Amina Amina na tena unatujenga kimwiri na roho ubarikiwe
@zakayoraphael88342 жыл бұрын
Apo tuu mchungaji nakupenda sana MUNGU akupe maisha marefu na akupe nafunuo zaidi ibada hii nimefurahi saaana.
@thierryirakinga14632 жыл бұрын
Tibu myoyo #Paster_Mgogo tunakuskia
@irenekhisa37162 жыл бұрын
Amen
@mtumishipetermbega26952 жыл бұрын
Aminaa aminaa barikiwaa Sana Baba mchungaji
@pamanyango89172 жыл бұрын
Kweli kabisa mtumishi wa mungu
@lugendodaniel52662 жыл бұрын
Mungu akutie nguvu utumike zaidi
@ernestmakundi65082 жыл бұрын
Ongeza volume pastor😀😀
@epimackmakundi90822 жыл бұрын
Hapo unafeli sna mzee wangu
@ambakisyemwakinunu20022 жыл бұрын
Kwa hiyo unataka awaambie watu wenye unafuu wa maisha wawadharau wasionacho? Tena wengine wanadharau wengine hawana hata kitu ekisa anafahamiana na fulani au jirani wa fulani,acha mtumishi wa Mungu aendelee kutuponya mioyo yetu
@cheriealimasi28532 жыл бұрын
Amen 🙏🏽
@boscownyamukina42592 жыл бұрын
Unafanya vizuri. Binafsi nakukubali mno hasa kabisa yaaani!!!!!!
@pascariadavison34612 жыл бұрын
Nakuelewa baba nondo😂😂😂sisi ni wa kawaida sanaaa💃🏽💃🏽🥰
@aderinacharles94152 жыл бұрын
Amen barikiwa nakupenda
@nancyjonas34842 жыл бұрын
nakukubali sana pasita
@eveliusrespicius68592 жыл бұрын
Aise me imenigusa sana ubalikiwe mchungaji
@zaytoona18042 жыл бұрын
mungu akubaliki
@ceokinglaiza2 жыл бұрын
✌🏾
@aminakarisa42152 жыл бұрын
𝑨𝒎𝒆𝒏🤣🤣🤣🤣🤣 𝒎𝒄𝒉𝒖𝒏𝒈𝒂𝒋𝒊
@gilliardgodfriend57452 жыл бұрын
🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🇫🇮🇫🇮🇫🇮
@sarajames7682 жыл бұрын
Asante mtumishi nimefarijika kwa neno lako naomba utuwekee namba yako hpo ili mwenye sadaka yake akutumie kiukweli nimefarijika
@justinog31052 жыл бұрын
😂😂🤣🤣🤣 mchungaji wew nihatari unajua point ya maisha ongela sana
@maryanyango2332 жыл бұрын
Amen 🙏 haha
@linetaidi47232 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🙏🙏🙏🙏🙏💯
@nicodemuschipata9802 жыл бұрын
V to
@japhetkassim59102 жыл бұрын
Haka kajamaa kanakula watoto wakali wakali aisee
@epimackmakundi90822 жыл бұрын
Umaskini ndo unakufanya useme hivi ,,hii ni kwa sababu binadamu hapendi kuona mwingine amemzidi ,,hahahhaa mungu ni fundi bwana alie barikiwa kabarikiwa tu hata utumie maneno ya kujifariji hutapata nafac ya kua alipo,,hivy ni vyema ukaomba neema kuliko kuponda mtu haisaidii kitu,,,hii amani ya moyo jamani itawamalizaaa watu
@neemaakarolema59892 жыл бұрын
Hahaha😆😆😆😆😆
@mwanashagladys45812 жыл бұрын
Hahahaha amen 🤣🤣
@foifoi12 жыл бұрын
Kawaida 😂🤣🤣
@epimackmakundi90822 жыл бұрын
Hahahaha hapo sijakuelewa baba angu,,hizo itikadi hazipo tena hasa kwenye karne hii,, hapo ww mwenyew ukiwa na hela ndo unapata amani,,bac ungekosa alafu tuone ujasiri wa kuongea hivy unautoa wap,,wewe