No video

HAKUNA ANAENIWEZA KWA KUPIGA GUITAR TZ NZIMA

  Рет қаралды 35,915

Kwelichops Studios

Kwelichops Studios

Күн бұрын

Пікірлер: 112
@justuschole9003
@justuschole9003 Жыл бұрын
Tafuta Benjamin kabasake akufunze maana ya guitar
@leniskalvinmunenenjagi7105
@leniskalvinmunenenjagi7105 Жыл бұрын
Kabaseke Benjamin ndio Baba Lao Africa
@frankjonas7704
@frankjonas7704 Жыл бұрын
Hata yeye n kawaida tu acheni kutishika na effect hizo Yule mkongo mpiga sebene,,Tunataka Jazz kaka hiyo Miziki mingine siyo
@LevisKII-fi6nf
@LevisKII-fi6nf 4 ай бұрын
​@@frankjonas7704mlete huyo mkongo
@obedjoseph5588
@obedjoseph5588 Жыл бұрын
Huyu jamaa mkali ila akutane na baba wa taifa NAHUMU GIDEON
@erickmutungi8792
@erickmutungi8792 6 ай бұрын
Nakubaliana na wewe 100 kwa 100
@Dr.kamumuzeSamagonsamage
@Dr.kamumuzeSamagonsamage 2 ай бұрын
Yuko wapi huyo natafuta mwalm wa gita
@MfalmeMteule
@MfalmeMteule 25 күн бұрын
Nahumu Ni Mtu Na Nusu!!.Huyu Hata Robo Hamfikii Nahum
@eliasjoseph3975
@eliasjoseph3975 Ай бұрын
Nikupatej kijan nashida naww naitwa elias josph
@daggymuziqa2225
@daggymuziqa2225 Жыл бұрын
Uko fity lakini stay cool bro,,,Kuna wakali zaidi yako,,,so just chill,,unajaribu lakini kiacy,,,#flamme
@kevohblesser1262
@kevohblesser1262 Жыл бұрын
Even I can do it guitar is my life style
@clementkingu963
@clementkingu963 Жыл бұрын
Kuna vichwa vingi hufikii, Kuna nahumu gidion,emma gripa,andrew wa essence,jose kasomo,kenny guitar na wengine wengi
@zachatz2696
@zachatz2696 Жыл бұрын
Gripa forever
@ambakisyesyobile7967
@ambakisyesyobile7967 Жыл бұрын
Tz siyo ndogo wapo wengi sana wanaolijua kuliko huyu inaonesha hajatembea kuona wengine
@MumoJay
@MumoJay Жыл бұрын
Kiburi si poa...life is a journey
@COCKTAILTV254
@COCKTAILTV254 6 ай бұрын
Interviewer ni wangapi,inakuwa kelele
@MaarifaTiba
@MaarifaTiba 3 жыл бұрын
Kaka mpiga gitaa uko vizuri vyote; gitaa na uwongo. Kweli uote unapiga gitaa kisha uende kanisani upige bass bila kufundishwa chochote!! Umetutia aibu wenzio na kulidunisha gitaa.
@eliasjerusalem3978
@eliasjerusalem3978 3 жыл бұрын
Kaka nilikia siwaelewi ndomaana nilikuwa najibu maneno ya mkato
@frankjonas7704
@frankjonas7704 Жыл бұрын
Hahahhaahaha USO wake tu unaonyesha ni muongo muongo hahahah
@histonmwasonzwe1868
@histonmwasonzwe1868 8 ай бұрын
Ana kiburi kibaya zaidi ya kile alicho kionyesha shetani mbinguni huyu amekutana na kakikundi kanako msifia kalewa kabisa🤔
@histonmwasonzwe1868
@histonmwasonzwe1868 8 ай бұрын
Ana kiburi kibaya zaidi ya kile alicho kionyesha shetani mbinguni huyu amekutana na kakikundi kanako msifia kalewa kabisa🤔
@Dr.kamumuzeSamagonsamage
@Dr.kamumuzeSamagonsamage 2 ай бұрын
Natafuta mwalm wa gita
@praisesingersbariaditz
@praisesingersbariaditz 11 ай бұрын
Praise singers Imependa hii natamani kujifunza nyumbani wote wanapiga gitaa ispokua mm
@othmanmasoud1672
@othmanmasoud1672 8 ай бұрын
Unajisifia sana kumbe hakuna kitu ovyoo
@histonmwasonzwe1868
@histonmwasonzwe1868 8 ай бұрын
😂😂😂
@amanikudeli5297
@amanikudeli5297 2 жыл бұрын
huyu dada ni msenge sana isitoshe anavuta bangi anamhoji jamaa vitu ambavyo havipo baada aache jamaa apige gitaa yeye anaroka tu kmkm
@SMulyungi
@SMulyungi Жыл бұрын
Mwambie aje afunzwe guitar na mzee wa kazi Kabaseke
@alexmusau7126
@alexmusau7126 Жыл бұрын
Kabaseke ndio mwisho...na ni humble
@misterpee-pianist37
@misterpee-pianist37 Жыл бұрын
Huyo benjamin ni shida
@isackmarco9152
@isackmarco9152 Жыл бұрын
I'm really happy very brother 🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️🙏🙏🙏🙏🤩🤩🤩❤️❤️❤️
@LevisKII-fi6nf
@LevisKII-fi6nf 4 ай бұрын
Kaka richa ya effect kaka mali ipo nimeziskia code unavyo tembea nazo
@jcsoliste
@jcsoliste Жыл бұрын
Am so sorry bro 5 years experience is very small my advice to you is don't be misleaded by people who don't know about lead Guitar bro
@histonmwasonzwe1868
@histonmwasonzwe1868 8 ай бұрын
For sure 😂😂😂😂
@dr.josephndolo
@dr.josephndolo 2 жыл бұрын
Wengiwamekushinda Brother
@noelmarapachi1808
@noelmarapachi1808 3 жыл бұрын
Its Logic Pro 10, hiyo X ni Roman Numeric (namba kumi ya kirumi) keep the good work, simple setup but i hope it get the job done
@histonmwasonzwe1868
@histonmwasonzwe1868 8 ай бұрын
Mungu akupe utulivu safari bado mpaka utakapoweza kuimba na guitar yaani story zisikatishe unachokifanya mikononi na pia uweze kucheza chords as scales in five position zitakazo kupa utulivu pia sijaona kama una modes tofauti na uliyojifunzia ningesikia hata ile nyepesi ya dorian!, so safari bado tunafanyia mazoezi vitu vipya kila siku
@kayeliasym2629
@kayeliasym2629 Жыл бұрын
Nime mkubali sana from U.S
@darelet
@darelet Жыл бұрын
Hebu mtafuteni yule anaitwa Benjamin kabaseke kwenye mitandao mshangae
@jcsoliste
@jcsoliste Жыл бұрын
Acheni kyoandisha kiburi ya huyu dogo bana kabaseke siyo rika ya huyu dogo basi kaulize hata hawa band ya kina Christian Bella shida alikuwa akiulizwa na demu ndiyo kajisikia sana Effect machine isije ikakudanganya kwamba uko juu na hauja tembea
@mzarendo.com9624
@mzarendo.com9624 Жыл бұрын
Wakawaida sana tu so kivileee ! Ila endelea kujifunza zaidi na kufanya mazoezi zaidi ya speed na vidole hasa Jazz itakusadia zaidi kwenye safari yako ya music.
@jcsoliste
@jcsoliste Жыл бұрын
Bro I think what you need is humility in your journey of music cz your still in that process am not a Tanzanian but I am Guitarist too but we know many guitarist there that we can't compared with you and just talk with somw people who don't know some Guitarist
@frankjonas7704
@frankjonas7704 Жыл бұрын
Help me your contact number plz I like it
@histonmwasonzwe1868
@histonmwasonzwe1868 8 ай бұрын
I'm here in Tanzania ask him if he knows what is the chords as scales and how many playing modes he knows can he mention them?🤔
@jimmykajimmy9622
@jimmykajimmy9622 Жыл бұрын
Benjamin kabaseke anakuaimbisa kakangu unarudi shule utajiona kama hujui lolote
@user-gm3wb6xm1l
@user-gm3wb6xm1l 4 ай бұрын
Jamaa anapiga vzur lkn kelele ni nyungi
@yusuphmarka5868
@yusuphmarka5868 3 жыл бұрын
Kuna wana wanavunja kinouma sema effect tu BA's
@eliasjerusalem3978
@eliasjerusalem3978 3 жыл бұрын
Ndio bro mimi siwezi jiweka mtandaoni kijinga hivi ni wauni tuu bro wameniweka
@GIVEN994
@GIVEN994 3 жыл бұрын
Huyu jama ni hapana kwakweli
@jashakishabany6436
@jashakishabany6436 3 жыл бұрын
Tamani sana kujua gita na mimi
@isaackeliya1914
@isaackeliya1914 Жыл бұрын
Big up
@eliasjerusalem3978
@eliasjerusalem3978 3 жыл бұрын
Nimeomba sana mfute hii video kwa amani ila naona ninyi sio watu wa anani mlaaniwe sana yani mlaaniwe sana
@josegisbert4351
@josegisbert4351 2 жыл бұрын
wapotezee bro, mi naamini wameshakupa mile stone nyingine
@jmjmheavenlyperfumes
@jmjmheavenlyperfumes 2 жыл бұрын
great kaka
@westheguitarist8546
@westheguitarist8546 Жыл бұрын
huyu jamaa ananibamba🎸
@charlescharles5515
@charlescharles5515 5 ай бұрын
Unamfaham kilaza? Unaijua historia yake?... yasije kukukuta nawe, ukawa kilaza part 2😂
@user-sg9xm8io1e
@user-sg9xm8io1e Жыл бұрын
kuja KENYA ukutane na benjamin Kabaseke uone utarudi shule ya guitar kaka
@kakaemanuelelias6963
@kakaemanuelelias6963 Жыл бұрын
Nakuunga mkono kabaseke noma
@kennedyngusa8890
@kennedyngusa8890 Жыл бұрын
Unafanya vizuli Ila sio kwakujidai hivyo unajishusha kwakufamya hivyo wakusifu watu siio wewe kaka
@MumbereKIGHANA
@MumbereKIGHANA 8 ай бұрын
😂😂😂 kwanini moengezi Yako ya tisha kakini Dani guitare ya KO inaonyesha uzembe kuja Congo kwenye shule
@izhizki
@izhizki Жыл бұрын
Ila haumzidi dally kimoko😂
@Katamba255
@Katamba255 7 ай бұрын
🔥🔥
@johnalbert8337
@johnalbert8337 3 жыл бұрын
Huyo mdada ni mvuta bangii kabisa
@wagaithofinestband9310
@wagaithofinestband9310 3 жыл бұрын
Hapo nisawa kabisa
@othmanmasoud1672
@othmanmasoud1672 8 ай бұрын
Sasa ndio nn khaaa
@bonfacemwakapenda
@bonfacemwakapenda Жыл бұрын
Kama ni tz nzima sawa lakini kuna watu kama Benjamin pale kenya mu check you tube
@frankjonas7704
@frankjonas7704 Жыл бұрын
Hata yeye n kawaida tuu kuna vitu hafanyi kabisa
@evangelistgeorgefrancis2760
@evangelistgeorgefrancis2760 2 жыл бұрын
Naomba namba za guitarist
@ajunotzm3116
@ajunotzm3116 3 жыл бұрын
blaza good
@machinesintanzaniatv3909
@machinesintanzaniatv3909 2 жыл бұрын
Ni hatari anajua
@nyembomajidi3027
@nyembomajidi3027 3 жыл бұрын
akuje Congo aongeze uchuzi wa kupiga hiyo vitu
@jcsoliste
@jcsoliste Жыл бұрын
Congo 🇨🇩 hawezani sana ona kwanza anadanganya guitar ya 200$ amegeuzi ni 2000$ huyu dogo ako feet sana kwa uigizaji siyo muziki
@frankjonas7704
@frankjonas7704 Жыл бұрын
Mimi Congo nawapenda sanaa hatari!!..Wanajua Muziki Mzuri sanaa
@papypatrick5710
@papypatrick5710 3 жыл бұрын
Duuh balaa
@muddyurungu7823
@muddyurungu7823 Жыл бұрын
Safari yako ya kupiga Guitar bado sana na kama ingekuwa shule la pili au la tatu yaani we bado mno au mweupe kabisa.
@Werema3760
@Werema3760 3 жыл бұрын
We jamaa naweza kukupataje? Gitaa langu lishakuwa mzigo najua cord chache sana! Nireplaly nikupe contact yangu
@donaldmalunda1229
@donaldmalunda1229 Жыл бұрын
Check me out, I've got a couple of knowledge on guitar chords, Jazz chords, tunaweza kubadilishana ujuzi, karibu bro.
@kevohblesser1262
@kevohblesser1262 Жыл бұрын
How can I reach you niko kenya
@jcsoliste
@jcsoliste Жыл бұрын
Just be humble men as you speak about your journey of music that is the secret bro
@samodoyo8746
@samodoyo8746 Жыл бұрын
Too much proud
@eliasjerusalem3978
@eliasjerusalem3978 3 жыл бұрын
Niee jamaaa mlaniwe sana meniwekaje mtandaoni na kwanini msingeniambia kwamba ni jambo la kwenda mtandaoni nimepiga nyimbo hapo miatano yenyewe yanauli mlishindwa kunipa leo mnaniweka mtandaoni vp ndo maana nilikuwa nawambia vitu ambavyo avipo maana nyie nilikuwa siwaelewi kwanza menichafua sana mtabidi aiseee ngoja
@lewisbeckamz4835
@lewisbeckamz4835 Жыл бұрын
Changamoto hiloo
@hidayaswai3119
@hidayaswai3119 Жыл бұрын
Waache wakutangaze. Ss tungekujuaje? Usijali wanakutangaza
@petermwidima8357
@petermwidima8357 2 жыл бұрын
Ipo sehemu gani hii studio??
@bennymochiwa4800
@bennymochiwa4800 3 жыл бұрын
dogo wewe kwenye guitar bado sana niizo effect tu zinakubeba upigaji wako wa kawaida sana, fanya sana mazoez vidole vyako bado vizito sana
@eliasjerusalem3978
@eliasjerusalem3978 3 жыл бұрын
Ndio kaka sema hawa jamani wamenifanyia uhuni sana kuniweka mtandaoni nionekane najikweza Walaniwe sana awa jamaaa kwanini msingeniambia mnamiweka mtandaoni mbona menifanyia uhuni hivyo aiseee kwanza nilipiga nyimbo kibau za wasani hapo amkunipa ata kumi na mtandaoni mnaniweka vip aiseee
@sunguramweusi9195
@sunguramweusi9195 3 жыл бұрын
@@eliasjerusalem3978 hiv unamjua Kenny guitar ww hahahahaa
@eliasjerusalem3978
@eliasjerusalem3978 3 жыл бұрын
Muulize yeye
@isaackokah3446
@isaackokah3446 Жыл бұрын
@@eliasjerusalem3978 kaka una kiburi mingi, hata kwa maongezi tu. Grow up bana.
@bensolo8313
@bensolo8313 Жыл бұрын
Kila kitu pole pole na wakati wake kaka... Muda wake waja🎸🔥🙏🏽🙏🏽
@isaackokah3446
@isaackokah3446 Жыл бұрын
Skia kiburi..... Nkt. Na saa hizo ni makelele tu
@bonncarlos245
@bonncarlos245 Жыл бұрын
Ni effects tu na kiburi nyingi, Yuko poa lakini sio mkali sana
@kakaemanuelelias6963
@kakaemanuelelias6963 Жыл бұрын
Huyo bado aje tuweke shindano
@frankjonas7704
@frankjonas7704 Жыл бұрын
Mashindano ya ninii??..Wanamuziki hawapo hivyo mashindano ya kijinga
@chrisjjustina5210
@chrisjjustina5210 Жыл бұрын
Namba za simu napataje Lema? Kuna kazi flani hivi unahitajika
@hamedhabsi8973
@hamedhabsi8973 3 жыл бұрын
Lema
@gutehno1450
@gutehno1450 3 жыл бұрын
Bro napenda niwe mwafunzi wako pokea ombi lng
@eliasjerusalem3978
@eliasjerusalem3978 3 жыл бұрын
Bro hawa ni wauni tuu wameamuwa kuniweka mtandaoni na kunichafua
@kamiliusherbert2811
@kamiliusherbert2811 9 ай бұрын
Kaka nisaidie namba ya lema solo
@ezesolo4861
@ezesolo4861 3 жыл бұрын
Sebene anazingua hana touch ya sebene apige miziki mingne
@eliasjerusalem3978
@eliasjerusalem3978 3 жыл бұрын
Ni kweli kaka awa jamaa wauni tuu wameamuwa kunizalilisha brother
@eliasjerusalem3978
@eliasjerusalem3978 3 жыл бұрын
Nilienda studio kwao ata ela ya nauli yenyewe sikupata na nilipiga nyimbo nyingi alafu tena wananiweka mtandaoni bila kuniambia bila kunipanga aiseee
@esthermalecela8825
@esthermalecela8825 3 жыл бұрын
We mbn unakuwa hvi?
@Shammy-rn3tn
@Shammy-rn3tn 2 жыл бұрын
@@eliasjerusalem3978 uko vizuri usisikie maneno ya wakatishaji tamaa. wachache wenye uwezo wako.
@obedjoseph5588
@obedjoseph5588 Жыл бұрын
Kaka Eze bora umekuja maana kwa sebene nafikiri anatakiwa ajifunze kwako
@yusuphmarka5868
@yusuphmarka5868 3 жыл бұрын
Mbona wakawaida tu huyo
@eliasjerusalem3978
@eliasjerusalem3978 3 жыл бұрын
Kwely bro ni watu tuu wameamua kunichafua kuniweka mtandaoni nionekane najikweza aiseee
@Shammy-rn3tn
@Shammy-rn3tn 2 жыл бұрын
sio kawaida sana. yuko vizuri sana.
@zachatz2696
@zachatz2696 Жыл бұрын
Humuwei gripa wewe
HUYU NDIYE EMMA GRIPA,MPIGA GITAA LA SOLO MAARUFU TANZANIA
23:13
Chumvi Ya Dunia
Рет қаралды 6 М.
MAESTRO DEKULA: jifunze kupiga Solo la Sina Makosa!
4:13
Kahanga Dekula
Рет қаралды 108 М.
1ОШБ Да Вінчі навчання
00:14
AIRSOFT BALAN
Рет қаралды 4,5 МЛН
طردت النملة من المنزل😡 ماذا فعل؟🥲
00:25
Cool Tool SHORTS Arabic
Рет қаралды 32 МЛН
managed to catch #tiktok
00:16
Анастасия Тарасова
Рет қаралды 54 МЛН
MEET THE BEST GUITARIST IN THE WORLD BENJAMIN KABASEKE..
23:48
Kay G Mtoto Wa Mungu TV
Рет қаралды 35 М.
#YESU NIPELEKE-OOH LULU BY MTONI EVANGELICAL SINGERS #Tutorial
12:37
PRO JAK OFFICIAL
Рет қаралды 3,2 М.
ROSE MUHANDO NIBEBE: Jinsi ya kupiga Rythm na Solo mwanzo mwisho
26:45
TheVetMusician Dr. Ng'umbi
Рет қаралды 4,3 М.
Sandra solo seben recording in the studio #subscribe_share_comment
13:10
JAMAA MWENYE KIPAJI CHA AJABU |TAZAMA ANACHOKIFANYA MDOMONI KWAKE
35:08
Maximum Tv Online
Рет қаралды 27 М.
1ОШБ Да Вінчі навчання
00:14
AIRSOFT BALAN
Рет қаралды 4,5 МЛН