaume 5 ай бұрын
Hii nayo ni israfu..😢 tusichezee mali jamani..😢🙏
@willydugilo3258
@willydugilo3258 5 ай бұрын
Uishi miaka mingi Jerry!! Haki ya mungu huinua taifa!!nayo amani furaha ya wengi!! Amani itakuwepo ikiwa haki itaheshimiwa!!
@dicksonkilupa2258
@dicksonkilupa2258 5 ай бұрын
ILA INAUMA LAKINI HII NDO SURUHISHO KWA WANAOWAONEA WANYONGE. HIVI UTAVUNJA ZA WENGI BORA WAELEWANE MTU AMWUZIE KWA BEI ATAKAYOIPENDA.
@user-nn3is3hr8u
@user-nn3is3hr8u 5 ай бұрын
kabisa, ela kabla kujenga ama kununua weka wakili afwatilie hio kiwanja huko ardhi ama utakula hasara
@ngombegeorge3577
@ngombegeorge3577 5 ай бұрын
wajehuri .unakuta amemzungusha .polisi na mahakama Hadi unakua Kama wakili
@caashamacalini3887
@caashamacalini3887 5 ай бұрын
Sawa sawa nasie tumezulumiwa kiwanja chetu tegeta na mwenye mihela tutakuja waziri naamini itatusaidia nimekupenda bure waziri tuonewa na wenye hela
@neemaneychricious6493
@neemaneychricious6493 4 ай бұрын
Daaah kiukwel ni hatr ila mwenye aliyejenga nyumba angekubali kukaa na huyo mama amnunulie kiwanja kingine saw na hicho kuliko kula hasara ya ghoropha kuvunjwa jamn daaaah wangeelewana jamn yasingefik huko hata angemwongezea na hela kidg kuliko hvo hasara kubwa hvo kisa kudhulum
@CECILIAMAGANGA-sk8md
@CECILIAMAGANGA-sk8md 5 ай бұрын
Waziri Waziri Waziri 😢😢nimekuita mara tatu. Uje na huku kilombero Mama yangu anadhurumiwa huku tena wazi
@user-jn8yw5pc4l
@user-jn8yw5pc4l 5 ай бұрын
Nawe pole masikini
@majashomitandio1907
@majashomitandio1907 4 ай бұрын
😢😢
@williamsenkoro2210
@williamsenkoro2210 5 ай бұрын
Waziri hapa umechemka. Ungetumia busara kumaliza tatizo.
@RenaldaZeramula
@RenaldaZeramula 5 ай бұрын
Sidhani hata haki.za.binadamu au Rais atafurahia hili jambo. Linaweza sababisha atumbuliwe. Kiongozi hutakiwi kuwa mvunjifu wa amani.bali.mpatanishi
@festokemibala5832
@festokemibala5832 5 ай бұрын
Nenda pia maeneobyote yaliyokuwa wazi kama KATA 14, Matumbi pale mwembe Yanga, Wailes, Malapa, Ilala pale mitaa ya Bukoba naMorogoro usawa na Amana hospitali, Viwanja vya Myaa uhuru (mkapa sec school), nk
@MeliYaMaweBm
@MeliYaMaweBm 5 ай бұрын
Kama Kweli Serikali Na Mnajua Hicho Kiwanja Si Chake Kwanini Ameanzisha Ujenzi Na Kibali Mmempa Nyie Kama Selikal Na Mnajua Eneo Sio Lake Why? Mwanzo Mlikiwa Mnapokea Rushwa Ndio Mmeamua Kuvunja Makosa Pale Mwanzo Mliyafanya Kama Serikali Sijapenda 😭😭😭😭
@user-no4ny7ox2d
@user-no4ny7ox2d 5 ай бұрын
Good job mh:waziri wa ardhi Ili iwe mfano Kwa wenye tabia kama hiyo nenda kahama pale mh:Kuna mtu anaitwa kwema kajenga kwenye uwanja wa mtu
@omarymbaraj8072
@omarymbaraj8072 5 ай бұрын
Nyinyi viongozi hajielewi hata Kidogo kweli mnashindwa kuwaweka Sawa hawa watu wawili2 tu. Sio poa Tanzania inawana siasa wakongwe wengi tu Mngekwenda hata kwa Mizengwe pinda mkawakutanisha tajir na Masikini hakika lingekua Sawa
@mosesnyelo1380
@mosesnyelo1380 5 ай бұрын
Sasa kama mwenye kiwanja hataki uta mlazimisha
@omarymbaraj8072
@omarymbaraj8072 5 ай бұрын
@@mosesnyelo1380 Kwa Nasaha za kibinadam hawezi kataa inakua ana Moyo wa kipekee. Me wazo langu viongozi wawajibike kwenye Sito faham kama hizi kwa Nasaha. Sio kufanya wanavyo fanya Mwisho wa siku kakutwa Mtaroni kafa, au raha Zao kuona Movie za Aina hizo
@GodfreyOsward
@GodfreyOsward 5 ай бұрын
Huruma nayo ina garama, kubwa. Unawzakufanya huruma ikagharimu. Dar shida, kuna watu walifanya huruma hivyo tena wakashia kuendesha kesi kea miaka mingi, haki iko wazi. Iwe fundisho kwa tukuwaheshimu watu wasio na pesa.kama sisi. Ziara za makonda wale waliokatakata mtu vile ni akina nani. Siku akipatikana kiongozi wa kumpa haki. Tutaumia?
@jumaciza461
@jumaciza461 5 ай бұрын
Mtazamo wangu kabla ya kubomowa mgeliwaita ote mkawashauri. Namkawasikiliza
@emmanuelmlowe-ew7gx
@emmanuelmlowe-ew7gx 5 ай бұрын
Washauriwa nn wakati alitumia pesa kudhrum?
@gloriamichael7935
@gloriamichael7935 5 ай бұрын
Uwiiii si alipe hela kuliko kubomoa Uwiiii Mungu wangu
@victorcharlesmwakikoti7764
@victorcharlesmwakikoti7764 4 ай бұрын
Hatutaki pesa tunataka ardhi yetu ,mnatuibia Kwa makusudi ili mtulipe fidia,Mungu ameingilia kati
@abdulhamis9825
@abdulhamis9825 5 ай бұрын
Sasa Inakuwaje Mpka Watu Wanamiliki Ardhi Ambazo Sio Haki Yao..? Na Kwann Ww Kama Waziri Usipitie Hao Waliofanya Makosa Ndani Ya Wizara Mpka Uende Kuumiza Wasio Na Hatia
@wanguwangu34
@wanguwangu34 5 ай бұрын
Mlitakiwa muwashauri wa compromise walipane kuliko hasara hiyo ambayo Kwa akili nzuri ungeisha.
@leobalige7069
@leobalige7069 5 ай бұрын
Hili ni sehemu ndogo ktk kudhulumu haki za watu. Watanzania wasio na pesa wanadhulumiwa sana. Hii ni wizara zote za serikali. Mbali ya ardhi, tunataka mawazili wenye matendo, siyo kufanya maigizo. Wizaara zote mnaumiza watu.
@mpambanajitz7026
@mpambanajitz7026 5 ай бұрын
Njoo Kilindi TANGA Mkuu wangu 🙏🙏🙏
@zawadimpayo3839
@zawadimpayo3839 5 ай бұрын
Hatari sana sisimizi kamla tembo mzima 😭😭😭😭
@veronicangailo7644
@veronicangailo7644 5 ай бұрын
Hongera kiongozi kwa maamuzi magum
@jacksongidione-yo8vg
@jacksongidione-yo8vg 5 ай бұрын
😢
@vanessajames2192
@vanessajames2192 4 ай бұрын
Nyumba nzuri hii
@msowamhokole7714
@msowamhokole7714 5 ай бұрын
Ivo ndio mnasababisha Dora kupanda maana mnavunja Kisha mnanunua Vifaa njee kwa dora
@michaelrambo6207
@michaelrambo6207 5 ай бұрын
Una akili kwel wewe??
@allyadam7355
@allyadam7355 5 ай бұрын
daah mngefany mpango tufanye delivery ya iyo nyumb kweny kiwanj chang kipo vikind ingekua poa san
@user-po8hz7xw9j
@user-po8hz7xw9j 5 ай бұрын
😂😂😂
@user-ur7pw9ek6s
@user-ur7pw9ek6s 5 ай бұрын
🎉🎉
@mosesmzakwe7774
@mosesmzakwe7774 4 ай бұрын
Jerry Slaa sasa ninakuelewa sana sana. Hakika unabeba nguvu ya William Lukuvi, Endelea kutengeneza njia yako kuelekea juu zaidi
@officialwizo8116
@officialwizo8116 5 ай бұрын
❤❤❤❤
@user-jt2sr3yg3i
@user-jt2sr3yg3i 5 ай бұрын
Mungu mungu tu mwanzo namwsho sk mj atlp
@maase2023
@maase2023 5 ай бұрын
Huyu waziri kivhefu chefu sana kwa kweli!
@chiefndatu1895
@chiefndatu1895 5 ай бұрын
Miaka 20 anasota si angepewa tu iyo gorofa kuliko kuaribu mali!!🤔🤔
@talilmluchagula417
@talilmluchagula417 5 ай бұрын
Angeuliwa huyo dada bora kuvunjwa
@steve-zf4tj
@steve-zf4tj 5 ай бұрын
Waziri slaa hakika unamsaidia mama Kwa haki. Endapo mawaziri wote wangenyanyuka nchi yote ingependeza zaidi Kwa haki
@user-wt7vf4uf3x
@user-wt7vf4uf3x 5 ай бұрын
Duh!! Watz wana tabia chafu sana kama sio waziri kusimamia haki wala tusingesikia parapanda la haki linalopigwa na waliosimama nyuma ya waziri.
@abuyunusmohamed6961
@abuyunusmohamed6961 5 ай бұрын
Sio haki kabisa mlichofanya
@bwisofredrick8047
@bwisofredrick8047 5 ай бұрын
Ww huyo aliyekosa haki yake kwa mda mrefu mwenyewe ndo alkua anafanyiwa haki? Ulishawah kudhurumiwa ww na ukahangaika kuitafuta hak yako?
@user-ur7pw9ek6s
@user-ur7pw9ek6s 5 ай бұрын
Ck zote mtenda akitendewa huhisi kaonewa na mkuki kwa ngurue kwa binadam mchungu miaka 20 we kuweza? Muda wote huo nani anafidia hasara hiyo? Lazima tukubali matokeo.
@Madisonmahondo9410
@Madisonmahondo9410 5 ай бұрын
😂🙏Jamani mimi ndohuyo ninayeendesha hiyo kijiko
@solomonjackson3827
@solomonjackson3827 5 ай бұрын
Hongeleni kwa kutenda haki
@tumsifumunuo2602
@tumsifumunuo2602 5 ай бұрын
Wangempa compensation tu asee..sijui lkn
@emmanuelmlowe-ew7gx
@emmanuelmlowe-ew7gx 5 ай бұрын
Nan amfibia mwizi? Kwahiyo mwizi afidiwe? Huna akili nawewe
@husseinhamisimwindadi2211
@husseinhamisimwindadi2211 5 ай бұрын
Mwenyezimungu akulinde kwa kulinda haki yawanyonge waziri SLAA
ЧУТЬ НЕ УТОНУЛ #shorts
00:27
Паша Осадчий
Рет қаралды 10 МЛН
What it feels like cleaning up after a toddler.
00:40
Daniel LaBelle
Рет қаралды 86 МЛН
Red❤️+Green💚=
00:38
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 86 МЛН
ВОДА В СОЛО
00:20
⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Рет қаралды 32 МЛН
Aliyepona KICHAA, AELEZEA ALIVYODHULUMIWA Mjengo MBELE ya WAZIRI
21:35
Global TV Online
Рет қаралды 394 М.
Jumba La Kifahari Lafurumishwa Na Bomoa Bomoa Dar
2:54
SIMU. Tv
Рет қаралды 180 М.
ЧУТЬ НЕ УТОНУЛ #shorts
00:27
Паша Осадчий
Рет қаралды 10 МЛН