HABIB MAZINGE UISLAM KATIKA VITABU VYA KALE 4

  Рет қаралды 161,964

AKASHA PRODUCTION TV

AKASHA PRODUCTION TV

Күн бұрын

AKASHA DAAWAH TRADERS +254 721310082
KWA WALE WANAOISHI NNCHI ZA MBALI TAFADHALI TUWASILIANE KUPITIA #viber free calling

Пікірлер: 170
@adamsalim8639
@adamsalim8639 5 жыл бұрын
Yaa Allah atuajalie tuwe na mwisho mwema inshaallah mwenyez akuajalie maisha marefu uzidi kuitukuza dini yake
@khalfanhamisi4218
@khalfanhamisi4218 5 жыл бұрын
Aslmalkm ndngu waislam ??? Haki sheikh Mazinge InshaAllah Allah hakueke uzidi kutuelimisha
@hemedisaid5949
@hemedisaid5949 6 жыл бұрын
Allhamdulillahi,natamani siku moja niwe mwanafunzi wa Habib Mazinge ili nifanye kazi kwa ajiri ya Allah!!
@masoudrashid8381
@masoudrashid8381 5 жыл бұрын
Maa sha Allah shekh mazinge Allah akuongoze ktk kheri pamoja na cc pia
@ismailyussuf1805
@ismailyussuf1805 4 жыл бұрын
Allahu Akbar. She Mazinge Allah wakupe Afya njema na maisha mazuri.Ili uwape makafiri UKWELI.
@allykango9440
@allykango9440 4 жыл бұрын
Masha Allah Shekhe Mazinge Allah akuweke miaka mingi hakika waitendea haki dini yetu Allah atujaalie elimu na Nia kusudi la kutangaza Dini
@omarhakizimanakishikbongo2186
@omarhakizimanakishikbongo2186 5 жыл бұрын
Nakupenda sana mazinge
@ayunramadhan3104
@ayunramadhan3104 5 жыл бұрын
Penda sana shekhe maxinge from dubai
@jhayparism1152
@jhayparism1152 4 жыл бұрын
Ustadh Mazinge Mwenyezi Mungu akulinde na azidi kukujaalia Uhai ili uendelee kuitetea Dini ya haki Dini ya Mwenyezi Mungu Islam...
@mnyamwezionlinetv3998
@mnyamwezionlinetv3998 7 жыл бұрын
You are notable person in Islam, Jazaakallahu khayran Allah akufanyie wepesi sheikh wangu
@khalfanhamisi4218
@khalfanhamisi4218 5 жыл бұрын
aslmalkm ndugu waislam??? Jazzakahallahu khayram,
@zulfaalnabhanzulfaalnabhan8653
@zulfaalnabhanzulfaalnabhan8653 8 жыл бұрын
mashaa ALLAH kila kitu kiko wazi makafiri wanabisha tu
@hassanmpwepwe3826
@hassanmpwepwe3826 5 жыл бұрын
Masha Allah mungu akuzdishie umri mlefu sheikh mazinge
@rbagha5280
@rbagha5280 2 жыл бұрын
Message kutoka Canada. Wakristo na waislamu wameumbiwa na mungu huyu mmoja tu. Hakuna mungu tofauti aliye umba Mkristo na mungu mwingine aliye umba Mwislamu. Sawa? Hapa tumekubali. Je dada na ndugu zangu kwenye Ukristo--umejiuliza hayo maswali kibinafsi? Umejiuliza jina la pili au la mwisho, yaani surname, wa Gospel kutoka Matthew, au Mark, au Luke, au John? Passport yako ina jina lako ya kwanza tu? Utaweza kusafiri hivyo? Ujiulize. Fikiria sana kwa akili aliyekupa mungu. Je Yesu au mama yake Maria walisema Yesu ni mungu au mtoto wa mungu? Je wanabii kwenye Bible waliozaliwa kabla ya Yesu wataenda motoni, kwa sababu hawakujua Yesu, na wakristo wanasema “only through Jesus you will be saved?”? Hii ndiyo haki au ni dhulma? Waislamu wanapenda Yesu zaidi kwa sababu wanaume wa waislamu wanaweka ndevu na wanawake wanavaa hijab (Head Cover) kama Mother Mary. Hawali Pig/Pork kama Yesu au mama yake. Wanamwomba dua na kukwabudu mungu moja sawa sawa kama yesu na mama yake walivyo omba kwa huyu mungu moja. Sawa? Fikiria sana haya maswali. Sio Ibilisi/Shaitani/satan awapoteshe na awachukue motoni. Wakristo ni wandugu wa waislamu. Sote tuende Peponi kwa kumwabudu mungu mmoja tu. Au sio? Much respect from Ray in Canada.
@albertpike6208
@albertpike6208 4 жыл бұрын
Sichoki kutazama clip za Mazinge he's one of my inspiration in da 'wa
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 2 жыл бұрын
Nakupenda shekhe Othman Mazinge, Allah akulipe kher inshallah na akulipe Jannah inshallah 🙏
@kadilisaidi9807
@kadilisaidi9807 5 жыл бұрын
Professor Professional
@rahmatumam357
@rahmatumam357 5 жыл бұрын
Anaitwa ustadh mazinge mzee wa shortcut
@elizabethfares4650
@elizabethfares4650 6 жыл бұрын
Mashallah mungu awabaliki san inshallah
@adanharon1297
@adanharon1297 6 жыл бұрын
mashallah Shiek mazinge mungu akuzidishie in shall Allah
@rashidimoshi8417
@rashidimoshi8417 6 жыл бұрын
mazing mungu akusaidie sana
@sidisaid4833
@sidisaid4833 6 жыл бұрын
adan haron mashallah
@mstafaassan4707
@mstafaassan4707 6 жыл бұрын
mungu akubariki sana mazing insha allah
@user-xc8wn3fb4z
@user-xc8wn3fb4z 6 жыл бұрын
Masha Allah Mungu akupe wepesi shekhe watu
@bakarihassan6718
@bakarihassan6718 6 жыл бұрын
Mashallah mungu akupe maishaalef shekh mazinge
@steventitus2174
@steventitus2174 5 жыл бұрын
Mungu ampe maisha uyu mpumbavu kafiri mkubwa uyu
@eliudidamasi514
@eliudidamasi514 5 жыл бұрын
Steven Titus ee mungu ampe maixha marefu inxhaallah
@mohammedrajabumwamba1322
@mohammedrajabumwamba1322 4 жыл бұрын
MaashaaAllah Allah akujalie
@zainabzanzibar1518
@zainabzanzibar1518 7 жыл бұрын
Mashaa Allah Shekhe Mazinge tunakuelewa kwa ufafanuzi wako
@noahwamalwa4385
@noahwamalwa4385 3 жыл бұрын
kwa Wakristo Mungu ni mmoja lakini hujidhihirisha kama Baba, Mwana na Roho Mtakatifu. Mfano karibu na huu ni kama vile mvuke(vapour), barafu(ice) na hata unyevunyevu(liquid) yote ni maji hata yaweza kuwa kitu kimoja Ile wanasayansi wanaita "TRIPLE point of water". Msalabani Yesu (Mwana) alimuomba Mungu Baba. Kwani kunashida ipi?. Wewe nijibu kuhusu Mohammed kubusu jiwe jeusi na kumnajisi Binti wa miaka 9 tu
@alimohamedalisaid7040
@alimohamedalisaid7040 5 жыл бұрын
Mungu akupe afia ameen thuma ameen
@welsonlameckdodere4277
@welsonlameckdodere4277 4 жыл бұрын
Isa hakufa msalabani, lakini Yesu ambaye ndiye ufufuo na uzima yeye mwenyewe alithibitisha mbele ya Thomasi kuwa alikufa msalabani!!(Luk.24:25-27;44--46)
@MoherZO
@MoherZO 3 жыл бұрын
Luk hakuelewa kilichotokea
@ibrahimomary7434
@ibrahimomary7434 3 жыл бұрын
Maixh bila yes ni xawa na Dela bila mtandio
@zainabomar5512
@zainabomar5512 5 жыл бұрын
Nakuombea mqzinge mng akupe umri mref
@yesusimungu404
@yesusimungu404 7 жыл бұрын
Napenda saaana Sheikh Mazinge
@mayahashim5688
@mayahashim5688 5 жыл бұрын
Wakristo POV la nn sasa leten ukweli kam anadangany
@mstafahassan3989
@mstafahassan3989 5 жыл бұрын
Allahu akbar
@hajimakame620
@hajimakame620 6 жыл бұрын
Mshaalllah
@yusufsong9158
@yusufsong9158 3 жыл бұрын
Sasa nashangaa makafiri wanasema anawadanganya uyo padre wako anachemka akikutana na Mazinge yote anaongea kweli aya siku ya uzinifu pasaka vyote kaongea kweli
@kudramzee5769
@kudramzee5769 3 жыл бұрын
Maashaallah professional mazinge
@mamaaaishamamaaaisha7505
@mamaaaishamamaaaisha7505 7 жыл бұрын
Mashallah
@asinakassim1548
@asinakassim1548 7 жыл бұрын
MashaAllah
@khamisrashid4646
@khamisrashid4646 5 жыл бұрын
mashallah
@fundiwamoldzapevingblock6378
@fundiwamoldzapevingblock6378 Жыл бұрын
Yani ww mazinge mungu akuweke adi uzeeni inshara
@petromachanga29
@petromachanga29 5 жыл бұрын
Wewe ni wakala wa shetan yaan Allah subhana wataala
@minaminaa1669
@minaminaa1669 5 жыл бұрын
mashaAllah
@myoutubecom-gg7sb
@myoutubecom-gg7sb 5 жыл бұрын
MashaAllah,
@amalzahor5865
@amalzahor5865 7 жыл бұрын
ماشاءالله
@saidswalehe383
@saidswalehe383 5 жыл бұрын
alhamdu Lilah alah aulinde uislamu
@johnjunior5339
@johnjunior5339 5 жыл бұрын
If you see Muslims attacking Paul it's because when you try to bring Muhammad after Jesus it doesn't add up.when you try to say that Jesus promised that he would send a helper, Paul comes before Mohamed but they want Mohamed to be after immediately after Jesus.(even though the helper is holy spirit)
@yusufsong9158
@yusufsong9158 3 жыл бұрын
Tatizo wakristo wanadanganywa mpaka wanakufa na motoni wanaingia
@ishmailsaiyore7873
@ishmailsaiyore7873 3 жыл бұрын
Mashehe pongezi inshallah
@khalfanhamisi4218
@khalfanhamisi4218 5 жыл бұрын
aslmalkm ndugu waislam?? Allah Akbar' Allah Akbar' Allah' Akbar!!!......
@jhayparism1152
@jhayparism1152 4 жыл бұрын
Kwa yeyote mwenye namba ya Ustadh Mazinge naomba anitumie tafadhari...
@yusufsong9158
@yusufsong9158 3 жыл бұрын
Biblia sio kitabu cha Mungu mfano Injili zaburi taurati na Quran unajua kapewa nabii fulani aya Biblia kapewa nani utopata jibu mpaka unaenda jikoni
@user-dn7gn6ib4k
@user-dn7gn6ib4k 2 жыл бұрын
Mashalla
@omarmukhutar6847
@omarmukhutar6847 4 жыл бұрын
Uongo za mazinge !!!!dahh!!!
@ibrahimomary7434
@ibrahimomary7434 3 жыл бұрын
Umeonae
@francisjoseph1074
@francisjoseph1074 2 жыл бұрын
Jibu swali Acha janja janja mazinge huu ni msiba
@francisjoseph1074
@francisjoseph1074 2 жыл бұрын
Waislam njooni Kwa yesu kama mazinge ndo anawadanganyaga hivi akili zake ndogo
@asinatjuma8088
@asinatjuma8088 4 жыл бұрын
MashaAllah jadha ka Allah kheir
@francisjoseph1074
@francisjoseph1074 2 жыл бұрын
Ila ili jamaaa liongo 😂😂😂😂😂😂 Bible ingekua inatafasiliwa hivi, huu tunaita msiba
@saumusanjiama6991
@saumusanjiama6991 2 жыл бұрын
Hapa kama Oman
@saidahmed9688
@saidahmed9688 2 жыл бұрын
oman
@ibrahimomary7434
@ibrahimomary7434 3 жыл бұрын
Ee YESU. Waokoe hawa waislaam kwakua awajui walitendalo
@mbidadaud1256
@mbidadaud1256 5 жыл бұрын
Wafuasi wa marehemu Muhammad na waona mnavyojitekenya na kucheka wenyewe
@rehemahamisi9971
@rehemahamisi9971 5 жыл бұрын
Ata uyo yesu pia marehem nyie amuchekagi kanisani bc wafuasi wa yesu wt mabubu
@user-wv5fq1bm5x
@user-wv5fq1bm5x 5 жыл бұрын
@@rehemahamisi9971 😁😁😁😁😁😁😁😁😁 Haoo ngoja siku ya kiama wakigeuzwa kuwa Chups za jahannama
@najmamakame9881
@najmamakame9881 4 жыл бұрын
Ningekuwa nakuona police ingeniusu
@leonardabrahamh6906
@leonardabrahamh6906 5 жыл бұрын
Wana wauongo shetani.
@rahmaahmed5759
@rahmaahmed5759 5 жыл бұрын
Nyinyi bakieni tu kudanganya watu makanisani kuwaapa pesa sababu mwatafuta biashara poleni Sana.
@omaryandrew2584
@omaryandrew2584 3 жыл бұрын
Mazinge kiboko
@leonardabrahamh6906
@leonardabrahamh6906 5 жыл бұрын
Kawafanya waarabu wooote wenye Dini kua bwege ajabu sana.
@johnpangalas9687
@johnpangalas9687 3 жыл бұрын
Jamaa anawadanganya wenzake nila woga na mchana kweupe
@kulthumali5050
@kulthumali5050 9 жыл бұрын
mashaallah
@abu_AZOZ
@abu_AZOZ 7 жыл бұрын
Akaasha tuekee CD ya mafundisho ya wanawake tafadhali kwa hidhini llah
@mumkmamy5186
@mumkmamy5186 6 жыл бұрын
Masha Allah sheikh jazaaka Allahv kheiran
@abdishakurahmed2088
@abdishakurahmed2088 6 жыл бұрын
Hapa ni wapi ?
@suleimanjailos2600
@suleimanjailos2600 5 жыл бұрын
abdishakur ahmed oman
@saumubenson5015
@saumubenson5015 4 жыл бұрын
Mazinge ukovizuri
@baddynapenya5962
@baddynapenya5962 6 жыл бұрын
Ni dextuli za kiloma
@johnjunior5339
@johnjunior5339 5 жыл бұрын
Hi ni ujinga sana.sasa kati ya Paulo na Mohamed nani alikuja kwanza?
@jumajaffary9698
@jumajaffary9698 5 жыл бұрын
Matendo Ya Mitume 26:9-11 Neno: Bibilia Takatifu (SNT) 9 Mimi mwenyewe nilikuwa nimeamini kabisa kwamba sina budi kufanya kila niwezalo kupinga jina la Yesu wa Nazareti. 10 Nami ndivyo nilivyofanya kule Yerusalemu. Nilipewa mamlaka na makuhani wakuu, nikawatia kifungoni watakatifu wengi na walipokuwa wakihu kumiwa kuuawa mimi nilipiga kura kuunga mkono hukumu hiyo. 11 Pia niliwaadhibu mara nyingi katika masinagogi nikajaribu kuwalazimisha wakane imani yao. Nilikuwa nimejawa na ghadhabu juu yao nikawafuatilia na kuwatesa hata katika miji ya mbali. Huyo ndio Paulo
@rahmaahmed5759
@rahmaahmed5759 5 жыл бұрын
Wewe ndo mjinga wakwanza sababu unajua tu kua Paulo alikuja Kwanza but hujui historia yake.
@leonardabrahamh6906
@leonardabrahamh6906 5 жыл бұрын
Wewe mazinge vipi Biblia kisiwe kitabu cha Mungu baadae muhammadi akapatikana ndani yake???huo sii uongo mtupu.oooh uisilamu ndani ya Biblia mmerogwa na kununuliwa kimbia kifo uamini YESU KRISTO akupe uzima.
@mwakakhamis5762
@mwakakhamis5762 5 жыл бұрын
Tatizo bibilia mumekoti baadhi ya maneno ya injili mchenganya na maneno yenu
@rahmaahmed5759
@rahmaahmed5759 5 жыл бұрын
Wewe Yesu Ni mtume wa Allah sio mungu.
@popod177
@popod177 5 жыл бұрын
@@rahmaahmed5759 wanamacho lkn hawaoni, wanamasikio lkn hawasikii.. Ujumbe umeingia mahala pake, ndo ukaona povu LA makafiri linawatoka na mitusi.. Mazinge anatoa maandiko kwenye tabu lenu na bado mnapinga, kwa nn?? Kwasababu hayo yote anayoyasema yote yanatoka ndani ya bible, tatizo nyinyi hamuisomi litabu lenu, mkienda kanisani mnangojea mchungaji awaambie fungueni page fulani, anawasomea na ndio basi, hadi jumapili ijayo tena.. Kila kitu anachosema sheikh mnapinga kwasababu hamjawahi kusomewa wala kusoma, na ukiuliza swali unaambiwa unampinga mchungaji... Hamjiulizi kwa nn headquarters ya ukiristo upo Vatican na wala haupo yesu alipozaliwa.. Zindukeni makafiri, ukiristo ni shida, biashara tu na ndo maana yesu akasema watu wake wamepotea kwa kukosa maarifa.. Na wachungaji wao ni mbwa, ndo wanawapoteza..
@ibrahimomary7434
@ibrahimomary7434 3 жыл бұрын
@@popod177 YESU akuponye week dada
@deoally8417
@deoally8417 5 жыл бұрын
😀😀
@Julia-gm1wh
@Julia-gm1wh 5 жыл бұрын
Hii mtu amerongwa shetani anamtumia na mijini
@licacpeter3748
@licacpeter3748 5 жыл бұрын
Eleza ukweli wako bac
@Julia-gm1wh
@Julia-gm1wh 5 жыл бұрын
@@licacpeter3748 ukweli ni kuwa waslamu wanatumikia majini na shetani so ni ndugu wa shetani kiimani
@omaralbattashi1187
@omaralbattashi1187 5 жыл бұрын
@@Julia-gm1wh acha ubweg ww ww ndo ndug yak na sheitwan
@allyyussuf7419
@allyyussuf7419 5 жыл бұрын
Katka dini yetu ya haki uislamu , muislam yeyote anayewatumikia majini na sheitani huyo ni mshirikina na Allah anasema katika kitabu kitukufu kuwa hakika washirika wataingia katika moto. Tatzo wewe hutaki kusoma ndo maana unaongozwa na hisia wala sio maandiko.
@user-wv5fq1bm5x
@user-wv5fq1bm5x 5 жыл бұрын
@@omaralbattashi1187 Joseph kalume huyu Akili zake hazipo sawa kabisa
@Julia-gm1wh
@Julia-gm1wh 5 жыл бұрын
Hawa watu wote wanadanganywa na wanasikiza tu pumbavu kweli
@brightonwashira5420
@brightonwashira5420 5 жыл бұрын
We mjinga Kweli we ni mkristo hamna lolote
@Julia-gm1wh
@Julia-gm1wh 5 жыл бұрын
@@brightonwashira5420 na ww ni muislamu wa kupulizwa matako na shetani msikitini
@mandianuhumuinatv9654
@mandianuhumuinatv9654 5 жыл бұрын
Wewe dini huna unaongea pumba tafuta kwaza dini Sawa kafir mkuu
@allyyussuf7419
@allyyussuf7419 5 жыл бұрын
Dini yenu nyinyi wakristo( makafiri) ni ya kutengeneza na kuunga unga, hakuna kitabu chochote ulimwenguni kinachothibitisha kuwa ukristo ni dini lakini ndani ya Qur'an inathibitisha kuwa " hakika dini ya haki mbele ya Allah n Uislam
@saadsalum3253
@saadsalum3253 5 жыл бұрын
Nenda huko wewe unayefuata upagani
@elizawallace2971
@elizawallace2971 4 жыл бұрын
Hakuna isa kwenye mathayo muongo wewe,unafundisha vipofu wenzako
@goldmansun5859
@goldmansun5859 6 жыл бұрын
hakuna muitaliano mweusi,Paul alikuwa mweus ka Yesu alivyokuwa,Musa alivyokuwa,haroun,na waisrael wote ndivyo walivyokuwa,hata ka kulikuwa na weupe,ni ka ss ,unakuwa wekundu ila DNA ni blacks coz Jacob n Abraham ,isack ,Ishmael were blacks too ,alikkuwa myahid wa kabila ya benjamini na siyo muitaliano,pili Yesu hajawah kuitwa issa ,uislam unanuka kwa udanganyifu ,anaitwa Yahshua kiebrania lugha ya wayahud,yasuhe kiarab,yesu kiswahl,hii ni mothertongue problems,maana yak Mungu uokovu wetu,uislam hauna evidance yeyote kihistoria leo hii unatoa stor za wayahud wakat wa Yesu!no labda hicho kibwengo chenu issa,acha uongo wew mzee,ukiendelea utakufa bila ulimi,na hii text yangu ikumbukwe
@allyyussuf7419
@allyyussuf7419 5 жыл бұрын
Usiseme kitu ambacho huna ujuzi nacho, neno YESUHE haliwezi kuingia ktk maandish ya kiarabu, acha kibri na chuki, tafuta ukweli utaupata na wisho wa siku utajuwa kuwa hakika uislam ndio dini ya haki.
@aminaally3116
@aminaally3116 5 жыл бұрын
Yaani wakiristo wote hawana akili yaani ivi mungu anazaliwa ? yaani ukweli hawasemi wanadanganyana makanisani
@leonardabrahamh6906
@leonardabrahamh6906 5 жыл бұрын
Huyu kachanganyikiwa.sijui kahongwa? kala maharagwe mengi na chapati???vipi wewe kwa uongo huo YESU MFALME akusamehe.
@johnjunior5339
@johnjunior5339 5 жыл бұрын
Hawa watu hawana kitu Cha kusema.kwami hii imani inahitaji kutetewa jamani?
@jumajaffary9698
@jumajaffary9698 5 жыл бұрын
Matendo Ya Mitume 26:9-11 Neno: Bibilia Takatifu (SNT) 9 Mimi mwenyewe nilikuwa nimeamini kabisa kwamba sina budi kufanya kila niwezalo kupinga jina la Yesu wa Nazareti. 10 Nami ndivyo nilivyofanya kule Yerusalemu. Nilipewa mamlaka na makuhani wakuu, nikawatia kifungoni watakatifu wengi na walipokuwa wakihu kumiwa kuuawa mimi nilipiga kura kuunga mkono hukumu hiyo.11 Pia niliwaadhibu mara nyingi katika masinagogi nikajaribu kuwalazimisha wakane imani yao. Nilikuwa nimejawa na ghadhabu juu yao nikawafuatilia na kuwatesa hata katika miji ya mbali.
@Julia-gm1wh
@Julia-gm1wh 5 жыл бұрын
Huyu mtu anapoteza watu yaani uongo wazi kabisa wa wazi
@adamnassiri8512
@adamnassiri8512 5 жыл бұрын
Allah akuzidishie
@ayunramadhan3104
@ayunramadhan3104 5 жыл бұрын
Weee unasema ukweli we baki na ukafiri wako
@rahmaahmed5759
@rahmaahmed5759 5 жыл бұрын
Wewe lete aya zako uliohifadhi nikiuuliza kwanini nyinyi mnasoma kwa kitabu mbona hamuhifadhi Kama waislamu kazi yenu Ni wivu tuuu poleni sana
@najmamakame9881
@najmamakame9881 4 жыл бұрын
Unatesekaaaaaa
@mohammedrajabumwamba1322
@mohammedrajabumwamba1322 4 жыл бұрын
@@najmamakame9881 utaangaikasana namotoni utakwenda usiposilim we kafiri mkubwa weeee Kaz unayo
@steventitus2174
@steventitus2174 5 жыл бұрын
Hujui kutafsir biblia wewe kaziyako kiarabu 2 na mwajua waarabu walivyo watesa wazee wenu leoii mmeshaa saau alafu awoawo wawaletee dini Kuna Nini apo makafir wakubwa nyinyi wamjua kafiri wewe wakati nyinyi ndomakafir
@jumajaffary9698
@jumajaffary9698 5 жыл бұрын
Matendo Ya Mitume 26:9-11 Neno: Bibilia Takatifu (SNT) 9 Mimi mwenyewe nilikuwa nimeamini kabisa kwamba sina budi kufanya kila niwezalo kupinga jina la Yesu wa Nazareti. 10 Nami ndivyo nilivyofanya kule Yerusalemu. Nilipewa mamlaka na makuhani wakuu, nikawatia kifungoni watakatifu wengi na walipokuwa wakihu kumiwa kuuawa mimi nilipiga kura kuunga mkono hukumu hiyo.11 Pia niliwaadhibu mara nyingi katika masinagogi nikajaribu kuwalazimisha wakane imani yao. Nilikuwa nimejawa na ghadhabu juu yao nikawafuatilia na kuwatesa hata katika miji ya mbali.
@hatibuahmadi7237
@hatibuahmadi7237 5 жыл бұрын
@@jumajaffary9698 hongera sana allah akuzidishie maarifa maana ulivo mjibu huyu kafiri umemjibu kiufundi sana yaani kakosa hata lakujibu nakama akuslim basi kapigwa muhuri wamotoni
@rahmaahmed5759
@rahmaahmed5759 5 жыл бұрын
Si waona ndo nyinyi musiependa waraabu kwa ujinga wenu
@steventitus2174
@steventitus2174 5 жыл бұрын
Wewe kafir mkubwa wewe hakuna jehad yaivyo maulamaa wengi mnanjaa kubwa Sana kafir niwewe msinda wewe
@hassancharo1496
@hassancharo1496 6 жыл бұрын
MashaAllah
@mamaaaishamamaaaisha7505
@mamaaaishamamaaaisha7505 7 жыл бұрын
Mashallah
@gansoanmomusic1454
@gansoanmomusic1454 4 жыл бұрын
Mashaallah
HABIB MAZINGE   UISLAM KATIKA VITABU VYA KALE 2
30:47
AKASHA PRODUCTION TV
Рет қаралды 443 М.
HABIB MAZINGE   MITIHANI WAHUBIRI TUNAYO PATANA NAYO bondeni mombasa
1:15:43
AKASHA PRODUCTION TV
Рет қаралды 309 М.
大家都拉出了什么#小丑 #shorts
00:35
好人小丑
Рет қаралды 84 МЛН
АЗАРТНИК 4 |СЕЗОН 1 Серия
40:47
Inter Production
Рет қаралды 1,3 МЛН
I Took a LUNCHBAR OFF A Poster 🤯 #shorts
00:17
Wian
Рет қаралды 16 МЛН
escape in roblox in real life
00:13
Kan Andrey
Рет қаралды 39 МЛН
kanisa
9:57
911Yohana
Рет қаралды 191 М.
MAZINGE AMLIPUA MCHUNGJI _  NIWAPI YESU KAMRUDISHA PUNDA?
6:38
JUMA KIBWANA
Рет қаралды 7 М.
Professor Mazinge   Mchungaji matayo 2 2
10:02
YesuHakufa
Рет қаралды 216 М.
HABIB OTHMAN MAZINGE...JE YESU ANASIFA ZA KUITWA MUNGU
1:31:48
AKASHA PRODUCTION TV
Рет қаралды 398 М.
HABIB MAZINGE | SAID KINYOGORI | USABATO (2)
1:01:42
AKASHA PRODUCTION TV
Рет қаралды 289 М.
Ust mazinge Part 15 of 17-Ibrahim in the qur'an and the Bible
9:26
SHAFI SHOMAR...KWANINI TULIUMBWA
42:09
AKASHA PRODUCTION TV
Рет қаралды 350 М.
ROSE MUHANDO- HATUMO
10:38
MsMuhando
Рет қаралды 336 М.
大家都拉出了什么#小丑 #shorts
00:35
好人小丑
Рет қаралды 84 МЛН