HAKUNA KUPOA! CHAMA, WACHEZAJI WENGINE WALIVYOFANYA MAZOEZI GYM BAADA YA KUMCHAPA VITAL'O 6-0

  Рет қаралды 34,249

Yanga TV

Yanga TV

Күн бұрын

Пікірлер: 111
@mrrockboy9508
@mrrockboy9508 2 ай бұрын
Tujitaidi kujisajili ili kuendelea kupata wachezaji wazuri daima mbele nyuma mwiko🇹🇿🔰✔️
@elikindomondo3569
@elikindomondo3569 2 ай бұрын
kweli kabsa
@AshimuMuhammad
@AshimuMuhammad 2 ай бұрын
Kabsa kbsa😊
@salimhusseni4784
@salimhusseni4784 2 ай бұрын
Nimeona kitu kinanipa wasis baka kamanda baka kajishika msuli wa nyuma ya paja
@MrMatikiti_kudondoka
@MrMatikiti_kudondoka 2 ай бұрын
mtu wa maan kabisa
@ThabitiMkemwa
@ThabitiMkemwa 2 ай бұрын
Hakika
@michaelkapaya7164
@michaelkapaya7164 2 ай бұрын
IPO SIKU KUNA TIMU KUBWA AFRICA HII ITAKUJA KUPATA AIBU KUTOKA KWENYE HILI JESHI LA GAMOND IPO SIKU 👏👏
@AdeniKasalile
@AdeniKasalile 2 ай бұрын
Yanga daima nyuma mwiko hongera wachezaji wote kwa ushindi 1 rais wa yanga 👏👏👏👏👏👏
@emmilemalewa4257
@emmilemalewa4257 2 ай бұрын
Kweli Yanga wapo kiuwelred zaidi, na Wana jambo zito msimu huu. Mungu akubali dhamira na malengo yetu yatimie aamin
@abdunnurahmedsilim7456
@abdunnurahmedsilim7456 2 ай бұрын
I do like this attitude and spirt! Keep it up boys till we reach finals and bring CAF TROPHY to TZ. For us every team we face is a tough opponent and a stumbling block on our way towards achieving our goals
@AshourAli-d3e
@AshourAli-d3e 2 ай бұрын
Allah awanusur n madua mabay y mahasid kwa uwez wa Allah tutaimaliz safar salam.
@fatmaomar8335
@fatmaomar8335 Ай бұрын
Daima mbele nyuma mwiko 💛💛💛💛💚💚💚💚
@MagangaJuma-w9d
@MagangaJuma-w9d 2 ай бұрын
Mungu ibariki yanga baba inshallah tutashinda daima mbele nyuma mwiko
@blackwarrior-animations593
@blackwarrior-animations593 2 ай бұрын
Safi sana Jeshi Langu Hakuna Kucheka na Kima
@claratango9262
@claratango9262 2 ай бұрын
Mungu Ibariki Yanga Mungu Ibariki Tanzania 🙏🙏🙏
@babuumaeda7671
@babuumaeda7671 2 ай бұрын
BALEKE 🎉🎉🎉🎉
@Papycon22_
@Papycon22_ 2 ай бұрын
Yanga kama Real Madrid 🔥🔥
@Mariejo123-g2x
@Mariejo123-g2x 2 ай бұрын
Ndio maana mnashinda sana, mbajiandaa vizuri kila wakati. Pongezi kwenu💚🇹🇿🇹🇿💛
@AgenesMugema
@AgenesMugema 2 ай бұрын
Nawaombea mje na Ushindi, mpambane kweli Kagera uwa inakomaa sana.👍👍👍
@rachelcheyo-p5z
@rachelcheyo-p5z 2 ай бұрын
Love yanga
@mwajumampokileomckapela7541
@mwajumampokileomckapela7541 2 ай бұрын
All the best chama langu💚🖤💛
@radhiamussa1629
@radhiamussa1629 2 ай бұрын
Ila wachezaji waache ubinafsi kwenye mechi ya vital o tungefunga zaidi ya nane ila kunasehemu ya kutoa pasi wachezaji wanalazimisha kufunga mfano kwa Aziz ki na max nafasi walipata zakumtoa pasi ambazo zingekuwa magoli ila wakataka wafunge wenyewe ushirikiano ukiwepo magoli mengi sana yatafungwa na msipo lizingatia Hilo huko club bingwa michezo migumu inayofatia ubinafsi utaicost team
@josephmapesa71
@josephmapesa71 2 ай бұрын
uko sawa, ila wakati mwingine huwa ni tofauti kama timu ishapata matokeo na ikiwa inatafuta matokeo. pia unakuta timu imezidiwa sana hasa ktk kutengeneza nafasi, hapo ndo utahisi ni ubinafsi ila wao wanacheza pata potea aone labda goli linaweza kupatikana
@pacomezouzoua9175
@pacomezouzoua9175 2 ай бұрын
Mzize ni drogba mtupu🎉🎉
@MarkBenedict-w5c
@MarkBenedict-w5c 2 ай бұрын
Chama baba chamaaaaaaa🎉🎉🎉💛💛💚💚🔰
@Aviwamwadin-so3vy
@Aviwamwadin-so3vy 2 ай бұрын
Leo wa kwanza🎉🎉🎉
@AshamiBoy
@AshamiBoy 2 ай бұрын
Timu hii ni Bora sana
@aishabakari8040
@aishabakari8040 2 ай бұрын
Chama langu 😇🔰🔰🔰🔰🔰
@hajiali1572
@hajiali1572 2 ай бұрын
Madawa ya wachezaj wetu yanaazia hapa
@elikindomondo3569
@elikindomondo3569 2 ай бұрын
jamani tuji sajili na uana chama
@Pachamasele
@Pachamasele 2 ай бұрын
Tujisajili jamani tunapenda wachezaji wazuri awaji bila kuwa na pesa
@innocentmmandago3029
@innocentmmandago3029 2 ай бұрын
Good luck!
@Youtuber-Tanzania
@Youtuber-Tanzania 2 ай бұрын
keep building the greatest Team ever seen in our Country
@joojombi2341
@joojombi2341 2 ай бұрын
Ndo kazi yao, hakuna kulala wanasafari ndefu sana bado kabisa
@selemanisalum7685
@selemanisalum7685 2 ай бұрын
Hangalia sehemu ya mazoezi timu km za mbele wanavyolelewa alafu mtu anapigwa 10 mnasema wanatumia madawa unakili kweli weee
@errydeo8865
@errydeo8865 2 ай бұрын
Huu ndo uchawi wenyewe sasa! Hakuna uchawi ktk mpira wa kisasa kama huu!
@innocentmmandago3029
@innocentmmandago3029 2 ай бұрын
Mungu awabariki sana!
@danielbenard9053
@danielbenard9053 2 ай бұрын
Let us proud of our team
@MalinoKadwame-u1c
@MalinoKadwame-u1c 2 ай бұрын
Jamn I yanga au ipo free masoni
@KudraEliasa
@KudraEliasa 2 ай бұрын
Yanga laha San mazoezi mazuli san
@ibrahimmzito390
@ibrahimmzito390 2 ай бұрын
kila atua dua daima mbele nyuma mwiko
@DoreenMlay-e8g
@DoreenMlay-e8g 2 ай бұрын
oneni watu wanavomwaga jasho alafu m2 ukipigwa hamsa mnallalamika kaeni kwa kwa ku2lia wapinzani wa yanga
@MzeewaYanga-hm8jq
@MzeewaYanga-hm8jq 2 ай бұрын
🙏🙏🙏💪💪💪
@innocentmmandago3029
@innocentmmandago3029 2 ай бұрын
Daima mbele, nyuma mwiko!
@patrickndizeye2190
@patrickndizeye2190 2 ай бұрын
Mabingwa balaa tupu❤
@chollejr_
@chollejr_ 2 ай бұрын
Ili zoezi walilomalizia kina aucho unaweza kufa mapaja😂😂😂
@amanilupembe9788
@amanilupembe9788 2 ай бұрын
Daima mbele
@shaftmrutu7962
@shaftmrutu7962 2 ай бұрын
Background music ni nzuri sana ila mpunguze kidogo sauti ili tuburudike.vizuri zaidi. Yanga raha jamani.
@georgepewa9624
@georgepewa9624 2 ай бұрын
Tukajisahiri tupate kadi ya uwanachama ili club ipate wachezaji bora
@maliadii4829
@maliadii4829 2 ай бұрын
ALISEMA ANAOGOPA WACHEZAJI 2 ENGINEER HERSI NA ALI KAMWE 😂😂😂HAKUKOSEA 💚💛💚💛
@sosomacharles9920
@sosomacharles9920 2 ай бұрын
Sanda huku wanapiga kelele sana jamani
@MwanaidiJuma-z8x
@MwanaidiJuma-z8x 2 ай бұрын
Mm nampenda boka nipo Kenya ukweli msinishangae
@rukaya-jg7hj
@rukaya-jg7hj 2 ай бұрын
My team 😂🎉
@jairatu688
@jairatu688 2 ай бұрын
Halafu kuna mwehu mmoja anasema yanga wanatumia madawa ya kuongeza nguvu ......hivi hawaoni mazoezi mnayoyafanya
@jambia4515
@jambia4515 2 ай бұрын
Aya ndio mambo tiliyakosa muda mrefu tuwashukuru walowekeza
@athumaninyituki7011
@athumaninyituki7011 2 ай бұрын
Yang
@MwamvuaMwita
@MwamvuaMwita 2 ай бұрын
A ziz ki. Hayupo
@MasterG-dc1tx
@MasterG-dc1tx 2 ай бұрын
Viva yanga
@sosomacharles9920
@sosomacharles9920 2 ай бұрын
Anzeni kumnoa Baleke aive na yy
@malietamaliet
@malietamaliet 2 ай бұрын
Jmn mngewaacha wapumzike ata Leo tu kuna timu hazitakuja uwanjani😂
@WinnieMashinga
@WinnieMashinga 2 ай бұрын
Anatokea mjinga mmoja Anasema wachezaji wa Yanga wanatumia madawa yakuongeza nguvu
@songombingo108
@songombingo108 2 ай бұрын
Hizi mambo huzikuti kwa Madunduka😂😂
@selemanisalum7685
@selemanisalum7685 2 ай бұрын
Takiri yao anaelewa ya kuwaweka kambi km hiyo alafu hao viongozi wao wanaueledi wa mpira
@proisolution7166
@proisolution7166 2 ай бұрын
HII NI ISHARA KWAMBA MAONI YETU MNAYAFANYIA KAZI,KEEP IT UP ,WE PRAY AND PLEDGE IF THERE IS ANY MEANS OR WAY OF PHYSICAL IMPROVEMENT TO HAVE A LEVEL OF EUROPEAN TEAMS STANDARD WE WILLSURELY WIN AFRICAN CLUB CHAMPIONS LEAGUE CUP,AS WE ALWAYS FAIL LACKING PHYSICAL BATTLES MENTALY NOT QUALITY. KEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEP IIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIT UUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUP,TIMU KAMA HAYA MA FOUNTAIN NA TABORA NOT OUR STANDARD .
@ushiwamarandu7433
@ushiwamarandu7433 2 ай бұрын
hawa ndiyo watu wakazi sasa...!
@Alinda-ot4no
@Alinda-ot4no 2 ай бұрын
my team 👊
@MatikiMwibeleca
@MatikiMwibeleca 2 ай бұрын
Ongeran San from USA 🇺🇸
@justinathanas6783
@justinathanas6783 2 ай бұрын
🔥🔥🔥
@DoreenMlay-e8g
@DoreenMlay-e8g 2 ай бұрын
sidhani kama haya mazoezi yako kwa madunduka hua nawaona wanarukaruka 2 kule kwenye mashamba ya mpunga
@IyumbuMartine
@IyumbuMartine 2 ай бұрын
Hakuna kupoa,,, next stop kaitabaaaaaaaaaaa wahaya twaja huko
@youngshisha6115
@youngshisha6115 2 ай бұрын
Mazoezi ya yangu sio mchezo jasho lazima likutoke la kutoshaa 😅😅😅😅
@zuberihassan3629
@zuberihassan3629 2 ай бұрын
Faridi Musa sioni hat kucheza
@IddyMwaimu
@IddyMwaimu 2 ай бұрын
❤❤❤
@dengahmediatz1230
@dengahmediatz1230 2 ай бұрын
Ipo siku yanga tutawapiga 5 -0 alafu chama mzee
@JaphetMasalu-n9d
@JaphetMasalu-n9d 2 ай бұрын
Hakuna kupowa
@YusuphBupamba
@YusuphBupamba 2 ай бұрын
Ibrahim bacca unategea komaa mwamba wetu
@AhmedHussein-l3t
@AhmedHussein-l3t 2 ай бұрын
Aziz ki where are you
@barikilangoy4737
@barikilangoy4737 2 ай бұрын
Kwa hamisa mobeto
@danfordmwangesile9043
@danfordmwangesile9043 2 ай бұрын
Yanga taifa kubwa. Daima mbele nyuma mwiko. MNYAKYUSA toka ZANZIBAR
@hemedbakari8997
@hemedbakari8997 2 ай бұрын
YANGA inaitwa Umoja wa Mataifa mikia ndio inaitwa taifa kubwa hata zamani kulikua na kanga zimeandikwa hivyo
@barikilangoy4737
@barikilangoy4737 2 ай бұрын
Rudi nyumban zanzibar akuna kabila,wanajiita waswahili
@morningstarartproduction8436
@morningstarartproduction8436 2 ай бұрын
𝐘𝐚𝐧𝐠𝐚 𝐟𝐚𝐜𝐢𝐥𝐢𝐭𝐢𝐞𝐬 𝐤𝐚𝐦𝐚 𝐭𝐢𝐦𝐮 𝐳𝐚 𝐮𝐥𝐚𝐲𝐚 𝐭𝐮
@LukaKisoka
@LukaKisoka 2 ай бұрын
Nani kamuona chama akisema mabululu
@edithajohn9600
@edithajohn9600 2 ай бұрын
Wanaume wanamwaga jasho tu,,,
@MomadeMudimoz70-cs2ud
@MomadeMudimoz70-cs2ud 2 ай бұрын
🙏🙏🔰🔰💚💚💛💛💛🔥🔥🏆
@mjinjasagamambi7531
@mjinjasagamambi7531 2 ай бұрын
Mkude kamwagika maji😅
@barakawabuge5285
@barakawabuge5285 2 ай бұрын
Khee shekani yupo ?😂
@tevintevin6254
@tevintevin6254 2 ай бұрын
Kwani kibwana kafiwaa????😂😂😂😂
@FredyCharles-sz4gr
@FredyCharles-sz4gr 2 ай бұрын
Mbon kam kibwan shomar anaraa shida nn
@IyumbuMartine
@IyumbuMartine 2 ай бұрын
Ila sijamuona Max
@frida-oi6kw
@frida-oi6kw 2 ай бұрын
Yupo mbona
@IyumbuMartine
@IyumbuMartine 2 ай бұрын
@@frida-oi6kw au sijaangalia vzr
@fatmaally7252
@fatmaally7252 2 ай бұрын
Watu wanakula tizi uku la kuuwa mtu
@OmarOmar-gq5tk
@OmarOmar-gq5tk 2 ай бұрын
EXPENSIVE TRAIN FOR BRING CAF TRAPHOY IN TZ. DONT LISTEN WHAT THEY SAY JUST LOOK FORWAD. ONE DAY YOU" LL READ MY COMMENT.AFTER MISSION ACCOMPLISHED.
@rukaya-jg7hj
@rukaya-jg7hj 2 ай бұрын
Kwaio pacome anajua kisawhili
@JeniphaRobert
@JeniphaRobert 2 ай бұрын
Hajui hata
@himanmwalwala7569
@himanmwalwala7569 2 ай бұрын
WAACHE tu kutumia
@ushiwamarandu7433
@ushiwamarandu7433 2 ай бұрын
KWANAMANA HII NI LAZMA WASEME WANATUMIA MADAWA DADEK...!
@fatmasuleiman3885
@fatmasuleiman3885 2 ай бұрын
Watu.ktk kusajiri ndio km wazito furaha wanaitaka jitahidini kuwa wana chama kamili
@amanizavala
@amanizavala 2 ай бұрын
Utopolo
@abdunnurahmedsilim7456
@abdunnurahmedsilim7456 2 ай бұрын
Kolokwinyo zavala! Hakikisha unaendelea kumeza panadol za kutosha ili angalau upunguze maumivu lakini tambua Panadol haziondoshi mateso.. kwa hiyo endeleeni kuteseka kisha go to hell!😂😂😂😂😂
@aishabakari8040
@aishabakari8040 2 ай бұрын
Kolo
@gracemtonga3263
@gracemtonga3263 2 ай бұрын
Ubaya ubwela ndo huu Sasa! Kolozidad mpo!
@Abuu-gs1yi
@Abuu-gs1yi 2 ай бұрын
Unasemaje bibie Deborah
@vestinamartin8570
@vestinamartin8570 2 ай бұрын
💚💛💚💛🫶🏻
@joshemman520
@joshemman520 2 ай бұрын
yao hakumsalimia baka na baka ni kama alijua like hawakosawa
@mgenikhalfan9258
@mgenikhalfan9258 2 ай бұрын
𝙖𝙢𝙖𝙣 𝙬𝙬 𝙠𝙬𝙚𝙡𝙞 𝙣𝙜𝙪𝙧𝙪𝙬𝙚 𝙛𝙘 𝙢𝙖𝙖𝙣𝙖 𝙠𝙞𝙡𝙖 𝙨𝙞𝙠𝙪 𝙪𝙣𝙖𝙪𝙢𝙞𝙖 𝙬𝙬 𝙩𝙪 𝙮𝙖𝙣𝙜𝙖 𝙮𝙚𝙩𝙪 𝙠𝙚𝙣𝙜𝙚 𝙬𝙬 𝙨𝙖𝙣𝙙𝙖 𝙛𝙘
@MwanaidiJuma-z8x
@MwanaidiJuma-z8x 2 ай бұрын
Haki mm nikwambie ukweli atanikifa Leo but nipo Kenya ila nampenda sana boka mwambieni namanisha
@LightnessCharlseKimaro
@LightnessCharlseKimaro 2 ай бұрын
𝑴𝒚 𝒇𝒂𝒗𝒐𝒓𝒊𝒕𝒆 𝒕𝒆𝒂𝒎
Wait for the last one 🤣🤣 #shorts #minecraft
00:28
Cosmo Guy
Рет қаралды 17 МЛН
World’s strongest WOMAN vs regular GIRLS
00:56
A4
Рет қаралды 4,8 МЛН
Who’s the Real Dad Doll Squid? Can You Guess in 60 Seconds? | Roblox 3D
00:34
Family Love #funny #sigma
00:16
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 13 МЛН
Cristiano Ronaldo First Match For Man Utd
19:56
Moon Ball
Рет қаралды 2,2 МЛН
Wait for the last one 🤣🤣 #shorts #minecraft
00:28
Cosmo Guy
Рет қаралды 17 МЛН