"HAKUNA MAHALI KATIBA INASEMA WATU WAOMBE KIBALI CHA KUANDAMANA" OLENGURUMWA AFAFANUA KIUNDANI

  Рет қаралды 75

WATETEZI TV

WATETEZI TV

Күн бұрын

Mratibu kitaifa wa Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC) Wakili Onesmo Olengurumwa ametoa ufafanuzi juu ya Haki ya kuandamana kwa raia katika nchi yao.
Wakili Olengurumwa anatoa ufafanuzi huu ikiwa ni katika wakati ambao jeshi la Polisi limetoa tangazo la katazo la maandamano ya amani yaliyopangwa kufanywa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema mnamo 23 Sept 2024.
Wakili Olengurumwa amesema katiba inatoa Haki kwa raia kuandamana kwa amani ikiwa ni sehemu ya kuonesha au kupaza sauti juu ya mambo ambayo waandamanaji hawaridhiki nayo au kupongeza yale yaliyowaridhisha.
“katiba yetu imeelekeza waandamanaji kutoa taarifa kwa jeshi la Polisi kwa barua kwamba siku Fulani tunapanga kuandamana katika eneo Fulani na Fulani kwa hiyo tunaomba jeshi la Polisi wawepo kwa ajili ya kutulinda” amesema Wakili Olengurumwa.
“Kwa hiyo watanzania waelewe kwamba Maandamano hakuna mahali popote unapotakiwa Kwenda kuomba kibali ili uandamane,yawe ni yale maandamano ya ghafla au yawe yale maandamano ya kupanga, hakuna mahali unapaswa Kwenda kuomba kibali, ni ambayo iko moja kwa moja” ameongeza Olengurumwa.
Chadema wametangaza kufanya maandamano yao ikiwa ni sehemu ya kuishinikiza serikali kuchukua hatua dhidi ya vitendo vya utekaji na mauaji ya wanachama wao ,vitendo ambavyo wanashikiza kupata majibu nah atua zilizochukuliwa mpaka sasa.

Пікірлер
Why are the seas salty? - CrowdScience podcast, BBC World Service
31:10
BBC World Service
Рет қаралды 18 М.
Players vs Corner Flags 🤯
00:28
LE FOOT EN VIDÉO
Рет қаралды 47 МЛН
Nastya and balloon challenge
00:23
Nastya
Рет қаралды 57 МЛН
Fake watermelon by Secret Vlog
00:16
Secret Vlog
Рет қаралды 16 МЛН
Ip Man 2 | The Boxing Competition
15:57
Cinewatch
Рет қаралды 8 МЛН
How Trump Turned Politics Into Profits
23:33
Forbes
Рет қаралды 4,1 М.
Playing the fuel: reforming Nigeria’s subsidies
22:38
The Economist
Рет қаралды 3,7 М.
JCPenney CEO on Revitalizing an Iconic American Brand
30:25
Fortune Magazine
Рет қаралды 484
At what age should kids be allowed smartphones? The debate is raging
35:20
Why has badminton become code for sex in Hong Kong?
12:46
BBC World Service
Рет қаралды 3,5 М.
#LIVE: SIMBA SC VS AL AHLY TRIPOLI LEO ( 0 - 0 )
SANGA TV
Рет қаралды 828
Why YouTubers are hitting burnout
11:08
BBC World Service
Рет қаралды 1,3 М.
Fighting scene, Donnie Yen vs Darren Shahlavi/Ip Man vs Twister
11:54
Fierce Fights with ASARGAS
Рет қаралды 75 МЛН
Players vs Corner Flags 🤯
00:28
LE FOOT EN VIDÉO
Рет қаралды 47 МЛН