Yanga imeshakuwa butu kwenye umaliziaji mpira mchezo wa wazi safari hii yanga hamna timu imekuwa bovu mtaumia sana kumamae zenu.
@marthamsacky69732 күн бұрын
Mbona sis msimu uliopita tumesemwa sana na tulikubali matokeo na leo hii eti makolo wanabebwa mbeya ilikuwaje Hii ndio maana halisi ya ubaya ubwela
@PiusLaymond2 күн бұрын
Chama na azizi k hawatakiw kucheza pampja kocha wetuaone abadilike
@abdallahabdul10382 күн бұрын
Tulia wew utakutana nacho Cha moto mpaka sawa iingie
@MuhammedAbdallah-h2t2 күн бұрын
Wewe Kumbikumbi mwaka huu ni Ubaya Ubwela
@abdallahabdul10382 күн бұрын
Nenda ukapewe sasa mbona unaroho ya korosho
@StivinMwaipaja-b9c2 күн бұрын
Kwani hawa wanao sema bado hamjasema wao na Dodoma leo wameshinnda ngapi?
@MkaliZuberi-rt3gb2 күн бұрын
Mlikataa goli mbeya na vibonde
@MuhammedAbdallah-h2t2 күн бұрын
Wewe Wacha kurembusha macho
@MkaliZuberi-rt3gb2 күн бұрын
We k mbona azam fc awalalamiki we nani
@AshuraChamwana2 күн бұрын
Ndomshangae hampelekeimoto nahamshindi
@bonifacelugo29412 күн бұрын
Mashabiki wa yanga siyo watu wa mpira kabisa mbona nyie mlipigwa na Kagera sugar bao la chilwa la kichwa mkabebwa lefa kalikataa hazarani kabisa? Mbona mnajisahaulisha? Tulieni wapumbavu nyie
@JosephMwaipopo-px4wiКүн бұрын
Sasa kama wewe ni shabiki wa mpira matusi ya nini mtandaoni?
@AshuraChamwana2 күн бұрын
Hilijamaabwabwa
@MkaliZuberi-rt3gb2 күн бұрын
Ubaya ubwela
@AshuraChamwana2 күн бұрын
Ubayaubwela
@AshuraChamwana2 күн бұрын
Mmeanza sasa
@AshuraChamwana2 күн бұрын
Mmeshuka
@mosesmnape94442 күн бұрын
Simba wapo vizuri tuache ubishi tunaumia moyoni tu na Yanga yetu
@EvaMshindo2 күн бұрын
hupaswi kuumia yanga n bora
@MunaMohammed-j3m2 күн бұрын
mbona nyiegoli la offside kule mbeya mmekaa kimya yenu duu ya wenzenu midomo juu
@marthamsacky69732 күн бұрын
Wanapanic Hao achana nao nashangaa wanahangaika kutaja team zingine ,kama ni mchezo wa wazi kuona hawaoni walizoea mwaka Jana sio mwaka huuu
@mosesmnape94442 күн бұрын
Yanga ndio uwezo wetu tuzungumzie timu yetu kweli simba wanakuja juu tukibweteka kujipa moyo tutalia jioni tuache kupenda sana
@vincentkatonga69852 күн бұрын
sasa simba anashindaje au mpira uoni we bwege mbeleko makolo
@barnabaslyimo76072 күн бұрын
Ha😂 hamia Simba
@marthamsacky69732 күн бұрын
Mmhhhhhh😂😂😂@@vincentkatonga6985
@zainabsimbamtoro67902 күн бұрын
Mmekwisha jifarijini tu
@EvaMshindo2 күн бұрын
tunajifariji eee subr mpk mwisho
@franccoz942 күн бұрын
BADO HAMJASEMAA YANI MPAKA MSEMEE
@KalenjeMasoud-vg3om2 күн бұрын
Yanga ikishinda goli moja inabezwa ila simba ikishinda goli moja inapongezwa kweli yanga iko mbali sana
@barbiepixie92Күн бұрын
@@KalenjeMasoud-vg3om misifa ya yanga ndo inafanya watu waseme hivo mmeaminisha fans wa yanga kua mnastahili kufunga mabao mengi ndo maana fans wana taharuki hawajazoea hayo mambo ya moja bila