#harmonize #zuchu #diamondplatnumz Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi
Пікірлер: 33
@sponsor78824 ай бұрын
Siji😊😊
@saadabakar77504 ай бұрын
Answer SIJI kwa herufi kubwa😂😂
@joesplatnumz4 ай бұрын
Wasanii wote hawajareact walioalikwa sio zuchu tuu mzee babaaz
@SalmaAthuman-hp3en4 ай бұрын
Kwanza harmonize hawezi kukurupuka na kumualika zuchu bila uchafuni kukubaliana harmo ni kijana anaejielewa halafu hiyo nyimbo ya zuchu haihusiani na mwaliko wa keeho acheni kukoment negative wabongo😂hata hivyo zuchu asipoenda atapunguza nini kwa mfano
Huyo kaenda kuwakilisha tu kundi sio kwamba mambo yapo sawa
@Lizawansima4 ай бұрын
Kweli zuchu upewe mau wayako unatikisa dunia kwakweli.mama
@johnsilomba9024 ай бұрын
Wewe Achaizo Kwani Ujui Kama Diamond Yupo Inje Ya Inchi
@LindaMbilinyi-n3n4 ай бұрын
Mmmh Kwa hyo??akil yko fupi
@gastonerobert20264 ай бұрын
Alienda kwa miguu
@LindaMbilinyi-n3n4 ай бұрын
Me niliwah kusema hapa mond na harmo baada ya kupatana hawajagombana Tena hiki kingne kilichokuwa kinaendelea kiki tu,,so hakuna lolote
@SalaliKasereka-ex1ld4 ай бұрын
K❤❤❤z
@MOVIERECAPHD-sq7ph4 ай бұрын
sijiiiiiiiii
@EmmanuelMurhula-jb8cb4 ай бұрын
Wa bongo muna penda sana negative sana
@issahpaul45104 ай бұрын
Jamani imeandikwa confirmed. Sasa Kwa nini zuchu areact wakati kakubali mwenyewe mwaliko 😂 ila wabongo bana
@barakakusa76064 ай бұрын
Zuchu haendi huko nyie msikubali kudanganyika
@michaeljm-dz7nh4 ай бұрын
Atumtaki zuchu kwanini yeye Ananini
@badeuxGerard4 ай бұрын
@@michaeljm-dz7nhkwani zuchu Ali muambia kistuli amualike?😂😂
@rosemahenge90714 ай бұрын
@@michaeljm-dz7nhww kama nani mijitu mingine bhana
@joesplatnumz4 ай бұрын
Zuchu hataenda huko hata kma amealikwa huoni ametoa wimbo 'Siji'😂😂😂😂
@ce-084 ай бұрын
😂😂😂
@LindaMbilinyi-n3n4 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@HASSANBAKARI-q9c4 ай бұрын
amumjui dai nyie...tena mnachekesha kinoma
@sabinashabani11654 ай бұрын
Atokee asitokee kaziinaendelea tu
@ericnzaro91384 ай бұрын
Zuchu akija niiteni mbwa. Niko pale
@RomanMwinyi4 ай бұрын
We mbwaa2 kwa sababu m2 mwenyee akili uwezi jifananisha na mmbwaa we boyaa
@ommyw254 ай бұрын
Hakuna kipia
@JeannetteManirambona-o6m4 ай бұрын
Amesha toa nyimbo eti siji😂😂
@ChibuMitindo4 ай бұрын
Zuchu hawezi kuja kwa konde toto😂
@sundaysenga76084 ай бұрын
WAANDISHI WA ONLINE TV NA ANDAZI NACHAGUWA ANDAZI MAMA SAMIA KUWEPO PIA NI ATTENTION???
@Forester__4 ай бұрын
harmonize hana endorsement kwaio ana target uchaguzi 2025 kwa kutoa albamu kumsifia Mwishimiwa rais but bad enough ambapo unashindwa kuelewa harmonize hana washauri wanaofikiria 2035? Maana akija rais mwingine au uchaguzi ukipita bas na albamu yake imepita coz hakuna rais baada ya Mwishimiwa Samiah atakaetumia albamu ya harmonize tenaaaaa, labda atakua anatoa kila baada ya kupata rais mwingine, harmonize ni mpumbavu na mashavu yake kama puto