Hata yeye n kawaida tu acheni kutishika na effect hizo Yule mkongo mpiga sebene,,Tunataka Jazz kaka hiyo Miziki mingine siyo
@LevisKII-fi6nf4 ай бұрын
@@frankjonas7704mlete huyo mkongo
@obedjoseph5588 Жыл бұрын
Huyu jamaa mkali ila akutane na baba wa taifa NAHUMU GIDEON
@erickmutungi87926 ай бұрын
Nakubaliana na wewe 100 kwa 100
@Dr.kamumuzeSamagonsamage2 ай бұрын
Yuko wapi huyo natafuta mwalm wa gita
@MfalmeMteule25 күн бұрын
Nahumu Ni Mtu Na Nusu!!.Huyu Hata Robo Hamfikii Nahum
@eliasjoseph3975Ай бұрын
Nikupatej kijan nashida naww naitwa elias josph
@daggymuziqa2225 Жыл бұрын
Uko fity lakini stay cool bro,,,Kuna wakali zaidi yako,,,so just chill,,unajaribu lakini kiacy,,,#flamme
@kevohblesser1262 Жыл бұрын
Even I can do it guitar is my life style
@clementkingu963 Жыл бұрын
Kuna vichwa vingi hufikii, Kuna nahumu gidion,emma gripa,andrew wa essence,jose kasomo,kenny guitar na wengine wengi
@zachatz2696 Жыл бұрын
Gripa forever
@ambakisyesyobile7967 Жыл бұрын
Tz siyo ndogo wapo wengi sana wanaolijua kuliko huyu inaonesha hajatembea kuona wengine
@MumoJay Жыл бұрын
Kiburi si poa...life is a journey
@COCKTAILTV2546 ай бұрын
Interviewer ni wangapi,inakuwa kelele
@MaarifaTiba3 жыл бұрын
Kaka mpiga gitaa uko vizuri vyote; gitaa na uwongo. Kweli uote unapiga gitaa kisha uende kanisani upige bass bila kufundishwa chochote!! Umetutia aibu wenzio na kulidunisha gitaa.
@eliasjerusalem39783 жыл бұрын
Kaka nilikia siwaelewi ndomaana nilikuwa najibu maneno ya mkato
@frankjonas7704 Жыл бұрын
Hahahhaahaha USO wake tu unaonyesha ni muongo muongo hahahah
@histonmwasonzwe18688 ай бұрын
Ana kiburi kibaya zaidi ya kile alicho kionyesha shetani mbinguni huyu amekutana na kakikundi kanako msifia kalewa kabisa🤔
@histonmwasonzwe18688 ай бұрын
Ana kiburi kibaya zaidi ya kile alicho kionyesha shetani mbinguni huyu amekutana na kakikundi kanako msifia kalewa kabisa🤔
@Dr.kamumuzeSamagonsamage2 ай бұрын
Natafuta mwalm wa gita
@praisesingersbariaditz11 ай бұрын
Praise singers Imependa hii natamani kujifunza nyumbani wote wanapiga gitaa ispokua mm
@othmanmasoud16728 ай бұрын
Unajisifia sana kumbe hakuna kitu ovyoo
@histonmwasonzwe18688 ай бұрын
😂😂😂
@amanikudeli52972 жыл бұрын
huyu dada ni msenge sana isitoshe anavuta bangi anamhoji jamaa vitu ambavyo havipo baada aache jamaa apige gitaa yeye anaroka tu kmkm
@SMulyungi Жыл бұрын
Mwambie aje afunzwe guitar na mzee wa kazi Kabaseke
@alexmusau7126 Жыл бұрын
Kabaseke ndio mwisho...na ni humble
@misterpee-pianist37 Жыл бұрын
Huyo benjamin ni shida
@isackmarco9152 Жыл бұрын
I'm really happy very brother 🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️🙏🙏🙏🙏🤩🤩🤩❤️❤️❤️
@LevisKII-fi6nf4 ай бұрын
Kaka richa ya effect kaka mali ipo nimeziskia code unavyo tembea nazo
@jcsoliste Жыл бұрын
Am so sorry bro 5 years experience is very small my advice to you is don't be misleaded by people who don't know about lead Guitar bro
@histonmwasonzwe18688 ай бұрын
For sure 😂😂😂😂
@dr.josephndolo2 жыл бұрын
Wengiwamekushinda Brother
@noelmarapachi18083 жыл бұрын
Its Logic Pro 10, hiyo X ni Roman Numeric (namba kumi ya kirumi) keep the good work, simple setup but i hope it get the job done
@histonmwasonzwe18688 ай бұрын
Mungu akupe utulivu safari bado mpaka utakapoweza kuimba na guitar yaani story zisikatishe unachokifanya mikononi na pia uweze kucheza chords as scales in five position zitakazo kupa utulivu pia sijaona kama una modes tofauti na uliyojifunzia ningesikia hata ile nyepesi ya dorian!, so safari bado tunafanyia mazoezi vitu vipya kila siku
@kayeliasym2629 Жыл бұрын
Nime mkubali sana from U.S
@darelet Жыл бұрын
Hebu mtafuteni yule anaitwa Benjamin kabaseke kwenye mitandao mshangae
@jcsoliste Жыл бұрын
Acheni kyoandisha kiburi ya huyu dogo bana kabaseke siyo rika ya huyu dogo basi kaulize hata hawa band ya kina Christian Bella shida alikuwa akiulizwa na demu ndiyo kajisikia sana Effect machine isije ikakudanganya kwamba uko juu na hauja tembea
@mzarendo.com9624 Жыл бұрын
Wakawaida sana tu so kivileee ! Ila endelea kujifunza zaidi na kufanya mazoezi zaidi ya speed na vidole hasa Jazz itakusadia zaidi kwenye safari yako ya music.
@jcsoliste Жыл бұрын
Bro I think what you need is humility in your journey of music cz your still in that process am not a Tanzanian but I am Guitarist too but we know many guitarist there that we can't compared with you and just talk with somw people who don't know some Guitarist
@frankjonas7704 Жыл бұрын
Help me your contact number plz I like it
@histonmwasonzwe18688 ай бұрын
I'm here in Tanzania ask him if he knows what is the chords as scales and how many playing modes he knows can he mention them?🤔
@jimmykajimmy9622 Жыл бұрын
Benjamin kabaseke anakuaimbisa kakangu unarudi shule utajiona kama hujui lolote
@user-gm3wb6xm1l4 ай бұрын
Jamaa anapiga vzur lkn kelele ni nyungi
@yusuphmarka58683 жыл бұрын
Kuna wana wanavunja kinouma sema effect tu BA's
@eliasjerusalem39783 жыл бұрын
Ndio bro mimi siwezi jiweka mtandaoni kijinga hivi ni wauni tuu bro wameniweka
@GIVEN9943 жыл бұрын
Huyu jama ni hapana kwakweli
@jashakishabany64363 жыл бұрын
Tamani sana kujua gita na mimi
@isaackeliya1914 Жыл бұрын
Big up
@eliasjerusalem39783 жыл бұрын
Nimeomba sana mfute hii video kwa amani ila naona ninyi sio watu wa anani mlaaniwe sana yani mlaaniwe sana
@josegisbert43512 жыл бұрын
wapotezee bro, mi naamini wameshakupa mile stone nyingine
@jmjmheavenlyperfumes2 жыл бұрын
great kaka
@westheguitarist8546 Жыл бұрын
huyu jamaa ananibamba🎸
@charlescharles55155 ай бұрын
Unamfaham kilaza? Unaijua historia yake?... yasije kukukuta nawe, ukawa kilaza part 2😂
@user-sg9xm8io1e Жыл бұрын
kuja KENYA ukutane na benjamin Kabaseke uone utarudi shule ya guitar kaka
@kakaemanuelelias6963 Жыл бұрын
Nakuunga mkono kabaseke noma
@kennedyngusa8890 Жыл бұрын
Unafanya vizuli Ila sio kwakujidai hivyo unajishusha kwakufamya hivyo wakusifu watu siio wewe kaka
@MumbereKIGHANA8 ай бұрын
😂😂😂 kwanini moengezi Yako ya tisha kakini Dani guitare ya KO inaonyesha uzembe kuja Congo kwenye shule
@izhizki Жыл бұрын
Ila haumzidi dally kimoko😂
@Katamba2557 ай бұрын
🔥🔥
@johnalbert83373 жыл бұрын
Huyo mdada ni mvuta bangii kabisa
@wagaithofinestband93103 жыл бұрын
Hapo nisawa kabisa
@othmanmasoud16728 ай бұрын
Sasa ndio nn khaaa
@bonfacemwakapenda Жыл бұрын
Kama ni tz nzima sawa lakini kuna watu kama Benjamin pale kenya mu check you tube
@frankjonas7704 Жыл бұрын
Hata yeye n kawaida tuu kuna vitu hafanyi kabisa
@evangelistgeorgefrancis27602 жыл бұрын
Naomba namba za guitarist
@ajunotzm31163 жыл бұрын
blaza good
@machinesintanzaniatv39092 жыл бұрын
Ni hatari anajua
@nyembomajidi30273 жыл бұрын
akuje Congo aongeze uchuzi wa kupiga hiyo vitu
@jcsoliste Жыл бұрын
Congo 🇨🇩 hawezani sana ona kwanza anadanganya guitar ya 200$ amegeuzi ni 2000$ huyu dogo ako feet sana kwa uigizaji siyo muziki
@frankjonas7704 Жыл бұрын
Mimi Congo nawapenda sanaa hatari!!..Wanajua Muziki Mzuri sanaa
@papypatrick57103 жыл бұрын
Duuh balaa
@muddyurungu7823 Жыл бұрын
Safari yako ya kupiga Guitar bado sana na kama ingekuwa shule la pili au la tatu yaani we bado mno au mweupe kabisa.
Check me out, I've got a couple of knowledge on guitar chords, Jazz chords, tunaweza kubadilishana ujuzi, karibu bro.
@kevohblesser1262 Жыл бұрын
How can I reach you niko kenya
@jcsoliste Жыл бұрын
Just be humble men as you speak about your journey of music that is the secret bro
@samodoyo8746 Жыл бұрын
Too much proud
@eliasjerusalem39783 жыл бұрын
Niee jamaaa mlaniwe sana meniwekaje mtandaoni na kwanini msingeniambia kwamba ni jambo la kwenda mtandaoni nimepiga nyimbo hapo miatano yenyewe yanauli mlishindwa kunipa leo mnaniweka mtandaoni vp ndo maana nilikuwa nawambia vitu ambavyo avipo maana nyie nilikuwa siwaelewi kwanza menichafua sana mtabidi aiseee ngoja
@lewisbeckamz4835 Жыл бұрын
Changamoto hiloo
@hidayaswai3119 Жыл бұрын
Waache wakutangaze. Ss tungekujuaje? Usijali wanakutangaza
@petermwidima83572 жыл бұрын
Ipo sehemu gani hii studio??
@bennymochiwa48003 жыл бұрын
dogo wewe kwenye guitar bado sana niizo effect tu zinakubeba upigaji wako wa kawaida sana, fanya sana mazoez vidole vyako bado vizito sana
@eliasjerusalem39783 жыл бұрын
Ndio kaka sema hawa jamani wamenifanyia uhuni sana kuniweka mtandaoni nionekane najikweza Walaniwe sana awa jamaaa kwanini msingeniambia mnamiweka mtandaoni mbona menifanyia uhuni hivyo aiseee kwanza nilipiga nyimbo kibau za wasani hapo amkunipa ata kumi na mtandaoni mnaniweka vip aiseee
@sunguramweusi91953 жыл бұрын
@@eliasjerusalem3978 hiv unamjua Kenny guitar ww hahahahaa
@eliasjerusalem39783 жыл бұрын
Muulize yeye
@isaackokah3446 Жыл бұрын
@@eliasjerusalem3978 kaka una kiburi mingi, hata kwa maongezi tu. Grow up bana.
@bensolo8313 Жыл бұрын
Kila kitu pole pole na wakati wake kaka... Muda wake waja🎸🔥🙏🏽🙏🏽
@isaackokah3446 Жыл бұрын
Skia kiburi..... Nkt. Na saa hizo ni makelele tu
@bonncarlos245 Жыл бұрын
Ni effects tu na kiburi nyingi, Yuko poa lakini sio mkali sana
@kakaemanuelelias6963 Жыл бұрын
Huyo bado aje tuweke shindano
@frankjonas7704 Жыл бұрын
Mashindano ya ninii??..Wanamuziki hawapo hivyo mashindano ya kijinga
@chrisjjustina5210 Жыл бұрын
Namba za simu napataje Lema? Kuna kazi flani hivi unahitajika
@hamedhabsi89733 жыл бұрын
Lema
@gutehno14503 жыл бұрын
Bro napenda niwe mwafunzi wako pokea ombi lng
@eliasjerusalem39783 жыл бұрын
Bro hawa ni wauni tuu wameamuwa kuniweka mtandaoni na kunichafua
@kamiliusherbert28119 ай бұрын
Kaka nisaidie namba ya lema solo
@ezesolo48613 жыл бұрын
Sebene anazingua hana touch ya sebene apige miziki mingne
@eliasjerusalem39783 жыл бұрын
Ni kweli kaka awa jamaa wauni tuu wameamuwa kunizalilisha brother
@eliasjerusalem39783 жыл бұрын
Nilienda studio kwao ata ela ya nauli yenyewe sikupata na nilipiga nyimbo nyingi alafu tena wananiweka mtandaoni bila kuniambia bila kunipanga aiseee
@esthermalecela88253 жыл бұрын
We mbn unakuwa hvi?
@Shammy-rn3tn2 жыл бұрын
@@eliasjerusalem3978 uko vizuri usisikie maneno ya wakatishaji tamaa. wachache wenye uwezo wako.
@obedjoseph5588 Жыл бұрын
Kaka Eze bora umekuja maana kwa sebene nafikiri anatakiwa ajifunze kwako
@yusuphmarka58683 жыл бұрын
Mbona wakawaida tu huyo
@eliasjerusalem39783 жыл бұрын
Kwely bro ni watu tuu wameamua kunichafua kuniweka mtandaoni nionekane najikweza aiseee