Tujitaidi kujisajili ili kuendelea kupata wachezaji wazuri daima mbele nyuma mwiko🇹🇿🔰✔️
@elikindomondo35692 ай бұрын
kweli kabsa
@AshimuMuhammad2 ай бұрын
Kabsa kbsa😊
@salimhusseni47842 ай бұрын
Nimeona kitu kinanipa wasis baka kamanda baka kajishika msuli wa nyuma ya paja
@MrMatikiti_kudondoka2 ай бұрын
mtu wa maan kabisa
@ThabitiMkemwa2 ай бұрын
Hakika
@michaelkapaya71642 ай бұрын
IPO SIKU KUNA TIMU KUBWA AFRICA HII ITAKUJA KUPATA AIBU KUTOKA KWENYE HILI JESHI LA GAMOND IPO SIKU 👏👏
@AdeniKasalile2 ай бұрын
Yanga daima nyuma mwiko hongera wachezaji wote kwa ushindi 1 rais wa yanga 👏👏👏👏👏👏
@emmilemalewa42572 ай бұрын
Kweli Yanga wapo kiuwelred zaidi, na Wana jambo zito msimu huu. Mungu akubali dhamira na malengo yetu yatimie aamin
@abdunnurahmedsilim74562 ай бұрын
I do like this attitude and spirt! Keep it up boys till we reach finals and bring CAF TROPHY to TZ. For us every team we face is a tough opponent and a stumbling block on our way towards achieving our goals
@AshourAli-d3e2 ай бұрын
Allah awanusur n madua mabay y mahasid kwa uwez wa Allah tutaimaliz safar salam.
@fatmaomar8335Ай бұрын
Daima mbele nyuma mwiko 💛💛💛💛💚💚💚💚
@MagangaJuma-w9d2 ай бұрын
Mungu ibariki yanga baba inshallah tutashinda daima mbele nyuma mwiko
@blackwarrior-animations5932 ай бұрын
Safi sana Jeshi Langu Hakuna Kucheka na Kima
@claratango92622 ай бұрын
Mungu Ibariki Yanga Mungu Ibariki Tanzania 🙏🙏🙏
@babuumaeda76712 ай бұрын
BALEKE 🎉🎉🎉🎉
@Papycon22_2 ай бұрын
Yanga kama Real Madrid 🔥🔥
@Mariejo123-g2x2 ай бұрын
Ndio maana mnashinda sana, mbajiandaa vizuri kila wakati. Pongezi kwenu💚🇹🇿🇹🇿💛
@AgenesMugema2 ай бұрын
Nawaombea mje na Ushindi, mpambane kweli Kagera uwa inakomaa sana.👍👍👍
@rachelcheyo-p5z2 ай бұрын
Love yanga
@mwajumampokileomckapela75412 ай бұрын
All the best chama langu💚🖤💛
@radhiamussa16292 ай бұрын
Ila wachezaji waache ubinafsi kwenye mechi ya vital o tungefunga zaidi ya nane ila kunasehemu ya kutoa pasi wachezaji wanalazimisha kufunga mfano kwa Aziz ki na max nafasi walipata zakumtoa pasi ambazo zingekuwa magoli ila wakataka wafunge wenyewe ushirikiano ukiwepo magoli mengi sana yatafungwa na msipo lizingatia Hilo huko club bingwa michezo migumu inayofatia ubinafsi utaicost team
@josephmapesa712 ай бұрын
uko sawa, ila wakati mwingine huwa ni tofauti kama timu ishapata matokeo na ikiwa inatafuta matokeo. pia unakuta timu imezidiwa sana hasa ktk kutengeneza nafasi, hapo ndo utahisi ni ubinafsi ila wao wanacheza pata potea aone labda goli linaweza kupatikana
@pacomezouzoua91752 ай бұрын
Mzize ni drogba mtupu🎉🎉
@MarkBenedict-w5c2 ай бұрын
Chama baba chamaaaaaaa🎉🎉🎉💛💛💚💚🔰
@Aviwamwadin-so3vy2 ай бұрын
Leo wa kwanza🎉🎉🎉
@AshamiBoy2 ай бұрын
Timu hii ni Bora sana
@aishabakari80402 ай бұрын
Chama langu 😇🔰🔰🔰🔰🔰
@hajiali15722 ай бұрын
Madawa ya wachezaj wetu yanaazia hapa
@elikindomondo35692 ай бұрын
jamani tuji sajili na uana chama
@Pachamasele2 ай бұрын
Tujisajili jamani tunapenda wachezaji wazuri awaji bila kuwa na pesa
@innocentmmandago30292 ай бұрын
Good luck!
@Youtuber-Tanzania2 ай бұрын
keep building the greatest Team ever seen in our Country
@joojombi23412 ай бұрын
Ndo kazi yao, hakuna kulala wanasafari ndefu sana bado kabisa
@selemanisalum76852 ай бұрын
Hangalia sehemu ya mazoezi timu km za mbele wanavyolelewa alafu mtu anapigwa 10 mnasema wanatumia madawa unakili kweli weee
@errydeo88652 ай бұрын
Huu ndo uchawi wenyewe sasa! Hakuna uchawi ktk mpira wa kisasa kama huu!
@innocentmmandago30292 ай бұрын
Mungu awabariki sana!
@danielbenard90532 ай бұрын
Let us proud of our team
@MalinoKadwame-u1c2 ай бұрын
Jamn I yanga au ipo free masoni
@KudraEliasa2 ай бұрын
Yanga laha San mazoezi mazuli san
@ibrahimmzito3902 ай бұрын
kila atua dua daima mbele nyuma mwiko
@DoreenMlay-e8g2 ай бұрын
oneni watu wanavomwaga jasho alafu m2 ukipigwa hamsa mnallalamika kaeni kwa kwa ku2lia wapinzani wa yanga
@MzeewaYanga-hm8jq2 ай бұрын
🙏🙏🙏💪💪💪
@innocentmmandago30292 ай бұрын
Daima mbele, nyuma mwiko!
@patrickndizeye21902 ай бұрын
Mabingwa balaa tupu❤
@chollejr_2 ай бұрын
Ili zoezi walilomalizia kina aucho unaweza kufa mapaja😂😂😂
@amanilupembe97882 ай бұрын
Daima mbele
@shaftmrutu79622 ай бұрын
Background music ni nzuri sana ila mpunguze kidogo sauti ili tuburudike.vizuri zaidi. Yanga raha jamani.
@georgepewa96242 ай бұрын
Tukajisahiri tupate kadi ya uwanachama ili club ipate wachezaji bora
@maliadii48292 ай бұрын
ALISEMA ANAOGOPA WACHEZAJI 2 ENGINEER HERSI NA ALI KAMWE 😂😂😂HAKUKOSEA 💚💛💚💛
@sosomacharles99202 ай бұрын
Sanda huku wanapiga kelele sana jamani
@MwanaidiJuma-z8x2 ай бұрын
Mm nampenda boka nipo Kenya ukweli msinishangae
@rukaya-jg7hj2 ай бұрын
My team 😂🎉
@jairatu6882 ай бұрын
Halafu kuna mwehu mmoja anasema yanga wanatumia madawa ya kuongeza nguvu ......hivi hawaoni mazoezi mnayoyafanya
@jambia45152 ай бұрын
Aya ndio mambo tiliyakosa muda mrefu tuwashukuru walowekeza
@athumaninyituki70112 ай бұрын
Yang
@MwamvuaMwita2 ай бұрын
A ziz ki. Hayupo
@MasterG-dc1tx2 ай бұрын
Viva yanga
@sosomacharles99202 ай бұрын
Anzeni kumnoa Baleke aive na yy
@malietamaliet2 ай бұрын
Jmn mngewaacha wapumzike ata Leo tu kuna timu hazitakuja uwanjani😂
@WinnieMashinga2 ай бұрын
Anatokea mjinga mmoja Anasema wachezaji wa Yanga wanatumia madawa yakuongeza nguvu
@songombingo1082 ай бұрын
Hizi mambo huzikuti kwa Madunduka😂😂
@selemanisalum76852 ай бұрын
Takiri yao anaelewa ya kuwaweka kambi km hiyo alafu hao viongozi wao wanaueledi wa mpira
@proisolution71662 ай бұрын
HII NI ISHARA KWAMBA MAONI YETU MNAYAFANYIA KAZI,KEEP IT UP ,WE PRAY AND PLEDGE IF THERE IS ANY MEANS OR WAY OF PHYSICAL IMPROVEMENT TO HAVE A LEVEL OF EUROPEAN TEAMS STANDARD WE WILLSURELY WIN AFRICAN CLUB CHAMPIONS LEAGUE CUP,AS WE ALWAYS FAIL LACKING PHYSICAL BATTLES MENTALY NOT QUALITY. KEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEP IIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIT UUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUP,TIMU KAMA HAYA MA FOUNTAIN NA TABORA NOT OUR STANDARD .
@ushiwamarandu74332 ай бұрын
hawa ndiyo watu wakazi sasa...!
@Alinda-ot4no2 ай бұрын
my team 👊
@MatikiMwibeleca2 ай бұрын
Ongeran San from USA 🇺🇸
@justinathanas67832 ай бұрын
🔥🔥🔥
@DoreenMlay-e8g2 ай бұрын
sidhani kama haya mazoezi yako kwa madunduka hua nawaona wanarukaruka 2 kule kwenye mashamba ya mpunga
@IyumbuMartine2 ай бұрын
Hakuna kupoa,,, next stop kaitabaaaaaaaaaaa wahaya twaja huko
@youngshisha61152 ай бұрын
Mazoezi ya yangu sio mchezo jasho lazima likutoke la kutoshaa 😅😅😅😅
@zuberihassan36292 ай бұрын
Faridi Musa sioni hat kucheza
@IddyMwaimu2 ай бұрын
❤❤❤
@dengahmediatz12302 ай бұрын
Ipo siku yanga tutawapiga 5 -0 alafu chama mzee
@JaphetMasalu-n9d2 ай бұрын
Hakuna kupowa
@YusuphBupamba2 ай бұрын
Ibrahim bacca unategea komaa mwamba wetu
@AhmedHussein-l3t2 ай бұрын
Aziz ki where are you
@barikilangoy47372 ай бұрын
Kwa hamisa mobeto
@danfordmwangesile90432 ай бұрын
Yanga taifa kubwa. Daima mbele nyuma mwiko. MNYAKYUSA toka ZANZIBAR
@hemedbakari89972 ай бұрын
YANGA inaitwa Umoja wa Mataifa mikia ndio inaitwa taifa kubwa hata zamani kulikua na kanga zimeandikwa hivyo
EXPENSIVE TRAIN FOR BRING CAF TRAPHOY IN TZ. DONT LISTEN WHAT THEY SAY JUST LOOK FORWAD. ONE DAY YOU" LL READ MY COMMENT.AFTER MISSION ACCOMPLISHED.
@rukaya-jg7hj2 ай бұрын
Kwaio pacome anajua kisawhili
@JeniphaRobert2 ай бұрын
Hajui hata
@himanmwalwala75692 ай бұрын
WAACHE tu kutumia
@ushiwamarandu74332 ай бұрын
KWANAMANA HII NI LAZMA WASEME WANATUMIA MADAWA DADEK...!
@fatmasuleiman38852 ай бұрын
Watu.ktk kusajiri ndio km wazito furaha wanaitaka jitahidini kuwa wana chama kamili
@amanizavala2 ай бұрын
Utopolo
@abdunnurahmedsilim74562 ай бұрын
Kolokwinyo zavala! Hakikisha unaendelea kumeza panadol za kutosha ili angalau upunguze maumivu lakini tambua Panadol haziondoshi mateso.. kwa hiyo endeleeni kuteseka kisha go to hell!😂😂😂😂😂
@aishabakari80402 ай бұрын
Kolo
@gracemtonga32632 ай бұрын
Ubaya ubwela ndo huu Sasa! Kolozidad mpo!
@Abuu-gs1yi2 ай бұрын
Unasemaje bibie Deborah
@vestinamartin85702 ай бұрын
💚💛💚💛🫶🏻
@joshemman5202 ай бұрын
yao hakumsalimia baka na baka ni kama alijua like hawakosawa