Рет қаралды 1,293
Ikumbukwe kuwa Msanii mkongwe nchini, Dudu Baya aliwahi toa tuhuma nzito baada ya kuwataja baadhi ya watangazaji maarufu nchini kuwa wanajihusisha na vitendo vya Ushoga.
Katika video yake (Clip) fupi aliyejirekodi na kisha kusambaa katika mitandao ya kijamii, Dudu Baya ameonekana akiwatuhumu Watangazaji akiwemo na Harris Kapiga wa Clouds TV na Perfecto.
Dudu baya ametoa majina haya ya Watangazaji mashoga huku akisema anao ushahidi.
Dudu Baya amefika mbali zaidi kwa kumtaka RC Makonda kuwakamata watangazaji hao na kwenda kuwapima ili kuthibitisha kuwa wanashiriki vitendo hivyo, na kusisitiza kuwa yeye (Dudu Baya) yupo tayari kwenda jela ikiwa itathibitika kuwa amewasingizia watangazaji hao.
Na Leo Limeibuka Lingine Kutoka Kwa aliyewahi kuwa Mpiga Picha wa Msanii maarufu Tanzania Diamondplatnumz....KIFESI Amesimulia juu ya tuhuma za ushoga zinazomkabili bwana Harrison Kasiga....
#harrisonkasiganaskendoyaushoga #harrisonkasigashoga #kifesiathibitishakasiganishoga