Рет қаралды 35,469
Kuna Vitu Vingi Sana Vinafanyika Kwenye Game ya Bongo Fleva na Moja Kati ya Vitu Vikubwa VinavyoPush Ngoma za Wasanii ni Video Ambazo Wanazifanya.
Director @hanscana_ amezungumzia Safari yake ya Maisha wakati alipoanza kutengeneza Music Video na Wasanii mbalimbali mpaka kuja kuanza kushoot vichupa akiwa na wasanii wakubwa Africa Mashariki.
Akizungumza kwenye #EXCLUSIVE Hanscana ambae alianzia kazi zake Arusha anasema alikuja kutusua baada ya mkwanja alioanza kupewa na @vanessamdee @juma_jux Pamoja na Msanii @diamondplatnumz na hapo akaanza kununua vifaa na kutafuta sehemu nzuri kwa ajili ya kuishi.