Mungu akupe zaidi hii ni inpiration ya hali ya juu sana kama nitoe machozi but umegusa maisha ya watu direct ......one love @harmonize
@donjazzywaxer8566 жыл бұрын
Mkono yenye hubariki mungu lazima afungulie baraka wapi likes za harmonize
@fleuryndabazaniye76646 жыл бұрын
Harmonize mimi mtu shabiki wako sana wa Burundi nchi jirani, nasema hivi Mungu akubariki sana kwa kitendo unacho kifanya, God bless
@hasanmsonga7296 жыл бұрын
Fleury NDABAZANIYE kabisa mungu amjalie kiukwel
@khuzeimaabdul42756 жыл бұрын
Kwahili mwenyezi mungu akupe imani zaidi na zaidi upende na kusaidia watu.nakuombea moyo huo huo
@fredricklyimo32386 жыл бұрын
oi oi oi....umetisha sana mzee baba,salut sana man,nilikua sikukubali hata kidogo,ila nimeshangaa leo najikuta nakuchek na kuona unatoa misaada,ndio nimeanza kukuelewa leo kwa mara ya kwanza,na nitazidi kukuangalia katika safari yako ya matunda TEAM HAKUNA KUKATA TAMAA
@BidayoTV6 жыл бұрын
Mungu akubariki sana kaka, haya ni maisha tu najua wengi wanaweza kukubeza au kukuona unajionyesha lakini ukweli ni kuwa thawabu yako nikubwa sana kwa aliyekuumba. Nimejizuia nisiseme lakini nimeshindwa kbs. Umekuwa mfano mzuri wa kuigwa, Mara zote si wengi tunaokumbuka tuliko toka ila umeonyesha ijasili mkubwa sana. Have a nice music trip
@manyangumashala4666 жыл бұрын
Bidayo TV 8
@beckergushu45126 жыл бұрын
Swadakta akhiy jamaa umefanya jambo kubwa sana na la maana sana ila ushauri wangu tu ni kuwa next time utafute utaratibu fulani mzuri zaidi ili watu unaowasaidia uwe umewasaidia ndoano za kuvulia samaki na sio samaki. Ubarikiwe sana sana kwa kuwakumbuka wanaosota juani.
@snasirsaid21536 жыл бұрын
SUBHANNALLAH ALLAHH NDIE ATAKAE KUKUBARIKIA ZAIDI NA ZAID AMIN AMIN AMIN WANGEPATIKANA WATU KAMA 100 KAMA WEWE BASI TANZANIA HANGEPATA MTU YEYETO ANA SHIDA , YARABIY AWATIE NA WALIO VIONGOZI MATAJIRI WAWE NA WAO KAMA WEWE AWAHURUMIE WALIO CHINI KUWA INUWA KIMTAJI NA WAZEE NA WANAWAKE WALIO NA FAMELIYA AMIN YARABIY BASI NA VIONGOZI WENGINE IGENI MFANO HUO JAMANI DUNIA NI KUPITA TU 🤲
@refereetrainingcamp89826 жыл бұрын
Ahsante sana Hamonize kwa hatua hiyo kubwa sana uliyo fikia, Ni wachache sana wanao weza kufanya hivyo. Good bless You
@princesalumu9816 жыл бұрын
Vzur sn,ni mfano wa kuigwa kuludisha kidg ulichopata na kugawana na mashabiki zko,, Thumbs up bro👏👏👏👏
@averlinadickson69186 жыл бұрын
Dah, hadi machoz yananitoka, mwenyezi Mungu ampe maisha marefu Hamoniz
@charlinelamy80176 жыл бұрын
Harmonize god bless you je suis haïtienne j'aime tous ce que tu faire ça me faire pleurer de tout coeur
@kimbyjuma22596 жыл бұрын
Mola akuzidishie imani na huruma na azidi kukuruzuku hakika mola anakupenda umegusa wengi na huu mfano mola akutangulie kwa kila jambo lako
@erickgasto1315 жыл бұрын
amonaizi mungu akubaliki sana minibaa medi nimechoka kukesha kushikwashikwa matako nawateja nakukubali sana nisaidie mtajinifanye biashala zamchana nambayangu ni 0753822796
@Sheby896 жыл бұрын
safi sana kaka harmonize kwa musahada uliyutowa mimi niko south afriqua lakini ni mefurahisana
@shadodecaprio15046 жыл бұрын
safi sana broda mungu akulinde saana umefundisha waatu wasisahau watokapo JAH BLESS
@qwaraypaschal37046 жыл бұрын
Hongera sana kaka kwa kuwawezesha vijana na amin ulichokifanya si kidogo zaid wenzako waige huo mfano
@fatumaabdallah52465 жыл бұрын
kila unapotoa kwa moyo mweupe mungu anakuongezea zaidi ya hapo allah akupe nguvu uzidi kusaidia leo na kesho inshaallah
@edgarshirima_996 жыл бұрын
Kitu kizuri sana brother umefanya.God will increase you more #stayblessedharmonize
@abdirashidobado52816 жыл бұрын
noble act harmonize for giving back to the society, may ALLAH grant you even more. am big fun from Kenya
@jamalmzungu926 жыл бұрын
Harmoniz mungu awabariki sana huo ni mfano mzuri🙏🙏🙏💪
@martinkones95936 жыл бұрын
Konde boy endelea hivohivo kongole sana. Naona unasaidia wanaojisaidia kweli mkono mtupu haurambwi keep it up and God will bless you
@bbcc456 жыл бұрын
Mungu hakubalik cn hakupe maisha malefu nimependa cn hulichokifany dah nitazid kukuombea mungu hakuzidishie hili hutasidie wengi zaid we ni wamfano wakuigwa kbc mika yote kaka
@anisalutufyo30516 жыл бұрын
wewe ni watofauti sana mungu akubariki sana maana ni mara ya kwanza katika fan hiyo kufamya hivyo kurudi kwao
@oyanflavourtv32566 жыл бұрын
Nimependa saana kiongozi mungu azidi kukuongoza ktka maisha yako
@winniemwaikambo88326 жыл бұрын
nmelia sana mungu akupe moyo uo usichoke
@nrecords72226 жыл бұрын
Nimekupenda bure harmonize wang nlikuwa nakuchukia bure kumbe unaupendo waajabu hvyo, mungu akudhidixhie upate mafanikio ktk kaz zako.🙏🙏🙏🙏
@allychikoko18496 жыл бұрын
Mpaka nimelia Vizur brother mungu akuongoze ktk safari yako ya utafutaji amina
@jenjoseph72706 жыл бұрын
mungu msaidia hamonize kwa moyo wa huruma muongezeeriziki
mungu akubariki zaidi ya apo harmoniz Im so proudy about that god will bless you Im the one who is you fans keep it up napatikana amercan thanks for help those people cz akuna mtu aliye umbwa maskini ao tajiri
@elibarikinassary44446 жыл бұрын
harmonize mungu akuzidishie mafanikio yako
@asiaramazan32756 жыл бұрын
sawa konde boy nilikukosa kidogo sana yan sema big up nilikuona kwa mvali
@jacklolenjackson55116 жыл бұрын
Dah pamoja Sana hamornase kwa kuwakumbuka wajomba hapo K koo Mora atakujalia
@aminadaudi46806 жыл бұрын
Daah mungu akubariki sana wee kaka tena mungu akufungulie milango ya mafanikio zaidi ya hapo
@mursilmursal6 жыл бұрын
Wajua kutumia pesa kweli umeitumia kwa jambo la kheri kusaidi watu M.mungu amjalie kwa maana wengine wanapeleka katika jambo la shari
@kufredavid16456 жыл бұрын
Love this! Proudly African
@mwanaherimohamedy69786 жыл бұрын
Alipotoka anajua, mungu akubaliki kwa hili inshallah
@athumanomary14386 жыл бұрын
Ewe mwenyez MUNGU ewe mwenyez MUNGU ewe mwenyez MUNGU tunakuomba enderea kumpa mafanikio makubwa zaidi na nuru ya upendo zaidi
@agathacosmas3916 жыл бұрын
kaka MUNGU Azidi kukubariki ktk kazi yako ya mziki yani umenifurahisha kuwakubuka watu wenye maitaji nakukubuka maisha uriyo pitia
God Bless You BRO And Mak You Big Than Big 💚💛♥️🤜🤛👌👌
@irenezephania54386 жыл бұрын
Hngera ni vzr kukumbuka ulipotoka Mungu a taongeza ulipopunguza
@eunicesaumu74866 жыл бұрын
Kenyan watching from Saudia Arabia Masha be blessed brother
@HonestSulleTz6 жыл бұрын
Nicely good bless Broo Harmonize
@cedricnitunga4686 жыл бұрын
natoa machozi ya furaha jameni, nimegusua na kitendo.. blessings KondeBoy
@Dannybahati306 жыл бұрын
dah,,,,, si wengi wapaji,,, ubarikiwe Kaka,,254 nimewakilisha
@Sheckvanny6 жыл бұрын
Respect brother
@elysabethhussein36616 жыл бұрын
Ata sijuwi nikuombey dua gani kwa Mungu lakin Allah akupe myaka mingi yakuishi na Amani tele
@younggniassmohammed86426 жыл бұрын
Elysabeth Hussein amina
@younggniassmohammed86426 жыл бұрын
Mungu akuzidishie kwa ulivyo Fanya na isiwe mwisho kama unauwezo zaid toa mungu atakulipa mala mbil ya icho
@elibarikimasawe96596 жыл бұрын
Na mungu Pia ata barikiwa kazi ya mkono yako
@moorenkazilihavi83336 жыл бұрын
mungu akuzidishie harmonize
@festovenas5026 жыл бұрын
Mungu akubalik konde boy pamoja
@elivtv.baseafrica39886 жыл бұрын
arimonezy mpaka machozi yamenitoka .mwenyez mungu akusimamie ufike mbali
@ismailmtoro1506 жыл бұрын
safi hamo mungu akubarik
@issataslima62806 жыл бұрын
sinabudi kusema asante saana kaka huo ndo uwepo wako naamininlazima uongezewe kwakuwa mungu alisha sema ukitoa atakufungulia
@dotomohd91566 жыл бұрын
Duh sinalakusema tu endelea kuwa naupeo wambali mungu atakufikishambali
@fauzishma80336 жыл бұрын
Hongera sana kaka Allah akupe moyo huo huo wa kutoa
@princessamore93176 жыл бұрын
Harmonize mungu akubariki Sana
@Atetesamuella6 жыл бұрын
Harmonize when u will came back in #Rwanda ? i like your sound soooo much
@janatamoe34666 жыл бұрын
Mungu akubariki sana
@xamaraawiboy31446 жыл бұрын
Hormonize good brother
@jackieemnl64686 жыл бұрын
barikiwa sana ht mm imenigusa sana
@stanislasmwengwa83506 жыл бұрын
Bro mungu akubariki brother niko inchi marecani
@amirimasunda17806 жыл бұрын
Konde boy Jehovah bless you always brother
@africaworld5min9375 жыл бұрын
sud africa alakini nina ishiwa mungu akufunguliye milango zote uwone mukonowake
@omanare87546 жыл бұрын
Pia apite majumbani kuna watu nyumba zao mbovu hawana pesa na maisha yao magumu
@fatemaqasem63906 жыл бұрын
Mungu Akubariki Jamani
@dianangailo98786 жыл бұрын
Wachache sana wenye mafanikio wanaokumbuka walikotoka , mungu akuzidishie
@frozen4rozen4756 жыл бұрын
Mimi ni ngumu lakin video hi imenitoa machozi Sana yani jamaa anajua jinsi tunavo angaika mitaani alicho nacho ametoa awezi kumpa kila Mtu bro big up na endelea na moyo uo uo tunatoa Sana jasho ili tuishi
@dezimondimuhamedy94956 жыл бұрын
Thanks, That's a great help. can we sing a song and you Clb
@fatihiaanwar88796 жыл бұрын
umenitia imani mungu akubariki
@deblackmalkia73346 жыл бұрын
Allah akulipe maradufu ulipotoa azidixhe Inshaallah
@athumanomary14386 жыл бұрын
Ewe mwenyez MUNGU enderea kumuongoz hii yote neema yako na ndio muongoz wako ewe mwenyez MUNGU mkuu
@smartjuicetv11916 жыл бұрын
god bless ndio maana unafanikiwa kaka if unevutiwa nawewe fanya hivyo kam harmonize
@scoviarenatus24666 жыл бұрын
mungu akubariki san harmonize
@josephmremi13206 жыл бұрын
saluut sana broo konde boooy nakukubal
@gabililta6 жыл бұрын
Mungu Mzidishie huyu kijana wako.
@athumanomary14386 жыл бұрын
Ewe mwenye MUNGU wanadamu wachache unaowapa mafanikio na wakatoa shukuran kwako ewe mwenyez MUNGU ewe mwenyez MUNGU tunakuomba enderea kumsimamia kumrinda kumuongoz kuimarisha afya yake na zidi kumpa mafanikio makubwa zaidi ewe mwenyez MUNGU mkuu
@aminadaudi46806 жыл бұрын
Athuman Omary aameeeni
@richardmichael77086 жыл бұрын
Saafii saana harmo kwa kukumbkaa ulikotokaa
@lameckhassan84046 жыл бұрын
God bless you Harmo🙏🙏🙏
@derckmanirakiza77146 жыл бұрын
Mungu Akubariki sana ndugu
@jdzongo16016 жыл бұрын
can you translate for some of us who dont speak swahili , underlined translate in english please , from congo
@shabaniramadhani41096 жыл бұрын
njooo na arusha kindergarten boy.
@oookkk39656 жыл бұрын
Kaka nakupenda bur
@nehemiajoseph53476 жыл бұрын
safi sana nawengine wataigwaaa
@francisangesisye66376 жыл бұрын
Be blessed Konde BOY
@lukakuboy13986 жыл бұрын
Harmonize BG up kwa kukumbuka ulipotoka
@chris_jabari6 жыл бұрын
Dah, 😿hongera sana bro
@AbdulAziz-zb3hm6 жыл бұрын
From usa 🇺🇸 bruh keep it up Allah bless you 🙏
@johnmatiko61346 жыл бұрын
Mwenyez mungu akuzdishie kjana by phaz nko Tarime!
@athumanomary14386 жыл бұрын
Mwenyez MUNGU yupo pamoja nawe
@nyamburalemis73416 жыл бұрын
God bless you Harmonize
@clementsapanjo91596 жыл бұрын
saaf sana kaka mungu akubariki
@TamuzaKale6 жыл бұрын
KONDE BOY WE NOUMA!
@hadijamiroso36796 жыл бұрын
mungu akubariki sana
@johnsonalphonse85815 жыл бұрын
Konde boy# 4everybody keep it up
@emmysteyia89726 жыл бұрын
harmonize God bless you
@neemamohamedmaryakamaryaka46866 жыл бұрын
God bless you
@mbodzebemasika74776 жыл бұрын
mnajua mjini kuna wajanja hapa kuna mtu amejitwika biashara ya mtu angalau harmonize amuone..mjini ujanja